Search This Blog

Wednesday 29 March 2023

PENIELEA (5) - 5

   


Simulizi : Peniela (5)

Sehemu Ya Tano (5)


urais.Hata hivyo wanajisumbua bure,harakati zangu

anacho hivi sasa kwa jamaa mmoja anatokea nchini Sa

udi

Arabia.Mimi ndiye niliyeendesha mchakato wote hadi

tukalipwa fedha na kilichokuwa kimebaki ni kumkabid

hi huyo

jamaa anayeitwa Hussein mzigo wake yaani kirusi Aby

.ghafla

Dr Joshua akaniengua katika mchakato huo kimya kimy

a

akiwa na lengo la kutaka kuchukua fedha zote peke

yake.Sikukubaliana na hilo na mimi nikaanzisha mcha

kato wa

kuhakiksha hafanikiwi na hapo ndipo ulipoibuka uhas

ama

mkubwa kati yetu ,akaanza kunisaka aniue.Imekuwa n

i kama

bahati Peniela amekipata kirusi hicho .Ninachotaka

mimi na

wewe tuongee ni kwamba hadi sasa hatujui Peniela an

a

mpango gani na kirusi hicho.Nimejaribu kumuuliza la

kini

hayuko muwazi juu ya nini anataka kufanya kwa kutum

ia

kirusi hicho. Josh kirusi kile anachozunguka nacho

Peniela ni

utajiri mkubwa.Tunazunguka na mgodi wa madini ya th

amani

kubwa.Kirusi kile kina thamani ya ya mabilioni. Ten

a si bilioni

moja mbili au tatu bali ni mamia ya mabilioni.Sisi

ni wanaume

na siku zote mwaunaume ni mpambanaji ,kutafuta

pesa.Tutakuwa wajinga kama tutakubali kuendelea

kumsindikiza Peniela huku akiwa na kitu ambacho kin

aweza

kutupa utajiri mkubwa sana.We need to do something”

Dr

Kigomba akanyamaza

“una maanisha nini mzee unaposema hivyo? Akauliza

Josh

“Namaanisha kwamba tuungane tukichukie kirusi

Aby toka Peniela .Ninafahamu wapi tutakiuza na kuji

patia

mabilioni ya fedha”

“ Hapana siwezi kufanya hivyo hata kidogo .Peniela

ninaheshimiana naye sana siwezi kumsaliti.Tena naku

omba

mzee ondoa kabisa mawazo hayo katika kichwa chako y

ou

snake ..!!!akasema Josh akionekana kukerwa na manen

o yale

ya Dr Kigomba.

“Josh naomba unisikilize kijana wangu...Nimekueleza

haya kwa kujua wewe ni kijana muelewa sana na ninge

weza

kufanya hivyo mwenyewe kimya kimya ila nimeona

nikushirikishe na wewe jambo hili.Hii ni fursa yako

Josh ya

kuchagua utajiri au umasikini .Kijana wa kisasa kam

a wewe

hupaswi hata kidogo kuwa chini ya mamlaka ya mtu Fu

lani

bali unapaswa kuwa na maisha yako mazuri na endapo

tutafanikiwa kukichukua kirusi hicho na kukiuza

nakuhakikishia Josh utainga katika kundi la mabilio

nea wa

hapa nchini.tafakari vizuri nini unahitaji katika m

aisha

yao.Heshima kubwa katika dunia hii ni pesa.Ukiwa bi

lioea

utaheshimiwa na kila mtu kwa hiyo Josh una muda mc

hache

sana wa kutafakari na kufanya maamuzi kabla Peniel

a

hajarejea.” Akasema Dr Kigomba .Maneno ya Kigomba

yalionekana kumuingia Josh akainama akatafakari kis

ha

akainua kichwa na kusema

“ kwa makisio ya haraka haraka unadhani kirusi hic

ho

kinaweza kuwa na thamani gani?

“ zaidi ya bilioni mia nane”

“Una hukika??akauliza josh kwa mshan

gao.

“Ndiyo maana nikakushirikisha .Hiki

si kitu kidogo

kama unavyodhani ni kitu cha thamani kubwa mno”

“Endapo tukifanikiwa kukichukua kiru

si hicho

itachukua muda gani kukiuza?”

“Within 24 hours we ‘ll be billione

ars.wanunuzi

wako wengi na wako tayari muda wowote kukinunua”Jos

h

akafikiri tena kidogo na kusema,

“Mzee mimi niko tayari tufanye hi

vyo lakini kwa

sharti kwamba kirusi hicho nitakaa nacho mimi hadi

mauzo

yafanyike”

“Usihofu kuhusu hilo Josh.nilic

hohitaji mimi ni

wewe kukubali tu.sasa tupange tutakichukuaje kirusi

hicho.”

“Hakuna namna ya kufanya kuwez

a kukichukua

kirusi hicho zaidi ya kumzimisha peniela“akasema Jo

sh .

“Unamaanisha kumuua?”akauliza

Dr. kigamba.

“Ndiyo mzee.hiyo ndiyo njia p

ekee nionayo mimi

ya kutuwezesha kukichukua kirusi hicho”akasema Jos

h.

Dr Kigomba akamtazama kwa makini.

“Another monster”akawaza.

“Tutamuuaje peniela?”

“Niachie mimi hilo swala,I’m a

professional killer

na hata wewe ukinifanyia mchezo I’ll kill you!!”aka

sema Josh

waakaendelea kujadiliana kuhusiana na mpango wao wa

kumuua peniela ili wakipate kirusi Aby.

******************

Geti la nyumba ambayo Edmund Dawsan hutumia

kama ofisi yake lilikuwa wazi akashuka garini harak

a haraka

na kulifunga.Tayari Mathew alikwiah shuka garini ak

iwa na

bastora mkononi tayari kukabiliana na hatari yoyote

.Kutokea

katika nyumba ndogo ya walinzi kulikuwa na mchirizi

wa

damu.Mathew akafuata mchirizi ule na kukuta miili y

a walinzi

wawili imetupwa ikiwa na matundu ya risasi

vichwani.Akamfanyia ishara Edmund kwamba walinzi

walikwisha uawa.wakaelekea ndani kwa tahadhari kubw

a.

Sebuleni Patrick alikuwa amelalia dimbwi la damu

.Hakuwa na uhai tena.Edmund akamuinamia akamgeuza

akashndwa kuyazuia machozi kumtoka.

“ Mungu akusamehe makosa yako yote Patrick na

akupumzishe katika makao yake ya milele.Hukustahikl

i kufa

kifo cha namna hii lakini umekufa kishujaa.Umekufa

ukiipigania nchi yako.Jina lako litaingizwa katika

orodha ya

watu walioifia nchi yetu pendwea ya Marekani” akase

ma

Edmund kwa uchungu mwingi.Akainuka na kueleka katik

a

chumba alichokitenga kwa ajili yake kulala,akabonye

za kitufe

Fulani na meme ukawaza tena.Akatoka na kuelekea ka

tika

ofisi yake akabonyeza namba Fulani katika kisanduku

kilichokuwa pembeni ya mlango na ule mlango wa chum

a

ukapanda juu akampa ishara Mathew asogee karibu.Tar

atibu

Edmund akaufungua mlango wa ndani na kumkuta Chin s

un

akiwa amelala chini hana fahamu.Haraka haraka Edmun

d

akamtoa mle chumbani na kumpeleka katika chumba cha

ke

cha kulala akamfunga mikono kwa pingu halafu akafun

gua

sehemu Fulani anamohifadhi dawa akatoa kichupa Fula

ni

kidogo na kukifungua akamuwekea Chin sun puani baad

a ya

sekunde kadhaa akapiga chafya mfululizo

“ Itamchukua muda gani Chin sun kurejea katika hal

i

yake ya kawaida? Akauliza Mathew

“ Ndani ya dakika ishirini tayari atakuwa amerudiw

a

na hali yake ya kawaida.” Akajibu Edmund

“ Hatuwezi kusubiri hadi muda huo.Tunatakiwa

kumfuatilia Peniela kwani ndani ya dakika hizo ishir

ini

anaweza akatupotea na tusimuone tena”

“ Mathew siwezi kuondoka na kumuacha Chin sun

nadhani tusipoteze muda wewe nenda ukamfuatilie Pen

iela

na mimi nitabaki hapa ,kuna mambo mengi ambayo

ninahitaji kuyafahamu toka kwake.Utanisamehe Mathew

sintaweza kuongozana nawe” akasema Edmund

“ Sawa tusiendele kupoteza muda.Peniela

ameondoka na gari lako na ulisema unaweza kulifuati

lia gari

hilo na kujua mahala lilipo.Naomba unielekeze namna

ya

kulifuatilia gari lako.Naomba vile vile na silaha

kwani naamini

lazima yatatokea mapambano huko mbele ya safari”

akasema Mathew.Edmund akampeleka Mathew katika

chumba anamohifadhi silaha akamuacha achague silaha

anazohitaji

“ Give me a gun too” akasema Anna aliyekuwa

ameongozana na Mathew mle chumbani.Mathew akaacha

kazi aliyokuwa anaifanya na kumtazama Anna kwa mac

ho ya

wasiw asi

“ Usiogope Mathew nimepitia mafunzo ya jeshi la

kujenga taifa so I know how t use a gun.Huu ni muda

wa sisi

kushirikiana wote.Siwezi tu kusimama pembeni na kuk

uacha

peke yako ukipambana.We’ll fight together” akasema

Anna

“ Are you sure Anna? Akauliza Mathew.

“ Trust me Mathew” akasema Anna.Mathew

akachukua bastora moja akaifunga kiwambo cha kuzuia

sauti

na kumpatia Anna halafu akachukua silaha na vifaa v

ingine

alivyaona vingemfaa akavipakia katika begi wakatoka

na

kumfuata Edmund chumbani

“ Anaendeleaje Chin sun? akauliza Mathew

“ Anaendelea vizuri.Mko tayari? Akauliza Edmund

“ Tuko tayari “

“ sawa twendeni garini nikawaelekeze namna ya

kulifuatilia gari aliloondoka nalo Peniela

“ Edmund akawaongoza akina Mathew hadi katika

gari lake akawaelekeza kila kitu namna ya kulifuati

lia gari

aliloandika nalo Peniela

“ Mathew natamani sana kama ningeungana nanyi

lakini siwezi kumuacha Chin sun.Ni muhimu mno kwang

u

.Ninachoomba tuwasiliane kila mara na endapo kuna h

itajika

msaada wa wa haraka nitaangalia namna ya kufanya “

akasema Edmund wakaagana .Mathew na Anna wakaingia

katika gari na kondoka kwa kasi kumfuatilia Peniela

“ Mathew I’m sorry to say this but you did a very

big

mistake to trust that woman..” akasema Anna

“ Nakubaliana nawe Anna.Nilifanya kosa kubwa sana

kumuamini Peniela .Hata hivyo lazima nitampata tu.H

ata

weza kunikimbia..! akasema Mathew kwa hasira

**************




kutoka ,Dr Kigomba na Josh wakamfuata.Waliingia kat

ika gari

la askofu Edmund wakaondoka

“ Peniela “akaita Dr Kigomba wakiwa garini mita

kadhaa baada ya kuliacha kanisa

“ Unasemaje Kigomba? Akauliza Peniela

“ Peniela tumekuwa tunakufuata tu bila ya kufahamu

ni wapi tunaelekea.Hatujui nini hatima yetu.We’re t

ogether

in this war so we deserve to know each and every pl

an you

have.” Akasema Dr Kigomba

“ Usiogope Kigomba.Kikubwa ninachoshughulikia

kwa sasa ni sehemu ya sisi kujihifadhi na baada ya

hapo

mambo mengine yatafuata.Kuhusu nini mpango wangu

kuhusu kirusi hiki ni kwamba mipango ipo mikubwa la

kini

kabla ya yote natakiwa kwanza kuthibitisha kuwa kir

usi hiki

ndicho halisi na mtu peke ambaye anaweza akanithibi

tishia

hilo ni Deus Mkozumi ambaye nimekuwa nikifanya jiti

hada za

kumpata bila mafanikio lakini kuna sehemu moja amba

yo

nina uhahakika wa kuonana naye.Twendeni huko nkaona

ne

na Deus na baada ya hapo nitajua nini cha kufanya”a

kasema

Peniela .Dr KIgomba na Josh wakatazamana na safari

ikaendelea bila kujua walikuwa wanaelekea wapi

“ Endapo nitashindwa kuonana na Deus Mkozumi

leo,sintakuwa na namna nyingine ya kufanya zaidi ya

kukiachia kirusi hiki hewani ili nijue kama ni hali

si ama vipi

kwani kila nnachokifanya kinaonekana kwenda

mrama.Sikutegemea kabisa kama mambo yangekwenda

namna hii.”akawaza Peniela

****************

Ofisi kuu ya shirika la ujasusi la Korea kaskazin

i

baada ya kupokea taarifa ya Chin sun kuhusiana na m

pango

wa kumuua Andrew Rodney,bila kupoteza muda taarifa

ikatumwa kwa serikali ya urusi ambao nao wakawasili

ana na

rubani wa ndege aliyopanda Andrew wakamtaka atue kw

a

darura katika uwanja wa ndege uliopo karibu na maha

la alipo

ili aweze kutua kwa dharura na kuwashusha abiria

wote.Rubani aliwasiliana na uwanja wa ndege wa Addi

s

Ababa Bole international airport na kuomba kutua k

wa

dharura.Wahudumu wa ndege walipewa maelekezo ya

kuwashusha abiria wote kwa haraka pindi ndege

itakapotua.Abiria hawakufahamu kilichokuwa kinaende

lea

mle ndegeni zaidi ya makachero aliokuwa wameongozan

a na

Andrew Rodney ambao walielekezwa kumuondoa Andrew

haraka sana pindi tu ndege itakapotua.

Tangazo likatolewa la kuwataka abiria wafunge

mikanda tayari kwa kutua kwa dharura katika uwanja

wa

ndege wa Bole jijini Addis Ababa.Hakuna abiria yeyo

te

aliyehisi kama kuna hatari ndani ya ndege waliyopan

da wote

wakafunga mikanda na ndege ikatua.Mara tu ndege

iliposimama mlango ukafunguliwa na abiria wakaombwa

washuke kwa mapumziko mafupi kabla ya kuendelea na

safari.Abiria walianza kushuka na kuingia katika je

ngo

waliloelekezwa kuingia kwa mapumziko na hapo ndipo

Andrew Rodney na makachero wake aliokuwa ameongozan

a

nao walipotoweka na hawakuonekana tena.Baada ya ab

iria

wote kushuka ndegeni kikosi maalum cha jeshi kikafik

a na

kuanza kufanya uchunguzi katika ndege ile kuhusian

a na

taarifa za kuwepo kwa bomu .Upekuzi ulikuwa mkali s

ana na

hatimaye walifanikiwa kuligundua bomu lililokuwa

limefichwa ndani ya sanduku la mmoja wa abiria

.Wakalichukua bomu lile kwa tahadhari kubwa na kuon

doka

nalo kwenda kulitegua .Baada ya kuhakikisha ndege ik

o

salama ,abiria wote wakaruhusiwa kuingia ndegeni hu

ku

wakipekuliwa.Baada ya abiria wote kuingia ndegeni w

atu sita

hawakuonekana ndegeni.Andrew Rodney na makachero

aliokuwa nao halafu kuna mtu mwingine tena aliyekos

ekana

ambaye baada ya kufuatilia alijulikana kama Tariq a

l Sayed

.Huyu ndiye aliyepewa jukumu la kulilipua bomu lil

ilotegwa

mle ndegeni mara tu watakapokaribia kutua katika u

wanja

wa ndege wa kimataifa wa Julius nyerere jijini Dar

es

salaam.Hatimaye ndege ikaruhusiwa kuendelea na safa

ri

baada ya vikosi vya jeshi kujiridhisha kwamba hakuk

uwa na

hatari nyingine.Abiriwa walikuwa salama na Andrew R

odney

alikuwa salama

******************

Peniela na akina Josh waliwasili Dar City shopping

mall na kuelekea katika maegesho na kuzima gari.

“ What are we doing here Peniela? Akauliza Dr

Kigomba.Peniela hakujibu kitu akabaki kimya baada

ya muda

akasema

“ Josh shuka garini nenda katika maduka ya vifaa v

ya

umeme na ununue waya nina kazi nao”

Kwa haraka Josh akatoka na kuelekea katika maduka

akanunua waya alioagizwa.

“ Peniela ,baada ya kupata uhakika kuwa kirusi hic

ho

ni halisi una mpango gani nacho? Kama bado hujaamua

chochote naweza kukusaidia mawazo namna unavyoweza

kufaidika na kirusi hicho kamahutajali” akasema Dr

Kigomba

“ Usijali baadae tutakaa na tutajadili kwa pamoja”

akajibu Peniela na kukaa kimya wakimsubiri Josh are

jee

“ huyu Kigomba anadhani simfahamu anachokihitaji?

Ninamjua vizuri sana na siwezi kumpa nafasi afanye

anachokitaka.” Akawaza Peniela na mara Josh akareje

a akiwa

na waya alioagizwa.

“ Tie him!!! Peniela akamuamuru Josh amfunge Dr

Kigomba kwa kutumia ule waya.

