Search This Blog

Wednesday 29 March 2023

PENIELEA (5) - 3

   


Simulizi : Peniela (5)

Sehemu Ya Tatu (3)


Tayari kiza kimeanza lakini bado rais wa jamhuri y

a

muungano wa Tanzania Dr Joshua alikuwa ofisini kwak

e

.Alitamani sana kuinuka na kutoka mle ofisini lakin

i kila

alipotaka kufanya hvyo alihisi miguu inakuwa mizito

sana.Haikuhitaji nguvu kubwa kutambua kuwa Dr Joshu

a

alikuwa anasumbuliwa na jambo zito.Muda mwingi alik

uwa

amekiinamisha kichwa chake na kuzama katika mawazo

mengi

“Maneno aliyoyatamka Hussein leo ni mazito

,yameniogopesha na yamenifanya nishindwe kusitisha

mpango wa kumuuzia kirusi.” akawaza Dr Joshua na ku

anza

kuyakumbuka maongezi kati yake na Hussein alipokwen

da

kumtembelea hotelini asubuhi.

“ Dr Joshua kwanza nataka kukupa pole sana kwa

msiba mzito wa binti yako .Mungu ampumzishe pema.”

Ndivyo alivyoanza Hussein baada ya Dr Joshua kumuel

eza

kuhusiana na mpango wa kusitisha makabidhano ya kir

usi

Aby hadi hapo baadae.

“ Pili nakushukuru sana kwa kuacha shughuli zako

nyingi za muhimu na kuja kuonana nami.Nimekusikiliz

a

kwa makini mambo yote uliyonieleza lakini na mimi

naomba niseme maneno machache sana kujibu yale

maelezo mengi uliyoyatoa.Naomba niwe wazi kwako

mheshimiwa rais kwamba sikubaliani hata kidogo na h

oja

uliyoileta ya kutaka kusitisha biashara yetu.Hoja y

a

kwamba unasitisha eti kwa kuwa usalama ni mdogo ni

hoja

dhifu sana na hainiingii akilini hata kidogo na wal

a maneno

hayo si ya kutamkwa na mtu mkubwa kama wewe.Wewe

ndiye mkuu wa nchi,una nguvu kuliko raia yeyote wa

nchi

hii,tumia nguvu yako kama rais na umalize mambo yet

u ili

tuendelee na masuala mengine.Dr Joshua suala hili s

i dogo

kama unavyotaka kulifanya na wala si suala la kufan

yia

mzaha.Hili ni suala zito na huwezi kulimaliza kwa m

aneno

ya kipuuzi uliyoyatamka.Sitaki kuongea mambo mengi

ila

ninachohitaji mimi kesho kabla ya saa nne asubuhi n

iwe

nimeupata mzigo wangu.Itakapofika saa nne sijaupata

mzigo wangu nitakuongezea tena muda hadi saa saba z

a

mchana na kama sintakuwa nimeupokea mzigo wangu had

i

muda huo basi hesabu kwamba hiyo ndiyo itakuwa sik

u

yako ya mwisho kukalia kiti cha urais.Sikutishi na

wala si

lengo langu kukutisha ila ukitaka kuamini maneno ya

ngu

naomba ifike kesho saa saba za mchana bila kuupata

mzigo

wangu utaona kitakachotokea!!

Akasema Hussein kwa ukali

“ Tafadhali naomba usinitishe Hussein.Mimi ni rais

wa nchi hii na nina uwezo wa kufanya jambo lolote h

ata

dakika hii nikitaka kukuzima pumzi ninaweza kufanya

hivyo.Wewe ni mtu mdogo sana kunipa vitisho.Tafadha

i

naomba iwe ni mwanzo na mw.....”

Kabla Dr Joshua

hajamaliza Hussein akaangua kicheko cha dharau

“ Dr Joshua nadhani bado hujanifahamu vyema na

sihitaji unifahamu zaidi ya unavyonifahamu.Labda kw

a

ufupi tu ni kwamba nimekutana na marais na viongozi

wengi wakubwa wa dunia hii na wengi ninafanya nao

mambo mbali mbali makubwa lakini katika hao wote

sijawahi kukutana na rais dhaifu kama wewe.Sitaki n

iongee

sana Dr Joshua na wala sitaki mimi na wewe tufungue

ukurasa mpya wa uadui kwani si ukurasa

mzuri.Ninachokihitaji mimi kesho saa nne asubuhi ni

we

nimeupata mzigo wangu kama tulivyokubaliana.Hunidai

chochote hadi sasa kwani fedha yako yote tayari ime

lipwa

kwa hiyo hakuna tena kitu chochote kinachoweza

kukwamisha nisipewe mzigo wangu.Kumbuka kesho saa

nne asubuhi mzigo uwe umefikahapa.Nisipoupata

nitakusubiri hadi saa saba za mchana na Itakapofika

saa

saba na dakika moja bila kuupata mzigo tayari utaku

wa

umekiuka makubaliano yetu na Tanzania itaingia kati

ka

historia.Sitaki kukwambia ni historia gani ila kila

kitu

kitajuliana muda huo utakapofika.Labda kwa kukudoke

za

tu ni kwamba kama hutanipatia mzigo wangu hadi muda

huo nilioutoa basi saa saba na dakika mbili kesho

hautakuwa tena rais wa Tanzania bali jina lako lita

badilika

na kuwa aliyekuwa rais wa Tanzania..Dr Joshua mimi

na

wewe ni marafiki wakubwa naomba tafadhali tusifike

huko

unakotaka tufike.Naomba unipatie mzigo wangu ili

mahusiano yetu yaendelee kudumu”

akasema Hussein

wakaangaliana huku uso wa Dr Joshua ukiwa umejikunj

a kwa

hasira

“ Dr Joshua nadhani tumemaliza maongezi yetu na

hakuna tena cha ziada tunachoweza kuongea.Ninachosu

biri

ni mzigo wangu hiyo kesho kabla ya saa nne asubuhi.

Labda

kwa kuweka msisitiozo tu ni kwamba si wewe pekee

utakayeathirika bali Tanzani nchi inayoelea katika

bahari

ya amani ,utulivu na salama ,itaelea katika bahari

ya

damu.Mamia kwa mamia ya raia wa Tanzania watapotez

a

maisha kila uchao.Kwa heri mhesimiwa rais.Tutaonana

hiyo

kesho” akasema Hussein na kuinuka akaelekea katika

chumba cha kulala akafunga mlango

Kumbu kumbu ile ikamuumiza mno Dr Joshua

.Akaegemea kiti na kuzama katika mawazo mengi.

“ Toka nimekalia kiti cha urais kwa akribani miaka

kumi sasa sijawahi kukutana na mtu ambaye amenitole

a

vitisho kama Hussein.Anajiamini nini hadi akaongea

maneno

kama yale? Kwa kuwa ameonyesha kiburi na dharau bas

i

nitamuonyesha kwamba nina nguvu zaidi yake.Hatapata

mzigo wake na hawezi kunifanya lolote!!! Akawaza ak

iwa na

hasira halafu akastuka kama mtu aliyekumbuka jambo

Fulani

la muhimu

“ Mhh !! lakini jambo hili halitaki hasira.Linahit

aji

busara kubwa.Huyu Hussein si mtu wa kufanyia mchezo

hata

kidogo.Nilipomfanyia uchunguzi kabla hata sijaanza

mchakato wa kumuuzia kile kirusi niligundua kwamba

ana

mahusiano na mitandao ya kigaidi.Sikulitlia maanani

sana




“ Hii si fedha my princess but It’s something very

valuable .Vipi maendeleo yako? Akasema Dr Joshua

“ Najitahidi baba kukabiliana na hali lakini napat

a

wakati mgumu sana”

“ Nalifahamu hilo Anna.Naomba ujitahidi kuvumilia

katika hii miezi michache iliyobaki nimalize kipind

i changu..”

akasema Dr Joshua na kuonekana kusita kidogo

“ Anna kuna jambo nataka tuongee lakini ngoja

kwanza nikahifadhi mizigo yangu akasema Dr Joshua

na

kuelekea chumbani kwake akaliweka sanduku lile leny

e kirusi

katika kabati la kuhifadhia vitabu na kutoka akarej

ea

sebuleni.Akajimiminia pombekatika glasi akaketi sof

ani na

kusema

“ Anna nadhani tayari umekwisha pata taarifa za

tukio lililotokea leo la kuuawa kwa shemeji yako ja

ji Elibariki”

akasema Dr Joshua

“ Ndiyo baba,nilizipata taarifa hizo nikastuka

sana.Kutwa nzima ya leo nimekuwa najiuliza maswali

mengi

kuhusiana na kinachoendelea katika familia yetu.Ni

nani

hawa wanaotuandama kiasi hiki? Tumewakosea nini? Ni

nani

atakayefuata baada ya Elibariki? Akauliza Anna

“ Anna unayoyasema ni ya kweli .Kumekuwa na

matukio mfululizo yanayoiandama familia yetu lakini

nakuhakikishia watu hao hawana nafasi tena ya kutuc

hezea

kwani tayari vyombo vya usalama viko katika hatua n

zuri ya

kuwabaini waliofanya mauaji hayo.Nakuhakikishia kw

amba

wote waliohusika katika kusabaisha kifo cha Flavian

a na hiki

cha mumewe Elibariki watasakwa katika kila kona ya

nchi na

watapatikana ndani ya siku chache.Kuna watu wanaita

futa

familia yetu lakini nakuhakikishia hawatafanikiwa”

akanyamaza na kunywa funda la pombe akasema

“ Kesho tutakweda katika msiba wa Elibariki kutoa

pole kwa ndugu zake lakini tayari nimekwisha tuna w

atu

kwenda kushughulikia masuala yote ya msiba na kesho

kutakuwa na kikao cha ndugu ambacho na mimi nitahud

huria

ili tupange siku ya mazishi” akanyamaza kidogo akam

tazama

Anna

“ lakini mbona sikuoni kama vile umeguswa na msiba

huu wa shemeji yako? Unaonekana uko kawaida sana”

akauliza Dr Joshua

“ Ulitaka nifanye nini baba ili kuonyesha nimegus

wa?

Akauliza Anna

“ Yule ni shemeji yako ,mume wa dada

yako,nilitegemea kukuona ukiwa katika majonzi makub

wa

lakini macho yako yanaonekana makavu kabisa kama vi

le

hakuna kilichotokea”

“ Tayari nimelia vya kutosha baba ,sitaki kulia

tena.Nimemwaga machozi mengi kuwalilia mama na dada

yagu.I don’t want to cry anymore na ndiyo maana ki

la msiba

unaotokea sasa nauona ni wa kawaida tu” akajibu Ann

a

“ Basi usijali Anna,mambo haya yote yatakwisha na

utayasahau.Vuta subira kidogo nimalize kipindi cha

ngu cha

uongozi .Nitakapokabidhi tu ofisi ,mimi na wewe tut

aondoka

hapa nchini na kwenda kuishi mbali .Tutazunguka dun

ia

nzima tukifurahia uumbaji wa Mungu na haya yote

yaliyotokea naamini utayasahau” akasema Dr Joshua n

a

kumfanya Anna atabasamu

“ Mtazame anavyoongea utadhani ni mtu mwema

sana kumbe ana roho ya kikatili kama shetani.Hizo f

edha

anazoongelea za kuizunguka dunia ni mauzo ya kirusi

kinachokwenda kusababisha maangamizi makubwa.Naapa

kwa jina la mama yangu hatatumia hata senti moja ya

hizo

fedha zake haramu..Halafu..” Anna akatolewa mawazon

i

baada ya simu ya Dr Joshua kuita

“ Halow Abel” akasema Dr Joshua

Kwa takribani dakika mbili Dr Joshua alikuwa

anamsikiliza mtu aliyekuwa anaongea naye simuni hal

afu

akasema

“ Sawa Abel,uzembe ulifanyika ila msiache kuendele

a

kumtafuta ..”.akasema Dr Joshua na kuendelea kumsik

iliza

aliyekuwa anaongea naye simuni.Baada ya muda akasem

a

“ Nimekuelewa Abel hakuna tatizo ila kuna kazi

nataka unisaidie kuifanya kesho.Kuna mzigo nataka u

upeleke

sehemu Fulani na hakuna mwingine ninayemuamini zaid

i

yako.Kesho saa tatu kamili juu ya alama naomba uje

hapa

nyumbani nitakupa maelekezo wapi pa kupeleka mzigo

huo”

akasema Dr Joshua kisha akaagana na Abel simuni

akamgeukia Anna

“ Anna ninatoka kidogo kuna mtu ninakwenda

kuonana naye usiku wa leo.Sintakawia sana.Naomba

ukumbuke kesho tunakwenda wote katika msiba wa

Elibariki” akasema Dr Joshua na kumtaarifu mlinzi w

ake kuwa

uko tayari kuodoka na bila kupoteza muda wakaondoka

“ Najua amekwenda katika mambo yake ya haramu”

akawaza Anna

“ Ninaongea naye lakini hajui kilichomo moyoni

mwangu.Laiti angefahamu ninachokiwaza juu yake nin

a

hakika lazima angeitoa uhai wangu.Kwa namna yoyote

ile

lazima nihakikishe analipa uovu wote alioutenda.kwa

nza kwa

kifo cha Edson pili kwa vifo vya mama na Flaviana.N

inahisi

hata kifo cha Elibariki atakuwa anahusika pia .Siwe

zi kabisa

kusikitika kwa kifo cha Elibariki kwa sabau alifany

a ujinga

mkubwa mno wa kuwasaliti wenzake .Kilichomtokea ni

malipo ya usaliti wake.Kama angeendelea kuungana na

wenzake yasingemkuta haya yaliyomkuta.Apumzike kwa

amani mjinga Yule.Hastahili hata chozi langu” akaw

aza Anna

**************

Swali aliloulizwa Dr Kigomba lilionekana kuwa gumu

kidogo kulijibu.Sekunde zilizidi kuyoyoma akiwa ame

inamisha

kichwa.

“ Dr Kigomba !!! akaita Mathew na Dr kigomba

akainua kichwa.

“ Natumai umelielewa swali nililokuuliza.Kirusi Ab

y

kimefichwa wapi ndani ya ikulu? Njia pekee iliyobak

i kwa

sasa ni kukichukua kirusi hicho moja kwa moja toka

ikulu.Tutafanikiwa hilo kwa maelekezo yako” akasema

Mathew

“ Mathew nimeshindwa kulijibu swali lako haraka

nilikuwa najaribu kutafakari namna tunavyoweza kuli

fanya

hilo ulilolisema yaani kukichukua kirusi Aby toka

ikulu.Naomba nisiwe muongo Mathew suala la kukichuk

ua

kirusi hicho ikulu ni gumu kutokana na mahala kirusi

hicho

kilipofichwa”

“ Unafahamu kilipo? akauliza Mathew

“ Ndiyo nafahamu mahala kilipo“ akajibu Kigomba

“ Ok tueleze”

Dr Kigomba akainamisha kichwa kwa muda na

kusema

“ Ndani ya ofisi ya rais kuna chumba cha siri amba

cho

ili uingie lazima upite katika mlango ambao unafung

uliwa

kwa namba za siri ambazo ni rais peke yake

anazifahamu.Licha ya namba hizo za siri kuna mtambo

pia

unaoyatambua pia macho ya rais.Ukifanikiwa kuingia

ndani

ya chumba hicho kuna chumba kingine unatakiwa kuing

ia.

