
Simulizi : The Football (2)Sehemu Ya Tano (5)atumie busara katika suala la Korea kaskazini.Kwa sasa amebaki na watu wanaomsikiliza kwa kila jambo anaweza akaingia katika vita na Korea Kaskazini.Wakati mwingine ninahisi yawezekana labda ametaka niuawe kwa kuwa nilikuwa nampinga sana katika suala...