“ What ? Dr Kigomba akastuka

“ Tie him now !!.. akasema Peniela wa ukali.Josh

alionyesha wasi wasi

“ Josh unanielewa ninachokwambia? Ninasema

mfunge haraka Kigomba!!!

“ Peniela whats the meaning of this? Akauliza Dr

Kigomba

“ Josh nimekwambia mfunge KIgomba miguu na

mikono haraka!! Akasema Peniela kwa ukali

“ Peniela please don’t do this to me !!! akasema

Dr

Kigomba.Josh akaogopa kwa namna Peniela alivyokuwa

amekasirika.Akamfunga mikono na miguu kwa waya .Pen

iela

akamuamuru alichane shati la Kigomba na kumfunga pu

ani

na mdomoni.Josh akafanya alivyoagizwa

“ Good..!! akasema Peniela

“ Bastora yao ina risasi za kutosha? Peniela

akamuuliza Josh

“ Ndiyo.Kwa nini umeuliza?

“ Something is goin g o happen here today.Kuna

tukio kubwa linakwenda kutokea hapa muda mfupi ujao

kwa

hiyo lazima tuhakikishe tumejiandaa kwa mapambano

.”

“ Whats going to happen? Akauliza Josh kwa

wasiwasi.

“ Get out of the car” akasema Peniela a,wakashuka

garini

“ Sikiliza Josh,kuna tukio la kigaidi limepangwa

kufanyika hapa leo.Lengo kubwa ni kumteka mtoto wa

mfalme wa Saudi Arabia na vile vile kuumua Deus

Mkozumi.Deus ni mtu muhumu sana kwangu so we have t

o

all that we can to save him.” Akasema Peniela .Uso

wa Josh

akaonekana kuingiwa na woga mwingi.

“ Peniela n........!! Josh akataka kusema kitu lakini

akashindwa kutoka na woga aliokuwa nao.

“ Don’t tell me you are scared josh !!! akasema

Peniela

“ I am scared....Magaidi si watu wa kufanyia

mchezo.Wanapopanga shambulio lao wanakuwa

wamedhamiria kuua.Tutaweza kweli sisi wawili kuwazu

ia

magaidi wasitekeleze mpango wao wa kumuua Deus?

Peniela akampiga Josh ngumi ndogo kifuani na

kusema

“ Don’t be like a mama boy !!! Be a man !!! akasem

a

Peniela kwa ukali

“ We are going to save Deus no matter what ..Its n

ot

that simple but we have to try do something.Nimejar

ibu

kutafuta kila namna ya kuonana na Deus na kumuonya

kuhusu jambo hili lakini imekuwa vigumu sana kuonan

a naye

.We are going in there and you are going to cover m

y

back.Can you do that??

Josh akafikiri kidogo na kusema

“ I will.”

“ good” akasema Peniela na kufungua mlango

akachukua sanduku lenye kirusi Ab na kumtaka Josh a

mfuate

ndani

“ Kwa nini usiliache sanduku hilo ndani ya gari wa

kati

huku tunakokwenda ni sehemu ya hatari? Akauliza Jos

h lakini

Peniela hakujibu kitu.

“ Tafadhali naomba unijibu Peniela kwa nini

tumemfunga mzee Kigomba? You don’t trust him? Akaul

iza

Josh

“ Bado hufahamu chochote kuhusu Kgomba kwa hiyo

kaa kimya.” Akasema Peniela huku wakiingia ndani ya

jengo

la Dar city shopping mall wakaenda katika mkahawa

uliokuwa katika ghorofa ya pili wakakaa sehemu ya

dirishani

ambayo waliweza kuona kirahisi kila kilichokuwa kin

aendelea

nje.



mkubwa na sina hakika kama anaweza akakubali kufany

a

biashara hiyo katika sehemu kama hii.There is must

be

something else going on here and we need to find o

ut .”

akasema Anna.

“ Nakubaliana na hicho ulichokisema Anna.Sidhani

kama Deus Mkozumi anaweza akafanya kitu kama hicho

sehemu kama hii japokuwa simuamini sana Deus hasa b

aada

ya kugundua kwamba ana mawasiliano ya Chin sun pamo

ja

na Andrew Rodney.Tuachane na hayo tunachotakiwa

kukifahamu kwa sasa ni kwamba kirusi Aby kimo ndani

ya

jengo hili na tunatakiwa tukipate “ akasema Mathew.

“ kwa hiyo tunafanya nini Mathew? Akauliza Anna

“ I’m going in....Stay in the car “ akasema Mathew

“ No Mathew we’re going in together.I’m more safe

around you.usiogope hakuna yeyote anayeweza kunitam

bua

kwa haraka”

Mathew akamtazama Anna kwa makini sana na

kusema

“ sawa Anna tunaweza kwenda wote “ akasema

Mathew na kulichukua begi dogo lililokuwa na silaha

na vifaa

vingine alivyochukua kwa Edmund dawson.Anna naye

akaificha bastora aliyopewana Mathew wakashuka gari

ni na

kuelekea ndani ya jengo.

Akiwa katika mkahawa ,Peniela aliyekuwa

ameyaelekeza macho yake nje ,aliuona msafara ukiing

ia na

akashuka Deus Mkozumi,mke wake Rose,mtoto wake Lucia

pamoja na binti mfalme Salhat.

“ They are here..Follow me” akasema Peniela na

kuchukua sanduku lake la kirusi wakatoka mle mkaha

wani

wakapanda ghorofa ya juu ambako kuna maduka yanayou

za

bidhaa za vinyago ambako ndiko shambulio lilikopang

wa

kufanyika.

***************

Taarifa za kugunduliwa kwa bomu katika ndege

pamoja na kutoweka kwa Andrew Rodney zilimfikia Don

ald

na kumstua sana.

“ Taarifa zimewezaje kuvuja kuwa ndani ya ndege il

e

kuna bomu? Inawezekana Alqaeda hawakuwa makini vya

kutosha na ndiyo maana mpango huu umeshindikana na

Andrew Rodney ametoweka.” Akawaza Donald na kwa

haraka akawasiliana na wakuu wake wakajadiliana na

kuamua nini cha kufanya.Bila kupoteza wakati akachu

kua

simu na kumpigia Habib Omar mratibu wa mipango yote

waliyokuwa wamekubaliana na Alqaeda.Donald akamuele

za

kila kitu kilichotokea na kumpa maelekezo ambayo

ameafikiana wakuu wake ambayo ni kusitishwa kwanza

kwa

operesheni zote hadi hapo baadae mipango itakapokuw

a

imepangwa upya.Habib alimsikiliza Doald kwa makini

halafu

akasema

“ Donald naomba unisikilize vizuri.Sisi na ninyi t

ayari

tulikwisha ingia katika makubaliano na sisi nafasi

yetu

tumeitekeleza kama tulivyokubaliana .Tumetega bomu

katika

ndege na kilichokuwa kimebaki ni kulilipua bomu hil

o kwa

hiyo wa kulaumiwa siyo sisi bali mnapaswa kujilaumu

ninyi

wenyewe kwa uzembe wa kutokuficha taarifa zenu za

siri.Chunguzeni ni kwa namna gani taarifa hizi zili

vuja na

kusababisha Andrew kutoweka.Kwa kuwa jambo hilo

halikusababishwa na sisi,hatuna sababu yoyote ya ku

sitisha

mipango yetu kwa hiyo sisi tunaendelea na mpago wet

u wa

kuishinikiza serikali ya Saudi rabia imuachie kiong

ozi wetu.”

“ Habib agizo la kusitisha operesheni zote si agiz

o

langu bali ni agizo la wakuu wangu .Andrew ametoro

ka na

tunaamini lazima atawasiliana na Deus Mkozumi kwa h

iyo

Deus ni mtu muhimu sana kwetu kwa sasa katika kufah

amu

mahala aliko Andrew.Ukiendelea na mipango yako ya

shambulio Deus anaweza akauawa na hivyo kutuacha tu

kiwa

hatuna sehemu ya kuanzia kumtafuta Andrew.Nakuomba

sitisha kwanza shambulio hilo hadi hapo baadae.Seri

kali ya

Marekani imeahidi kushirikiana nanyi kuhakikisha ku

wa

kiongozi wenu anaachiwa huru.”akasema Donald

“ Donald ,nasikitika kwamba siwezi kulifanya hilo

unalotaka.Hatuna muda wa kusubiri kwani kila kitu

kimekwisha andaliwa .Shambulio lazima lifanyike na

lazima

tumpate Salhat” akasema Habib na kuzidi kumchangany

a

Donald

“ Habib narudia tena kukuonya kwamba hili si ombi

bali ni amri kwamba sitisha kila kitu na usijaribu

kupuuza”

Donald akasema kwa ukali

“ Naomba usithubutu kunipa vitisho Donald.Sisi

tunaendelea na mipango yetu na hakuna anayeweza

kutuzuia.Ninakuonya kwa mara nyingine tena usijarib

ukwa

namna yoyote ile kutaka kuvuruga mipango yetu!!!! A

kasema

Habib na kukata simu.Donald akajaribu kupiga tena l

akini

simu haikuwa ikipatikana tena.Donald akachanganyiki

wa

akamua kumpigia simu Dr Joshua ambaye alipokea simu

haraka haraka

“ hallow Donald “akasema Dr Joshua

“ Dr Joshua uko wapi mida hii?

“ Niko hapa ikulu nasubiri taarifa toka kwenu.Mamb

o

yanakwendaje?

“ Mambo hayaendi kama tulivyopanga” akajibu

Donald.Kauli ile ikamfanya Dr Joshua akae kimya kwa

sekunde kadhaa.

“ Nini kimetokea ? akauliza kwa sati yenye mikwamo

.

“ Nimepokea taarifa ambayo si nzuri.Kumegunduliwa

bomu katika ndege aliyokuwa amepanda Andrew Rodney

na

hadi sasa Andrew ametoweka na hajulikani alipo.”

“ Unasema nini ?Dr Joshua akastuka

“ Lile bomu lililotegwa katika ndege aliyopanda

Andrew limegunduliwa.”

“ oh my God..Iimegunduliwaje? akauliza Dr Joshua

“ Mpaka sasa bado hatujui taarifa ile imevujaje “

“ Dah !! akasema Dr Joshua na kubaki kimya

“ Dr Joshua !! akaita Donald

“ Doald nimestushwa mno kwa taarifa hiyo.”

“ Sote tumechanganyikiwa .Nimewasiliana na wakuu

wangu Marekani wamenipa maelekezo ya kusitisha lile

shambulio lililopangwa kufanyika Dar city shopping

mall.”

Deus Mkozumi hapaswi kuuawa kwani kwa sasa yeye nd

iye

anayeweza kutusaidia kufahamu aliko Andrew

Rodney.Nimempigia simu Habib na kumtaka asitishe

mipango yote lakini amedai hawezi kufanya hivyo na

kwamba

wanaendelea na mipango yao kufanya shambulio la kum

teka

Salhat.Nimechanganyikiwa Dr Joshua sielewi nifanye

nini

naomba msaada wako”

Dr Joshua akashusha pumuzi na kukaa kimya

“ Dr Joshua sema chochote muda unazid kukikimbia”

akasema Donald

“ Donald wewe ndiye mwenye mawasilaino na huyo

Habib fanya kila uwezalo kuhakikisha hatekelezi sha

mbulio

lake na kila kitu kinasitishwa haraka sana”

“Nimekwisha fanya hivyo pamoja na kumpa onyo

kali lakini amepuuza na kudai kwamba hawezi katu ku

sitsha

mipango yao.kwa bahati mbaya hata simu yake anayotu

mia

imeziwa na hapatikani tena”

“ Oh Mungu wangu !! Sasa tutafanya nini

Donald?Nipeleke kikosi cha askari wakavamie jengo l

ile na

kuwakamata akina Habib?

“ Hapana usifanye hivyo Dr Joshua.Kupeleka vikosi

vya jeshi kutaharibu mambo kabisa.Jambo hili linata

kiwa

lizimwe kimya kimya. Kuna kitu kimoja tu ambacho tu

naweza

kukifanya kwa haraka ili kuwazuia akina Habib kutok

uendelea

na mpango wao” akasema Donald

“ Jambo gani hilo Donald? Akauliza Dr Joshua

“ Unatakiw auende Dar city shoppig mall ...”

“ Nadhani unaweza kuwa na mapungufu ya akili

Donald...!! akasema Dr Joshua kwa hamaki

“ usichukie Dr Joshua hiyo ndiyo njia pekee iliyob

aki

ambayo tunawea kuitumia ili kumshinikiza Habib na w

atu

wake wasitekeleze shambulio lao”

“ hapana Donald siwezi katu kufanya kitu kama hich

o

.Mimi ni rais wa nchi na siwezi kujiweka katika hat

ari ya

namna hiyo.Siwezi nasema siwezi !!! kama hakuna nam

na

nyngine ya kumshawishi Habib na watu wake wasitishe

shambulio lao mimi napeleka pale kikosi cha jeshi n

a

watawafyekelea mbali hao magaidi..! akasema Dr Josh

ua kwa

ukali

“ Sikiliza Dr Joshua,suala hili halihitaji hasira

kwa hiyo

naomba tusikilizane na tujadiliane ili tupate muafa

ka”

akasema Donald

“ nakusikiliza endelea”

“ Dr Joshua hakuna ambaye alitegemea kama

mambo yangebadilika ghafla namna hii.lengo letu la

kushirikiana na Alqaeda lilikuwa ni kumuua Andrew R

odney

na kwa kuwa ametoweka basi operesheni nzima haina

maana tena.Lazima tufanye utafiti tufahamu nini kil

ipelekea

taarifa kuvuja na kusababisha Andrew apotee.Lakini

wakati

tukilifanya hilo tunapasa kuhakikisha Deus Mkozumi

anabaki

hai .Huyu ndiye pekee anayeweza kutupa mwanga wa ma

hali

aliko Andrew.Nakubaliana nawe kwamba unao uwezo wa

utuma kikosi cha jeshi kuwasambaratisha akina Habib

lakini

madhara ya kufanya hivyo ni makubwa kwani kutaibuka

vita

upya kati ya Marekani na Alqaeda .lli kueusha hilo

lisitokee

lazima tupate njia ya kumzuia Habib na watu wake

wasitekeleze shambulio na njia pekee tuliyonayo kwa

sasa ni

wewe kwenda katika jengo hilo kabla halijafanyika s

hambulio

.Kundi la Habib wakifahamu kwamba uko pale wataingw

a na

hofu na hawatatakeleza mpango wao”akasema Donald

Dr Joshua akafikiri na kusema

“ Nimekuelewa kidogo lakini inaniwia ugumu sana

kukubaliana nawe Donald.Watu wale ni wauaji na

wakidhamiria kufanya kitu hawarudi nyuma.Siwezi

kuhatarisha maisha yangu kiasi hicho”akasema Dr Jos

hua

“ Dr Joshua hili si suala la kuhatarisha maisha ba

li ni

kupigania maisha.Endapo tutashindwa kumdhibiti Habi

b na

kundi lake na akafanikiwa kumuua Deus Mkozumi basi

yale

mambo yote ambayo uliahidiwa kupewa na serikali ya

marekani hayatapatikana tena...” akasema Donald na

kumstua Dr Joshua

“ umesema nini Donald??

“ Nadhani umenisikia vizuri Dr Joshua.kama

hutachukua jitihada za haraka za kumdhibti Habib ba

si sahau

kuhusu yale mambo makubwa uliyoahidiwa na Marekani.

“ Hilo haliwezekani Donald kwani tayari tumekwisha

fanya makubalianao na mimi kwa upande wangu

nimetekeleza sehemu yangu “

“ Dr Joshua pamoja na makubaliano yote

tuliyokubaliana lakini mambo yamevurugika kwa hiyo

endapo

unataka makubaiano yetu yaendeleee fanya kama

nilivyokutaka ufanye na kila kitu kitabaki kama

tulivyokubaliana.Kinyume na hapo sahau kuhusu

makubaliano yetu “ akasema Donald na kumchanganya s

ana

Dr Joshua.Zikapita dakika tatu za ukimya kisha Dr J

oshua

akasema

“ Donald nitakwenda lakini naomba ufahamu kuwa

sijafurahishwa na kitendo hiki cha kuhatarisha usal

ama

wangu “ akasema kwa hasira Dr Joshua na kukata siu.

Kijasho

kilikuwa kinamtiririka.Haraka haraka akatoa amri wa

linzi

wake wajiandae tayari kwa kuelekea Dar city shoppi

g mall.

“ Nahisi hii ni kama laana.Mbona kila kitu

ninachokifanbya hakifanikiwi?Nilitegemea suala hili

lingekwenda vizuri lakini nalo limekwenda tofauti k

abisa na

matarajio.Mambo niliyoahidiwa na serikali ya Marekan

i ni

makubwa na siko tayari yapotee ndiyomaana ninakwen

da

huko Dar City shoppig mall kumzuia huyo gaid Habib

asitekeleze mpango wake wa kumuua Deus .Nafahamu

najipeleka katika hatari lakini siko tayari kuyakos

a mapesa

yale mengi niliyoahidiwa.Ninao walinzi wa kutosha a

mbao

wameapa kunilinda hata kama ikiwalazimu kuukatisha

uhai

wao” akawaza Dr Joshua na kutoka akaingia garini na

msafara ukaondoka kueleka Dar City shopping mall

******************

Chin sun alifumbua macho na kujikuta akiwa amelala

katika kitanda huku miguu na mikono ikiwa imefungwa

kwa

pingu Pembeni ya kitanda kile alikuwepo mtu ambaye

alimpenda kwa dhati na kukabidhi moyo wake wote

.Akamtazama mumewe Edmund kwa hasira .Baada ya



mtapata kipigo ambacho vizazi na vizazi

vitakikumbuka.Nitatabasamu pale marekani watakapoin

ua m

ikono ishara ya kushindwa .Huo utakuwa ni mwanzo wa

kuiheshimu Korea Kaskazini.!!!