Ukifanikiwa kuingia ndani ya chumba hicho kuna maka

bati

matatu ambayo yote hufunguliwa kwa namba maalum.Kat

ika

mojawapo ya makabati hayo kuna hifadhiwa kadi Fulan

i ya

kufungulia mlango.Ndani ya chumba hicho kuna mlango

ambao hufunguliwa kwa namba .Ukishaufungua mlango h

uo

unaingia katika chumba kingine chenye milango mitat

u .kwa

kutumia ile kadi unafungua mojawapo ya mlango na un

aingia

katika chumba kingine kidogo.Humo ndimo kilimo kiru

si

Aby.katika vyumba hivi vyote nilivyokuelezeni,hakun

a mtu

mwingine anayeweza kuingia zaidi ya rais pekee.Ni v

yumba

vilivyowekewa mfumo mkubwa wa ulinzi ambao

unamtambua rais pekee .Mtu mwingine ambaye si rais

hawezi kuingia ndani na hata akiingia kingora cha h

atari

kitalia na kuwafahamisha walinzi wa rais kuwa kuna

hatari.Kwa hiyo ndugu zangu nadhani mmeweza kuuona

ugumu uliopo wa kuingia mahala kilipohifadhiwa kiru

si Aby”

akasema Dr Kigomba .Mathew na Anitha wakatazamana n

a

Mathew akakuna kichwa .Siku zote Mathew akikuna kic

hwa

basi huwa jambo analolishughulikia limefikia hatua

ngumu

ambayo hajui afanye nini.Akainama akafikiri kwa mud

a na

kumgeukia Dr Kigomba

“ Nini ulikuwa mpango wako ? akauliza

“ Mimi?? Akauliza Dr Kigomba

“ Ndiyo.Ulisema kwamba ulikuwa na mipango ya

kukipata kirusi Aby.Ungefanyaje kukipata?

“ Mpango wangu ulikuwa hivi,kwa kuwa mimi ndiye

niliyekuwa natakiwa kumkabidhi Hussein kirusi hicho

basi

lazima Dr Joshua atafute mtu mwingine wa kufanya h

ivyo na

mtu pekee ambaye ninaamini atafanya kazi hiyo ni Ab

el

Mkokasule ambaye ndiye anayefanya kazi za siri za

rais kwa

sasa.Mpango wangu ulikuwa ni kupata mtu ambaye

angeweza kumfuatilia Abel na kukipata kirusi hicho.

Kama

ikishindikana kukipata kwa Abel basi tukipate toka

kwa

Hussein.Baada ya kukabidhiwa avamiwe na kunyang’any

wa

kirusi hicho.Hiyo ndiyo ilikuwa mipango yangu.” Aka

sema

Kigomba.Mathew akafikiri kidogo na kusema

“ Very weak plans.Ni vipi iwapo Dr Joshua atamtuia

mtu mwingine au hata yeye mwenyewe akafanya kazi hi

yo?

Halafu kitu kingine ,tayari Dr Joshua anafahamu kit

u kile ni

hatari na kwamba kuna watu wengi ambao wanakitafuta

kirusi kile lazima atakuwa makini sana na kulifanya

jambo hili

kwa usiri mkubwa.Njia pekee yenye uhakika ni kuing

ia ikulu

na kukichukua kirusi mahala kilipofichwa .Kigomba y

ou are

going to find us a way to president’s office .We’re

going in

there to get the virus.Unavyotuona mimi na Anitha t

ayari

tumeyatoa maisha yetu sadaka kwa ajili ya kuepusha

watanzania dhidi ya maangamizi yanayoweza kutokea

endapo kirusi Aby kitasambaa hewani.Kwa hiyo hatuog

opi

kitakachotokea,tunakwenda kukichukua kirusi Aby iku

lu na

wewe ndiye utakayetusaidia sisi kuingia katika ofis

i ya rais”

Jasho jingi likaonekana katika uso wa Dr Kigomba.Ak

ainama

akafikiri na kusema

“ Mathew nina wazo moja.Hussein ni mtu ambaye

nimekuwa nawasiliana naye kwa kipindi kirefu na nin

a hakika

bado hafahamu kama mimi na Dr Joshua tuko katika

mgogoro mzito.Ninafahamu hoteli aliko na hadi chumb

a

anachokaa.Ninaweza kuongea naye na kupata uhakika

endapo tayari amekwisha pewa mzigo wake au bado.Baa

da

ya hapo tutafanya maamuzi nini cha kufanya” akashau

ri

Kigomba.

“ Mathew nadhani anachokisema Dr Kigomba kina

mantiki Endapo akiwasiliana na Hussein tunaweza kup

ata

uhakika kama kirusi kimekabidhiwa kwake au bado.Kam

a

bado basi tutaendelea na makakati wetu wa kwenda

kukichukua ikulu” akasema Anitha.Mathew akafikiri k

idogo

na kusema

“ Ok Anitha zitafute namba za simu za hoteli hiyo

katika mtandao na Kigomba awasiliane na Hussein”

Dr Kigomba akamtajia Anitha jina la hoteli na

haikuchukua muda Anitha akazipata namba za simu za

hoteli

hiyo akapiga na kumpatia simu Dr Kigomba

“ Hallow ,Karibu Samawati beach hotel.Nikusaidie

nini tafadhali” ikauliza sauti tamu ya mwanadada al

iyepokea

simu ile

“ Naitwa Dr Kigomba ni katibu wa rais.Kuna mgeni

wa rais yuko hapa anaitwa Hussein Abdullah Al nasso

r yuko

presidential suit no 6.Ninahitaji kuzungumza naye”

“ Sawa Dr Kigomba naomba usubiri kwa muda mfupi

nikuunganishe naye” akasema yule mwanadada.Baada ya

sekunde kadhaa Dr Kigomba akaunganishwa na chumba c

ha

Hussein

“ Dr Kigomba sasa unaweza kuzungumza na Hussein”

akasema Yule mwanadada

“ Ahsante “ akajibu Kigomba

“ Hallow” ikasema sauti nzito ya kiume ambayo

Kigomba aliitambua ni ya Hussein

“ halow Hussein habari yako? Dr Kigomba hapa

ninaongea”

“ Kigomba..habari zinaweza kusema si nzuri sana

kutokana na uhuni mnaonifanyia”

“ Uhuni gani Hussein? Akauliza Dr Kigomba

“ Mimi na ninyi tumeanza vizuri sana na sikutegeme

a

kama tungemaliza namna hii”

“ Kwani kitu gani kimetokea Hussein? Umeonana na

Dr Joshua? Mimi sikuwepo nilikuwa nimetumwa kazi Fu

lani

na rais na nimerejea jioni hii nikaona ni vizuri en

dapo




akauliza Mathew kwa ukali.Dr Kigomba hakujibu kitu

.Mathew akamtaka Anitha watoke na wamuache Kigomba

peke yake

“ Mathew are you sure of this?

“ Yes I’m sure.Hakuna namna nyingine ya kufanya

kukipata kirusi Aby zaidi ya kwenda moja kwa moja i

kulu

kukichukua kirusi mahala kilipohifadhiwa.Tukichelew

a leo

hatutakipata tena so tonight is our night.We must g

et that

virus.Tukiingia katika ofisi ya rais utakwenda kuha

ribu

mifumo yote ya ulinzi na ninaamini kazi hiyo

unaiweza.Niambie haraka ni vitu gani utavihitaji il

i

nimwambe Edmund atusaidie kuvipata kwa haraka? Waka

ti

ukiendelea kutafakari namna ya kufanya mimi ngoja

niwasiliane na Anna nimfahamishe kuhusu suala hili.

Anaweza

pia akatafuta namna ya kutusaidia endapo ule mjinga

hatakuwa na plani yoyote” akasema Mathew

“ Mathew naomba nikuweke wazi kuwa moyo wangu

unasita sana kuhusiana na mpango huo .I’ve never be

en so

scared like this before.Mimi nadhani tuusikilize us

hauri wa

Kigomba kwamba njia pekee ya kukipata kirusi Aby n

i kwa

kusubiri Hussein atakapokabidhiwa halafu sisi tukic

hukue

toka kwake kabla hajaondoka nchini.Ikulu si mahala

pa

kufanyia mchezo.Pale anaishi mkuu wa nchi na hata s

iri zote

za nchi ziko pale kwa hiyo si sehemu ambayo mtu una

naweza

kuingia kirahisi na ndiyo maana kirusi kikahifadhiw

a pale”

akasema Anitha

“ Anitha nimekuelewa lakini hatuwezi kusubiri hadi

Hussein akabidhiwe kirusi halafu tumvamie na

kukichukua.Hiyo si njia nzuri.Njia pekee na ambayo

tutaitumia tunakwenda kuingia ikulu mahala kilipohi

fadhiwa

kirusi Aby na tunakichukua.Believe me Anitha we ar

e going

to do it na wala hupaswi kuwa na hofu.Ndiyo ni maha

la

penye ulinzi wa hali ya juu lakini nakuhakikishia

tutaingia.Kama hukuwahi kuniamini hapo kabla nakuom

ba

uniamini katika hili.Tunakwenda kuingia ikulu na ku

chukua

kirusi Aby.Anitha I promise to take you back alive.

Leo

utashuhudia uwezo wangu ambao hujawahi kuuona”

akasema Mathew na Anitha akabaki amemkodoloea macho

“ Anitha please I need you in this !! akasema

Mathew akiwa amemshika bega Anitha

“ Arlight Mathew I’m in.We can do it.Ninakuamini

sana na nina imani nitarejea salama.”

“ nafurahi kusikia hivyo Anitha.Anza kuorodhesha

vitu ambavyo utavihitaji,mimi ngoja nizungumze na A

nna”

akasema Mathew na kwenda sebuleni akampigia simu An

na

“ Hallow Mathew”

“ Hallow Anna unaendeleaje?

“ naendelea vizuri ,sijui wewe na Anitha”

“ Hata sisi tunaendelea vizuri .Vipi umeshalala?

“ Hapana sijalala bado.Sina usingizi na sitaki hat

a

kufumba macho kwani naogopa kuota mambo ya ajabu

ajabu ya kutisha.Isitoshe kichwa changu bado kina m

awazo

mengi sana.Suala la kifo cha Elibariki nalo linanic

hanganya

mno kichwa chang,najua ni baba ndiye aliye nyuma y

a

mauaji hayo.Nikiyafikiria haya yote nakosa kabisa u

singizi”

“Pole sana Anna.Nafahamu namna ulivyo na wakati

mgumu .Pole vile vile kwa kifo cha shemeji yako jaj

i Elibariki

.Kifo chake amekitafuta yeye mwenyewe kwa hiyo hak

una

haja ya kusikitika sana.Kitu cha muhimu kwa sasa ni

kuelekeza nguvu katika mpango wetu” akasema Mathew

“ Ni kweli Mathew hilo ndilo jambo kubwa kwa

sasa.Ili tuendelee kuwa na amani lazima mtandao wot

e wa

baba ukomeshwe.Mmefikia wapi kuhusu kuonana na Yule

mtu ambaye atatupa maelekezo ya mahala kirusi kili

po?

“ Bado hatujafanikiwa kuonana naye hadi kesho

lakini kuna mambo kadhaa tumeyapata.Kwanza kabisa

naomba usistuke wala kushangaa kwa hili nitakalokwa

mbia”

“ Niamabie Mathew .Ni jambo gani hilo?

“ Dr Kigomba tuko naye hapa nyumbani”

“ Kigomba? Yule ni mshirika mkubwa wa

baba,anatafuta nini hapo?

“ Wakati jaji Elibariki anapigwa risasi Dr Kigomba

alikuwa pamoja naye.Lengo la wauaji lilikuwa ni kuw

aua

wote wawili lakini Kigomba kaponea tundu la sindano

ila

amejeruhiwa kidogo na risasi katika mkono .Baada ya

kunusurika kuuawa hakuwa na sehemu nyingine ya kuj

ificha

bali alimuomba Peniela amsaidie kupata mahala pa ku

jificha

kwa makubaliano kwamba atamsaidia kukipata kirusi.K

wa

mujibu wa maelezo yake ni kwamba Dr Joshua anataka

kuchukua pesa zote peke yake za mauzo ya kirusi hic

ho na

ndiyo maana anafanya jitihada za kumuua Kigomba”

Anna akasikika akivuta pumzi ndefu

“ Mathew nakosa neno la kusema kwa namna

mambo haya yanavyochukua sura mpya kila uchao.”

“ Usiogope Anna,tunaelekea mwishoni mwa hili

suala.Muda mfupi uliopita Kigomba amezungumza na

mnunuzi wa kirusi hicho na amemuhakikishia kwamba

bado

hajakabidhiwa kirusi hicho ila anategemea hadi kesh

o saa

nne asubuhi atakuwa amepewa.Kwa hiyo....”

“ Hebu subiri kwanza Mathew...” Anna akamkatisha

Mathew

“ Umesema kwamba mnunuzi huyo anategemea

kukabidhiwa kirusi hicho kesho kabla ya saa nne as

ubuhi?

“ Ndiyo Anna.Hivyo ndivyo alivyomwambia Dr

Kigomba” Akasema Mathew.Anna akakaa kimya kwa Muda

“ Anna are you there? Akauliza Mathew

“ Mathew I think we’ve got the virus!!

“ Kweli Anna tunao muda mfupi sana hadi kesho

asubuhi lazima tuwe tumekipata kirusi”

“ Mathew listen to me!! Akasema Anna huku

akihema haraka haraka

“ Usiku huu baba amerudi akiwa na kisanduku Fulani

kidogo nikamtania kama katika sanduku hilo lilikuwa

na

fedha akaniambia hakukuwa na fedha ila kulikuwa na

kitu

cha thamani kubwa.Muda mfupi baadae tukiwa tumekaa

sebuleni alipigiwa simu na mtu ambaye nilimsikia aki

mtaja

kwa jina moja tu la Abel ,wakaongea halafu mwisho

akamwambia kwamba kesho kuna kazi atampa

aifanye.Alimwambia kwamba kuna mzigo anataka aupele

ke

sehemu Fulani kabla ya saa nne asubuhi.Kwa maneno h

ayo

uliyonieleza ninahisi inawezekana kisanduku kile ki

kawa

ndicho Kirusi ”

“ Oh my God!!! Wher is he now? Akauliza Mathew

huku akihisi mwili unamsisimka

“ My father? Akauliza Anna

“ yes.”

“ hayupo,ameondoka amesema kuna mtu

anakwenda kuonana naye usiku huu”

“ unaweza kufahamu mahala alikoliweka hilo

sanduku?

“ Ameliweka chumbani kwake”

“Unaweza kuingia chumbani kwake? Akauliza

Mathew

“ Ndiyo ninaweza kwani baba hana kawaida ya

kufunga chumba chake kwa funguo kwa hiyo muda wowot

e

ninaweza kuingia japokuwa kuna walinzi ambao hukili

nda

chumba hicho ila hawawezi kunizuia kuingia.”

“ Anitha tafadhali fanya kila uwezalo nenda sasa h

ivi

chumbani kwa baba yako na ukalitafute hilo sanduku.

Nina

uhakika mkubwa sana lazima kitakuwa ni kirusi

tunachokitafuta” akasema Mathew

“ sawa Mathew ngoja niende sasa hivi” akasema

Anna na kukata simu.Mathew akatoka mbio hadi chumba

ni

kwa Anitha akamkuta amekaa kitandani akitafakari

“ Anitha !!! We’ve got the virus ..!!! akasema

Mathew na kumstua Anitha.Mathew akatoka mbio akalek

ea

katika chumba alimokuwamo Dr Kigomba

“ Kigomba wake up !! we’ve got the virus !!!

