
Simulizi : Hekaheka Msituni Sehemu Ya Tano (5)“Sasa tunafanyaje hapa?” Inspekta Tom Green aliuliza.“Tunahitaji boti” Latoya aliongea.SASA ENDELEA“Tutaipata wapi maana muda unazidi kusonga mbele na nina imani wale jamaa kule kambini watakuwa wameligundua hili na watakuwa tayari wameanza kutusaka?” Inspekta Tom Green aliongea...