“ Hiyo ni ndoto ya mchana Chin sun.Hata kama hilo

unalolisema litatokea hutapata nafasi ya kulishuhud

ia kwani

utapelekwa Marekani na huko unajua nini kinawapata

wale

wote wanaokamatwa kwa kosa la kuipeleleza

Marekani.Utanisamehe sana Chin sun kwa hilo” akase

ma

Edmund na kumfanya Chinsun azidi kumwaga machozi

“ Edmund nakubali nimeshindwa lakini kabla

hujafanya mpango wowote wa kunipeleka huko Marekan

i

kuna kitu nataka kukifahamu toka kwako.Nafahamu kwa

miaka hii yote tuliyoishi pamoja tumekuwa tukiishi

kwa

mapenzi makubwa.Nilikupenda na ninakupenda kwa moyo

wangu wote .Katika maisha yangu wewe ndiye kila

kitu.Umenifanya niyafurahie maisha yangu.Kuna wakat

i

nilitamani hata niachane na kazi hii ili niishi mai

sha ya

kawaida pamoja nawe.Kwa ufupi ni kwamba sikufahamu

kama wewe ni C.I.A na lengo lako kubwa ni kunichung

uza

.Toka moyoni mwangu nakiri kwamba wewe ni mwanaume

wa pekee kabisa ambaye ninakupenda pasi na mfano na

ambaye niko tayari kufanya chochote kwa ajili yake.

Pamoja

na kwamba ulinilaghai kwa miaka hii yote kwamba

unanipenda lakini kumbe ulikuwa kazini nataka kufa

hamu

,uliwahi hata mara moja kuwa na hisia za kweli za

kunipenda? Nijibu toka ndani ya moyo wako.Ni muhimu

sana

kwangu” akasema Chin sun kwa hisia kali .Maneno ya

le ya

Chin sun yalionekana kumuingia Edmund akainama kido

go

halafu akasema

“ Nilipoitwa ofisini sikujua kama ninakwenda kupew

a

kazi hii.Nimewahi kufaya kazi nyingi ndani ya C.I.A

lakini

sikuwahi kukutana na kazi ngumu kama hii.Nilipoanza

kufanya kazi yangu kwa kutafuta ukaribu na wewe

sikutegemea kabisa kama ningefika hapa ilipofika.Kw

a kuwa

hatuna muda wa kutosha na wewe unahitaji jibu naomb

a

nikwambie bila kupepesa macho kwamba

ninakupenda.Sikuwa nimetegemea hilo kutokea lakini

kadiri

nilivyoendelea kuishi na wewe nilishinda kujizuia

kukupenda.Ukiweka pembeni kazi unayofanya ya ujasusi

lakini upande wa pili wewe ni mwanamke bora kabisa

ambaye kila mwanaume anaota kumpata.Una kila sifa y

a

mke bora na hicho ndicho kilinifanya nikaanguka

mapenzini.Wakuu wangu walinipa ruhusa ya kufunga na

we

ndoa walinipa maelekezo ya kutokuvuka mipaka nikaji

kuta

ninazama mapenzini na kusahau majukumu yangu.Baadae

waligundua utofauti na hii iliwapa uhakika kwamba n

imeanza

kuzama mapenzini na hivyo kunitaka nivunje mahusian

o

nawe haraka sana lakini niliwaomba wanipe muda zaid

i wa

kuendelea kufanya uchunguzi wangu.Kupitia kwako nim

eona

thamani ya kuwa na familia kwa mara ya kwanza

nimeyafurahia mapenzi katika maisha yangu kwa kuwa

nawe.Kwa hiyo Chin sun kukujibu swali lako ni kwamb

a

ninakupenda sana lakini kazi ndiyo inayonisababisha

nikufanyie hivi.Nisamehe sana Chin sun kwani sina n

amna

nyingine ya kufanya zaidi ya kutekeleza majukumu

niliyopangiwa.” akasema Edmund dawson ambaye ni wa

zi

alionekana kuumia moyoni.Machozi mengi yalimtoka Ch

in

sun kwa maneno yale ya mumewe Edmund

“ Edmund ahsante sana kwa maneno hayo

uliyonieleza ambayo nilihitaji sana kuyasikia masik

ioni

mwangu.Ahsante kwa kunipenda.Siku zote umekuwa ni

mwanaume bora kabisa kwangu ambaye nimejivunia kuwa

naye umenionyesha mapenzi makubwa na kunifanya

niyafurahie maisha yangu.Edmund ninakupenda zaidi

ya

ninavyoweza kukueleza na kwa sababu hiyo niko tayar

i

kufanya uamuzi mgumu kwa ajili ya penzi letu.Sitaki

nikupoteze ,sitaki mapenzi yetu yafike mwisho.Ukini

ponyoka

k atika mikono yangu sintapata mwanaume wa kufanana

nawe.Wewe ni kila kitu ,wewe ni maisha yangu” akase

ma

Chin sun .Edmund akamtazama na kusema

“ Nasikitika sana Chin sun hakuna kinachoweza

kufanyika kwa sasa kutufanya tuendelee na mapenzi y

etu.Ile

safari yetu tuliyokula kiapo hadi kifo kutenganishe

imeishia

hapa.”

“ Hapana Edmund haiwezi kuishia hapa.Dakika

chache zilizopita umenihakikisha kuwa unanipenda .M

imi

nakupenda pia.Upendo h uu tulionao una una nguvu na

maana kubw a wetu kuliko kazi zetu,kuliko nchi zet

u kwa

hiyo tunaweza kufanya jambo kubwa ambalo hakuna

aliyelitarajia”

“ Unamaanisha nini unaposema hivyo Chin sun?

Akaulza Edmund

“ kama nilivyokueleza hapo awali kuwa niko tayari

kufanya maamuzi magumu endapo tu nitasikia toka kwa

ko

kuwa una hata nukta moja ya hisia za kunipenda.Kwa

kuwa

umekiri mwenyewe kuwa unanipenda . Nataka nikuonyes

he

kuwa wewe ni zaidi ya kila kitu ”

“ Chin sun ....” Edmund akataka kusema kitu lakini

Chin sun akamzuia

“ Niache nimalize kwanza kile ninachotaka kukisema

halafu utaongea”

“ Sawa endelea” akasema Edmund

“ Edmund nafahamu Korea kaskazini na Marekani ni

nchi mahasimu kwa muda mrefu na lengo la wewe kutu

mwa

kunichunguza ni ili kupata taarifa za muhimu kuhusu

Korea

kaskazini.Niko tayari kukupa kila aina ya taarifa z

a siri

unazohitaji kuhusu Korea kaskazini au nitakuelekeza

sehemu

namna ambayo unaweza ukapata kila unachokihitai ku

husu

Korea kaskazini..”

“ Chin sun??!! Akasema Edmund kwa mshangao

“ Kama nilivyokueleza Edmund kuwa kiwango cha

upendo ninaokupenda ni kikubwa zaidi ya unavyofikir

i na

hakiwezi kulinganishwa na kitu chochote .Kwa sababu

hiyo

niko tayari kuisaliti nchi yangu kwa ajili yako.Nik

o tayari

kuisaliti nchi yangu kwa ajili yako.Niambie ni kit

u gani

unahitaji kukifahamu kuhusu Korea Kaskazini? Progra

mu zake

za nyuklia? Yaliko makombora yake? Au nini unahitaj

i?

Edmund akafuta jasho usoni na kumtazama Chin sun

“ Chinsun unamaanisha unachokisema?

“ Ndiyo Edmund.Ninamaamisha ninachokisema

.Ntakusaidia kufahamu kila unachokihitaji kuhusu Ko

rea

kaskazini lakini kwa sharti moja tu..

“ Sharti gani hilo? Akauliza Edmund

“ Nataka utakapozipata taarifa hizo na kuipatia

serikali yako ,mimi na wewe sote tuachae kazi zetu

hizi za

ujasusi na tukaishi mbali maisha ya kawaida kama wa

tu

wengine.Uko tayari kwa hilo? Nithibitishie kama kwe

li

unanipenda na uko tayari kulipigania penzi letu.Mim

i tayari

nimeonyesha njia kwa kufanya kitu cha hatari kubwa

lakini

kwa kulipigania penzi letu.Nakusikiliza wewe unasem

aje kwa

upande wako? Uko tayari kulipigania penzi letu? Aka

uliza

Chin sun.Edmund alishindwa kutoa jibu la haraka har

aka

akazama katika tafakari.

“ Najua unaogopa Edmund kufanya maamuzi

magumu lakini hupaswi kuogopa.Maamuzi utakayoyafany

a

hapa yataamua hatima ya maisha yako yaliyobaki hapa

duniani.je unataka kuendelea kuifanya kazi hii ya u

jasusi

katika maisha yako yote yaliyobaki ? Kitu gani cha

kujivunia

ulichokipata toka umeanza kazi hii ? Hakua chochote

cha

kujivunia na ninakuhakikishia Edmund kuwa endapo

utachagua kuendelea na kazi hii ya ujasusi basi sah

au kabisa

kuwa na maisha ya kawaida kama watu wengine.Kamwe

hautapata furaha katika m aisha yako.Edmund tunayo

nafasi

ya kuyabadilisha maisha yetu na kuishi maisha yenye

furaha

na amani tukiwa na watoto ambao Mungu atatujalia.Ki

tu

kingine Edmund sisi ni watumishi wa Mungu japokuwa

tumekuwa tunaifanya kazi hii kama mwavuli wa kufich

a

shughuli zetu lakini watu wametupokea ,wanatusikili

za na

wanatuelewa.Tumebadili maisha ya watu wengi,kwa nin

i kazi

hii tuiachie hapa? Kwa nini tusiendelee na kazi hi

i ya kuokoa

roho za watu kuliko kuendelea na kazi za kuangamiza

roho za

watu? Inawezekana yote haya yaliyotokea ni mipango

ya

Mungu ili atutumie katika kazi yake ya kuhubiri inj

ili.Tunazo

fedha nyingi za kutuwezesha kwenda kuishi sehemu ny

ingine

yoyote duniani.Tuachane na kazi hizi tuzifanyazo tw

ende

tukawe wachungaji wa kweli ,tukajikabidhi kwa bwana

na

tumtumikie yeye tu.Hatuna sababu ya kuogopa kwani y

eye

atatulinda dhidi ya wote wenye nia ovu nasi.Isikie

sauti ya

bwana ndani yako anatuita anatutaka

tukamtumikie.Haijalishi ni makosa mangapi tumemko

sea

lakini tunao muda wa kutubu dhambi zetu na Mungu

akatusamehe akatutakasa na tukawa wapya tena.” Aka

sema

Chin sun huku Edmund akiwa amefumba macho.Zilipita

dakika kama nne za ukimya na mara Edmund huku

akibubujikwa na machozi akamfungua Chinsun pingu

alizofungwa wakakumbatiana huku wote machozi

yakiwatoka

“ Bwana ametumia kinywa chako kunena

nami.Nimeisikia sauti yake akiniita nami nimeitika

na niko

tayari kumtumikia.Chin sun Mungu ana makusudi makub

wa

sana kwetu na kwa hiyo niko tayari kuachana na kila

kitu kwa

ajili ya kuifanya kazi ya bwana.Nataka tuwe watumi

shi wa

kweli wa Mungu na si wa kuigiza kama tulivyokuwa

tunafanya.” Akasema Edmund

“ Ahsante Mungu.Ahsante bwana wa majeshi kwa hili

ulilotufanyia.Ahsante kwa kutufanya tuone na tuelew

e

kusudi lako kwetu.” Akasema Chin sun akiwa amaeinu

a

mikono juu halafu wakakumbatiana tena.

“ Edmund sasa nieleze unachotaka kukifahamu

kuhusiana na Koreak Kaskazini.Chochote kile unachok

ihitaji

nitakupatia” akasema Chin sun.Edmund akamtazama

akamshika mabegani akatabasamu na kusema

“ Huna haja ya kufanya hivyo.Sitaki nikuweke katik

a

matatizo Chin.Nataka tukayaanze maisha mapya kwa am

ani

bila migogoro.Sitaki tutengeneze migogoro baina ya

nchi

zetu.Ninaamini unanipenda kwa dhati ya moyo wako na

ndiyo maana uko tayari hata kufanya jambo la hatari

kubwa

kama hilo la kunipa siri za serikali ya Korea kaska

zini.Huna

haja ya kufanya hivyo mke wangu.NItawataarifu C.I.A

kuhusiana na kuachana nao ili niendelee na kazi yan

gu ya

uchungaji kisha tutaondoka na kwenda mbali kwenda

kuanzisha kanisa na tutaishi kwa amani kama watumis

hi wa

Mungu.” Akasema Edmund .Chin sun akamkumbatia tena

na

kumbusu

“ Ahsante Edmund.Ahsante sana mume wangu

kipenzi.Nadhani sasa utakubaliana nami kuwa kilicho

po kati

yetu ni kikubwa zaidi ya tunavyofikiri.Kuna nguvu k

ubwa

inayotuzunguka na hii ni nguvu ya kimungu.Lakini ka

bla

hatujaweka nukta kuashiria kufika mwisho wa kazi hi

zi za

ujasusi kuna jambo ambalo tunatakiwa tulifanye”

“ jambo gani hilo? Akauliza Edmund

“ Kuna Yule msichana Peniela ambaye ndiye

aliyenifahamisha kila kitu kuhusu wewe .Yule msicha

na

ametumiwa na Mungu kutufunua macho yetu .Alikuja

kwangu akanieleza kila kitu kuhusu wewe na alikuwa

anahitaji nimsaidie kitu kimoja.Alihitaji nimuungan

ishe na

Andrew Rodney ili aweze kumsaidia kulimaliza kundi

la team

SC41 ambalo linafanya kazi kwa siri hapa nchini n

a katika

nchi mbalimbali ambako Marekani wamefanya

uwekezaji.Andrew Rodney amekuwa akianika hadharani

siri

mbalimbali za Marekani kwa hiyo Peniela anataka And

rew

Rodney aanike kila kitu kuhusiana na Team SC41.Hii

ndiyo

njia pekee ya kulimaliza kundi hili la Team SC41 kw

ani dunia

nzima watafahamu kile wanachokifanya Marekani na

halitaendelea tena.Ukiacha hilo kwa sasa Peniela an

a kirusi

Aby ambacho ni kirusi hatari sana na Korea Kaskazin

i

wanakitafuta kwa lengo moja tu la kuishambulia Mare

kani

kwa hiyo tunatakiwa kumtafuta na kukichukua kirusi

hicho

tukihifadhi sehemu salama ili kuepusha maangamizi

makubwa yanayoweza kutokea kutokana na kirusi hicho

.Vile

vile kuna jambo lingine alinieleza” Akasema Chin su

n na

kunyamaza kidogo

“ Kuna mambo makubwa yamepangwa kufanyika

hapa nchini leo.Kwanza ni mpango wa Marekani kumuua

Andrew Rodney.Makachero wa Marekani walioko Moscow

walibaini ujio wa Andrew hapa Tanzania na waligundu

a

kwamba alikuwa anakuja kuonana na Deus Mkozumi hivy

o

wakapanga kwamba wamuue Andrew pamoja na Deus

Mkozumi kwa kutumia kikundi cha kigaidi cha




niwezavyo kupambana na kwanza kuhakikisha ninampata

Peniela na pili kuwazuia magaidi hao wasiweze kutek

eleza

mpangowao.Its going to be a victory or death kwa hi

yo

nakuomba nenda kakae katika gari kwa ajili ya usal

ama wako

.Sitaki kitu chochote kikupate “ akasema Mathew

Hapana Mathew,siwezi kujificha.Najua unalengo zur

i

la kuniepusha na hatari lakini siwezi kukuachia juk

umu hili

peke yako. Ikitokea nimepoteza maisha nitakuwa nime

kufa

kishujaa kwa ajili ya kupigania haki ya watu ya kui

shi ambayo

wachache wenye roho za kishetani wanataka

kuwapoka.Mathew nimepitia jeshi la kujenga taifa

ninafahamu kutumia silaha ,ninazifahamui mbinu za

kupambana kwa hiyo nitapambana sambamba nawe”

akasema Anna

“ Anna tafadhali naomba unisikilize .Haijalishi un

ajua

kutumia silaha au vipi lakini kinachokwenda kutokea

hapa ni

tukio la kigaidi na kupambana na watu kama hawa ina

hitaji

mtu ambaye ana mafunzo ya hali ya juu.Tafadhali Ann

a

nielewe ninachokuomba na utoke nje ya jengo hili ha

raka

sana kabla mambo hayajaharibika”

“ Hapana Mathew!! I’ll stay ..” akajibu Anna na ma

ra

nje ya jengo lile vikasikika ving’ora vya polisi.Ma

thew

akasogea dirishani na kuchungulia nje.Ulikuwa ni msa

fara wa

rais

“ Oh my God !! Mr president ....” Akasema Mathew

“ Mungu wangu ! Anna naye akastuka

“ Amekuja kutafuta nini hapa? Akauliza Anna

Mathew akamshika bega na kusema

“ Anna narudia tena kukuomba nenda katika gari

kwani eneo hili linanuka hatari kubwa”

“ Mathew nimekwisha kwambia hapana.Chochote

kitakachotokea tutakikabili pamoja.Tusipoteze muda

Mathew akina Deus wanazidi kusogea mbali zaidi tue

ndelee

kuwafuata” akasema Anna huku sura yake ikionyesha w

oga

kwa mbali hasa baada ya baba yake kuwasili katika j

engo lile

Deus mkozumi akiwa ameambatana na mtalaka wake

Rosemary Mkozmi ,mtoto wao Lucia pamoja na mgeni wa

o

Salhat waliendelea kuzungukia baadhi ya maduka yali

yomo

ndani ya jengo lile lililosheni biashara lukuki.Sal

hat alifurahi

sana kuziona bidhaa za wajasiria mali wa kitanzania

na kila

kilichomvutia alikinunua.Katika msafara ule ni Luci

a pekee

aliyekuwa akijua kinachokwenda kutokea .Alikuwa na

wasi

wasi mwingi lakini alijilazimisha kutabasamu ili ku

ficha wasi

wasi aliokuwa nao.