“ What ??akasema Kigomba akainuka na kumfuata

Mathew wakaelekea katika ofisi yao

“ Mathew nini kimetokea ? Mbona umetustua

namna hii? Akauliza Kigomba

“ Sikilizeni,nimetoka kuongea na Anna sasa hivi “

“ Anna yupi? akauliza Kigomba kwa mshangao

kidogo

“Mtoto wa Dr Joshua”

“ Mna mawasiliano na Anna!! Kigomba akashangaa

“ Kigomba huu si muda wa maswali.Nimeongea na

Anna na akanieleza kwamba usiku Dr Joshua amekwenda

nyumbani akiwa na sanduku dogo na akamwambia Anna

kuwa sanduku lile lina kitu cha thamani kubwa.Baada

e

akaongea na Abel simuni akamwambia kwamba kuna mzig

o

ambao anahitaji kesho aupeleke sehemu Fulani kabla

ya saa

nne asubuhi.Kwa mujibu wa maelezo ya Hussein ni kwa

mba

amekubaliana na Dr Joshua kuwa kesho kabla ya saa n

ne

ataupata mzigo wake,hii inanifanya niamini kuwa k

isanduku

hilo lazima ndicho kirusi ambacho Dr Joshua anataka

kukikabidhi ka Hussein kwa kumtumia Abel Mkokasule.

akasema Mathew .Uso wa Kigomba ukapambwa na

tabasamu pana

“ I was right then.Dr Joshua lazima atamtumia Abel

Mkokasule kupeleka kirusi kwa Hussein.kwa hiyo tuna

fanya

nini Mathew? Akaulzia Dr Kigomba

“ Kwa sasa Dr Joshua amekwenda kukutana na

wageni wake katika ile nyumba yake kule ufukweni na

muda

wowote toka sasa Anna ataingia katika chumba cha ra

is na

atalichukua sanduku hilo.Tumuombe Mungu amsaidie aw

eze

kuingia na kutoka salama ndani ya chumba hicho cha

rais na

kulipata sanduku hilo.Tutapata jibu ndani ya muda

mfupi

ujao kama amefanikiwa ” akasema Mathew

“ Mathew you are wonderfull ,nimekosa nen......”

kabla Kigomba hajamaliza alichotaka kusema simu ya

Mathew ikaita

“It’s Anna...” akasema Mathew na kubonyesha kitufe

cha kupokelea

“ Hallow Anna” akasema Mathew

“ Mathew ,tayari niko katika chumba cha baba

nimeliona lile sanduku lakini nimeshindwa kulifungu

a

limefungwa kwa namba maalum”

“ Good job Anna.sasa fanya hivi,tafuta namna

unavyoweza kufanya uweze kuondoka na hilo sanduku

.Ukifanikiwa kutoka nitakupa maelekezo.Can you do t

hat?

Please Anna ..”

“Yes I can..Kuna vitu vya mama ambavyo natakiwa

kuvichukua humu ndani kwa hiyo usijali ninatoka na

hili

sanduku sasa hivi na nitakutaarifu nitakapotoka hum

u “

“ Sawa Anna.Kuwa makini ” akasema Mathew na

kukata simu

“ Tuombe Mungu amsaidie Anna atoke salama ndani

ya chumba hicho” akasema Mathew

“ Nina hakika lazima kutakuwa na kirusi ndani ya h

ilo

sanduku” akasema Dr Kigomba na wote wakabaki kimya

wakisubiri simu ya Anna.Baada ya kupita dakika kumi

Anna

akapiga simu haraka haraka Mathew akabonyeza kitufe

cha

kupokelea

“ hallow Anna” akasema Mathew

“ Mathew tayari ninalo sanduku lile hapa chumbani

kwangu.Naomba maelekezo nifanye nini?

“ Good.Nataka utoke nalo hilo sanduku utanikuta

nakusubiri pale Club Chicago.Can you do that?

“Yes I can “ akajibu Mathew

“ Thank you “ akasema Mathew na kusita kidogo

kisha akasema

“ Anna,there is one more thing I want to tell you.

“ What is that Mathew?

“ Once you step out of that place,you are not goin

g

back again.Kwa hiyo naomba uchukue baadhi ya vitu v

yako

unavyodhani ni vya muhimu” akasema Mathew na Anna

akawa kimya

“ Anna!! Akaita Mathew kwa sauti ndogo

“ Nimekuelewa Mathew.Tukutane hapo Chicago

club” akajibu Anna na kukata simu.Mathew akawatazam

a

Kigomba na Anitha kwa zamu

“ Ninakwenda kumchukua Anna,ninyi mtabaki

hapa.Sintachukua muda mrefu”

“ I’m going with you “ akasema Anitha

“ No ! You stay here.I’m gong there alone.Dont wor

ry

I’ll be fine” akasema Mathew akatoka na kuelekea ch

umbani

kwake kujiandaa ,akachukua baadhi ya vifaa ambavyo

angevihitaji kisha akatoka




“ yes I did .Aliniudhi sana Yule mshenzi kwa jambo

alilokufanyia.Sikuwa na adhabu nyingine ya kumpa za

idi ya

hiyo aliyoipata.Naomba nikuweke wazi peniea kwamba

wewe unaishi ndani ya moyo wangu.Wewe ni sehemu

yangu.Nakupenda kuliko kitu chochote hapa duniani k

wa

hiyo yeyote atakayethubutu kukuumiza wewe atakuwa

ameniumiza na mimi pia.Siko tayari kukuona ukiumizw

a na

mtu yeyote Yule kwa hiyo alichokipata Elibariki ni

halali yake”

akasema Dr JOshua na kabla Peniela hajasema chochot

e

mlango ukagongwa,Peniela akaenda kuufungua na kukut

ana

na Kareem ambaye alikuja kumtaarifu Dr Joshua kuwa

wageni wake tayari wamewasili

“ Peniela nahitaji kwenda kuwapokea wageni

wangu.Nina mazungumzo nao ya muhimu sana na baada y

a

kumaliza mazungumzo yetu nitakuja kukesha nawe hadi

asubuhi.Tafadhali naomba usitoke humu chumbani ,sit

aki

wageni wangu wapate picha tofauti .Umenielewa Penie

la?

“ Nimekuelewa mfalme wangu.Neno lako ni amri

kwangu kwa hiyo ukimaliza maongezi yako naomba tafa

dhali

uje haraka sana ninakusubiri kwa hamu” akasema Peni

ela na

kumbusu Dr Joshua halafu akamrekebisha tai yake

“ Now you look perfect,you can go “ akasema Peniel

a

na Dr Joshua akatoka kwenda kukutana na wageni wake

“ Hallow Donald,karibuni sana “akasema Dr Joshua

na kuwakaribisha wageni wake

“ Ahsante sana mheshmiwa rais” akajibu Donald

“ Mheshimiwa rais ,kutana na Lucia mkozumi rais

mtarajiwa wa jamhuri ya muungano wa Tanzania.” Dona

ld

akaanza kufanya utambulisho .Dr Lucia akasimama na

kwenda kumpa mkono Dr Joshua kwa mara nyingine

“ Nafurahi sana kukutana nawe mheshimiwa rais”

akasema Dr Joshua kwa utani na wote wakaangua kiche

ko

“ Mheshimiwa rais naomba pia ukutane na Habib

Omar” akasema Donald.Habib akainuka na kwenda kumpa

mkono Dr Joshua.Kisha tambuana Dr Joshua akawaongoz

a

wageni wake katika chakula

***************

Club Chicago,mojaya kumbi kubwa ya burudani

ilifurika watu kila uchao kutokana na mchanganyiko

wa

burudani lukuki zinazopatikana ndani yake.Mathew al

iwasili

hapo klabuni na kuegesha gari akaenda katika sehemu

ya

kuuzia vinywaji akanunua chupa ya maji ya kunywa ki

sha

akatoka na kwendea kukaa nje sehemu ambayo aliweza

kuyaona magari yote yaliyoingia na kutoka pale klab

uni

“ Naomba Mungu atusaidie ili ndani ya hilo sanduku

kuwe na kirusi Aby.Vinginevyo tutakuwa tumemuingiz

a Anna

katika matatizo makubwa na baba yake” akawaza Math

ew

huku akiendelea kunywa maji akimsubiri Anna awasili

.Dakika

ishirini baadae toka Mathew alipofika pale klabuni,

Anna

akampigia simu

“ Hallow Anna” akasema Mathew

“ Mathew mimi nimefika hapa katika geti la kuingi

lia

klabu Chicago wewe uko wapi?

“ Mimi tayari nimefika hapa kitambo

ninakusubiri.Tayari nimeliona gari lako nenda moja

kwa moja

katika maegesho na usitoke ndani ya gari hadi nihak

ikishe

kuna usalama wa kutosha na kwamba hakuna mtu

anayekufuatilia.” Akasema Mathew Anna akafuata mael

ekeo

ya Mathew na alipohakikisha kuwa hakukuwa na hatari

yoyote wala mtu aliyekuwa anamfuatilia Anna Mathew

akamfuata na kugonga kioo cha dirisha,Anna akafungu

a

mlango na kushuka .

“ Thank you Mathew.I was so scared” akasema Anna.

“ Usiogope Anna you are in safe hands.Hakuna mtu

yeyote aliyekutilia shaka?

“ Sina hakika kama kuna mtu alikuwa na mashaka

nami kwani karibu walinzi wote wa ikulu wananifaham

u na

hata waliponiuliza nilikokuwa naelekea usiku huu

nikawaambia kuwa ninaelekea kwenye msiba wa shemeji

yangu Elibariki ninakwenda kulala huko.” akasema An

na

“ Good.Sanduku liko wapi? Akauliza Mathew .Anna

akafungua mlango wa nyuma wa gari na kulitoa sanduk

u

dogo akampatia Mathew akalitazama na kuhisi mwili w

ote

unamsisimka.Anna akashusha pia sanduku lake lingine

lililokuwa na nguo na baadhi ya vitu vyake vingine

vya

muhimu kama alivyokuwa ameelekezwa na Mathew

“ Kitu cha mwisho unachotajika kukifanya Anna ni

kuzima simu yako halafu toa kabisa laini na simu i

ache ndani

ya gari.Ni rahisi sana kukupata kama wakiifuatilia

simu yako”

akasema Mathew .Bila kupoteza muda Anna akaizima sm

u

yake ,akatoa laini na kuitupia simu katika gari aka

funga

mlango.Mathew akamtazama na kusema

“ Anna this is it.Tayari umeingia katika ulimwengu

mpya.Let us go” akasema Mathew na kulibeba begi la

Anna

lenye nguo na vitu vingine hadi katika gari lake ak

amfungulia

Anna mlango wakaondoka

“ Anna sijui nikwambiaje ila naomba ufahamu kuwa

wewe ni shujaa na siku moja historia itakukumbuka.W

hat

you’ve done today will save millions of people” aka

sema

Mathew

“ Mathew hiki kitu nilichokifanya si kitu rahisi l

akini

nimelazimika kufanya kutokana na hasira nilizonazo

kwa

baba yangu kwa mambo anayoyafanya.Kitendo cha kumuu

a

mama yangu mzazi pamoja na kusababisha kifo cha Fla

viana

vimenifanya nimchukie mno kuliko hata shetani.Baba

hana

roho ya ubinadamu hata kidogo.Tayari ushetani ume

kwisha

muingia na hana huruma na binadamu yeyote Yule.Lazi

ma

alipe uovu wake.Lazima akutane na mkono wa sheria .

Lakini

Mathew nina swali nataka kuuliza”

“ Uliza Anna usiogope” akasema Mathew

“ Ni vipi kama kilichomo ndani ya hili sanduku si

kirusi tunachokitafuta?

“Kama hakitakuwa chenyewe tutatafuta namna

nyingine ya kufanya lakini kutokana na mazingira ya

livyo nina

imani kubwa ndani ya sanduku hili kuna kirusi

tunachokitafuta.” Akasema Mathew

“ Mathew unanifurahisa sana kwa namna usivyokata

tamaa.You are always positive” akasema Anna huku

akitabasamu halafu tabasamu likapotea ghafla akasem

a

“ Mathew nataka kufahamu kuhusu Kigomba.Huyu ni

mshirika mkubwa wa baba na katika mambo yote maovu

anayoyafanya baba ,Kigomba naye ameshiriki,what are

you

going to do with him? When this is over are you goi

ng to let

him go?

“ Usiogope Anna,siwezi katu kumuacha Kigomba

aende hivi hivi.Mikono yake yote imejaa damu na kwa

sasa

baada ya mipango yao dhalimu kushindwa kufanikiwa

anatafuta sehemu ya kujiosha uovu wake.Nimemuhifadh

i

kwa muda tu ili atusaidie kukipata kirusi na baada

ya hapo

yeye ataungana na wenzake kujibu mashtaka dhihi

yao.Nakuhakikishia Anna,yeyote aliye na ushiriki wa

namna

yoyote ile katika mtandao wa Dr Joshua na wenzake

hatasalimika .I swear hakuna atakayebaki salama.Hat

a kama

na wewe unashirikiana naye lazima utakutana na mkon

o wa

sheria” akasema Mathew na kuingiza utani kidogo

uliomfanya Anna aangue kicheko

***************

Dr Joshua na wageni wake walimaliza kupata chakula

cha usiku ,wahudumu wakaruhusiwa kuingia ndani kuon

doa

vyombo kisha wakaondoka zao kwani hawakuwa wakihita

jika

tena.Baada ya wote wasiotakiwa mle ndani kutoka

wakiwamo walinzi wa rais Dr Joshua akaamuru asiruh

usiwe

mtu yeyote kuingia mle ndani hadi atakapomaliza ma

ongezi

na wageni wake

“ Sasa tunaweza kuanza maongezi yetu” akasema Dr

Joshua.Donald na Lucia wakatazama Donald akakohoa k

idogo

na kusema

“ Mheshimiwa rais nakushukuru kwa kutafuta tena

nafasi ya kuja kuonana nasi siku ya leo”

Wakati kikao kati ya Dr Joshua na wageni wake

kikiendelea tayari Peniela alikwisha toka chumbani

kwake na

alikuwa amejificha katika nguzo iliyokuwa na ua kub

wa

karibu kabisa na sebule na toka hapo aliweza kusiki

a kila

kilichoongelewa pale sebuleni.

“ Mheshimiwa rais ,tukirejea mazungumzo yetu ya

jana,nimewaleta kwako wahusika wakuu wawili wa ile

mipango tuliyoongea jana.Mimi sintakuwa msemaji san

a kwa

siku ya leo ili nikuachie nafasi ya kutosha kuweza

kuzungumza na mheshimiwa rais mtarajiwa pamoja na H

abib

mfanikishaji mkubwa wa mpango mzima” akasema Donald

.Dr Joshua akarekebisha koo na kusema

“ Nimefurahi kukutana nawe ana kwa ana

Lucia.Naamini Tanzania itakuwa na bahati sana kukup

ata rais

kama wewe” akanyamza kidogo kisha akaendelea

“ Jana nimeongea kwa kirefu sana na Donald kuhusu

mpango wote nikamuelewa na nikaukubali lakini nilit

aka pia

nikuone na nisikie kutoka kwako pia kuhusu mambo ka

dhaa

“akanyamaza tena kidogo halafu akaendelea.

“ Katika makubaliano uliyoyafanya na serikali ya

Marekani mmekubaliana kwamba baba yako Deus Mkozumi

auawe kwa kuwa aana mahusiano na Andrew Rodney

anayetafutwa sana na Marekani,unakubaliana na jambo

hilo

kwa moyo mmoja?

“ Dr Joshua najua utakuwa umestuka kidogo kwa

jambo hilo na hata mimi nilipoelezwa kwa mara ya kw

anza

niliomba nipewe muda wa kulitafakari na baada ya ta

fakari

ya kina na kupima faida na hasara zitakazopatikana

kutokana

na jambo hilo nikaona faida ni nyingi kuliko hasara

hivyo

nikaridhia hilo lifanyike.Kuna sababu kadhaa kubwa

zilizonifanya nikakubali kuhusu jambo hilo lakini k

ubwa ni

kudumisha mahusiano mazuri na Marekani.Tanzania ita

pata

faida nyingi sana iwapo nitafanikiwa kuwa rais kwan

i kama

alivyokueleza Donald jana Serikali ya Marekani imea

hidi

kuibadili Tanzania na kuwa moja kati ya taifa kubwa

linaloongoza kiuchumi na hata kijeshi barani Afrika

.Hii ni

neema ambayo watanzania hawapaswi kuikosa kwa hiyo

niko

tayari kwa masharti yote ambayo serikali ya Marekan

i

imeyatoa iIi inchi yetu iweze kupiga hatua kubwa

kimaendeleo.Dr Joshua nakuhakikishia kwamba nafasi

hii ya

urais ninaiweza na nitaifanya kwa nguvu zangu zote

na nchi

hii itapiga hatua kubwa ndani ya kipindi kifupi” ak

asema Dr

Lucia

“ I can see a devil in her eyes.She’s one of us,a

monster” akawaza Dr Joshua huku akimtazama Lucia kw

a

makini halafu akasema

“ Nashawishika kukubaliana nawe kuwa unaweza

kuongoza nchi kwani kiti cha urais kinahitaji mtu j

asiri

asiyesita wala kuogopa kufanya maamuzi magumu na we

we

Lucia umedhihirisha kuwa unao uwezo wa kufanya maam

uzi

magumu kwa mahufaa ya nchi.Sina wasi wasi kabisa n

awe

katika hilo” akasema Dr Joshua na kumgeukia Habib O

mar

“ Habib Omar” akaita Dr Joshua

“ Naam meshimiwa rais” akaitika Habib

“ Ni mara yangu ya kwanza kuonana nawe na Donald

aliponieleza kuhusu mashirikiano ya serikali ya Mar

ekani na

ninyi Alqaeda nilistuka sana.Hebu nieleze namna

mlivyopanga kuutekeleza mpango wenu hapa nchini?