Ujio wa rais katika jengo lile uliwashangaza

wengi.Hakuna aliyetegemea kama rais angeweza kufika

pale.Akiwa amezungukwa na kundi la walinzi wake ,Dr

Joshua

aliingia ndani ya jengo na hakutaka kupoteza muda

kuzunguka katika maduka mengine bali alitaka apele

kwe

moja kwa moja katika maduka yanayouza bidhaa za vin

yago

ambako ndiko kulikopangwa shambulio kuanzia..Mara k

wa

mara alikuwa anafuta jasho ambalo halikukauka katik

a uso

wake kutokana na woga aliokuwa nao

Peniela alifahamu namna mpango mzima wa

shambulio lile ulivyopangwa kwa hiyo akatangulia k

atika

duka ambalo ndimo kulipangwa kufanyika shambulio pi

ndi tu

Deus akiingia.Akiwa na sanduku lake la kirusi walii

ngia katika

duka lile na kuanza kutazama vinyago vya aina mbali

mbali

huku Peniela akilichunguza duka lile namna lilivyok

aa na

namna anavyoweza kupambana na magaidi wale na

kumuokoa Deus kwani ndicho kitu pekee kilichokuwa a

kilini

mwake.Josh aliyekuwa akimfuata nyuma Peniela alione

kana

kuwa na mawazo mengi sana.

“ Siwezi kukaa humu nda kuwasibiri magaidi wafanye

shambulio.I have to do something to get the virus n

ow.Siko

tayari kuaawa na magaidi .I have to kill Peniela be

fore I get

killed .I have to do it very quick” akawaza Josh ak

iwa nyuma

ya Peniela.

Katika duka lile kulikuwa na chumba cha siri ambac

ho

magaidi walikuwa wamejificha wakiwa tayari kutekele

za

mpango wao.Tayari walikuwa wameandaa silaha zao na

walichokuwa wanasubiri ni amri ya Habib kiongozi wa

o ya

kufanya shambulio.Ndani ya chumba hicho pia walikuw

epo

vijana wanne mahiri katika kompyuta .Kutokana na ut

aalamu

wa hali ya juu wa kompyuta waliokuwa nao waliweza

kuunganisha kompyuta zao na kamera za ulinzi zilizo

kuwamo

ndani ya jengo lile na waliweza kuona kila kilichok

uwa

kinaendelea .Mmoja wa vijana wale ambaye jukumu lak

e

lilikuwa ni kufuatilia kila kilichokuwa kinaendelea

ndaniya lile

duka ambamo ilipangwa shambulio lianzie alistushwa

na na

tukio lililonaswa na moja ya kamera za siri ambapo

kijana

mmoja alionekana akitoa bastora na kumuelekezea

mwanamke mmoja aliyekuwa na kisanduku kidogo.Haraka

haraka Habib akaonyeshwa tukio lile akastuka sana

“ Tayari mambo yameharibika.Mipango yetu tayari

imejulikana na huyu kijana lazima ametumwa kuvurug

a

mipango yetu.Salhat amefika wapi? Akauliza

“ tayari yuko katika duka la tatu kabla ya hili la

kwetu

lile wanalouza bidhaa za shanga”

“ Hatuna tena muda wa kupoteza .Kuna kila dalili z

a

kutaka kukwamisha mipango yetu yote kwani rais naye

amekuja ghafla na lengo lake ni kutukwamisha tusite

keleze

mpangowetu” akasema Habib na kuwaita vijanawake wo

te

pamoja wakashikana mikono

“ Ndugu zangu kuna kila dalili hapa za kutaka

kutukwamisha mpango wetu.Ujio wa rais hapa ni jiti

hada za

kutuzuia tusitekeleze mpango wetu.Tumekwisha kula k

iapo

cha kupambana hata ikibidi kupoteza uhai kwa ajili

ya

kiongozi wetu kwa hiyo hakuna wa kuturudisha nyuma

katika

hilo.Tuna endelea na mpango wetu kama tulivyopanga

.Kumbukeni lengo kuu ni kumpata Salhat kwa hiyo wen

gine

wote waueni isipokuwa Lucia ambaye kila moja tayari

ana

picha yake.Ni Lucia pekee anayetakiwa atoke salama

ndani

ya jengo hili lakini wengine wote waueni.Deus Mkozu

mi ana

walinzi ,Salhat ana walinzi na rais wa Tanzania pia

ana walinzi

kwa hiyo kinachokwenda kutokea ni mapambano makali

ya

silaha.Tumejipanga vizuri,tunazo silaha kali na za

kutosha

.Kila mmoja atumie silaha yake vizuri na baada ya d

akika

thelathini kila kitu kiwe kimemalizika ” akasema H

abib na

kisha wakashikana mikono

“ Na sasa kazi ianze” akasema Habib halafu akaend

a

mezani akachukua kifaa wanachokitumia kwa mawasilia

no na

kuwapigia magaidi wengine waliokuwa wamejipanga kat

ika

sehemu mbali mbali za jengo lile kuwataarifu kazi i

anze.

“ What are you doing josh?!! Please put your gun

down !! Peniela akamwambia Josh aliyekuwa

amemuelekezea bastora

“ Peniela wewe ni kama dada yangu na sitaki

kukufanyia kitu chochote kibaya.Give me the virus !

!

akasema Josh kwa ukali.

“ Josh please dont do this !!.. What you are tryin

g to

do is very dangerous” akasema Peniela

“ Peniela I don’t want to hurt you.Give me the vir

us !!

akasema tena Josh .Macho yake hayakuonyesh masihara

hata kidogo

“ Josh please don....” Kabla hajamaliza sentesi yake

milio mitatu ya risasi ikasika.Peniela akaanguka ch

ini na

sanduku lenye kirusi likaanguka pembeni.Kama cura J

osh

akalinyakua lile sanduku lenye kirusi .akatazama hu

ku na

huko watu wote walikuwa wamejificha kutokana na tah

aruki

waliyoipata baada ya milio ile ya risasi kusikika k

wani bastora

ya Josh haikuwa na kiwambo cha kuzuia sauti.Josh ak

aanza

kukimbia lakini kabla hajapiga hatua tatu ikasikika

milio ya

risasi mfululizo Josh akaanguka chini ,mwili wake u

licakazwa

kwa risasi.Watu zaidi ya kumi waliofunika nyuso zao

huku

wakiwa na silaha nzito wakajitokeza na kuanza kurus

ha risasi

hovyo.Dakika hiyo hiyo katika maegesho ya magari

walichomoka watu zaidi ya kumi toka ndaniya gari mo

ja la

mizigo wakiw a wamezifunika nyuso zao na huku wakiw

a na

silaha nzito nzito na kuanza kurusha risasi hovyo

hovyo.Taharuki ikatanda na watu wakaanza kukimbia h

ovyo

kuokoa maisha yao.Magaidi wale waliofunika nyuso za

o na

kuvaa fulana zisizopenya risasi waliachia risasi ho

vyo na watu

wengi waliokuwa wakikimbia kutaka kuokoa maisha yao

walionekana wakianguka chini kutokana na risasi za

wale

magaidi.Hali katika jengo lile zuri lililosheheni b

iashara za kila

aina ilibadilika ghafla ,harufu ya damu ikatanda ki

la kona.

Milio ya risasi ilipoanza kusikika katika duka

alilokuwamo Peniela ,Mathew akamvuta Anna na kumuin

giza

katika duka walilokuwa karibu nalo.Wakati risasi zi

lipoanza

kuvuma msafara wa Deus mkozumi uikuwa unaelekea kat

ika

duka lile la kuuza vinyago .Milio ile ya risasi il

iwastua sana

walizniw a Deus na wale wa Salhat na wakati wakijia

ndaa

kujua nini kimetokea wakastukizwa na watu waliojito

keza

ghafla wakiwa wamefunika nyuso zao walioanza kuwaru

shia

risasi.Lilikuwa ni shambulio la ghafla sana ambalo

hawakuwa

wamelitegemea.Yakatokea majibizano makali sana ya r

isasi

lakini magaidi wale walionekana kuwazidi nguvu wali

nzi

kutokana na kuwa na silaha nzito. Pamoja na shambul

io lile la

kustukiza lakini kwa umahiri mkubwa walinzi walifan

ikiwa

kuwaficha Deus mkozumi,mke wake Rose,Lucia na Salha

t

katika duka la karibu na kisha kuanza kutoa upinzan

i mkali

kwa wale magaidi wasiingie ndani ya duka lile.

“ Peniela!! Oh my God where is she ? I must find h

er

.Lazima nifanye kila ninaloweza kumtafuta kwani ye

ye ndiye

muhimu zaidi kwangu kwa sasa.” Akawaza Mathew

Wakati mapambano ya risasi yakiendelea kati ya

askari polisi wakiungana na walinzi wa Salhat ,mapa

mbano




“ Anna cover my back “ akasema Mathew huku

akitoka ndani ya kile chumba na kutembe kwa tahadha

ri

kupanda juu huku akifuatiwa na binti mfalme Salhat

ambaye

walinzi wake wote walikuwa wameuawa ,alikuwepo pia

mama mmoa aliyekuwa na mtoto wake mdogo.Nyuma yao

alikuwepo Anna na Yule mzee aliyepewa bastora

wakiwalinda waliotangulia mbele..

“ God please save her .. I beg you Lord save her”

Mathew akaomba wakati akipanda juu.Walifika eneo la

juu

Mathew akamlaza Peniela chini wakati wakimsubiri Ed

mund

“Ee Mungu tafadhali nakuomba mponye Peniela.”

Akaomba tena Mathew na kumgeukia Anna

“ Anna ninarudi ndani nataka nikaangalie kama kuna

majeruhi wengine hasa Deus Mkozmi.Stay close to Pen

iela.”

Akasema Mathew halafu akamuelekeza Yule mzee aliyem

pa

bastora sehemu ya kusimama .Kwa tahadhari Mathew

akashuka tena ndani .Eneo lile la juu bado liliende

lea kuwa

kimya .Akaingia katika duka walimokuwamo akina Deus

Mkozumi akaanza kutafuta kama kuna mu yeyote

mzima.Pembeni ya kinyago kikubwa cha tembo Deus

Mkozumi alikuwa amelala akionekana wazi hakuw na uh

ai

.Alikuwa ameloa damu.Pembeni yake alikuwepo Rosema

ry

Mkozumi ambaye alikuwa anatokwa na damu puani na

alikuwa anavuta pumzi kwa shida sana.

“ Huyu shetani tayari amekwisha vuta hewa yenye

kirusi Aby.Nina hasira naye sana sijui nimchakaze k

wa

risasi,lakini ngoja nimuache afe taratibu kwa mateso

akawaza Mathew

“ Hakuna mtu mzima humu,karibu wote wamepigwa

risasi na waliokuwa wamesalimika tayari wamekwisha

vuta

hewa yenye kirusi Aby.Hakuna msaada wowote ninaowez

a

kuwapa hawa watu.Salhat ana bahati sana niliwahi

kumuokoa ” akawaza Mathew na kumtazama Rosery

Mkozumi alivyokuwa akihangaika kupumua.Pembeni yake

alikuwepo mwanamek mmoja ambaye naye alionekana

kuvuta hewa kwa taabu sana,huyu alikuwa Lucia

Mkozumi.Mathew akamtazama Rosemary kwa mara nyingin

e

“ I hope you are going to hell shetani wewe” akawa

za

Mathew na kutoka mle chumbani na kupanda juu

alikowaacha akina Anna.Mara tu alipotokeza zikaonek

ana

helkopta mbili zikielekea kule juu ya jengo. Ziliku

wa ni

helkopta za jeshi ambazo zilitua na kushusha kikos

i cha

makomandoo waliokuja kukabiliana na magaidi

wale.Mathew akajitambulisha na kumueleza kiongozi w

a

kikosikile cha makomandoo hali halisi ilivyo mle

ndani.Wanajeshi wote walikuwa wamevaa vifaa maalum

vya

kujikinga dhidi ya kirusi Aby kama walivyokuwa wame

pewa

maelekezo.Bila kupoteza muda makomandoo wale wakain

gia

ndani ya jengo lile tayari kwa mapambano.Helkopta n

yingine

mbili zikatua na kuongeza makomandoo .Milio ya risa

si

ikaanza kusikika ndani ya jengo

Idara ya usalama wa taifa walifanyia kazi taarifa

ambayo Eva alipewa na Mathew kuhusiana na kusambaa

kwa

kirusi hatari kwa kusambaza taarifa katika vyombo v

ya habari

kuwataka watu wachukue tahadhari dhidi ya kirusi hi

cho

hatari .Watu walitakiwa kuzikinga pua na midomo yao

kwa

vifaa maaluma au vitambaa wakati wakisubiri taarifa

rasmi

toka wizara ya afya kuhusiana na uwepo wa kirusi hi

cho.

Askari polisi waliovalia vikinga pua na midomo

waliofika kwa haraka sana eneo la tukio la kuwazuia

watu

asikaribie eneo lile huku wakigawa vikinga pua na

kuwaondoa watu katika majengo ya jirani na lile.

Ndaniya jengo mapigano yakawa makali sana .Wakati

mapambano yakiendelea nje ya jengo taratibu helkopt

a ya

akina Edmund ikatua mlango ukafunguliwa akashuka

Edmund na Chin sun wakiwa wamejihami kwa silaha na

vifaa

vya kujikinga dhidi ya kirusi Aby. Bila kupoteza

mudawakampakia kwanza Peniela .Kabla watu wengine

hawajapanda ndani ya ile helkopta wakatoka makomand

oo

wakiwa wamembeba rais Dr Joshua na kuwazuia akina

Mathew kuondoka wakitaka Dr Joshua apakiwe kwanza

katika helkopta ile na kumuwahisha hospitali.Dr Jos

hua

alikuwa hoi ametapakaa damu

“ My father !! akasema Anna.Dr Joshua alikuwa

anavuja damu na ilionekana alikuwa amejeruhiwa kwa

risasi

.Anna alipomuona baba yake katika hali ila akaangua

kilio.

“ Shusha watu wote ndani ya helkopta tumuokoe

kwanza rais” akasema mmoja wa wale wanajeshi

“ Hapana hatuwezi kufanya hivyo.Kuna mtu ambaye

ni muhimu mno kuliko hata rais ambaye naye amejeruh

iwa

na anatakiwa kuwahishwa hospitali kuokolewa maisha

yake.”

Akasema Mathew

“ Afisa hii ni amri na si ombi.Shusha watu wote hu

mo

ndegeni na apakiwe rais awahishwe hospitali kwani h

ali yake

si nzuri.!!akaamuru Yule mwanajeshi

“ Naomba tusiendele kupoteza wakati jambo hilo

siwezi kuliruhusu kwa sababu tunayemuwahisha hospit

ali ni

mtu muhimu mno kwa nchi na kwa dunia kwa ujumla kwa

hiyo tafuteni namna nyingine ya kufanya kumuwahisha

rais

hospitali” akasema Mathew huku akiwaingiza ndegeni

akina

Salhat.Anna alikuwa amepiga magoti mahala alipokuwa

amelazwa baba yake akilia.

“ Afisa usitake tutumie nguvu ,nakuamuru kwa mara

ya mwisho shusha watu wote ndani ya ndege tumuwahish

e

rais hospitali.!!!!.” akasema Yule mwanajeshi huku

akiinua

silaha yake kumuelekezea Mathew ambaye naye alishik

a

bastora yake

“ Naomba ndugu zangu msitake yafike huko

mnakotaka yafike kwani si kuzuri.Tafuteni namna nyi

ngine ya

kumuwahisha rais hospitali lakini mimi niacheni nio

koe mtu

wa muhimu sana.” Akasema Mathew na kutazamana na

wale makomandoo ambao walifanya mawasiliano ya kupa

ta

helkopta ya kumkimbiza Dr Joshua hospitali.Mathew

akamfuata Anna

“ Anna lets’s go ...” akasema Mathew.Anna akainua

kichwa na kumtazama Mathew.Macho yake yalikuwa

yamejaa machozi

“ Mathew please help my father..Ameumia mno

tafadhali usimuache....Please save him..dont let him

die.!!