“ Mheshimiwa rais aliyokueleza Donald ni ya kweli

.Serikali ya Marekani imeingia makubaliano na sisi

ya kufanya

kazi pamoja.Hii si mara ya kwanza kwa Alqaeda kufan

ya kazi

na Marekani japokuwa katika jicho la kawaida sisi n

i maadui

wakubwa.Tayari tumekwisha shirikiana katika matukio

kadhaa makubwa ambayo sitaki kuyataja hapa.Kwa hiyo

si

kitu cha kushangaa kabisa” akasema Habib.

“ Tukirejea katika makubaliano yetu ni kwamba

serikali ya Marekani wanataka kumuua Andrew Rodney

ambaye amekuwa akitoa siri za serikali ya Marekani

kwa

mataifa mahasimu zake na kwa kuwa wanataka kumuua b

ila

kujulikana kuwa ni wao walio nyuma ya mauaji hayo

wanataka kututumia sisi kuutekeleza mpango huo na

kumuua Andrew.Ili tuutekeleze mpango wao na sisi ku

na

mambo tunayahitaji pia na kama alivyokueleza Donald

ni

kwamba tunaye kiongozi wetu wa ngazi za juu anashil

iwa na



Sura ya Lucia ikabadilika ghafla .Ni wazi alistush

wa

mno na kile alichokisema Dr Joshua.Kwa kama dakika

mbili

wote walibaki kimya kila mmoja akiwaza lake.

“ Kwa hiyo unahitaji nini mheshimiwa rais kuhusian

a

na huyo Rosemary? Akauliza Donald

“ Ninahitaji Rosemary naye awepo litakapofanyika

shambulio pale Dar city shopping mall na auawe pia.

“ Hapana Dr Joshua siwezi kufanya hivyo.Tayari

nimekwisha weka sahihi ya kumwaga damu ya baba yang

u

mzazi siwezi tena kumwaga na damu ya mama.” Akasema

Lucia kwa ukali

“ Lucia ili haya yote tuliyoongea yawezekane lazim

a

hilo lifanyike.Kama hautaliwezesha jambo hilo lifan

ikiwe

sahau kabisa kuwa rais wa Tanzania kwani mama yako

naye

ana ndoto za kuwa rais na tayari mimi na yeye tuna

makubaliano kuwa nimsaidie ili awe rais “ akasema D

r Joshua

kwa ukali.Kulitokea mabishano makali mle ndani kati

ya Dr

Joshua na Lucia hali iliyomlazimu Donald kuingilia

kati na

kuwatuliza.Ukaibuka tena mjadala mkali kuhusu suala

lile

aliloiibua Dr Joshua.Baada ya majadiliano ya kina L

ucia

akakubali kufanya kama alivyotaka Dr Joshua

“ Hapo sasa tunakwenda sawa.Ninachotaka

kufahamu ni lini mambo haya yatafanyika? Akauliza D

r

Joshua

“ Kesho jioni”

“ Kesho jioni? Mbona mapema sana? Akashangaa Dr

Joshua

“ Mimi nilidhani labda haya ni mambo ya wiki au

miezi kadhaa ijayo”

“ Mheshmiw arias hivi tunavyoongea Andrew Rodney

yuko Dubai na kesho ataanza safari ya kuja Tanzania

.Ndege

atakayopanda itandoka Dubai saa tano asubuhi na kuf

ika Dar

es salaam saa kumi na moja kasoro joni.Binti mfalme

Salhat

yeye yuko Afrika ya kusini na tayari Lucia amekwish

a

wasiliana naye kesho saa nane za mchana atawasili .

Baada ya

mapumziko mafupi Lucia akiwa ameambatana na wazazi

wake watampeleka Salhat Dar city shopping mall amba

ko

litafanyika shambulio na kila kitu kitaanzia hapo.K

wa hiyo

mheshimiwa rais mipango yote tayari imepangwa kufan

ikisha

suala hili na kilichobaki ni utekelezaji tu” Akasem

a Donald.Dr

Joshua akainama akafikiri kwa muda kidogo na

kuwahakikshia akina Donald kwamba mambo yote

yatakwenda vizuri kama walivyokubaliana.

Baada ya majadiliano mengine ya kama nusu saa hivi

kikao kikafikia tamati.Wakainuka na kupeana mikono

wakipongezana kwa hatua ile kubwa waliyoifikia na

kutakiana kila la heri kwa siku ngumu ya kesho yake

.Dr

Joshua akawasindikiza wageni wake wakaondoka.

Peniela aliyekuwa amejificha katika ua kubwa nyuma

ya nguzo akainuka taratibu baada ya Dr Joshuana wag

eni

wake kutoka akanyata akaelekea chumbani kwake.Nguo

nyepesi alizokuwa amevaa zilikuwa zimeloa jasho mit

hili ya

mtu aliyenyeshewa na manyunyu ya mvua.Alipoingia

chumbani haraka haraka akavua nguo zile zilizoloa

akaingia

bafuni kujimwagia maji

“ Kitu nilichokisikia pale sebuleni ni cha kweli a

ma

niko ndotoni? Akajiuliza Peniela wakati akijimwagia

maji.

“ Hapana ile si ndoto .Akili yanmgu haijawahi

kunidanganya hata mara moja.Nilichokikia ni kitu ch

a kweli

kabisa .Haya ni mambo makuwa ambayo Dr Joshua na

wenzake wanapanga kuyafanya.Nafahamu Dr Joshau ni m

tu

katili ila sikutegemea kabisa kama anaweza akafikia

ukatili wa

kiwango hiki yaani anaongelea kuutoa uhai wa binada

mu

wenzake bila hata ya kupepesa macho.Sikuwahi kudhan

i mtu

kama rais wa nchi ambaye aliapa kuwalinda raia wa n

chi yake

anaweza akaruhusu shambulio la kigaidi lifanyike nd

ani ya

nchi yake na kumwaga damu ya watu wasio na hatia.Th

ey

want to assassinate Deus Mozumi halafu kibaya zaidi

mtoto

wa Deus mwenyewe ndiye kinara wa kupanga mipango ya

kumuua baba yake kwa ajili ya tamaa ya urais.Lazima

nimfahamishe Mathew haraka sana kuhusu jambo hili.L

azima

tufanye kila tuwezalo kuuvuruga mpango huu.” Akawaz

a

Peniela akatoka bafuni na mara mlango ukafunguliwa

akaingia Dr Joshua ambaye alisisimkwa mwili kumkut

a

Peniela akiwa mtupu ametoka kuoga

“ Oh my Darling ! “ akasema Peniela na kumkumbatia

Dr Joshu akampiga mabusu mfululizo

“ Nisamehe malaika wangu nimekuacha peke yako

kwa muda mrefu.Kikao kimekuwa kirefu tofauti na

nilivyotegemea.”

“ Usijali mfalme wangu.Ni mambo ya kazi.Wewe ni

rais wa nchi nafahamu majukumu mazito

uliyonayo.Tuachane na hayo Dr Joshua naomba unipe

ninachohitaji,nimekusubiri kwa muda mrefu” akasema

Peniela

“ Peniela I’m sorry my queen kwa leo haitawezekana

tena,kuna masuala ya muhimu sana ambayo natakiwa

kuyashughulikia” akasema Dr Joshua

“ Dr Joshua nafahamu majukumu uliyonayo lakini na

mimi pia ninayo nafasi yangu kwako.Naomba japo kwa

dakika kumi tu” akasema Peniela na kumsukumia Dr Jo

shua

kitandani akaanza kumtoa nguo moja moja na baada ya

dakika chache wakaingia mchezoni

*****************

Anitha hakuthubutu hata kufumba ukope wa

jicho.Alikuwa amekaa sebuleni akiwa na bastora

mkononi.Aliogopa yasije yakamtokea kama yaliyomtoke

a

usiku alipobaki peke yake na jaji Elibariki.Kengele

ya getini

ikalia na kwa haraka akaenda kuangalia katika lunin

ga ni nani

aliyeko getini akamuona Mathew.Haraka haraka akatok

ana

kwenda kufungua geti.Baada ya kuingiza gari ndani M

athew

akafungua mlango akashuka halafu akazunguka katika

mlango wa pili akaufungua akashuka Anna.Anitha na A

nna

wakasalimiana halafu wakaelekea ndani

“ Kigomba yuko wapi? Akauliza Mathew

“ Toka ulipoondoka hajatoka chumbani kwake”

akasema Anitha.Mathew akaenda katika mlango wa chum

ba

cha Dr Kigomba akagonga mlango Kigomba akaufungua

“ Mathewe you are back ! akasema Kigomba

“ yes I’m back “akajibu Mathew na kumtaka Kigomba

amfuate ofisini .Dr Kigomba na Anna wakasalimiana.

“ Jamani nimewaiteni hapa tupeane taarifa za

maendeleo ya mipango yetu.Kwa ufupi tu ni kwamba An

na

amefanikiwa kulipata sanduku ambalo ninaamini ndani

yake

kunaweza kuwa na kirusi Aby” akasema Mathew na

kulichukua sanduku lile akampatia Anitha akalishika

akatabasamu akampatia Kigomba naye alishike

“ Damn you Dr Joshua !! You are finished !! akasem

a

Dr Kigomba kwa sauti ndogo na kulirejesha sanduku l

ike kwa

Mathew

“ Kinachofuata sasa ni kulifungua ili tuone kuna n

ini

ndani.Kama kweli kilichomo humu ndani kitakuwa ni k

irusi

Aby basi sehemu moja ya operesheni yetu itakuwa ime

timia

na halafu tutaingia katika sehemu ya pili” akasema

Mathew

na kumtaka Anitha aende chumbani kwake akalete kisa

nduku

kidogo chenye vifaa vidogo vidogo kwa ajili ya kufu

ngulia

sanduku lile lenye kirusi.Anitha akaenda haraka na

kurejea na

kisanduku alichoagizwa

“ Mathew let me do it.Let me open it” akasema

Anitha .Mathew akamtazama kwa sekunde kadhaa na

kumpa lile sanduku

“ Thank you” akasema Anitha na kuliweka

mezani,Mathew akawataka Kigomba na Anna kutoka pale

sebuleni kwa ajili ya usalama wao,akampeleka Anna k

atika

chumba alichoandaliwa na Kigomba akaeleka chumbani

kwake.Ilimchukua Anitha zaidi ya saa moja kulifungu

a

sanduku lile kwani llihitajika kufunguliwa kwa unag

alifu

mkubwa sana .Mara tu alipofanikiwa kulifungua akamr

ukia

Mathew wakakumbatiana kwa nguvu.

“Anitha youa are a devil !! Hakuna kitu

kinachokushinda hapa duniani” Mathew akasema kwa fu

aha

akimpongeza Anitha kwa namna alivyofanikiwa kulifun

gua

sanduku lile lililokuwa limefungwa kwa namba za sir

i.Baada

ya kupongezana Mathew akalisogelea lile sanduku na

kulifungua ,ndani yake kulikuwa na kitu mfano wa ch

upa

ndogo ya kioo ambayo ndani yake kulionekana kuwa na

kitu

chenye kimiminika chenye rangi ya kijani.Nje ya chu

pa ile

kulikuwa na maandishi makubwa yaliyosomeka Aby.

“ Anitha this is what we’ve been looking for.This

is

the Virus.Nina hakika kabisa kwamba hiki ndicho kir

usi

chenyewe” akasema Mathew halafu wakakumbatiana tena

kwa furaha

“ We’ve saved the world “ akasema Anitha .Mathew

akamtuma akawaite Anna na Kigomba

“ Anna unapaswa kushukuriwa sana na dunia nzima

kwa jambo ulilolifanya” akasema Mathew baada ya Ann

a

kutokea.Uso wa Anna ukapambwa na tabasamu zito

“ Tumefanikiwa kulifungua sanduku na hiki ndicho

tulichokikuta” akasema Mathew na kulifungua lile sa

nduku

“ This is the virus..” akasema Mathew na

kumuonyesha Ana kirusi kile ndani ya sanduku.Kwa fu

raha

aliyoipata Anna akamkumbatia Mathew kwa nguvu

Baada ya watu wote kushuhudia kilichokuwamo

ndani ya lile sanduku Mathew akalichukua na kwenda

kuliweka chumbani kwake halafu akarejea ofisini

“ Kabla ya kuendelea naomba tutume dakika mbili

kila mmoja kimya kimya amshukuru Mungu wetu kwa

kutuwezesha kukipata kirusi hiki .Binafsi sikutegem

ea kama

tungeweza kukipta kirusi hiki kwa njia hi.Tayari mi

mi na

Anitha tulikwisha kata shauri la kuingia ikulu usik

u wa leo

kwenda kukichukua kirusi hiki na katika operesheni

hiyo

chochote kingeweza kutokea lakini tulikuwa tayari k

wa

lolote.Katika maombi yetu haya pia tuwakumbuke pia

wenzetu waliopoteza maisha yao kwa namna moja ama

nyingine kwa sababu ya kirusi hiki.Yupo Dr Flora

,Flaviana,Noah ambaye aliyemuokoa jaji Elibariki k

atika

shambulio lililolenga kumuua na vile vile tusisaha

u

kumuombea pia hata jaji Elbariki.” Akasema Mathew n

a wote

wakafumba macho kwa dakika mbili kila mmoja akiomba

“ Amen” akasema Mathew na watu wote

wakafumbua macho yao

“ Dah ! Mathew yaani bado siamini macho yangu

kama kweli tumefanikiwa kukipata kirusi Aby.Sipati

picha nini

kitatokea pindi Dr Joshua atakaporejea na kugundua

kirusi

hakipo.Naamini atatamani apae apotee kabisa katika

hii

dunia.hahahahaaa” Dr Kigomba akaangua kicheko kikub

wa.

“ Nahisi anaweza akaanguka na kufariki hapo hapo

atakapogundua kirusi hakipo..hahahaa” Dr Kigomba a

kazidi

kucheka

“ Msinione nacheka ndugu zangu ni kutokana na

picha ninayoipata baada ya Dr Joshua kukuta kirusi

hakipo.Sifahamu nini ataamua kufanya atakapogundua

ni

Anna ndiye aliyekichukua kirusi hicho_Ok tuachane n

a hayo

,Mathew tueleze nini kinafuata baada ya kukipata ki

rusi Aby?