Akaomba Anna .

“ I’msorry Anna there is nothing I can do right no

w to

save him.Tayari amekwisha vuta hewa yenye kirusi Ab

y kwa

hiyo hakuna unachoweza kukifanya kwa sasa.In few mi

nutes

he’ll die.. Anna twende tuondoke..okoa maisha

yako”akasema Mathew .Kwa hasira Anna akaivua maski

aliyokuwa ameivaa akaitupa chini.

“ I’m gong to die with my father..Go Mathew I’m

staying withmy father..!!! go you monster !! akasem

a Anna

kwa hasira .

“ Anna nooooo!!!! Akapiga ukelele Mathew baada ya

Anna kuvua maski

“ Mathew !!!!! akaita Edmund.Mathew akageka na

kumuona Edmund akimfanyia ishara waondoke.Hakuwa na

namna ya kufanya tena kumsaidia Anna

“ Goodbye Anna..akasema Mathew na kukimbia

katika helkopta akaingia na kufunga mlango ikaondok

a .

“ Edmund nimeumia sana kumpoteza Anna.Kwa nini

amefanya ujinga kama ule wa kuvua maski wakati anaf

ahamu

eneo hili lote limesambaa kirusi Aby? Akasema Mathe

w kwa

uchungu

“ Achana naye ,tuelekeze nguvu kwa Peniela.”

Akasema Edmund

Toka Dar city shopping mall,helkopta ilielekea kat

ika

kanisa la akina Edmund ambako kuna hospitali kubwa

yenye

vifaa na wataalamu wa hali ya juu.Tayari madaktari

na

wauguzi walikwisha pewa taarifa mapema hivyo walik

uwa

wamejianda kumpokea Peniela na majeruhi wengine.Mar

a tu

baada ya helkopta kutua Peniela akashushwa na kupak

iwa

katika gari la wagonjwa akakimbizwa hospitali.Watu

wengine

waliookolewa akiwamo Salhat wakapakiwa katika gari

lingine

la wagonjwa na kupelekwa hospitali kufanyiwa uchung

uzi wa

afya zao.

“ Edmund ,Chinsun ahsanteni sana kwa msada huu

mkubwa.Ninyi ndio mliofanya nikaweza kukabiliana n

a wale

magaidi na kufankiwa kuwaokoa hata hawa watu wachac

he

muhimu.Jambo kubwa kwa sasa ni kupigania uhai wa

Peniela.Naomba muwasisitize madakari wafanye kila

wanaloweza ili kukoa maisha ya Peniela” .Mathew aka

sisitiza

“ Mathew usiogope tafadhali .Mungu yuko upande

wetu na ninakuhakikishia Peniela atapona tu.Mungu n

i

mwema anafahamu umuhimu wa Peniela nina hakika

atayasikia maombi yeu na kumuacha hai” akasema Edmu

nd

“ Ahsante sana Edmund lakini nataka nielekee

hospitali ili niwe na uhakika zaidi kuwa madaktari

wanafanya

kila waliwezalo kuokoa maisha ya Peniela”

“ sawa Mathew tunaelekea huko lakini usiwe na hofu

hospitali hii imesheheni madaktari bingwa wa kila a

ina kwa

hiyo Peniela yuko katika mikono salama.” Akasema Ed

mund

na kumgeukia Chin sun

“ Chin sun sisi tunakwenda kufuatilia hali ya Peni

ela

wewe utawafuatilia wale watu wengine ambao wameenda

kuchunguzwa na watakapotolewa utawapeleka nyumbani

kwa ajili ya mapumziko.” Akasema Edmund na wote

wakaondoka kuelekea hospitali.

“ Edmund kuna kitu kimenistua kidogo ,nini

kimetokea kuhusu Chin sun? akauliza Mathew wakati

wakielekea hospitali

“ Mathew kuna jambo limetokea tutaongea baadae

lakini kwanza tushughulikie suala la Peniela” akase

ma

Edmund huku wakitembea kwa kasi kubwa.

Eneo la chumba kikuu cha upasuaji lilikuwa na hek

a

heka nyingi ,karibu madaktari wote bingwa wa hospit

ali hii

kubwa walikuwamo katika chumba cha upasuaji kwa len

go

moja tu la kuokoa maisha ya Peniela.Edmund na Mathe

w

walivaa mavazi maalum na kuingia ndaniya chumba kil

e cha

upasuaji kushuhudia kilichokuwa kinaendelea .Haikuw

a kazi

nyepesi mle chumbani,madaktari walikuwa na kazi

nzito.Mathew na Edmund wakatoka baada ya kuridhika

kuwa

kazi kubwa ilikuwa inafanyika .Baada ya kutoka Math

ew

akachukua simu na kumpigia Eva.

“ Hallow Mathew vipi haliya huko? Sijaweza

kukupigia simu toka muda ule kujua maendeleo yako t

uk

katika heka heka kubwa.Bado uko ndani ya jengo? Aka

uliza

Eva baada ya kupokea simu ya Mathew

“ Hapana Eva siko ndaniya lile jengo tayari

nimekwisha toka.Ninashukiuru kwa jitihada zako kwan

i vikosi

vya jeshi vilifika muda mfupi tu baada ya kuwasilia

na nawe

na hadi ninaondoka katika eneo la tukio tayari wali

kuwa

wamefankiwa kumuokoa rais ingawa hali yake haikuwa

nzuri

kutokana na kujeruhiwa.Kuna taarifa yoyote mmeipata

kuhusiana na kinachoendelea ndani ya jengo lile?

“ Bado hatuna taarifa kamili ya nini kinachoendele

a

ndaniya jengo lile ila taarifa tuliyoipata muda mf

upi uliopita

ni kwamba rais Dr Joshua amefariki dunia wakati aki

kimbizwa

hospitali kuu ya jeshi.Taarifa zinasema pia kwamba

mwanae

Anna pia yuko mahututi”

“ Ujinga na hasira zake vimemgharimu

anna.Nilipambana sana kuhakikisha anakuwa salama la

kini

juhudi zangu zote hazikusaidia .Imeniumiza sana”

“ Unamfahamu Anna?

“ Ndiyo nilikuwa naye katika tukio lile”

“ Pole sana Mathew.Ila kuna taarifa nyingine

tumeipokea pia kuwa vikosi vya jeshi vmefanikiwa ku

mpata

pia rais mstaafu Deus Mkozumi,mke wake Rosemary

pamojana mtoto wao anayeitwa Lucia lakini wote wame

kufa”

“ Dah !! Mathew akasema na kuinamisha kichwa

“ Huu ni msiba mkubwa sana kwa taifa..” akasema

Eva. Ukapita ukimya mfupi Eva akauliza

“ Kwa sasa uko wapi Mathew?

“ Kwa sasa nimejipumzisha sehemu Fulani.Eva kuna

jambo moja nataka unisaidie”

‘ Sema Mathew unahitaji nikusaidie nini?

“ Nataka kuonana na kiongozi yoyote mkubwa wa

serikali ambaye anakaimu madakara ya rais kwa sasa

baada

ya rais kufariki.Unaweza kunisaidia kwa hilo? Ni m

uhmu

sana”

“ Kiongozi ambaye anatakiwa kukaimu nafasi ya urai

s

endapo rais atakuwa amefariki ni makamu wa rais lak

ini kwa

bahati mbaya hayupo nchini huu ni mwezi wa pili sas

a yuko





city shoping mall.Pamoja na kulitangaza tukio hilo

hawakutangaza kwa upana kuhusu kirusi kinachodaiwa

kusambaa hewani ambacho hakuna aliyekuwa na uhakika

ni

kirusi cha aina gani na nini madhara yake japokuwa

watu

walionywa kuanza kuchukua tahadhari wakati wakisubi

ri

taarifa rasmi ya kuhusiana na kirusi hicho.

Wakati dunia nzima ikishtushwa na shambulio la

kigaidi la Dar city shopping mall ,jijni Dar es sal

aam zilianza

kusambaa taarifa za kifo cha rais wa Tanzania Dr Jo

shua

ambaye alikuwemo katika jengo lile lililoshambuliwa

na

magaidi.Taharuki ilianza kutanda nchini na vyombo v

ya

habari vya ndani vilifanya kazi kubwa ya kujaribu k

uwatuliza

na kuwandoa hofu watanzania kuhusiana na kilichokuw

a

kinaendelea katika jengo la Dar city shopping mall

na

kuwataka wawe watulivu na wasubiri taarifa rasmi to

ka

vyombo husika.Vile vile wananchi waliendelea kuhimi

zwa

kutopuuza taarifa za kuwepo kwa kirusi hicho bali w

alitakiwa

kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya

kirusi

kilichotangazwa kusambaa.Sintofahamu kuhusiana na

usalama wa nchi ilizidi kutanda .

Kikosi cha makomandoo wa jeshi kilichokuwa ndani

ya jengo la Dar city shopping mall kikipambana na m

agaidi

,kilifanikiwa kuwadhibiti magaidi na kufanikiwa kul

idhibiti

jengo hilo.Karibu magaidi wote waliuawa.Pamoja na

kumalizika kwa kazi ile kubwa na ngumu ya kupambana

na

magaidi wale walikuwa na silaha nzito nzito lakini

tayari kirusi

Aby kilikwisha sambaa na kila aliyekutwa akiwa hai

hali yake

haikuwa nzuri kwani tayari alikuwa amevuta hewa yen

ye

kirusi Aby.Helkopta za jeshi zilifanya kazi ya kuwa

chukua

manusura wa shambulio lile na kuwapeleka katika hos

pitali

kuu ya jeshi ambako kulitengwa wodi mbili maalum k

wa ajili

ya kuwahudumia wale wote walioathiriwa na kirusi Ab

y.

Wakati haya yote yakiendelea ,bado madaktari

walikuwa wanaendelea na kazi ya kujaribu kuokoa uha

i wa

Peniela.Mathew na Edmund dawson bado walikuwa nje y

a

chumba cha upasuaji wakisubri upasuaji ule umalizik

e na

wafahamu hatima ya Peniela

“ Mathew awali uliniuliza swali lakini sikuweza

kukujibu kutokana na heka heka zilizokuwepo.Kwa sas

a

wakati tunaendelea kusubiri madaktari wamalize upas

uaji

tunaweza kuongea.” Akasema Edmund na kukaa kimya

kidogo halafu akaendelea

“ Kuna jambo limetokea kati yangu na Chin sun na

ndiyo maana umeona tuko pamoja tena hata baada ya

kunifahamu mimi ni nani na nini nimekuwa nikifanya

kwake.” Akanyamaza kidogo na kuendelea.

“ Katika kuishi kwetu japokuwa tuliishi kila mmoja

akiwa na siri nzito na kila mmoja akiwa na sura mb

ili

,tumegundua kuwa kuna kitu kikubwa kati yetu.Tumegu

ndua

kuwa kila mmoja anampenda mwenzake kwa kiwango cha

juu.Najua unaweza ukaniona mdhaifu lakini naomba ni

kiri

kwako Mathew kwamba ninampenda sana Chin sun

.Haikuwa dhamira yangu kumpenda lakini baada ya kui

shi

naye niljikuta nikimpenda.Sikuwahi kuwa na furaha h

apo

kabla katika maisha yangu lakini baada ya kuishi na

Chin sun

nimeyafurahia maisha .Chinsun amenifanya nione tham

ani ya

kuwa na familia.Amenifanya nijitambue mimi ni mwana

ume

wa aina gani,amenifanya nijifunze kupenda.Kwa ujuml

a Chin

sun ameyabadili maisha yangu.Kwa upande wake Chin s

un

naye ni hivyo hivyo.Ananipenda zaidi ya ninavyoweza

kukueleza Mathew.Nimehakikisha hilo kwani alikuwa t

ayari

kunipa siri kubwa za Korea kaskazini siri ambazo se

rikali ya

Marekani imekuwa inazitafuta kwa muda mrefu bila

mafanikio.Hilo lilitosha kabisa kunithibitishia kuw

a kweli Chin

sun ananipenda kwa moyo wake wote” akanyamaza akame

za

mate na kuendelea

“ Baada ya kugundua sote tunapendana kwa dhati ya

mioyo yetu tumefanya maamuzi.” Akanyamaza kidogo

akamtazama Mathew na kusema

“ Tumeamua kuachana na kazi zetu za ujasusi na

kuanza maisha mapya ya kawaida.Sisi ni watumishi w

a

Mungu hivyo tumeamua kuendelea kuifanya kazi hii ya

kumtumikia Mungu kwa kutangaza injili.Tunaamini Mun

gu

ana kusudi la kututumia kuifanya kazi yake kwa hiyo

ametuita

,tumetiika na tuko tayari kumtumikia.Baada ya shugu

li hii

kumalizika tutaweka nukta katika kazi zetu za ujasu

si na

tutakwenda kuishi mbali kabisa ambako tutaanzisha k

anisa

na tutaendelea kumtumikia Mungu.Hayo ndiyo maamuzi

tuliyoyafikia na ndiyo maana umeona niko tena na Ch

in sun.”

akasema Edmund .Ilimchukua Mathew sekunde kadhaa

kufungua mdomo wake na kusema

“ Edmund kwa sasa siwezi kusema chochote kuhusu

maamuzi yenu.Naamini nimefanya maamuzi sahihi kwani

mnaitafuta furaha ya maisha yenu. Nawapongeza kwa

maamuzi haya ambayo naamini haikuwa rahisi kuyafany

a

lakini mmeyafanya kutokana na upendo mkubwa

uliowazunguka.Ninachoweza kusema tu ni kwamba Mungu

awazidishie upendo na ulinzi katika maisha yenu mapy

a

mliyoyachagua” akasema Mathew

“Ahsante sana Mathew.Kokote kule tutakakokuwa

hatutaweza kukusahau.Wewe ni zaidi ya rafiki .Pamoj

a na

hayo ninakushauri Mathew chukua hatua sasa za kuan

za

kutafuta furaha ya maisha yako kwa kuachana na kazi

hizi

ukatafuta mwenza mkaanzisha familia.Ninaamini lazim

a yupo

ambaye ataikamilisha furaha yako.Mtafute huyo na mu

ombe

Mungu akuangazie ili umpate na uishi maisha yenye f

urana

na amani.Maisha haya ni mafupi sana.Ona watu

walivyopoteza maisha katika shambulio la leo.Maisha

haya ni

zawadi ambayo tunatakiwa kuitumia vizuri.” Akasema

Edmund

“ Uko sahihi Edmund.Hicho ni kitu ambacho

nimekuwa nakifikiria sana na niliwahi kulizungumza

suala hilo

na Anitha na sote tuliazimia kuachana na shughuli h

izi na

kuanza maisha mapya baada ya suala hili kumalizika

lakini

nasikitka ndoto yake ya kuwa na maisha yenye furaha

haikuweza kukamilika.Mungu ampumzishe kwa amani

Anitha.” Akasema Mathew

“ Kuna nguvu kubwa ameiweka katika mapenzi na

ndiyo maana ikitokea ukampenda mtu kwa dhati ya moy

o

wako utakuwa tayari kufanya lolote kwa ajili yake n

a ndiyo

maana wewe na Chin sun mmeweza kufanya maamuzi

ambayo naweza sema ni sahihi” akatulia kidogo na ku

sema

“ Sikuwahi kuamni kuwa atatokea mwanamke

ambaye nitampenda kama nilivyompenda aliyekuwa mke

wangu lakini naweza kusema ni muujiza wa Mungu kwan

i

ninahisi kutokea kumpenda mtu.Najisikia kupenda

tena.Huwezi amini Edmund pamoja na yote aliyotenda

na

hasira zote juu yake lakini nampenda mno Peniela.”

Licha ya kwamba walikuwa katika wakati mgumu wa

matatizo ,maneno aliyoyasema Mathew yakamlazimisha

Edmund Dawson kutabasamu akatazama juu na kuinua

mikono

“ Utukufu kwako ee Mungu kwani hakuna

linaloshindikana kwako” akasema Edmund halafu akase

ma

“ Mathew hili unalolisema nilikwishaliona .Kwa mar

a

ya kwanza nilipowaoneni niliona kuna kila dalili za

upendo

mkubwa uliowazunguka na nilitaka kuongea nawe kuhus

u

jambo hili lakini haukuwa wakati muafaka.Mathew ta

fadhali

kama kweli unampenda Peniela tafadhali naomba uongo

zane

nami kanisani tukafanye maombi tumuombe Mungu

asimchukue Peniela na ampe nafasi nyingine tena.” A

kasema

Edmund huku akiinuka ,Mathew naye akainuka wakaanza

kutembea kwa kasi kueleka katika kanisa mara simu y

a

Mathew ikaita.Zilikuwa ni namba za Eva.Mathew akaip

okea

haraka haraka

“ Halow Eva”

“ Mathew nimekupigia kukutaarifu kuwa nimelifanyia

kazi lile suala lako kwa kuwatumia wakuu wangu .Kum

ekuwa

na ugumu kidogo kama nilivyokueleza awali.Waziri mk

uu

ametingwa na mambo mengi sana kwa sasa .Pamoja na

kutingwa huko lakini bado amekubali kuonana nawe ba

ada

ya kumueleza kuwa wewe ni nani na kwamba una jambo

la

muhimu la kuongea naye.Uko wapi nikufuate ili ukaon

ane

naye sasa hivi kwani ametoa muda wa dakika arobaini

uwe

umefika.”

“ Kwani wewe uko wapi sasa hivi Eva?

“ Niko hapa katika ofisi zetu za usalama wa taifa”

“ Ok nakuja hapo sasa hivi “.akasema Mathew na

kukata simu .

“ Edmund imepatikana nafasi ya kwenda kuonana na

waziri mkuu.Nataka nikaongee naye ili nimueleze hal

i halisi

ilivyo na vile vile niwakabidhi kazi iliyobaki ya k

ulisafisha

genge la mafisadi wanaoitafuna nchi hii bila huruma

“ sawa Mathew usipoteze muda,nenda kaonane

naye .Mimi nitabaki hapa kufuatilia hali ya Peniela

na endapo

kuna chochote kitakachotokea nitakujulisha” akasema

Edmund na kwenda kumkabidhi Mathew gari akaondoka

“ Nina uhakika waziri mkuu ni mtu muadilifu na

atayafanyia kazi yale nitakayomueleza .Lazima ahak

ikishe

anaufagia mtandao wote wa Dr Joshua.Kuna mtu mmoja

ambaye sifahamu yuko wapi ,Dr Kigomba.Huyu angepati

kana

angekuwa na msaada mkubwa sana katika kuufutilia mb

ali

mtandao huu wa mafisadi.Lakini hata kama amekufa vy

ombo

vya uchunguzi vitafanya uchunguzi wao kuubaini mta

ndao

wote wa Dr Joshua.Ukiacha Kigomba bado kuna mtu mmo

ja

ambaye anaweza kuwa na msaada mkubwa katika uchungu

zi

naye ni Abel Mkokasule.Huyu alikuwa anatumiwa na ra

is

katika mipango yake miovu.Huyu ni mtu wa kutafutwa

haraka sana kabla hajapotea.” Akawaza Mathew akiwa

njiani

kueleka katika ofisi za usalama wa taifa.Alipunguza

mwendo

kutokana na foleni na mara picha ya Peniela ikamji

a.

“ Ee Mungu naomba umponye Peniela.Tunamuhitaji

sana.Kutoka kwake tunaweza kupata dawa ya kudhibiti

kirusi

Aby kwani ndiye pekee mwenyeki nga hiyo.Watu wako w

engi

watapoteza maisha endapo haitapatikana dawa ya

kukidhibiti kirusi hiki hatari.Zaidi ya yote ninamp

enda Peniela

na ninahitaji kuanza naye maisha mapya.” Akaomba Ma

thew

huku akiendelea na safari.Mitaani hakukuwa na pilik

a pilika

zile zilizozoeleka ,idadi ya watu mitaani ilipungua

sana ,

maduka mengi tayari yalikwisha fungwa.

Mathew aliwasili katika ofisi za idara ya usalama

wa

taifa ,akajitambulisha na moja kwa moja akapewa na

kupelekwa katika ofisi moja kulimokuwamo na watu wa

nne

na mmoja wao alikuwa ni Eva.Wakasalimiana na bila

kupoteza muda Mathew akaongozana na watu wale ambao

watatu walingia katika gari lao na Eva akapanda kat

ika gari la

Mathew safari ya kuelekea kwa waziri mkuu ikaanza.

“ Pole sana Mathew.Siamini kama umetoka salama

katika shambulio lililotokea ambalo ni baya kuwahi

kutokea

hapa nchini.Mungu ashukuriwe sana kwa kukutoa salam

a

katika mikono ya mashetani wale na ukasaidia kuweza

kuwadhibiti.Bila ya wewe kupambana na kufanikiwa ku

toa

taarifa ile mambo yangekuwa mabaya zaidi .Unastahil

i

pongezi kubwa Mathew kwa ushujaa wako .Pamoja na ha

yo

naomba japo kwa ufupi unieleze kuhusiana na kirusi

ulichokisema.Ni kirusi cha aina gani hicho na nini

madhara

yake? Akauliza Eva

“ Eva Kirusi Aby ni kirusi kibaya sana kuwahi

kutengenezwa na mwanadamu na ambacho kinasababisha

kifo haraka sana kwani mtu akivuta hewa yenye kiru

si hiki

hupoteza maisha ndani ya kipindi kifupi. Kingine ki

baya ni

kwamba kirusi hiki mpaka sasa bado hakina kinga “

“ Nani alitengenza kirusi hicho? Magaidi? Akauliza

Eva kwa wasi wasi

“ Eva naomba kwa sasa usiniulize swali lolote kich

wa

changu naona kimejaa.Tutapata wasaa baadae tutaonge

a na

nitakueleza kila kitu.” Akasema Mathew na hakukuwa

na

maongezi tena ndani ya gari

Eneo lote la kuzunguka ikulu ya Dar es salaam

lilikuwa na ulinzi mkali sana .Pamoja na ulinzi mka

li

uliokuwepo akina Mathew walifanikiwa kuvuka bila vi

kwazo

wakapokewa na baada ya kushuka garini wakaongozwa ha

di

mahala alikokuwa waziri mkuu.Ilikuwa ni katika chum

ba cha

mkutano ya siri cha rais.Ndani ya chumba hicho wazi

ri mkuu

Josephat Kisopa hakuwa peke yake bali alikuwa na wa

tu

wengine wanne.Alikuwepo mkuu wa majeshi ya ulinzi

,mkuuwa jeshi la polisi pamoja na maafisa wengine w

awili wa

jeshi.Mathew akaonyeshwa kiti akaketi.Waziri mkuu

akamtazama kwa makini na kusema

“ Mathew,karibu sana”

“ Ahsante mzee” akajibu Mathew

“ Mathew pamoja nami ni viogozi wa vyombo vya

ulinzi na usalama wa nchi ambao nimewataka wawepo h

apa





habari kama ilivyozoeleza,ulipigwa wimbo wa taifa n

a wazi

mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania akajitokeza

“ Ndugu zangu watanzania habari za usiku

huu.Nimejitokeza mbele yenu usiku huu kuzungumza na

nyi

kuhusiana na masuala mazito yaliyoikumba nchi yetu

leo.

Ndugu zangu watanzania siku ya leo ni siku ambayo

haitasahaulika katika historia ya nchi yetu.Kumetok

ea

matukio mawili ya mashambulio ya mabomu ambayo

tunaamni yamefanywa na magaidi ambayo yamesababisha

damu ya watanzania wasio na hatia kumwagika.

Tuko la kwanza limetokea saa sita za mchana

ambapo hoteli ya Samawati beach hotel imelipuliwa k

wa

mabomu na idadi kubwa ya watu wamepoteza maisha na

wengine wamejeruhiwa wengi wao vibaya sana ikiwamo

kupoteza kabisa viungo vyao.Miongoni mwa walipoteza

maisha ni raia wa kigeni toka mataifa mbalimbali am

bao

walikuwa wamefikia hotelini hapo.

Baadae mida ya saa tisa za alasiri watu ambao

tunaamini ni magaidi walivamia jengo la kibiashara

la Dar city

shopping mall na kufanya shambulio kubwa ambalo

limesababisha idadi kubwa ya watu kupoteza maisha.B

ado

hatuna idadi kamili ni watu wangapi walipoteza mais

ha lakini

pindi idadi kamili itakapopatikana tutawafahamisha.

Makomandoo wa jeshi letu walifanikiwa kuingia

ndani ya jengo hilo wakapambana na magaidi hao wali

okuwa

na silaha nzito na kuwamaliza wote.Kwa taarifa nili

zo nazo

mpaka sasa hakuna gaidi hata mmoja aliyebaki hai.Wo

te

wameuawa na uchunguzi unaendelea ili kubaini kama k

una

gaidi yeyote aliyebaki

Wakati magaidi hao wakitekeleza shambulio lao

ndani ya jengo hilo alikuwemo rais wa Tanzania Dr J

oshua

,alikuwemo pia rais mstaafu wa Tanzania Deus Mkozum

i

akiwa na familia yake vile vile alikuwemo binti mfa

lme wa

Saudi Arabia aliyekuja hapa nchini kwa mapumziko ak

iwa

ameongozana na wenyeji wake ambao ni familia ya Deu

s

Mkozumi.

Wanajeshi wetu walifanikiwa kumuokoa rais lakini

kutokana na mapambano makali yaliyotokea kabla ya

wanajeshi wetu hawajafika baina ya walinzi wa rais

na

magaidi ,rais alikuwa amejeruhiwa na ninachukua naf

asi hii

kulitangazia taifa kuwa Rais wa jamhuri ya muungano

wa

Tanzania Dr Joshua Joakim amefariki dunia wakati

akikimbizwa katika hospitali kuu ya jeshi.Kwa mujib

u wa

taarifa ambazo zimethibitishwa ni kwamba rais msta

afu

Deus Mkozumi na familia yake nao pia ni miongoni mw

a

watu waliopoteza maisha . .

Ndugu watanzania ,taifa letu limepatwa na msiba

mkubwa sana wa kuondokewa na watu hawa muhimu.Lakin

i

pamoja na masahibu hayo makubwa ambayo taifa letu

limeyapata bado kuna jambo lingine limegunduliwa .K

una

kirusi ambacho inasemekana ni hatari sana na kinach

oweza

kusababisha kifo ndani ya kipindi kifupi, na kinach

osambaa

kwa njia ya hewa tayari kimesambaa hewani.Tayari ba

adhi ya

watu waliokuwemo ndani ya jengo la Dar city shoping

mall

wanatajwa kufariki baada ya kuvuta hewa yenye kirus

i

hicho.Tayari timu ya wanasayansi wetu wameanza uchu

nguzi

ili kubaini ni aina gani ya kirusi na namna ya kuwe

za

kukidhibiti.Tayari tumekwisha omba pia msaada wa

wataalamu toka umoja wa mataifa ambao watafika hapa

muda wowote kuanzia sasa ili kusaidia na wale wa kw

etu

katika kukidhibiti kirusi hicho hatari ambacho kina

sambaa

kwa njia ya hewa na huathiri mfumo mzima wa upumiaj

i

.Wakati wanasayansi wetu wakiendelea na uchuguzi

,wanamchi mnatakiwa kuchukua tahadhari za kujiking

a na

kirusi hiki kwa kuziba pua zenu kwa vifaa malum vya

kukinga

pua na mdomo au vitambaa maalum ambavyo mpango

unaandaliwa ili vitolewe bure katika kila hospitali

hapa

nchini. Naziagiza hospitali za mikoa kote nchini ku

tenga wodi

maalum kwa ajili ya wagonjwa watakaokuwa wameathiri

ka

na kirusi hiki

Ndugu zangu watanzania ,pamoja na msiba mzito

tulioupata wa kuondokewa na wapendwa wetu,nawamba

ndugu zangu tuwe watulivu katika wakati huu wa majo

nzi na

kuwaombea wale wote waliopoteza maisha yao katika

mashambulio ya leo wakiwamo viongozi wetu wakuu wa

kitaifa.Pamoja na mashambulio haya napenda

kuwahakikishia kuwa nchi yetu bado iko salama na ms

iwe na

hofu yoyote.Majeshi yetu ya ulinzi na usalama yako

macho

usiku na mchana kwa kulinda mipaka yetu na kuzuia k

ama

kuna mashambulio mengine yamepangwa kutokea hapa

nchini.Tumeshambuliwa na damu ya watanzania wasio n

a

hatia.Tutapambana na yeyote aliyemwaga damu za

watanzania awe mkubwa ama mdogo.Tutachukua hatua

dhidi ya mtu,kikundi au taifa lolote lililoshiriki

katika

kupanga,kufadhili,au kusaidia kwa namna yoyote ile

katika

shambulio la leo.

Natangaza siku kumi na nne za maombolezo ya

kitaifa na katika siku hizo zote bendera zitapepea

nusu

mlingoti.Mtakuwa mkipokea taarifa kupitia vyombo vy

a

habari kuhusu kile kinachoendelea .

Mwisho kabisa narudia kuwaomba ndugu watanzania

tuendelee kuwa watulivu,tudumishe amani na mshikama

no

katika kipindi hiki kigumu bila kusahau kujikinga d

hidi ya

kirusi Aby

Mungu ibariki Afrika

Mungu ibariki Tanzania

Ahsanteni kwa kunisikiliza”

Waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania

alihitimisha hotuba yake kwa taifa.Kilichofuata baa

da ya

hotuba hiyo ilikuwa ni nyimbo za maombolezo.Baada y

a

kutoa hotuba ile kwa taifa waziri mkuu akaingia kat

ika katika

kizito cha baraza la usalama la taifa ili kujadili

matukio

yaliyotokea na hali ya usalama wa nchi.Kwa kuwa Mat

hew

alikuwa na taarifa nzito na nyeti kwa usalama wa nc

hi,waziri

mkuu alimualika ashiriki katika baraza lile ili vio

ngozi wengine

waweze kufahamu kwa undani nini hasa kilichotokea n

a

kinachoendelea hapa nchini

****************

Kikao cha baraza la usalama wa taifa kilimalizika

saa

nane za usiku.Uwepo wa Mathew katika kikao hiki uli

kuwa na

umuhimu mkubwa sana kwani ni pekee aliyekuwa

anafahamu mambo mazito yaliyokuwa yanafanywa kwa si

ri

na mtandao wa Dr Joshua.Baada ya kumalizika kwa kik

ao kile

ilikuwa taarifa kuwa katibu wa rais Dr Kigomba amep

atikana

akiwa ndani ya mojawapo ya magari yaliyokuwapo kati

ka

maegesho ya jengo la Dar shoping mall wakati vikosi

vya jeshi

vilikuwa vinafanya upekuzi katika magari yaliyoeges

hwa

katika maegesho ya jengo lile.Taarifa ile ilisema k

wamba

baada ya kupelekwa hospitali Dr Kigomba amepimwa na

amegundulika hana maambukizi ya kirusi Aby kwani nd

ani ya

gari alikuwa amefungwa kitambaa puani na mdomoni

ambacho ndicho kilichomsaidia asiweze kuathiriwa.Ta

arifa

nyingine ilisema kuwa Abel Mkokasule naye vile vil

e

amekamatwa kufuatia agizo la waziri mkuu.

Mathew aliondoka maeneo ya ikulu akiwa na ulinzi

aliopewa akaelekea moja kwa moja hospitali kufatil

ia hali ya

Peniela .Jiji la Dar kwa usiku huu lilikuwa kimya k

abisa .Ni

magari ya polisi tu yaliyoonekana kuranda randa kat

ika mitaa

mbali mbali yakifanya doria.

Haikumchukua Mathew muda mrefu kufika hospitali

kutokana na kutokuwapo magari barabarani.Alipokewa

na

Edmund na Chin sun ambao hadi muda huo hawakuwa

wamelala.

“ pole sana Mathew “ akasema Edmund na

kumueleza Mathew kilichoendelea wakati hayupo.Edmun

d

alimfahamisha Mathew kuwa upasuaji ulimalizika na

madaktari walisema kwamba ulikuwa na

mafanikio.Madaktari walifanikiwa kuyaokoa maisha ya

Peniela na kwa muda huo aliwekwa katika chumba maal

um

huku madakari wakiendelea kufuatilia hali yake kwa

karibu

“ Ahsante Mungu” akasema Mathew na kushusha

pumzi

Ulikuwa ni usiku mrefu sana kwao wote

watatu.Waliongea mambo mengi yanayohusiana na maish

a

yao mapya wanayotarajia kuyaanza lakini kikubwa zai

di

walifanya maombi maalum kumuombea Peniela

WIKI TATU BAADAE

Habari kubwa iliyotawala vyombo vyote vya habari

dniani kote siku hii ya alhamisi ni ile ya shirika

la afya duniani

kuithibitisha na kuizindua rasmi kinga ya kupambana

na kirusi

Aby.Toka kirusi Aby kiliposambaa na kusababisha maa

fa

makubwa ,makampuni makubwa ya kutengeneza dawa

walichukua sampuli ya damu ya Peniela ambaye ndiye

pekee

aliyekuwa na kinga dhidi ya kirusi Aby na wakafanik

iwa

kutengeneza kinga ambayo baada ya kufanyiwa majarib

io

ilifanya kazi vizuri. Kwa sababu dawa hiyo ilitokan

a na kinga

iliyochukuliwa toka mwilini mwa Peniela wanasayansi

waliamua kumpa heshima ya kipekee na kuiita kinga h

iyo

yenye uwezo mkubwa wa kupambana na kirusi Aby ,Peni

ela.