Akauliza Dr Kigomba.Mathew akamkazia macho kwa seku

nde

kadhaa na kusema

“ Kuna mambo mawili makubwa ambayo nataka

niyaweke wazi kwenu.Kwanza ni kuhusu Anna.Huyu ndiy

e

shujaa wetu .Amehataraisha maisha yake na kukichuku

a

kirusi Aby.Kwa hili alilolifanya la kuingia ndani y

a chumba cha

baba yake na kuiba sanduku lenye kirusi Aby ni kite

ndo cha

hatari kubwa sana.Ameingia katika mgogoro mkubwa sa

na

na baba yake na kama nyote mavyomfahamu Dr Joshua n

i

mtu mwenye roho ya kikatili sana kwa hiyo tunapaswa

kumlinda sana Anna kwa nguvu zetu zote “ akasema Ma

thew

na kumgeukia Anna

“ Anna binafsi pamoja na wenzangu ninakuhakikishia

kwamba tutakulinda na utakuwa salama.Huna haja ya k

uhofu

chochote”

“ nashukuru sana Mathew kwa maneno hayo ya

faraja.Ahsanteni sana kwa kujitolea kunilinda.Nawaa

hidi

nitashirikiana nanyi katika kila jambo hadi tuhakik

ishe suala

hili tunalifikisha mwisho.Endapo mtahitaji msaada w

angu

wakati wowote mimi niko tayari kusaidia hata kama n

i suala

la hatari kiasi gani” akasema Anna

“ Ahsante Anna.Jambo la pili ni kwamba

tumehitimisha awamu ya kwanza ya operesheni yetu am

bayo

Thanks Reactions:Bilionea Asigwa





“ Mathew please ,don’t let him go.Usifanye

makubaliano yoyote na Yule shetani.Amehusika katika

kuwaua mama yangu na dada yangu,he must pay for wha

t he

did.Can you promise me that Mathew? Akauliza Anna h

uku

akilengwa na machozi

“ Dr Kigomba anaonekana kweli anaweza akawa na

msaada mkuwa katika kuufahamu vyema mtandao wote wa

Dr Joshua pamoja na mambo yote wanayoyafanya.Kuna

mambo ambayo natakiwa kuyafahamu yanayomuhusu Dr

Joshua na mtandao wake lakini Kigomba hawezi kuniel

eza

kama sintamtimizia kile anachokitaka yaani kumsaidi

a yeye

na familia yake kutoroka nje ya nchi.Kwa upande wa

pili Dr

Kigomba amehusika katka matukio ya vifo vya Dr Flor

a na

Flaviana na endapo nitamsaidia kutoroka nitamuumiza

sana

Anna ambaye amefanya jambo kubwa sana akiwa na

mategemeo kwamba wale wote waliohsika katika kusaai

sha

vifo vya wapndwa wake wanafikishwa mbele ya

sheria.Hapana siwezi kumuachia Kigomba lazima alipe

uovu

wake” akawaza Mathew huku akiendelea umtazama Anna

na

kusema

“ I promise”

“ Thank you Mathew.That means a lot to me”

akasema Anna

“ Ok ladies,nadhani sasa ni muda wa kwenda

kupumzika.Imekuwa ni siku ndefu lakini iliyomalizik

a kwa

mafanikio makubwa.Anna narudia tena kukuhakikishia

kwamba usiwe na wasi wasi wowote hapa uko katika mi

kono

salama.I will protect you” akasema Mathew

“ Kutakapopambazuka tutaingia katika ukurasa mpya

kwani hatujui nini kitafuata baada ya Dr Joshua kug

undua

kuwa kirusi kimeibwa,ila nawaomba msiwe na wasi was

i,you

are all well protected.” Akasema Mathew na kumsindi

kiza

Anna hadi chumbani kwake wakaagana .Mathew akaeleke

a

chumbani kwake na kwa mara nyingine tena akalifungu

a lile

sanduku lenye kirusi Aby

“ Ni kwa maongozi ya Mungu tumefanikiwa kukipata

kirusi hiki.Sikutegemea kabisa kama tungeweza kukip

ata

kirahisi namna hii bila ya kutumia nguvu kubwa.Mung

u bado

ana makusudi yake kwetu na ametuwezesha kukipata k

itu

hiki hatari.Mahala nitakapokiweka kirusi hiki itaba

ki siri

yangu.Nchi itakuwa salama na dunia itabaki salama”

akawaza

Mathew na kulifunga lile sanduku akalihifadh tena k

atika

kasiki

“ Kinachofuata sasa ni kuhakikisha naufagia mtanda

o

wote wa Dr Joshua.Dr Kigomba angeweza kuwa na msaad

a

mkubwa endapo ningekubali ombi lake la kumsaidia ye

ye na

familia yake kutoroka lakini tayari nimekwisha mua

hidi Anna

kwamba sintamuachia Kigomba.I’ll have to find a way

to

make Kigomba talk.Ana mambo mengi ambayo nataka

kuyafahamu” akawaza Mathew na kumkumbuka Peniela

“ usiku wa leo ni wa mwisho kwa Peniela kuonana na

Dr Joshua kwani tulichokuwa tunakitafuta tayari tum

ekipata

kwa hiyo hakuna haja tena ya kuendelea kuyaweka mai

sha

yake hatarini kwa kuwa karibu na Dr Joshua” akawaza

****************

Mlio uliotoka katika saa ya mkononi aliyokuwa

ameivaa Dr Joshua ulimstua toka usingizini.Tayari i

likwisha

timu saa kumi na moja za alfajiri na huo ndio muda

ambao

huamka na kufanya mazoezi mepesi ya viungo

“ Oh my gosh !! Kumbe tayari alfajiri.Sikutegemea

kama ningefika mpaka mida hii.Huyu mwanamke sijui a

na

uchawi gani anaoutumia kunichanganya akili yagu” ak

awaza

Dr Joshua na kumuamsha Peniela aliyekuwa katika usi

ngizi

mzito

“ Peniela ni alfajiri sasa ,natakiwa kuondoka.Siku

wa

nimepanga kukaa hapa hadi mida hii”akasema Dr Joshu

a.

“Dr Joshua bado usiku,stay with me a

little

longer”akasema Peniela.

“Hapana Peniela,kuna mambo ya muhimu

sana

ambayo natakiwa kuyashughulikia” akasema Dr Joshua

huku

akivaa nguo zake haraka haraka halafu akambusu Peni

ela

“ Ubaki salama malaika wangu,kama nikipata nafasi

nitaonana nawe tena jioni ya leo japokuwa sina haki

ka kama

nitakuwa na nafasi ila nitajitahidi” akasema Dr Jos

hua na

kuondoka.

Peniela alihakikisha Dr Joshua ameondoka kabisa

akaiwasha simu aliyokuwa ameificha ili Dr Josha asi

ione

akampigia Mathew

“ hallow Peniela” akasema Mathew

“ Goodmorning Mathew”

“ Good morning Peniela.How’re you doing? Is

everything ok there? Akauliza Mathew kwa wasi wasi.

“ Usihofu Mathew niko salama.Vipi huko wote mko

salama?

“ Tuko salama Peniela”

“ Good.Mathew nimekupigia simu kukutaarifu kuwa

ninajiandaa kuondoka hapa kwa hiyo kabla ya jua kuc

homoza

nitakuwa nimefika hapo”

“ sawa Peniela,naweza kukufuata ili kuhakiisha

unakuwa salama?

“ No need.I’ll be safe” akasema Peniela

“ Ok Peniela.Tunakusubiri hapa” akasema Mathew

na kukata simu

Peniela akavaa haraka haraka na kumuaga Kareem

akaingia garini na kuondoka

“ Macho ya dunia leo yataelekezwa Tanzania

kutokana na matukio makubwa yaliyopangwa kufanyika

siku

ya leo.Lazima kwa namna yoyote ile tutafute namna y

a

kuweza kuzuia mipango yote iliyopangwa na Dr Joshua

na

wenzakle.Damu nyingi inakwenda kumwagika leo endapo

tutashindwa kuizuia mipango hiyo.Ee Mungu tusaidiae

tuwze

kuiepusha nchi na janga kubwa linalokwenda kutokea

kwa

sababu ya watu wachache wenye tamaa ya mali na

madaraka” akawaza Peniela akiwa njiani kuelekea kat

ika

makazi yao ya muda.

**************

Kitu ha kwanza alichokifanya Dr Joshua baada ya

kuwasili katika makazi yake ikulu ni kumpigia simu

Abel

Mkokasule na kumtaka afike haraka sana asubuhi ile

pale

ikulu.Kisha ongea na Abel akaingia bafuni akaoga ha

raka

haraka na kujiandaa kwa ajili ya kuianza siku

“ It’s going to be a very long day” akawaza wakati

akiendelea kujiandaa

“ Kuna wakati mwili unanisisimka nikifikiria

kinachokwena kutokea leo lakini nikifikiria manufaa

nitakayoyapata mimi binafsi na nchi kwa ujumla nap

ata

faraja kidogo.Acha tu mambo yote tuliyokubaliana ya

tokee

leo naamini nchi Itarejea katika hali yake ya kawai

da baada

ya muda mfupi.Kulitokea shambulio la kigaidi katika

nchi ya

Kenya lakini mambo yametulia na maisha yanaendelea

kama

kawaida.Nina hakika kabisa utafika wakati ambao wat

anzania

pia watasahau kilichotokea na maisha yatarejea kati

ka hali ya

kawaida.” Akawaza Dr Joshua na kwenda kukaa kitand

ani

“ Endapo mambo yote yakienda kama

tulivyokubaliana naamini nitakuwa mmoja wa mabilion

ea

wakubwa duniani.Ni kwa bahati mbaya sana ninapata u

tajiri

mkubwa katika umri huu lakini hakuna ubaya kwani uz

ee

wangu utakuwa mzuri sana.Nikijumlisha zile fedha za

mauzo

ya kirusi na hizi watakazonipa wamarekani nitakuwa

na

utajiri mkubwa mno” akaendelea kuwaza Dr Joshua hal

afu

ghafla akakumbuka kitu.

“ Kuna huyu mtu ambaye bado ananiumiza kichwa

changu sana ambaye ni Dr Kigomba.Huyu anafahamu

mambo yangu mengi ya siri na mengi nimeshirikiana n

aye

kwa hiyo ni mtu hatari sana kwangu kwa sasa .Kwa hi

yo

lazima apatikane kwa gharama zozote zile. Ninaamini

Abel na

vijana wake wanafanya kazi kubwa ya kumtafuta na si

na

shaka watampata tu ndani ya muda mfupi .Lazima yuko

ndani ya jiji hili la Dar amejificha sehemu Fulani,

lazima

apatikane mahali aliko .Naamini huko aliko hivi sas

a atakuwa

anajipanga kupambana na mimi lakini hawezi kunizuia

chochote.Asubuhi ya leo Hussein atakabidhiwa mzigo w

ake

na ataondoka zake kwa hiyo Kigomba na wengine wote

ambao walikuwa na mipango ya kukipata kirusi wataan

gukia

pua” akawaza Dr Joshua huku akitabasamu kwa mbali.

Na

kutoa kicheko cha chini chini.

Akiwa bado katika mawazo mlango ukagongwa

akaufungua na kukutana na mlinzi wake ambaye

alifahamisha kwamba Abel Mkokasule tayari amekwisha

wasili

“ Huyu kijana anastahili kupewa cheo kikubwa

.Anajituma sana na kila kazi ninayompa anaifanya kw

a

umahiri.Hata dakika arobaini hazijapita toka nilipo

muita

,tayari amewasili.NItamuwezesha sana huyu kijana .L

azima

naye aingie katika orodha ya mabilionea ikiwezekana

hata

kazi hii aachane nayo na afaidi matunda ya utiifu w

ake”

akawaza Dr Joshua na kutoka akaelekea sebuleni alik

o Abel

mkokasule wakasalimiana na bila kupoteza muda Dr Jo

shua

akasema

“ Abel nimekuita asubuhi namna hii kutokana na kaz

i

ambazo nataka uzifanye kwa siku ya leo.Naomba usich

oke

kijana wangu kwani muda si mrefu sana utayaona matu

nda

ya kazi hizi unazozifanya” akasema Dr Joshua

“ kazi ya kwanza kuna mzigo nataka uupeleke

sehemu Fulani nitakapokuelekeza na umpatie Yule mtu

ambaye nitakuelekeza.Mzigo huo usimpe mtu mwingine

yeyote aushike zaidi yako wewe mwenyewe na huyo

ambaye nitakuelekeza umpatie.Mzigo huo ni wa thaman

i

kubwa mno and above all its’ vey very dangerous ndi

yo

maana unaniona nakuwekea msisitizo mkubwa .Tafadhal

i

kuwa makini mno.

“ Usihofu mzee nitakuwa makini sana na kila kitu

kitakwenda kama ulivyoelekeza” akasema Abel

“ Good.By the way mmefikia wapi katika kumtafuta

Kigomba?

“ Mpaka sasa bado hatujafanikiwa kujua mahala alik

o

ila nakuhakikishia kuwa mpaka jioni ya leo tutakuwa

tumefahamu mahali aliko”

“ Nafurahi kusikia hivyo.Nakuamini sana

Abel,hujawahi kuniangusha.Tafadhali fanya kila lili

lo ndani ya

uwezo wako kuhakikisha Kigomba anapatikana.Endapo

utahitaji kitu cochote usisite kunieleza .Halafu na

taka ukipata

nafasi fungua akaunti ya siri ya benki nje ya

nchi,nitakuelekeza namna ya kufanya hivyo na utaing

iziwa

pesa.Ninapozungumzia fedha simaanishi hivi vijisent

i senti

unavyolipwa mshahara bali hela ambayo haitakulazimu

wewe kuendelea kuifanya kazi hii tena.Nadhani

umenielewa.Kwa hiyo jitahidi kufanya kazi kadiri

ninavyokuelekeza na matunda yake utayaona”

“Ahsante sana mzee.Nakuahidi sintakuangusha

mheshimiwa rais” akasema Abel

“ Good.sasa naomba unisubiri hapa ili nikuletee

mzigo uupeleke nitakapokuelekeza” akasema Dr Joshua

na

kuelekea chumbani kwake akafungua kabati alimoweka

sanduku lililokuwa na kirusi Aby na kupatwa na mstu

ko

mkubwa kwani sanduku lile halikuwemo.Akafungua upan

de

wa pili wa kabati lakini namo halikuwemo.Akahisi ki

jasho

kinaanza kumtoka.Akaenda katika kabati lingine akal

ifungua

haraka haraka lakini namo halikuwemo.Akasimama na

kujishika kiuno.Tayari shati lake lilianza kuloa ja

sho.

“ Hata siku moja akili yangu haijawahi kunidangany

a

.Nakumbuka kabisa mahala nilikoliweka lile sanduku”

akawa

na kwenda tena katika lile kabati alimoweka sanduku

lile

lenye kirusi akaanza kupangua kila kitu na kutupa

chini

,kabati likabaki tupi lakini hakukuwa na sanduku le

nye

kirusi.Dr Joshua akahisi kuchanganyikiwa.Akavua kot

i na

kulitupa.Shati la bluu alilokuwa amelivaa lililoa j

asho kama

vile mtu aliyemwagiwa ndoo ya maji.

“ Where is the virus? Akajiuliza akiwa amesima

amejishika kiuno.

“ Jana usiku nililiacha sanduku lenye kirusi humu

ndani ,limekwenda wapi? Au nimesahau sikuliweka hum

u?

Akajiulzia

“ Hapana niliweka humu.The virus was here.Some

one must took it “ akawaza

“ oh Nooo!! No !! No!! ...Noooo !! akapiga ukelele

mkubwa na kwa hasira akaibinua meza akamwaga kila

kilichokuwa juu yake hali iliyowastua walinzi wake

wakaingia

kwa haraka mle chumbani.Hali aliyoikuta mle chumban

i na



maelekezo ya kutomzuia kuingia chumbani kwako kama

kuna

kitu anakitafuta sasa tungewezaje kumzuia ? Alisema

kuna

vitu vya mama yake anakwenda kuvichukua hivyo

tukamruhusu kuingia akachukua alichokitaka.”

“ Oh my God !! alipotoka humu ndani alikuwa

amebeba vitu gani?

“ Alikuwa na masanduku mawili moja kubwa

alilokuwa analikokota na lingine dogo la rangi ya

kama ya

fedha”

Dr Joshua akatoka mbio akawataka walinzi wake nao

wamfuate.Huku akihema kwa nguvu alifika katika mlan

go wa

chubba cha Anna akakinyonga kitasa lakini mlango ul

ikuwa

umefungwa na hakukuwa na dalili zozote za kuwepo kw

a

mtu mle ndani.

“ Vunja mango!! Akaamuru na mmoja wa walinzi

akaurukia teke mlango ukafunguka wakaingia

ndani.Chumba kilikuwa kitupu Anna hakuwemo.Dr Joshu

a

akaanza kupekua kwa fujo kila sahemu na kutupa tupa

vitu

hovyo lakini hakuliona sanduku lenye kirusi.

“ Ametoweka !!! akasema kwa hasira Dr Joshua

akiwa amesimama amejishika kiuno .

“ Siamini eti Anna anaweza akakiiba

kirusi.Yawezekana labda alidhani ni mojawapo ya vit

u vya

mama yake na ndiyo maana akalichkua? Lazima apatika

e

haraka sana.Nahisi atakuwa amekwenda katika nyumba

niliyomjengea kule minazi saba.Ngoja nimfuate huko

huko.Leo nitamsaka kila kona ya jiji mpaka apatikan

e.”

Akawaza Dr Joshua na kuwaamuru walinzi wake waondok

e

waelekee katika nyumba ya Anna eneo la minazi

saba.Alimtaka pia Abel aongozane naye .