Kirusi Aby tayari kilikwisha sambaa katika sehemu

kubwa ya dunia na maelfu ya watu tayari walikwisha

poteza

maisha .Kupatikana kwa dawa ya Peniela ilikuwa ni h

abari

njema kwa dunia nzima.Uzinduzi wa dawa ya Peniela

ulifanyika nchini Tanzania na kuhudhuriwa na viongo

zi wa

mataifa zaidi ya sabini

Peniela ambaye kwa sasa hali yake ilikuwa

inaendelea vizuri kutokana na upasuaji mkubwa aliof

anyiwa

alichukuliwa kutoka hospitali na kupelekwa katika u

kumbi

zilimofanyika sherehe za uzinduzi wa dawa hiyo akiw

a

ameongozana na Mathew.Watu wote wakasimama na

kuwapigia makofi.Walitembea katika zuria jekundu hu

ku

wakipunga mikono kuwasabahi viongozi wale wengi

waliohudhuria uzinduzi ule mkubwa wa dawa iliyosubi

riwa

kwa hamu kubwa na mamilioni ya watu duniani. Viongo

zi

mbali mbali walitoa hotuba zao na kisha tukio kubwa

lililokuwa linasubiriwa likafuata.Dawa ya Peniela i

kazinduliwa

rasmi.Lilikuwa ni tukio kubwa kuwahi kutokea nchini

Tanzania ambalo lilirushwa dunia nzima.Peniela alig

euka

kuwa mtu maarufu mno duniani kwani jina lake lilita

jwa

katika kila kona ya dunia.Mikataba aliyoingia na ma

kampuni

makubwa ya kutengeneza dawa duniani ilimuingizia pe

sa

nyingi mno na kumfanya aingie katika orodha ya watu

matajiri duniani.

Baada ya kukamilika kwa uzinduzi ule Peniela

hakurejea tena hospitali bali walielekea katika mak

azi ya

akina Edmund ambako Mathew alikuwa akiishi kwa sasa

.

Baada ya mapumziko mafupi wote wakakusanyika sebule

ni.

“ Peniela “ akaanzisha maongezi Mathew





Dakika chache toka wawasili makaburini gari

lililobeba mwili wa John Mwaulaya likawasili ,jenez

a

likashushwa na kwenda kuwekwa juu ya kaburi lililok

wisha

andaliwa .Watu wote wakasogea pembeni na kumuachia

Peniela nafasi ya kumuaga John Mwaulaya.Alimwaga

machozi mengi sana na baada ya hapo akina Mathew n

ao

wakatoa heshima zao za mwisho na kisha John Mwaulay

a

akazikwa.Baada ya mazishi yale wakarejea nyumbani k

wa

akina Edmund ambako kuliandaliwa chakula maalum kwa

ajili

ya kuagana kilichoambatana na maongezi.Peniela alit

umiwa

wasaa ule kumuomba sana msamaha Edmund na Chin sun

kwa kitendo chake cha kumuua Patrick.Edmund na Chin

sun

hawakutaka sana kuongelea masuala yale kwani tayari

walikwisha ufunga ukurasa ule.Ilipotimu saa moja za

jioni

Mathew na Peniela wakawasindikiza akina Edmund hadi

uwanja wa ndege.Baada ya akina Edmund kuondoka Math

ew

na Peniela wakaelekea ikulu ambako makamu wa rais

aliyerejea kutoka nje ya nchi alikokuwa anapatiwa m

atibabu

ya saratani kwa zaidi ya miezi miwili alikuwa amean

daa

chakula maalum kuwapongeza wale wote waliofankisha

mapambano dhidi ya magaidi na kuwashinda.Kupitia us

iku

huo makamu wa rais pia alitarajia kuzungumza na

watanzania

Kabla ya waalikwa kupata chakula,kulikuwa na

burudani kadhaa toka kwa vikundi mbali mbali vya bu

rudani

na baadae ikafuata zamu ya makamu wa rais kutoa hot

uba

yake ambayo ilirushwa moja kwa moja na televisheni

ya taifa

pamoja na vituo vingine.

Kwanza alianza kwa kuwatambua viongozi wote wa

juu wa kitaifa waliohudhuria na kisha akawashukuru

waalikwa wote kwa kufika kwao halafu akaendelea

“ Ndugu wageni waalikwa na watanzania

wenzangu leo ni wiki ya tatu ,tangu taifa letu tuli

pendalo

lishambuliwe na magaidi na damu ya ndugu zatu wasio

na

hatia ikapotea.Katika historia ya taifa letu katu h

atuwezi

kulisahau tukio lile la kinyama.Magaidi wasio na hu

ruma

walivamia jengo la biashara la Dar city shopping ma

ll na

kuua watu wasio na hatia .Katka shmbulio hilo

tuliwapoteza pia kiongozi wetu wa taifa rais wetu D

r

Joshua Joakim ,pia rais mstaafu Deus Mkozumi pamoja

na

watu wengine mia sita na hamsini na nane. Huu ni ms

iba

mkubwa mno ambao ni vigumu hata kuuelezea.

Shambulio lingine lilitokea katika hoteli ya

Samawati beach hotel ambako watu wengi walipoteza

maisha na wengi wao wakiwa ni raia wa kigeni walio

kuja

hapa nchini kwa shughuli za utalii na mapumziko.Wot

e

waliopoteza maisha yao tunawaombea wapumzike kwa

amani na kwa wale wote waliopata majeraha ama

kupoteza viungo vyao katika mashambulio yote mawili

serikali na watanzania tunawatakia uponaji wa harak

a na

wote tuko nyuma yenu.

Ndugu zangu watanzania ,watu waliotekeleza

mashambulio yale walikuwa na malengo yao lakini kwa

bahati mbaya kwao malengo hayo hayakuweza

kufanikiwa.Kwa mujibu wa taarifa tulizonazo ni kwam

ba

katika shambulio la Dar shopping mall magaidi walik

uwa

na lengo la kumteka binti mfalme wa Saudi Arabia

aliyekuwa amekuja nchini kwa mapumziko.Lengo kubwa

la

kutaka kufanya hivyo lilikuwa ni kutaka kuishinikiz

a serikali

ya Saudi Arabia imuachie huru kiongozi wao anayeshi

kiliwa

nchini humo. Lengo lao halikuweza kufanikiwa kwani

vijana

wetu shupavu wazalendo na walio tayari kuimwaga dam

u

yao kwa ajili ya kulinda taifa lao walifanikiwa kul

izima

lengo hilo la magaidi ndani ya muda mfupi.Ushupavu

waliouonyesha katika kukabiliana na magaidi wale wa

sio

na hata chembe ya huruma umeudhirishia uimwengu kuw

a

Tanzania si nchi ya kufanyia uharamia wao na hii ni

salamu

kwa wale wote ambao wanapanga au wanafikiria

kutekeleza mipango yao hapa nchini kwamba wasithubu

tu

kufanya hivyo kwani sisi tuko makini na hatujalala

usingizi.Yeyote atakayethubutu kucheza na amani ye

tu

atakiona ”

Makofi mengi yakapigwa kisha makamu wa rais

akaendelea

Japokuwa

kidonda

tulichoumizwa

bado

hakijapona lakini maisha yamerejea ya kawaida na wa

tu

wanaendelea na shughuli zao za kila siku bila wasi

wasi,Tanzania imebaki moja na itaendelea kuwa moja

kwani siku zote yanapotokea majanga makubwa ya

kitaifa,watanzania huziweka pembeni tofauti zao na

kushikamana pamoja kama taifa moja yaani jamhuri ya

muungano wa Tanzania”

Makofi mengine mengi yakapigwa.

“ Ndugu zangu watanzania” makamu wa rais

akaendelea

“ Ninapenda kutumia nafasi hii kuwahakikishia tena

kuwa magaidi wote waliohusika katika shambulio lile

la Dar

city

shopping

mall

waliuawa

na

hakuna

aliyesalimika.Pamoja nao kuna watu wachache wa ndan

i

ya nchi walioshirikiana nao ili kufanikisha shambul

io lile

ambao tayari tumekwisha wakamata na kazi bado

inaendelea kuwatafuta wote walioshirikiana na magai

di

kwa namna yoyote ile katika kufanikisha shambulio i

le na

ninawaahidi hakuna atakayesalimika.Tutakwenda mbali

zaidi hadi tuhakikishe tunaufyeka kabisa mtandao wo

te wa

kigaidi ulioanza kujipenyeza hapa nchini kwetu.Naru

dia

tena kuwahakikishia ndugu zangu watanzania kuwa

hakuna yeyote ambaye ana mahusiano yoyote na mtanda

o

wowote

wa

kigaidi

aliyeko

hapa

nchini

atakayesalimika.Tutawasaka

kokote

waliko

na

tutawapata”

Makofi yakapigwa

“ Ndugu zangu watanzania ,katika matukio yale

mawili waliopoteza maisha si watanzania pekee bali

wapo

pia raia wa nchi za nje.Tumepewa pole na mataifa me

ngi

rafiki lakini napenda kutumia nafasi hii kipekee ka

bisa

kuwasilisha kwenu salamu maalum za pole toka kwa

mfalme wa Saudi Arabia .Katika matukio yale mawili

wapo

raia wa Saudi Arabia waliopoteza maisha .Pamoja na

pole

nyingi alizotoa ,pia ametuma salamu nyingi za ponge

zi kwa

vijana wetu waliofanikiwa kuwadhibiti magaidi wale

na

kufanikiwa kumuokoa binti yake salhat ambaye ndiye

aliyekuwa lengo kuu la magaidi.katika salamu zake

ametuma salamu maalum kwa kijana wetu mmoja jasiri

sana anaitwa Mathew .Naomba kokote uliko Mathew

usimame”

Mathew akasimama na kupunga mikono ,makofi

mengi yakapigwa.

“ Ndugu wageni waalikwa na watanzania huyu

mnayemuona ninalazimika kumpa shukrani za kipekee

kabisa kwani huyu alikuwemo ndani ya jengo la Dar ci

ty

shopping mall na ndiye aliyekuwa mtu wa kwanza

kupambana na magaidi akawaua kadhaa na kufanikiwa

kuwakomboa baadhi ya watu akiwamo binti mfalme

Salhat.Akiwa peke yake alifankiwa kulidhibiti eneo

la juu la

jengo lile na kuwezesha helkopta za jeshi kutua na

makomandoo wetu wakaingia ndani ya jengo kuwafyeka

magaidi.Hongera sana Mathew ,wewe pamoja na wenzako

wote mliopigania nchi yetu kwa moyo mmoja.Majina ye

nu

hayatasahaulika kamwe”

Makofi mengi yakapigwa

“ Ndugu zangu watanzania,uchunguzi tulioufanya

unaonyesha kuwa waliotekeleza mashambulio yale si

kikundi cha Alqaeda pekee bali walishirikiana na w

atu wa

ndani na nje ya nchi.Alipotoa hotuba yake wakati

akilitangazia taifa kifo cha rais,waziri mkuu alito

a ahadi

kuwa hatutaogopa mtu au taifa lolote liilofadhili a

u

kusaidia kwa namna yoyote kufanikisha shambulio

lile.Tumegundua kuna nchi ambayo tulidhani ni maraf

iki na

ndugu zetu kumbe wao ndio wenye kutuzunguka na

kuratibu mipango hii miovu kwa taifa letu.Kama amba

vyo

tumekwisha chukua hatua kwa watu wa ndani ambao

wameshirikiana na magaidi katika kufanikisha shambu

lio

lile,tunachukua hatua vile vile kwa watu wengine au

mataifa ya nje ambao nao walishirikiana na magaidi

wale

na kwa usiku huu ninapenda kuwatangazia kwamba

tumeamua kuvunja mahusiano ya kidiplomasia na taifa

la

Marekani na tunamtaka balozi wake aondoke hapa chin

i

ndani ya masaa arobaini na nane na katika muda huo

huo

tunamtaka balozi wetu aliyeko nchini Marekani areje

e

nyumbani .Najua maamuzi haya yatawastua wengi lakin

i

kama nilivyosema kuwa hatutamuogopa mtu au taifa lo

lote

liwe kubwa au dogo.Tunao ushahidi wa kutosha

unaotuthibitishia kuwa Marekani walihusika katika

kufadhili shambulio lile la Dar city shopping mall.

Ni aibu

kwa taifa kubwa kama Marekani kufanya kitendo kiovu

kama hiki.”

Makofi yakapigwa kwa wingi.

“ Nafahamu kitendo cha kuvunja mahusiano na

Marekani kina athari kubwa katika uchumi wetu lakin

i

hatuwezi kuendelea kuwa na rafiki kama huyu .Tutata

futa

marafiki wengine ,tutajifunga mkanda na tutasonga m

bele

bila ya kutegemea ufadhili toka kwa mataifa ambayo

hawana malengo mazuri na sisi.Nataka nitumie nafasi

hii

kufikisha ujumbe kwa mataifa yote duniani kuwa Tanz

ania

ni nchi huru na kamwe hatutakubali kuingiliwa na ta

ifa

lolote katika mambo yetu ya ndani ya nchi ,na taifa

lolote

litakalothubutu kufanya hivyo tutaliondoa katika or

odha ya

marafiki zetu bila kusita”

Makofi mengi yakapigwa

“ Ndugu zangu watanzania ili tuweze kujinusuru na

majanga kama haya ya kukandamizwa na mataifa

makubwa kwa sababu ya umasikini wetu,lazima tuamue

kuanza sasa safari ya kujitegemea na kujenga uchumi

wetu

sisi wenyewe bila utegemezi wa mataifa ya nje.Tufan

ye kazi

kwa bidii,tuimarishe viwanda vyetu vya ndani tuzali

she

bidhaa bora na tutumie bidhaa zetu zinazozalishwa n

a

viwanda vyetu wenyewe bila kusahau kulipa kodi.Tuna

zo

rasilimali nyingi ambazo Mungu ametubariki nazo na

endapo tutazitumia vizuri zitatusaidia kuinua uchum

i wetu

na kutuondoa katika utegemezi.”

Makofi mengi yakapigwa

“ Ndugu watanzania kabla sijamaliza hotuba yangu

napenda niwahakikishie kuwa Mungu analipenda sana

taifa letu na anazidi kutubariki kwani leo katika h

istoria ya

nchi yetu na dunia imezinduliwa kinga ambayo itaok

oa

mamilioni ya watu duniani dhidi ya kirusi Aby ambac

ho

hadi sasa kimekwisha ua maelfu ya watu duniani kote

.Ni

mtu mmoja tu katika dunia hii ambaye alikuwa na kin

ga

dhidi ya kirusi hicho na kinga hiyo imetumika kuoko

a

mamilioni ya watu.Tuna bahati kubwa kuwa mtu huyo

anatoka hapa Tanzania.Mabibi na mabwana naomba wote

tusimame tumpongeze Peniela”

Watu wote wakasimama na kupiga makofi mengi

wakimpongeza Peniel;a halafu makamu wa rais akaende

lea.

Ndugu watanzania namalizia hotuba yangu kwa

kuwashukuruni sana kwa maombi yenu .Kwa muda wa

zaidi ya miezi miwili niliyokuwa nje ya nchi kwa ma

tibabu

na sikuweza hata kushirikiana nanyi katika msiba mk

ubwa

uliotupata .Kwa sasa naendelea vizuri na afya yang

u

imeimarika na ninawaahidi kuendelea kuwatumikia

Mungu ibariki Afrika

Mungu ibariki Tanzania

Ahsanteni sana kwa kuniskiliza.

Hivi ndivyo makamu wa rais wa jamhuri ya

Muungano wa Tanzania alivyohitimisha hotuba yake h

alafu

zikafuata ratiba nyingine

Saa sita za usiku Mathew na Peniela waliondoka iku

lu

.Safari yao ilikuwa ya kimya kimya .Hawakurejea ten

a katika

makazi ya akina Edmund na badala yake wakaelekea mo

ja

kwa moja katika hoteli moja kubwa.Peniela alionekan

a kuwa

mbali sana kimawazo na macho yake yalijaa

machozi.Mathew alilitambua hilo na hakutaka kumseme

sha.

Hawakurejea tena katika makazi ya akina Edmud

badala yake wakaelekea katika hoteli moja kubwa san

a jijini

Dar wakachukua chumba.Hata baada ya kuingia chumban

i

bado Peniela aliendelea kumwaga machozi .,Mathew

akamfuata karibu akamfuta machozi

“ Peniela stop crying ..” akasema lakini ilikuwa n

i

kama vile amekitonesha kidonda kwani Peniela alizid

i

kumwaga machozi

“ Tafadhali usilie Peniela.It’s over now.The war i

s

over .All the monsters are gone...Dr Joshua is gone

,mtandao

wake umefumuliwa na unaendelea kufumuliwa,Dr Kigomb

a

amekamatwa ,Abel Mkokasule pia amekamatwa na wote

wanaisaidia polisi katika uchunguzi ,vile vile Kare

em naye

amekamatwa na wote hawa wanasaidia katika kuutambua

na

kuufyeka kabisa mtandao wa Dr Joshua.Ukiacha hayo ,

Team

SC41 is no longer exist kwa hiyo hakuna tena kitu c

ha

kuhofia.”

Huku akibubujikwa na machozi Peniela akasema

“ Mathew huwezi kujua ni uchungu kiasi gani

nilionao moyoni mwangu .I wish I were dead...!!

“ Hapana Peniela tafadhali usiwaze hivyo.Huna

sababu ya kufika huko”

“Mathew nasikia uchungu mwingi kwa mambo

yaliyotokea ambayo yamesababishwa na mimi.Ni wiki y

a tatu

sasa najaribu kutafuta ni neno gani nitalitumia kuk

uomba

msamaha kwa mambo niliyoyafaya lakini nimekosa.”

“ Shhh..!!Mathew akamuwekea Peniela kidole

mdomoni.

“Peniela that’s the past.Dont talk anything about

the

past.Forget what happened and focus on your future.

.”

“ No Mathew .No ! I did a lot of awafull things.I

did

something that I cant even forgive myself.For what

I did I

cant even look in your eyes and say I’m sorry” akase

ma

Peniela huku akilia

“ Peniela we all do mistakes.We all did mistakes.N

i

kawaida ya mwanadamu kukosea.Naomba usahau yote

yaliyotokea na tuangalie ya mbeleni”




nikikukamata.” Akasema Mathew na kunyamaza akafumba

macho

“ Now you have me,you can do all that you promised

yourself to do when you find me” akasema Peniela h

uku uso

wake ukiwa umeloa machozi mengi yaliyokuwa

yakimtoka.Mathew naye ambaye naye macho yake yalija

a

machozi akasema

“ They say everything happens for a

reason.Ninaamini hata haya yote yaliyotokea ni kwa

sababu

maalum kwa hiyo siwezi kukufanya chochote Peniela n

a

kama

ningetaka

kufanya

nilivyopanga

kukufanyia

nisingepambana kuyaokoa maisha yako ningekuacha ufe

ndani ya jengo lile.Kama nilivyokueleza kuwa kila k

itu

hutokea kwa sababu maalum ni sababu hiyo ndiyo ina

yonipa

ujasiri wa kusema kwamba nimekusamehe yale yote

uliyonikosea” akasema Mathew na kuzidisha kilio kwa

Peniela

“ No Mathew you don’t have to do that.Sistahili

msamaha wako .Mambo niliyokufanyia ni makubwa na

hayastahili msamaha” akasema Peniela

“ Peniela hata nikisema leo hii nikuchome kisu kam

a

ulivyomchoma Anitha bado haitanisaidia kitu,Anitha

will

never come back.Nimeyaacha mambo yote yapite na

nimekusamehe.Peniela You’ve been through a lot and

its

time now to start your new life ,that life you’ve

been

dreaming for a very long time.Yale yote uliyoyahita

ji katika

maisha yako yamekwisha timia na yana kwenda

kutimia.Ndoto yako kubwa ilikuwa ni kuachana na tea

m SC41

na kuishi maisha ya kawaida kama wengine.Hilo limet

imia

kwani Team Sc41 haipo tena na uko huru kuishi maish

a

unayoyahitaji.Ndoto yako nyingine ilikuwa ni kuwa t

ajiri

mkubwa na ninahisi hilo ndilo lililokufanya ukakich

ukua kile

kirusi lakini hata hilo nalo limetimia .Wewe kwa sa

sa ni mtu

maarufu na tajiri mkubwa.Damu yako imetumika

kutengeneza kinga ambayo imeokoa maisha ya mamilion

i ya

watu duniani.Leo hii kila kona duniani jina ako

linatajwa.Umeingia katika orodha ya watu maarufu

waliowahi kutokea katika dunia hii so Peniela go li

ve the life

that you’ve been dreaming “ akasema Mathew .Ilmchuk

ua

Peniela dakika mbili kuinua kichwa na kusema

“ Mathew I have no life.Ni kweli nimejulikana duni

a

nzima na nimebahatika kuwa na pesa nyingi na ni kwe

li hiyo

ilikuwa ni ndoto yangu kujulikana duniani kote na k

uwa na

pesa nyingi na vyote hivyo nimevipata lakini havina

maana

yoyote tena kwangu kwa sababu sintakuwa na furaha.

Nimepoteza watu wangu wote wa muhimu ambao

ningefurahi nao I’ve lost you..Hakuna kitu kinachon

iumiza na

kuniua taratibu kama kukupoteza wewe.Sikuwahi kukut

ana

na mtu ambaye nilifurahi kukutana naye kama

wewe.Sikuwahi kukutana na mtu aliyeguswa na maisha

yangu kama wewe.Toka moyoni mwako uliguswa na

kuumizwa sana na maisha yangu niliyokuwa naishi nda

ni ya

team SC41 na ulijitolea kwa kila uwezavyo kuhakikis

ha

ninaachana na maisha yale.Kukupoteza mtu kama wewe

ni

kupoteza kitu cha thamani kuliko hata utajiri nilio

upata na

ndiyo maana sioni tena sababu ya mimi kuendelea kui

shi .

Nitaishi vipi bila furaha wala amani moyoni mwangu?

Akauliza Peniela

“ Peniela hujawahi kunipoteza.I was there and I’ll

always be there by your side.Peniela there is one i

mportant

thing I want to tell you”

“What is that ? akauliza Peniela .Mathew akamshika

mikono akamtazama usoni

“ Peniela I love you .Nakupenda toka ndani ya moyo

wangu.Upendo nilio nao kwako siwezi kuueleza .What

I feel

for you is more than love.Nguvu ya upendo wangu kwa

o

ndiyo iliyonifanya niyaweke pembeni yale yote yaliy

otokea

na kufikiria kutaka kuufungua ukurasa mpya wa maish

a

pamoja nawe.Peniela unahitaji maisha mapya,mimi pia

nimekwisha kata shauri la kuachana na kazi zangu zo

te

ninazozifanya na nianze maisha mapya.Nataka unikub

alie

niwe mpenzi wako.Nakuahid.......”

Mathew hakumaliza alichotaka kukisema Peniela

akamrukia akamkumbatia na kumporomoshea mabusu

mazito.Alikuwa ni kama mtu aliyepatwa na uchizi wa

ghafla.Hakuwa ametarajia kusikia maneno yale toka k

wa

Mathew

“ Oh God hank you for this miracle........” akasema

Peniela huku akimtazama Mathew kama mtu anayetazama

kitu cha kustusha .Akambusu tena na kusema

“ Mathew you don’t have an idea how many days

and night I’ve been waiting to hear those words you

’ve just

said to me.Naamini kukutana kwetu haikuwa bahati mb

aya

.Mungu alikuwa na makusudi yake .Baada ya miaka min

gi

kupita nkilitafuta penzi la kweli hatimaye nimefani

kiwa

kulipata.Nilianza kukupenda sekunde ya kwanza nilip

okutia

machoni.Sikuwa na uhakika bado na hisia zangu but I

knew

there is something strong between us.Mathew nakupen

da

zaidi ya ninavyoweza kukueleza.Karibu katika moyo w

angu

Mathew.Wewe ni mfalme wangu niongoze ,niamuru

chochote nami nakutii.” Akasema Peniela kwa hisia k

ubwa .

“ Mathew ahsante sana kwa kunipenda ,najua

unayafahamu

vyema

maisha

yangu

ya

nyuma

niliyoishi,unayafahamu madhaifu yangu lakini bado

umechagua kunipenda.Huu ni upendo wa kweli na wa

dhati.Nakuahidi kuachana kabisa na yale maisha yang

u ya

nyuma na moyo wangu ninaukabidhi kwako_Ouh Mathew .

.”

akasema Peniela na kumkumbatia Mathew .

***************

Siku mpya imeanza .Ukurasa mpya wa mapenzi

mazito ulifunguliwa kati ya Mathew na Peniela.Ni Ma

thew

aliyekuwa wa kwanza kuamka na kuanza kumtazama Peni

ela

aliyekuwa bado katika usingizi mzito

“ Siamini kama ni kweli nimefanikiwa kuyaanza

maisha mapya na Peniela.Ninampenda sana Peneila na

sijui

ningefanya nini endapo angefariki dunia.From now on

I’m

going to protect her.I’m going to make her the happ

iest

woman on earth.Nobody will never hurt her” akawaza

Mathew na mara Peniela akafumbua macho.

“ Wow .it’s another day.What a beautifull

morning.How are you my king? Akasema Peniela huku

akitabasamu

“ I’m ok my queen.Unajisikiaje?

“ Ninajisikia furaha mno.Nina amani kubwa moyoni.I

feel like I’m in heaven.My night was wonderfull.Kat

ika

maisha yangu sijawahi kuwa na usiku mzuri kama wa

jana.Ahsante sana Mathew kwa kufanya usiku wangu wa

kwanza nawe kuwa wa kihistoria.Maisha yangu yana fu

raha

na amani” akasema Peniela wakapeana mabusu

mazito.Peniela akamtazama Mathew usoni na kugundua

kuna kitu kilikuwa kinamsumbua.

“ Mathew I can read your mind,there is something

bothering you.Niambie una tatizo gani?

“ Hakuna tatizo Peniela”

“ Hapana Mathew ,sura yako inaonyesha kabisa una

tatizo.Niambie mfalme wangu nini kinakusumbua?

Mathew akafikiri kidogo na kusema

“ Kuna jambo Fulani John Mwaulaya alinieleza siku

ile

alipotaka nionane naye”

“ Alikueleza nini?

“ Aliniambia kwamba familia yangu iko hai bado

.MKe wangu na watoto wako hai”

Peniela akastuka akainuka na kukaa

“ No ! that cant be possible.Familia yako ulidai

iliteketea katika moyo.Iweje leo wawe hai?

Mathew akatabasamu kidogo na kusema

“ John Mwaulaya was wa monster lakini kuna nyakati

alikuwa na moyo wa huruma.Alidai hakuona sababu ya

kuiteketeza familia isiyokuwa na hatia.Walichokifan

ya ni

kuchukua maiti katika mojawapo ya chuo kikuu cha ut

abibu

ambazo hutumika kwa mazoezi na kuziweka ndani ya

nyumba yangu wakazichoma moto.Familia yangu ilichuk

uliwa

na kupelekwa Marekani ambako wanaishi hadi sasa.Len

go la

kufanya hivyo ni ili kunichanganya akili na waweze

kunipata

kirahisi lakini hawakufanikiwa kunipata.”

“ Oh my God so what’s going to happen to us?

Akauliza Peniela kwa wasiwasi.Mathew akatabasamu na

kusema

“ Usihofu malaika wangu.Nothing is going to happen

to us.Tulichokianzisha anayeweza kukitenganisha ni

Mungu

pekee.Sina mpango wa kuvuruga maisha yao kwani kwa

sasa

mke wangu amekwisha olewa and they live happily.Joh

n

Mwaulaya alinipa anuani ya mahala wanakoishi endapo

nitahitaji siku moja kuwatembelea.”

“ Kwa hiyo nini mipango yako ? akauliza Peniela

“ Kama nilivyokueleza kuwa kwa sasa sina mpango

wa kuyavuruga maisha yao.Kitendo cha mimi kujitokez

a

kwao kitawavuruga sana kwani tayari wanafahamu mimi

nimekwisha fariki.Sitaki kuyavuruga maisha yao ya f

uraha

waliyonayo sasa hivi.Kilichomo katika akili yangu k

wa sasa ni

mimi na wewe kuwa mwili mmoja yaani tufunge ndoa.”

Peniela akamkubatia Mathew akambusu kisha

wakainuka na kwenda kuoga na kujiandaa kwa ajili y

a ratiba

ya sku ambayo ingeanzia hospitali na baadae walipan

ga

kwenda kutembelea kaburi la Anitha ambaye alizikwa

wakati

bado Peniela akiwa amelazwa hospitali.

MIEZI MINNE BAADAE

Ni siku ya pili ya fungate lao wakiwa katika hotel

i

moja kubwa visiwa vya Zanzibar. Baada ya kufunga nd

oa

waliamua kuja kupumzika katika visiwa hivi .Wakiwa

wamejilaza ufukweni wailifurahia jua na upepo mzuri

wa

bahari,muhudumu wa hoteli akafika akiwa na simu mko

noni

akasimama kwa adabu pembeni ya akina Mathew

“ Karibu “ akasema Peniela

“ Samahani kwa usumbufu,kuna mtu ambaye

amekuwa akipiga simu toka asubuhi nah ii ni mara ya

nane

anapiga simu anasema anatokea Marekani ,”

“ Marekani anaitwa nani? Akauliza Mathew na kuvua

miwani ya jua aliyokuwa ameivaa

“ Anasema anaitwa Zita.Anasema nikupe simu kuna

jambo la muhimu anataka kungea nawe kaka” akasema Y

ule

muhudumu

“ Hapana ,mwambie kwamba sina muda wa kuongea

naye sasa hivi na sihitaji simu yoyote kwani niko k

atika

fungate”

“ Darling do you know her? Akauliza Peniela

“ Ndiyo ni Yule aliyekuwa mke wangu” akasema

Mathew kwa sauti ndogo

“ It’s ok my love,take that call” akasema

Peniela.Mathew akamtazama halafu akaichukua simu

muhudumu Yule akaenda kusimama mbali

“ Hallow” akasema Mathew lakini hakujibiwa

“ Hallow” akasema tena lakini hakuna mtu aliyejibu

“ Hallow” akasema kwa mara ya tatu na safari hii

sauti ya mwanamke ikaitika upande wa pili wa simu

“ Hallow” Ilikuwa ni sauti ambayo Mathew

aliitambua mara moja.

“ Zita !! akasema

“ Mathew !! akasema Zita halafu zikapita sekunde

kadhaa za ukimya

“ Congraturations Mathew “ akasema Zita

“ Zita how are you” akasema Mathew

“ I’m fine Mathew ,we’re all fine” akajibu Zita ha

lafu

ukapita tena ukimya

“ Mathew samahani sana kwa kukusumbua najua

huhitaji usumbufu kwa sasa kwa sababu uko katika fu

ngate

kwa hiyo sitaki kuchukua muda wako mwingi naomba ka

ma

dakika tano tu za kuongea nawe” akasema Zita

“ Go ahead” akasema Mathew.Zita akavuta pumzi

ndefu na kusema

“ Katika maisha yangu sintoisahau ile siku ya uzin

duzi

wa dawa ya Peniela kwani wakati dunia nzima ikiwa

inasherehekea mimi nilikuwa nalia baada ya kumuona

mtu

ambaye kwa miaka hii yote nilifahamu kuwa

amefariki.Mathew sitaki kuongea sana kwani nafasi h

ii ya

kuongea nawe nimekuwa nikiitafuta kwa miezi kadhaa

sasa





bila mafanikio hadi leo hii nilipofanikiwa.Mathew n

ataka tu

nikwambie kwamba mimi na wanangu tulichukuliwa na

kuletwa Marekani na tuliambiwa kwamba umefariki dun

ia

kuna watu wamekuua na kwamba hata sisi tulikuwa

tunatafutwa tuuawe.Nililia sana na nilijilaumu sana

kwa nini

ukachagua kuifanya kazi ile ya upelelezi? Baada ya

kufika

Marekani tulianza maisha mapya na baada ya miaka mi

tatu

nikapata bwana nikaolewa nikijua kwamba umekufa.Kwa

sasa mimi na wanangu tuna uraia wa Marekani na toka

nilipoondoka Tanzania sijawahi kurejea kwani John

aliniambia kwamba sitakiwi kuonekana tena Tanzania

kwani

siku nikitia mguu wangu ndio utakuwa mwisho wangu.K

wa

sasa nina watoto wawili kwa huyo mume wangu mpya na

tunaishi kwa furaha.Nimebadili jina naitwa Martha.

Wanao

wote wazima na wanaendelea vyema na maisha yao ila

maisha yao yamebadilika ghafla baada ya kugundua kw

amba

baba yao yu hai.Jambo hili limewastua sana .Tumewat

afutia

mtaalamu wa saikolojia ambaye anaendelea kuwasaidia

wakubaliane na hiki kilichotokea.Watakapokuwa tayar

i

watakuja kuonana nawe but for now they are not read

y

yet.Mathew sitaki kuchukua muda wako mwingi ila nap

enda

kukwambia kitu kimoja kuwa kazi yako uliyochagua ku

ifanya

ndiyo iliyofanya hadi mambo haya yakatokea.Ndiyo

iliyotutenganisha.Mara nyingi nilikuwa nikikusisiti

za uachane

na kazi hiyo lakini hukutaka kunisikia hadi yalipo

tokea haya

yaliyotokea.Ninachotaka kukushauri ni kwamba umepat

a

mke mzuri sana na nina hakika ameirudisha furaha ya

ko

tena.Peniela ni mwanamke mrembo na dunia nzima

inamuheshimu nakuomba ,muheshimu ,mtunze na

usimuumize kama mimi kwa sababu ya kazi hiyo

uifanyayo.Ukitaka maisha yako yawe na furaha achana

kabisa

na hiyo kazi unayoifanya.Huwezi kuwa na maisha ya k

awaida

yenye furaha na amani ukiwa katika kazi hiyo.Nawata

kia

maisha mema yenye furaha na amani na mpatapo nafasi

mjapo hapa Marekani msiache kuja kututembelea.Ahsan

te

sana Mathew na fungate jema.” Akamaliza Zita na kuk

ata

simu.Mathew na Peniela wakaangaliana

“ Ni mipango ya Mungu mimi na wewe kuwa

pamoja.Yote yaliyotokea yametokea ili mimi na wewe

tukutane.Let’s enjoy life my angel” akasema Mathew

na

kumbusu Peniela wakainuka na kuingia majini kuogele

a.



TAMATI


0 comments:

Post a Comment

Blog