Msafara wa rais ulikwenda kwa kasi kubwa na ndani

ya dakika thalathini waliwasili katika nyumba ya An

na

ambayo alijengewa na baba yake.Ilikuwa ni nyumba ku

bwa

ya ghorofa mbili.Geti lilikuwa limefungwa kwa nje n

a

makufuli manne makubwa hali iliyoashiria kwamba

hakukuwa na mtu ndani ya ile nyumba.Dr Joshua akaam

uru

mmoja wa walinzi apande ukuta na aingie ndani akaha

kikishe

kama kweli Anna hayupo.Haraka haraka walinzi watatu

wakapanda ukuta na kuingia ndani na baada ya muda

wakarejea na jibu ambalo liliidi kumchanganya Dr

Joshua,hakukuwa na mtu yeyote ndani ya ile

nyumba.Akajipapasa mfukioni kutafuta simu yake laki

ni

hakuwa nayo akachukua simu ya mmoja wa walinzi wake

akapiga namba za Anna lakini simu ya Anna haikuwa

ikipatikana.Akaamuru warejee ikulu

“ Ni mambo gani haya yananitokea? Nashindwa

kuelewa kwa nini Anna aamue kuchukua lile sanduku ?

Au

yawezekana alihisi kuna fedha ndani yake? Lakini ha

pana

Anna hana tabia hiyo . Kwa nini basi kama alikuwa a

nashida

na fedha asiniambie kuliko kuchukua kitu

asichokifahamu?halafu sanduku lile linafunguliwa kw

a namba

na kwa kuwa hazifahamu namba hizo nina hakika atala

zimika

kulivunja ili kujua kilichomo ndani akifanya hivyo

nina hakika

ataipasua chupa ile yenye kirusi .Nimempoteza mke w

angu

,mtoto na marafiki sasa mwanangu wa pekee aliyebaki

naye

yuko katika hatari ya kuwa mtu wa kwanza kuangamiz

wa na

kirusi Aby.Nitakuwa na furaha gani katika maisha bi

la ya watu

ninaowapenda? Utajiri nilioupata nitautumia na nani

? Juhudi

zote za kupigania utajiri zimekuwa kazi bure,hakuna

tena

furaha bali majonzi tu.Kila kukicha roho za watu zi

napotea

kwa sababu ya kirusi hiki.Nilitegemea leo hii niufu

nge

ukurasa wa kuhusiana nacho lakini badala yake nimeu

fungua

ukurasa mpya.Anna lazima apatikane haraka sana” aka

waza

Dr Joshua huku akitiririkwa na jasho jingi hali ili

yowapa wasi

wasi walinzi wake.

“ Oh Anna !! Anna !! how could she do this to me?

Akajiuliza Dr Joshua

Walirejea ikulu na kwa haraka Dr Joshua akamuita

Abel Mkokasule katika chumba cha maongezi ya faragh

a

“ Abel “ akasema Dr Joshua na kushindwa kuendelea

akainama chini

“ Mzee kuna tatizo gani? Akauliza Abel

‘ Abel..nashindwa hata nianzie wapi”

“ Niambe mzee kuna tatizo gani? Nini kimetokea?

Nimeona mabadiliko ya ghafla.Niambie mzee kuna tati

zo

gani?

“ Abel kuna jambo zito mno limetokea na sijui

nianzaje kukwambia lakini ni wewe pekee kwa sasa am

baye

naamini unaweza kulitatua suala hilokwa haraka”

“ Niambie mzee ni jambo gani hilo? Nakuahidi

kulishughulikia kwa haraka sana”

“ Dr Joshua akainama akafikiri na kusema

“ Mzigo niliotaka kukutuma uupeleke sehemu Fulani

umetoweka katika mazingira tatanishi sana.Jana usik

u

nilikuwa na kikao na wageni katika nyumba yangu kul

e

ufukweni,Anna mtoto wangu akaingia chumbani kwangu

na

kuchukua mzigo huo ambao ni sanduku dogo na ametowe

ka

nalo na sijui mahala aliko.Abel ninakwambia wewe tu

katika

sanduku hilo alilochukua Anna kuna kitu cha hatari

mno

ndani yake,hatari kwake,hatari kwa nchi pia.Yawezek

ana

katika akili yake alidhani labda ndani ya sanduku h

ilo kuna

fedha na atataka kujaribu kulifungua kwa namna anav

yojua

yeye na ikitokea kwa bahati mbaya akaharibu kilicho

mo

ndani we’re all finished.Kwa hiyo Abel nataka kabla

ya saa

nne asubuhi ya leo Anna awe amepatikana na sanduku

hilo

liwe tayari limepatikana .Ninakukabidhi jukumu hili

wewe

kwa kuwa sitaki jambo hili lifahamike kwa watu

wengine.Ninakukabidhi kazi hii nikifahamu kabisa un

ao

uwezo wa kufanya kwa haraka na ufanisi mkubwa.Achan

a

kwanza na mambo mengine yote na uelekeze nguvu kubw

a

kwa sasa katika kumtafuta Anna ambaye ni hatari kus

hinda

hata Kigomba.Chochote unachokihitaji niambie na

nitakupatia” akasema Dr Joshua.

Abel Mkokasule hakutaka maelezo zaidi kwani tayari

alikwisha elewa ni kazi gani anatakwa kuifanya.Alic

hokifanya

ni kuulizwa maswali machache ambayo yangeweza kumpa

mwanga ni wapi anaweza kuanza kumtafutia

Anna.Aliwasiliana na vijana wake wanne anaowaamini

sana

na kuwataka wafike pale ikulu haraka sana.Sehemu ya

kwanza aliyoanzia uchunguzi wake ni katika chumba c

ha

Anna ambako aliamini angeweza kupata kitu chochote

kitakachomuelekeza mahala aliko Anna.Dr Joshua akaa

giza

daktari afike haraka ili apimwe kutokana na mstuko

mkubwa

alioupata

“ Sitaki kabisa kuamini eti Anna anafahamu kilicho

mo

ndani ya lile sanduku na ndiyo maana

akalichukua.Ninachoamini mimi Anna alidhani ndani y

a

sanduku lile kuna fedha nyingi au kitu ha thamani k

ubwa

ambacho anaweza kuuza na kupata fedha nyingi .Kama

alihitaji fedha kwa nini asingenieleza na ningempa

pesa

yoyote anayoihitaji? Utajiri huu wote nilionao ni w

a kwake

,shetani gani kamuingia na kumshawishi afanye hivi

alivyofanya? “ akawaza Dr Joshua huku jasho jingi l

ikiendelea

kumtiririka na alihisi kuishiwa nguvu.

*****************

Kwa takribani dakika kumi Mathew alikuwa amekaa

kitandani akitafakari.Hii ni baada ya kumaliza kuon

gea na

Peniela simuni

“ Lazima nitafute namna ya kufanya ili Dr Kigomba

aweze kunieleza mambo yatakayonisaidia niweze kuufy

eka

kabisa mtandao wote wa Dr Joshua.Nimekwisha

muhakikishia Anna kwamba sintakubaliana na sharti l

a

Kigomba la kumtorosha yeye na familia yake.Kwa kuwa

Dr

Kigomba ana taarifa za muhimu sana ambazo ninazihit

aji

lazima nitafute namna ya kufanya kuzipata taarifa h

izo bila ya

kukubaliana na sharti lake.Hapa lazima nitmie nguvu

Akaendelea kuwaza Mathew

“ Nadhani njia pekee ya kuweza kumfanya Kigomba

akanieleza mambo yote kuhusiana na mtandano wao ni

kwa

kutishia kuiangamiza familia yake.Siku zote linapok

uja suala

la kuangamizwa kwa familia mtu yeyote huwa tayari k

ufanya

jambo lolote kwa ajili ya kuiokoa familia yake.Naam

ini hata

Kigomba hatakuwa tayari familia yake iangamizwe na

atanieleza kila kitu” akawaza Mathew na kuinuka kit

andani

akatoka na kuchukua kisanduku cha huduma ya kwanza

na

moja kwa moja akaelekea katika chumba alimo Dr

Kigomba.Akaufungua mlango na kuingia.Tayari Dr Kigo

mba

alikwisha amka

“ Mathew karibu sana.” Akasema Dr Kigomba huku

sura yake ikionyesha kutokuwa na wasi wasi

wowote.Mathew akaliweka mezani sanduku la huduma ya

kwanza akamtazama Kigomba

“ Unaendeleaje? Akauliza huku akilikagua jeraha la

Kigomba.

“ Naendelea vizuri Mathew.Mungu ananisaidia “

akajibu Kigomba.Mathew akalifungua jeraha lile na

kulisafisha

“ Kigomba mke wako anaitwa nani?

“ Theresa.Anaitwa Theresa”

“ Do you love her?

“ Yes I do” akajibu Kigomba

“ Familia yako wanafahamu kilichokupata?

Uliwataarifu?

“ Hapana sikupata nafasi ya kuwatarifu

kilichonitokea”

“ Good.Ulifanya vizuri .Nina hakika lazima Dr Josh

ua

atakutafuta kwa kutumia familia yako kwani anajua l

azima

familia huwa ya kwanza kuitaarifu pale yanapotokea

masahibu.”

“ Uko sahihi Mathew lazima familia yangu

itaandamwa sana kwa kudhani labda wanafahamu mahala

nilipo”

Mathew akafikiri kidogo na kusema

“ Kigomba your family is in great danger and I’m t

he

only one who can save them right now”

“ Ni kweli Mathew.Niambie nifanye nini ili uiokoe

familia yangu? Akasema Dr Kigomba .Mathew akamalizi

a

kulifunga jeraha halafu akasema

“ Nielekeze walipo nikawatoe na kuwaleta hapa

ambapo ni sehemu salama kwao kwa sasa na halafu

tutaongea zaidi”

Dr Kigomba akamulekeza Mathew nyumbani kwake.

“ Ok Kigomba ninakwenda sasa hivi kuwachukua na

kuwaleta hapa.Dont worry the’ll be safe” akasema Ma

thew

.Dr Kigomba akamuangalia Mathew na kuuliza

“ Mathew why are you doing this?

“ Because you are important to me” akajibu Mathew

na kupiga hatua mbili halafu akageuka

“ One more thing Kigomba.I’m going to help you and

your family escape.Kwa hiyo nitakaporejea nataka uj

iandae

kunieleza kila kitu kuhusiana na mtandao wa Dr Josh

ua

.Endapo nitaridhika na utakayonieleza I swear I’ll

take you

and your family out of the country.” Akasema Mathew

“ Ahsante sana Mathew kwa kulikubali ombi

langu.Nakuahidi kukueleza kila kitu na utapata usha

hidi wa

kutosha wa kumtia hatiani Dr Joshua na wenzake”akas

ema

Dr Kigomba.Mathew akafunga mlango na kutoka.Akatemb

ea

hatua mbili na mara kengele ya getini ikalia

“ Huyu lazima atakuwa ni Peniela kwani ndiye

ninayemtegemea asubuhi hii” akawaza Mathew na kwend

a

kuchungulia katika luninga iliyounganishwa na kamer

a za

ulinzi .Ni kweli aliyekuwa getini alikuwa ni Peniel

a.Mathew

akaenda kufungua geti,Peniela akaingiza gari ndani

na

kushuka

“ Mathew” akasema Peniela baadaya kushuka garini

akamkumbatia Mathew

“ Nimefurahi sana kukuona tena “ akasema

“ hata mimi nimefurahi sana kukuona tena

Peniela.Karibu tena nyumbani” akasema Mathew

,wakaelekea sebuleni

“ Mambo yanakwendaje hapa? Akauliza Peniela

“ Mambo yanakwenda vizuri .Vipi huko ulikotoka

mambo yanakwendaje?

“ Ndiyo maana nimekuja asubuhi asubuhi namna

hii.Mathew kuna mambo mazito mno ambayo unatakiwa

kuyafahamu” akasema Peniela

“ Kabla hujanieleza hayo ya huko naomba kwanza

nikueleze mambo ya hapa” akasema Mathew

“ Ok Mathew tell me the good news” Mathew

akatabasamu na kusema

“ Kubwa la kwanza ni kwamba our mission is

over.Tayari tunacho kirusi Aby”

“ What ??Mathew this is not time for jokes” akasem

a

Peniela

“ It’s not a joke Peniela,its true we already have

the

virus” akasema Mathew

“ Oh My God Mathew..naomba usinidanganye.How

did you get it?

“ Sikudanganyi Peniela.Ni kweli tayari tunacho kir

usi

aby” akasema Mathew na Peniala akamrukia akamkumbat

ia

kwa nguvu

“ Where is it? Can I see it? Akasema Peniela.Mathe

w

akampeleka chumbani kwake akalichukua sanduku lenye

kirusi Aby akalifungua.Peniela akaruka ruka kwa fur

aha na

kutaka kukishika lakni Mathew akamzuia na kulifunga

lile

sanduku.

“ Mathew is this real the Virus?? Akauliza Peniela

kwa mshangao mkubwa

“ Yes it’s the Virus”

“ How did you get it?

“ Ni hadithi ndefu kidogo tutaongea baadae lakini

kwa sasa bado tuna kazi tunatakiwa kuifanya.Awamu y

a

kwanza ya operesheni yetu imemalizika na sasa tunain

gia

katika awamu ya pili ambayo ni kuufyeka mtandao wot

e wa

Dr Joshua na kuwapandisha wahusika wote mbele ya

sheria.Dr Kigomba ni mshirika mkubwa wa Dr Joshua n

a

anaufahamu vyema mtandao wote.Yuko tayari kutoa

ushirikiano wa kutuwezesha kufahamu wahusika wa





“ Peniela is here already”

“ Ouh tayari amekwisha fika? Amekuja na taarifa

gani? Kuna chochote amekipata huko kwa dr Joshua?

“ Ndiyo anasema kuna mambo mazito ameyapata

huko kwa hiyo nitakaporejea atatueleza kwa sasa

nimeamuacha apitie vilivyomo katika lile kasha lake

.”

“ Umemueleza kuhusiana na kupatikana kwa kirusi?

“ Tayari nimemueleza ila sijamfahamisha

kimepatikanaje.Nitakaporejea nitamjulisha kila kitu

.Kwa sasa

tumpe nafasi aweze kupitia kwa makini kila kilichom

o ndani

ya kasha lile.Keep an eye on Kigomba” akasema Mathe

w na

kuingia chumbani kwake akachukua silaha na kuondoka

Peniela alilifungua kasha lile na kuanza kupitia

bahasha moja baada ya nyingine.Alipoifikia bahasha

yeye

picha za wazazi wake aliikumbatia picha ya mama yak

e na

kumwaga machozi mengi

“ Dunia hii imejaa watu makatili sana.kwa nini bab

a

bila ya huruma akaamuru mama auawe? Look at her,she

’s so

pretty.” Akawaza huku akifuta machozi na kuitazama

picha

nyingine ya baba yake akaichana chana kwa hasira

“ Una bahati John aliwahi kukuua shetani wewe

kwani endapo asingefanya hivyo ningekuua mimi kwa m

kono

wangu.Natumai huko uliko unaungua katika shimo la m

oto

shetani wewe” akasema Peniela kwa sauti ndogo huku

uso

wake umejikunja kwa hasira.Akaziweka pembeni picha

zile na

vitu vingine alivyovikuta ndani ya lile kasha halaf

u akachukua

flash disk akaichomeka katika kompyuta na kuanza

kuitazama video aliyojirekodi John Mwaulaya

Hadi video ile inamalika mwili wote wa Peniela

ulikuwa umeloa jasho.Akavuta pumzi ndefu na kulazim

ika

kuwasha feni ili kuipooza hali ya hewa kwani alihis

i joto kali

ghafla.Akairudia tena kuitazma video ile kwa mara y

a pili na

ya tatu .Akaegemea kiti

“ Nahisi ni kama vile niko usingizini ninaota ndot

o hii

ya kusisimua lakini haiko hivyo.Siko usingizini na

wala sioti

ndoto.” Akawaza huku jasho likiendelea kumtoka

“ Sasa nimeamni ni kweli John Mwaulaya alikuwa

ananipenda kwa dhati kama mwanae.Ni yeye ndiye

aliyenikoa toka mdomoni mwa kifo.Alitumwa kuniua mi

mi na

mama yangu lakini akaamua kuniacha hai .Toka nikiwa

mdogo nimeishi maisha mazuri mno na hata siku moja

sikuwahi kupungukiwa kitu chochote na sikuliona pen

go la

kuwakosa wazazi wangu.Haya yote aliyafanya John

Mwaulaya.Pamoja na hayo yote ni kweli aliziharibu n

doto

zangu kubwa za maisha nilizokuwa nazo kwa kuniingiz

a

katika Team SC41 lakini alilitambua kosa lake na ka

tika

nyakati za mwisho za uhai wake amekuwa akitafuta ku

fanya

kila awezalo kuyarekebisha maisha yangu ili niishi

maisha

mapya.Mambo aliyonifanyia ni makubwa na sikuyategem

ea

kabisa.Amenifanya nimekuwa binadamu mwenye thamani

kubwa kuliko wote duniani.Sikutegemea kabisa kama J

ohn

angeweza kunifanyia jambo kubwa kama hili.Angeweza

kujichoma yeye kinga yote lakini kwa kuwa ananipend

a

hakufanya hivyo badala yake akaniwekea mimi kinga

hiyo.Vitu vyote alivyoniachia si kitu bali utajiri

mkubwa

ambao ameniachia ni hii kinga aliyoiweka mwilini mw

angu

dhidi ya kirusi Aby.Huu ni utajiri mkubwa mno kulik

o hata

mapesa aliyoniacia.This is what I’ve been wanted.Th

is is what

I’ve been dreaming for so long.The whole world will

kneel

down on me.Every human on earth will speak my

name.Nitaingia katika vitabu vya historia na jina l

angu

litatamkwa kwa vizazi hata vizazi.Damu yangu itakuw

a na

thamani ya matrilioni na matrilioni ya pesa.Nitakuw

a tajiri

mkubwa sana duniani.Naweza kusema kwamba hii imekuw

a

ni bahato sana kwani nimegundua thamani yangu na wa

kati

huo huo kirusi kimetua mikononi mwetu.So I have ve

everything now.Nina kinga na kirusi pia.Ouh John th

ank you

so much for this” akawaza Peniela na kusimama huku

akitabsamu

“ Huu ni mwanzo wa kitabu changu kipya cha maisha

yangu.Kutoka Peniela niliyekuwa kama chombo cha sta

rehe

hadi binadamu ghali kuliko wote lakini ili ndoto ya

ngu iweze

kutimia lazima nihakikishe ninakimiliki kirusi Aby

mwenyewe.Mipango ya Mathew baada ya kukipata kirusi

Aby ni kukihifadhi katika sehemu salama ili kisitum

ike katika

kusababisha maangamizi makubwa.Endapo akifanya hivy

o

basi kinga yangu haitakuwa na maana yoyote.Ndoto ya

ngu

haitaweza kutimia.I have to take the virus before M

athew

comes back.” Akawaza Peniela na mwili wote ukamsisi

mka.

“ Mawazo gani haya yananijia? Nikifanya hivi

nitakuwa nimewasaliti wenzangu waliopambana mno had

i

wakafanikiwa kukipata hicho kirusi.Sintakuwa na tof

auti

yoyite na jaji Elibariki.What am I going to do?? Ak

ajiuliza na

kuinamisha kichwa kwa sekunde kadhaa.Alisikia kitu

kama

sauti ikimwambia

“ Take the virus now !!

Picha za haraka haraka za namna atakavyoishimaisha

yakitajiri zikamjia

“ Sauti hii ninayoisikia ndani mwangu iko sahihi

kabisa .Kama ninataka kuitimiza ndoto yangu basi wa

kati ni

sasa .Nikishindwa kukichukua kirusi sasa sintaweza

tena

kukichukua baadae Mathew akirejea.Lazima nikichukue

halafu nifanye mpango wa kukihakiki kama kweli ni

chenyewe na baada ya hapo nikiachie kisambae hewani

na

hapo ndipo historia ya dunia itakapobadilika.Mtu pe

kee

ambaye anaweza kunihakikishia kama kirusi hiki ni h

alisi ni

Deus Mkozui .Huyu amekuwa rais kwa miaka kumi na

anakifahamu vizuri kirusi hiki.Nitamtafuta ili nipa

te uhakika

kuwa kirusi hicho ni chenyewe.Kama ni hivyo I have

to save

Deus kwani bado namuhitaji sana” akawaza halafu

akakumbuka kitu

“ Kuna mtu mmoja ambaye anaweza akawa na

msaada mkubwa kwangu.Dr Kigomba.Huyu ana tamaa ya

fedha na kwa vile sasa hivi hana mbele wa nyuma ata

fanya

kila nitakachomuelekeza akifanye”

Peniela akajishika kiuna na kuinamisha kichwa

“ Kwa hili ninalotaka kulifanya niko sahihi? Nimet

oka

mbali na akina Mathew tumehangaika katika kuhakikis

ha

tunakipata kirusi Aby.Tumepitia mambo mengi ya hata

ri na

Mathew ameniokoa ,zaidi ya yote tayari Mathew amekw

isha

anza kuniingia moyoni.Nimatokea kumpenda .Endapo

through it.We’re going to be very very rich and I’m

going to

help you get out of the country”

“ Ouh Peniela ar.....” Kigomba akataka kusema kitu

lakini Peniela akamzuia

“ Don’t say anything yet.Hatuna muda mrefu

Mathew atarejea hapa muda wowote.Nataka nikuweke w

azi

kwamba Mathew hana mpango wowote wa kukutorosha

kwenda nje ya nchi bali anataka kuitumia familia ya

ko

kukushinikiza ili uweze kumpa siri za mtandao

wenu.Amepanga kuitesa familia yako mbele yako ili u

sikie

uchungu na useme siri zenu.Kwa hiyo mimi kwa sasa n

diyo

msaada wako mkubwa.Ninakwenda kuchukua kirusi ili

tuondoke kabla Mathew hajarejea” akasema Peniela

“ Sawa Peniela,Fanya haraka haraka tondoke.Be

careful,that man is very dangerous !!! akasema Dr

Kigmba.Penela akatoka na kuelekea moja kwa moja kat

ika

chumba cha Mathew akakinyonga kitasa cha mlango

ukafunguka kwani haukuwa umefungwa kwa funguo.Moja

kwa moja akaelekea katika kasiki ambalo Mathew alih

ifadhi

sanduku lenye kirusi Aby,akafumba macho na kuzikumb

uka

namba alizotumia Mathew kufungulia kasiki lile akaz

ibonyeza

na kasiki likafunguka.Akalitoa sanduku lile lenye k

irusi

akalifungua akatazama ndani ili kuhakiki kama kirus

i

kilikuwamo ndani akatabasamu

Akiwa chumbani kwake Anitha alisikia mlango wa

chumba cha Mathew ukifunguliwa akadhani Mathew ame

rdi

“ Mbona Mathew amerejea mapema namna hii?

Halafu iweje arejee bila ya kupita hapa chumbani kw

angu na

kunijulisha kuwa amerudi? Hii si kawaida yake” akaj

iuliza

Anitha na kuufungua mlango wa chumba chake akaeleke

a

katika chumba cha Mathew.Mlango wa chumba cha Mathe

w

haukuwa umefungwa

“ Mathew ! akaita Anitha bila kujibiwa

“ Mathew !! akaita tena lakini hakujibiwa .

Sauti ya Anitha akimuita Mathew ikamstua Peniela

aliyekuwa ndani ya chumba cha Mathew.Juu ya meza ka

ribu

na kitanda kulikuwa na kisanduku kidogo chenye silah

a

walizopewa na Edmund Dawson kwa kasi ya aina yake

akakifungua na kutoa kisu kikali taratibu mlango

ukafunguliwa na Anitha akaingia ndani.Akastuka san

a

“ Penie.......!!! Akasema Anitha lakini kabla

hajamaliza kutamka kwa kasi ya umeme na nguvu Penie

la

akarusha kisu kile kikubwa kikatua katika kifua cha

Anitha

ambaye akaanguka chini huku akitoa ukelele mkubwa.K

wa

haraka Peniela akamfuata pale chini alipoanguka

akakichomoa kile kisu na kukichoma kwa nguvu kifuan

i

sehemu ulipo moyo na kama hautoshi akakikanyaga na

mguu

kikazama chote

“ I’m so sorry Anitha”akasema kisha akalinyakua li

le

sanduku lenye kirusi akatoka mbio hadi chumbani kwa

Kigomba akamuacha Anitha anatapa tapa pale chini

“ Let’s go !! akasema na kisha akaelekea katika

chumba cha ofisi akalichukua lile kasha alilopewa

na John

Mwaulaya wakaingia garini na kuondoka kwa kasi.

Ukelele aliopiga Anitha pamoja na sauti za milang

o

ya gari kufungwa kwa nguvu na kisha gari kuondoka k

wa kasi




Peniela ambaye hakumjali akaendelea kuendesha halaf

u

baada ya sekunde kadhaa akasema

“ I killed her !

“ Nani ? akauliza Dr Kigomba kwa mshangao

“ That woman Anitha ! akajibu Peniela .Dr Kigomba

akavuta pumzi ndefu na kusema

“ Roho yake ipumzike kwa amani .Alikuwa binti

mwenye roho nzuri tofauti na Mathew,zaidi ya yote a

likuwa

ana akili nyingi” akasema Dr Kigomba

“ I don’t know why I did it ...It happened so quickl

y...”

akasema Peniela

“ She has become a monster .She’s now one of

us,monsters” akawaza Kigomba na kwa sauti ndogo aka

sema

“ Welcome to the world of monsters Peniela .World

of no trust ,full of betrayals, and above all killi

ngs”

“ Shut up Kigomba !! akasema Peniela

***************

Dr Vincent Dumba kutoka hospitali kuu ya jeshi

alifika haraka ikulu na bila kuchelewa akaanza kum

pima Dr

Joshua.Wakati akiendelea na jitihada za kujaribu ku

shusha

mapigo ya moyo ya Dr Joshua yaliyokuwa juu kupita

kawaida,simu ya Dr Joshua ikaita.Akamtazama Dr Vin

cent na

kumwambia

“ Naomba utazame nani anayepiga?

“ Mheshimiwa rais ,mapigo ya moyo wako yako juu

sana siwezi kukuruhusu kuongea na mtu yeyote katik

a simu

kwa muda huu.Unatakiwa upumzike.Unaweza ukapewa

taarifa ambazo si nzuri na kuifanya hali yako kuwa

mbaya

zaidi.Nakushauri ukae mbali kabisa na simu” akasema

Dr

Vincent

“ Vincent nimekuelewa vizuri lakini mimi ni rais w

a

nchi na nina mambo mengi ninayotakiwa

kuyashughulikia.Lolote litakalotokea let it happen.

Please give

me that phone!! Akasema Dr Joshua kwa sauti ya juu

.

“ Mheshimiwa rais haya ninayokwambia ni kwa ajili

ya afya yako.tafadh...”

“ Vincent give me that phone !! akasema kwa ukali

Dr

Joshua na kwa shingo upande Dr Vincent akampa

simu.Mpigaji alikuwa Abel Mkokasule.Haraka haraka D

r

Joshua akamtaka Dr Vincent atoke mle chumbani ili a

weze

kuongea na simu

“ Hallow Abel ,niambie umefikia wapi? Umempata

Anna?

“ Mzee tumeifuatilia simu ya Anna na inaonyesha

kwamba usiku wa jana simu yake ilitumika karibu na

duka la

kuuza vyakula vya wanyama .Tumefuatilia kwa makini

na

tumefika hadi hapa Cub Chicago ambayo haiko mbali n

a duka

hio na tumelikuta gari lake”

“ Anna mmemkua? Akauliza Dr Joshua

“ Hapana mzee hatujamkuta ila tumelikuta gari lake

hapa club Chcago.Funguo ya gari aliiacha humu ndan

i ya gari

na tumelipekua gari lote tumeikuta simu yake lakini

laini

ametoa”

“ Oh my God !!! akasema Dr Joshua huku macho

yakiwa yamemtoka kama vile anatazamana na kitu ha

kutisha.

“ Abel listen to me carefully !! akasema Dr Jshua

“ Please do whatever you can to find her.Make sure

you get her today before sunset.Kitu alicho nacho n

i hatari

sana sana.Umenielewa Abel?

“ Nimekuelewa mzee” akajibu Abel

“ Ok good” akajibu Dr Joshua na kukata simu

“ Oh Anna where are you? Why are you doing this to

me? Akajiuliza Dr Joshua

“ Sikutegemea kabisa kama siku moja Anna

angeweza kunifanyia hivi.Ninampenda mno Anna na hak

una

alichowahi kuomba kwangu akakosa,iweje basi l eo k

uingia

chumbani kwangu na kuchukua kitu cha hatari namna i

le ?

Oh Anna ! akawaza Dr Joshua na kukunja sura kwa has

ira

“ Nina hakika kabisa Anna hafahamu kitu gani

kilichomo ndani ya sanduku lile .Kama angejua kilic

homo mle

ni hatari asingethubutu hata kuligusa.Najilaumu san

a kwa

kulipeleka sanduku lle nyumbani.Endapo ningeliacha

sehemu

lilikohifadhiwa haya yote yasingetokea.” Akawaza dr

Joshua

huku sura yake ikizidi kuonyesha wasi wasi mkubwa.

“ Kinachoniogopesha zaidi ni endapo atafanikiwa

kulifungua sanduku lile kwa njia yoyote atakayoitum

ia na

kwa bahati mbaya akakuta kilichomo mle ndani yake si

fedha

anaweza akaamua kikutupa kirusi kile kwa hasira na

kwa

kuwa kipo katika chupa ya kioo kinaweza kuvunjika n

a hapo

ndio utakuwa mwisho wake.” Akafumba tena macho

Akiwa bado katika tafakari mara akakumbuka kitu na

jasho likazidi kumtiririka

“ Hussein !!..nitamueleza nini endapo sintafanikiw

a

kukipata kirusi katika muda alioutoa? Maneno ya vit

isho

aliyoyatoa yananiogopesha sana .Kwa vyovyote vile

itakavyokuwa I must find Anna kwa ni bila kufanya h

ivyo

nitakuwa nimejiweka katika matatizo makubwa sana”

**************

Barabara nyingi zilijaa magari asubuhi hii kwa hi

yo

Mathew hakuwa na njia ya haraka kumrudisha nyumbani

hivyo akalazimika kuegesha gari Pamaya supermarket

akakodisha piki piki na kumtaka dereva amuachie aen

deshe

“ Nini kimetokea nyumbani? Aliyoyasema Anna eti

Anitha amekufa ni ya kweli? Akajiuliza Mathew

“ No ! No ! that’s not true” akaendelea kuwaza

Mathew huku piki piki ikiwa katika mwendo mkali san

a

“ lakini Anna hawezi kunidanganya au kunitania kwa

jambo kubwa kama hili.Kama ni kweli hiki alichokise

ma Anna

basi utakuwa ni uzembe wangu mimi mwenyewe.Jukumu

langu lilikuwa ni kumlinda.Ee Mungu msaidie Anitha

.Endapo

kuna chochote kibaya kilichomtokea please lord don’

t take

her right now.I still need her so badly” Mathew aka

omba

kimya kimya huku akiongeza mwendo wa piki piki

“ Nilipoondoka asubuhi niliacha watu wanne pale

ndani,Anitha ,Peniela na dr Kigomba lakini Anna an

adai

hakuna mtu yeyote nyumbani Peniela na Kigomba wako

wapi? Naomba jambo hili lisiwe kweli kwani sijui ni

tafanya

nini iwapo hiki alichoniambia Anna ni kitu cha kwe

li”

akaendelea kuwaza.

Kwa mwendo mkali waliokwenda nao kwa kupita njia

fupi ilimchukua Mathew dakika 27 kuwasili katika mt

aa ilipo

nyumba wanapoishi .Barabara ilikuwa na mchanga mwin

gi

Mathew akasimamisha piki piki akashuka na kumrushia

yule

jamaa noti mbili za elfu kumi kumi akatoka mbio

Alifika katika geti la nyumba yao ambalo

halikufungwa.Akaingia kwa haraka na kulifunga akato

a

bastora akatembea kwa kunyata kuelekea ndani

“ Anna !!.Anna..!! akaita lakini hakuna mtu yeyote

aliyeitika akazidi kuloa jasho.Bastora mkononi akat

embea

kwa tahadhari hadi katika chumba Anitha hakukuwa n

a mtu

akaufungua mlango wa chumba alimomfungia Dr Kigomb

a

lakini Kigomba hakuwemo.Akazidi kuingiwa na hofu ak

atoka

katika kile chumba na kuingia katika chumba alichol

ala

Anna.Taratatibu akaufungua mlango ule akaingia ndan

i

“ Anna !! akaita

Baada ya sekunde kumi akasikia sauti kama ya mtu

analia ,akatembea kwa kunyata kwa tahadhari kubwa h

adi

nyuma ya kabati akamkuta Anna akiwa amejikunyata

analia.Mwili wote unamtetemeka.

“ Anna !! akasema Mathew akamshika Anna mkono

akamuinua.Miguu yake haikuwa na nguvu hata za kutem

bea

Mathew akamketisha kitandani.Alikuwa ametapakaa dam

u

“ Anna nini kimetokea ? Wako wapi wengine?

Akauliza Mathew

“ Mathew..Please hold me tight” akasema Anna

“ Niambie nini kimetokea.Are you ok?

“ Sifahamu nini kilichotokea lakini Anitha..!!

akashindwa kuendelea

“ Anitha kafanya nini?

“ Aitha ..is dead !!

“ Peniea ,Dr Kigomba wako wapi? Are they ok?

“ I dont know Mathew.Mimi nilisikia mtu anapiga

ukele na baadae nikasikia milango ya gari ikibamizw

a kwa

nguvu,geti likafunguliwa na gari kuondoka kwa

kasi.Nilipoamka hakukuwa na mtu yeyote mlango wa

chumbani kwako ulikuwa wazi nikachungulia na kumkut

a

Anitha amelala sakafuni damu nyingi inamtaka alikuw

a

amechomwa kisu kifuani.Nilijaribu kumuita hakufum

bua

hata jicho ,she’s dea.....!! Anna akaangua kilio .Mat

hew

akatoka mbio hadi chumbani kwake.Kitu alichokikuta

mle

chumbani alitamani igeuke kuwa ni ndoto na si kitu

cha

kweli.Anitha alikuwa amelalia dimbwi la damu ,kifua

ni kwake

kulikuwa na kisu kikubwa kilichozama chote na kuach

a mpini

ukielea.Anitha hakuwa na uhai.Miguu ya Mathew haiku

wa na

nguvu tena akapiga magoti katika dimbwi la damu

akamuinamia

“ Anitha !! Anitha !! ..Anithaaaa..!!! akaita Math

ew

huku akimtingisha Anitha lakini hata ukope wa Anith

a

haukusogea.Hakuwa na uhai

“ Oh jamani Anitha !! who did this to you? Akasem

a

Mathew huku machozi yakimdondoka kwa uchungu.Alilia

machozi mengi akiwa amekilaza kichwa chake katika p

aji la

uso wa Anitha mara akashikwa bega

“ Mathew it’s enough ..Please wake up ! Akasema

Anna

“ Anna plase let me cry.I’m deeply hurt.let me cry

akasema Mathew kwa uchungu

“ I’m hurt too but crying wont help us.Tunachotaki

wa

kufanya kwa sasa ni kumtafuta nani aliyefanya hivi?

So please

stand up and gather strength.Usalama wetu sote

unakutegemea wewe.Please be strong Mathew for your

country and the world” akasema Anna.Maneno yale ya

Anna

yakamstua Mathew akainuka na moja kwa moja akaenda

katika kasiki alimohifadhi sanduku lenye kirusi Aby

akabonyeza namba haraka haraka na mlango wa kasiki

ukafunguka .Kwa sekunde kadhaa akahisi ni kama vile

macho

yake yamepoteza uwezo wake wa kuona ,akayafikicha k

idogo

na kutazama tena ndani ya kasiki hakukuwa na chocho

te

“ Oh my God !! Oh my God !! The virusi is gone !!!

akasema Mathew na kuhisi kuchanganyikiwa

“ Mathew unasemaje? Akauliza Anna ambaye naye

alipatwa na mstuko mkubwa kwa kile alichokitamka Ma

thew

“ The Virusi is gone ...!!! Akasema Mathew

“ No ! No ! tell me it’s not true Mathew .. akase

ma

Anna.

“ It’s true the virus is gone..!!

Anna akaweka mikono kichwani alikosa neno la

kuongea kwa sekunde kadhaa chumba kikatawaliwa na

ukimya mkubwa.

“ Whoever killed Anitha,must be the one who took

the virus....oh No !! I cant let them ..!! akasema M

athew na

kutoka mbio

“ Mathew unakwenda wapi? Please don’t leave me

here ! akasema Anna naye akatoka mle chumbani akamf

uata

Mathew ambaye aliingia katika chumba chenye luninga

iliyounganishwa na kamera za ulinzi zilizofungwa

kulizungunga jumba lile .Haraka haraka akaanza kupi

tia picha

zilizochukuliwa na kamera za ulinzi toka asubuhi al

ipoondoka.

kumbu kumbu ya kamera ilionyesha watu wawili wakito

ka

ndani huku wakikimbia akawatambua

“ Peniela ??!! akasema Mathew kwa mshangao

mkubwa baada ya kugundua kwa mwanamke Yule

aliyeonekana katika kamera akitoka ndani akakimbi

a

alikuwa Peniela.Mwili wote wa Mathew ukaloa

jasho.Akarudisha tena nyuma picha ili ahakikishe k

ama kile

alichokiona ni kitu cha kweli.Ni kweli mwanamke

aliyeonekana pichani alikuwa Peniela

“ This is unbelievable..Peniela ?? !!! Mathew akaz

idi

kushangaa

“ Peniela was here ?? akauliza Anna

“ Wakati naondoka nilimuaha hapa .Alikuja asubuhi.

Akasema Mathew na kwenda katika chumba cha ofisi li

le

kasha la Peniela alilopewa na John Mauwalaya

halikuwepo.Mathew akakaa chini kwani alihisi kutaka

kuanguka baada ya miguu yake kukosa nguvu

“ Are you ok Mathew? Akauliza Anna aliyekuwa

amemfuata Mathew mle ofisini



kisu hiki hiki” akasema Mathew na kugeuka akamtazam

a

Anitha

“ Sijawahi kuumia katika maisha yangu kama

nilivyoumia leo Laiti uhai ungenunuliwa kwa pesa ni

ngevunja

hata benki ili nipate pesa za kuununua uhai wako An

itha

lakini haiwezekani.Siwezi kuurejesha uhai wako.” Ak

asema

Mathew na kumuinamia tena Anitha ,akamuinua pale ch

ini

akamlaza kitandani na kumfuta damu zilizotapakaa mw

ili

mzima.Muda wote macho ya Mathew hayakukauka machozi

******************

Hakukuwa na maongezi yoyote ndani ya gari

walimokuwamo Peniela na Dr Kigomba.Peniela akapungu

za

mwendo wa gari na kuwasha indiketa ya kulia akaeges

ha gari

pembeni ya barabara,akalizima akaegemea kiti na kuv

uta

pumzi ndefu na kuupiga usukani kwa mikono yake kwa

hasira

“ Kuna tatizo peniela? Akauliza Dr Kigomba huku

akimtazama Peniela kwa wasi wasi.Peniela hakujibu k

itu

akainamia usukani

‘ Kuna tatizo gani Peniela? Mbona tumesimama?

Akauliza Dr Kigomba

“ We did a big mistake” akasema peniela

“ Mistake? Kigomba akashangaa

“ Tulisahau kuharibu kumbu kumbu zote za

kamera.Jumba lile lina kamera za ulinzi kila kona ,

nina hakika

kitu cha kwanza atakachokifanya Mathew atakaporudi

na

kukuta Anitha amefariki ni kuangalia katika kumbu k

umbu za

kamera nini kilitokea na kusababisha kifo cha Anith

a.Sikutaka

Mathew afahamu kama ni mimi ndiye niliyefanya kiten

do kile

cha kikatili na hilo litakuwa ni tangazo la vita ka

ti yetu”

akasema Peniela

“Usihofu Peniela ,we can take down Mathew .You

know him better than anyone.Figure out how we can t

ake

him down as quick as possible” akasema Dr Kigomba

“ You don’t know what you are talking Kigomba.You

don’t know anything about Mathew.It’s not that simp

le to kill

that man.He’s very dangerous than you think” akasem

a

Peniela

“ So what are we goping to do? Go back and destroy

everything? Akauliza Dr Kigomba

“ No we cant go back.!! Akasema Peniela na kuwasha

gari.

“ Tayari tumeingia vitani.hakuna kurudi nyuma”

akasema Peniela na kuingiza gari barabarani

“ Tunaelekea wapi Peniela? Akauliza Dr Kigomba

“ You don have to ask where we’re going .Just foll

ow

me !! akasema Peniela kwa ukali halafu akachukua si

mu na

kuandika namba Fulani akapiga

“ Hallow !!! ikasema sauti ya kiume upande wa pili

.

“ Hallow Jason.It’s me Peniela”

“ Peniela ??!!

“ Ndiyo Jason” akajibu Peniela

“ Uko wapi Peniela” akauliza Jason

“ Look Jason.We don’t have time to talk right

now.Nimekupigia kukuomba msaada.I’m in big trouble

and I

need your help”

“ peniela where are you? Akauliza Jason

“ Jason naomba uje haraka tukutane duka la Fresh

Sangara pale wanapouza samaki .Ninakaribia kufika h

apo”

“ Ok Peniela ,naomba unisubiri hapo.Ninakuja sasa

hivi” akasema Peniela na kukata simu akamrushia Kig

omba

“ Switch it off and remove the line” akasema penie

la

“ Sikutegemea kama ningeingia vitani na Mathew

mtu ambaye tayari alikwisha anza kuniingia moyoni..

Tayari

nilikwisha anza kumpenda lakini ili mipango yangu i

fanikiwe I

must take him down.Katika hili lazima nipate msaada

kwani

peke yangu Sina uwezo wa kupambana na Mathew,right

now

I have only one option.I have to get back to Team S

C41.Kule

ninaweza kupata msaada” akawaza peniela

*************

Askofu Edmund dawson alifika kwa haraka katika

makazi ya akina Mathew.Hali aliyoikuta baada ya kui

ngia mle

ndani ilimstua sana

“ Mathew nini kimetokea hapa? Akauliza

Edmund.Huku macho yakiwa yamejaa machozi Mathew

akamsimulia kila kitu kilichotokea

“Pole sana Mathew.Mambo kama haya ni kawaida

kutokea katika hizi kazi zetu.Inaumiza mno lakini w

ewe ni

mzoefu wa maisha ndani ya kazi hizi ,na unafahamu u

saliti ni

kitu cha kawaida kabisa.Umewahi kujiuliza nini kita

katokea

endapo siku moja Chinsun atagundua kwamba mimi nafa

nya

kazi na C.I.A na kwa muda huu wote nimekuwa

nikimchunguza? Usisikitike sana kwa hili

lililotokea.Tunachotakiwa kukifanya kwa sasa ni kua

nza

kumtafuta Peniela na kukipata kirusi haraa iwezekan

avyo.”

akasema Edmund na kumgeukia Anna

“ Huyu naye ni nani?

“ Samahani nilisahau kukutambulisha .Huyu anaitwa

Anna ni mtoto wa rais na ndiye aliyefanikisha kukip

ata kirusi

Aby.” Akasema Mathew halafu akamgeukia Anna

“ Anna huyu ni askofu Edmund dawson ambaye

ndiye mfadhili wetu ambaye ametusaidia makazi haya

pamoja na kila kitu kinachotuwezesha kufanya kazi z

etu”

`

Anna na Edmund wakasalimiana

Uko wapi mwili wa Anitha? Akauliza Edmund

dawson ambaye hakuonyesha hata dalili za wasi

wasi.Mathew akamuongoza hadi chumbani uliko mwili w

a

Anitha.Edmund akamtazama Anitha kwa makini akamuwek

ea

mikono kichwani akafumba macho na kuomba kimya kimy

a

halafu akafumbua macho

“ Ukiacha kirusi Aby kuna kitu kingine Peniela

amekichukua? Akauliza Edmund

“ Ameondoka na kasha alilopewa na John Mwaulaya

ambalo lilikuwa na taarifa za muhimu sana kumuhusu

yeye”

akajibu Mathew

“ Sawa,chukueni kila kitu mnachokihitaji kisha

tuondokeni hapa.” Akasema Edmund na kutoka mle

chumbani huku akitafuta namba Fulani katika simu ya

ke na

kupiga

“ Tunakwenda wapi Mathew? Akauliza Anna

“ I don’t know but its somewhere safe.Mahala hapa

si salama tena kwetu” akajibu Mathew huku akipakia

baadhi

ya vifaa vyake vya kazi katika sanduku

“ Vipi kuhusu mwili wa anitha? Akauliza tena Anna

“ Edmund will take care of it “ akajibu Mathew na

Edmund akarejea mle chumbani

“ Mko tayari?

“ Ndiyo tuko tayari.Hatuna vitu vingi vya kuchukua

akajibu Mathew

“ Sawa tuondokeni .Tayari nimetoa maelekezo kwa

vijana wangu watafika hapa muda wowote toka sasa na

kuuchukua mwili wa Anitha na kwenda kuuhifadhi.Tuna

yo

hospitali kubwa na mwili huu utahifadhiwa hapo hadi

mikiki

mikiki hii itakapomalizika ndipo utazikwa.” Akasema

dmund

“ Kabla hatujaondoka,naombeni dakika mbili

nimuage Anitha” akasema Mathew.Edmund na Anna

wakatoka na kumuacha peke yake mle

chumbani.Akausogelea mwili wa Anitha kitandani na

kumbusu

“ Kwa heri Anitha malaika wangu .Sikutegemea

kabisa kama maisha yako siku moja yangekatishwa kik

atili

namna hii.Ulikuwa ni sehemu muhimu sana ya maisha y

angu

na sikuwahi kujuta kukufahamu.Tumefanya kazi nyingi

pamoja na siku zote kazi zangu zimekuwa na mafaniki

o

makubwa kwa sababu yako.Wewe na mwenzako Noah

mmekuwa ni zaidi ya marafiki .Nitawakumbuka daima”

akasema Mathew na kufuta machozi

“ Nina mengi ya kukwambia Anitha lakini sina muda

kwa sasa ila kuna jambo moja nataka kukuahidi.Nitak

ipata

kirusi Aby na kukamilisha ile operesheni yetu na Dr

Joshua na

mtandao wake wataozea gerezani” akasema Mathew na

kumbusu Anitha akatoka huku akifuta machozi.Edmund

na

Anna walikuwa katika chumba cha mitambo ya kamera z

a

ulinzi,Mathew akawafuata.Alipoingia akamkuta Anna a

nalia

kwa kwikwi

“ Mathew kuna jambo ambalo nataka ulishuhudie

kabla hatujaondoka “ akasema Edmund

“ Kuna jambo ambalo sikuwa nimekueleza awali ni

kwamba katika kila chumba humu ndani kuna kamera ya

siri

imefungwa .Kamera iliyoko katika chumba ulichokuwa

unalala imeonyesha tukio zima namna lilivyotokea.”

Akasema

Edmund na kumuonyesha Mathew kumbu kumbu

ileiliyoonyesha namna tukio zima la kuuawa Anitha

lilivyotokea.Kamera ilimuonyesha Peniela tangu alip

oingia

chumbani hadi alivyomuua Anitha.Sehemu ambayo ilimt

oa

machozi Mathew ni pale ambapo Peniela alikichoma ki

su

kifuani kwa Anitha na kisha akakikanyaga kwa miguu

kikazama kifuani na kuacha mpini ukielea.

“ Imetosha ! akasema Mathew huku akigeuza

pembeni shingo yake hakutaka kuendelea kutazam

a.Edmund akachukua vifaa vyote vya kuhifadhia kumbu




ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog