Search This Blog

Wednesday 29 March 2023

PENIELEA (5) - 4

   


Simulizi : Peniela (5)

Sehemu Ya Nne (4)


kumbu za kamera na kuvipakia katika gari

wakaondoka.Wakiwa garini bado Mathewe aliendelea

kutokwa na machozi

“ Mathew tafadhali usiendelee kutoa

machozi.Wakati huu ni wakati wa kuwa na ujasiri mku

bwa

kuliko wakati wowote.” Akasema Edmund

“ Edmund yuko sahihi.Ninaonyesha udhaifu mkubwa

kuendelea kulia namna hii” akawaza Mathew na kufuta

machozi

“ Mathew Kuna jambo nimeligundua usiku wa leo”

akasema Edmund

“ Jambo gani Edmund?

“ Nimegundua mke wangu Chin sun na rais mstaafu

Deus Mkozumi wana mawasiliano”

“ Chin sun ana mawasiliano na Deus Mkozumi?

Akauliza Mathew kwa mshangao

“ Ndiyo Chin sun na Deus wana mawasiliano.Hata

mimi nilistushwa na suala hili.Chin alimempigia sim

u Deus

mkozumi alfajiri ya leo na waliongea kuhusiana na m

geni

wanayemtegemea.Deus alimtajia Chin sun muda ambao

ndege atakayokuja nayo mgeni wao huyo itawasili kat

ika

uwanja wa kimataifa wa mwalimu nyerere.”

“ Ni nani huyo mgeni wao? Akauliza Mathew

“ Hata mimi bado sijafahamu ni nani huyo mgeni

wanayemtegemea .Nataka kufanya uchunguzi wa kina

kuhusiana na mawasiliano yao na pengine ninaweza

kugundua chochote kuhusiana na mgeni huyo.Naamini

kabisa mtu huyo wanayemsubiri lazima atakuwa ni mtu

muhimu sana kwao” akasema Edmund lakini Mathew

hakujibu kitu akili yake yote ilikuwa kwa Peniela

****************

Zimekwisha pita dakika kadhaa sasa Lucia mkozuni

akiwa anaitazama picha aliyokuw aameishika

mkononi.Michirizi ya machozi ilionekana mashavuni p

ake.

“ He is the best dady in the whole world.I love hi

m so

much but today I’m going to sacrifice him.Ninamtoa

kafara

baba yangu kwa ajili ya urais..Dah !” akawaza Dr Lu

cia

,akafuta machozi

“ Hivi hakuna namna nyingine ninayowezza kufanya

ili kumuokoa baba? Akajiuliza na kutafakari kwa mud

a

“ Hakuna namna nyingine.Tayari nimekwisha

wekeana makubaliano na hawa watu kwa hiyo siwezi te

na

kugeuka.Lazima baba afe leo” Lucia akafuta

machozi.Akaichukua picha nyingine ambayo ilimuonyes

ha

akiwa katikati ya wazazi wake huku wote wakiwa na

nyuso

zenye tabasamu.Hii ilikuwa siku alipohitimu shahada

yake

yake ya kwanza ya uchumi na fedha

“ Hizi zilikuwa ni nyakati za furaha sana katika f

amilia

yetu.Tuliishi kwa upendo mkubwa” akawaza na kuichuk

ua

picha nyingine ya mama yake

“ Huyu ndiye alyeivuruga familia yetu kwa tamaa

zake.She’s my mother but I hate her so much.Ni mwan

amke




“ Omba chochote Lucia ,si unajua hujawahi omba

chochote kwangu ukakosa”

“ Ahsante mama.Nina rafiki yangu binti mfalme wa

Saudi Arabia anakuja leo nchini kwa mapuziko ya si

ku

kadhaa.Atawasuiliamchana wa leo.Anakuja na ndege ya

ke

binafsi”

“ Wow that’s good” akasema Rosemary Mkozumi

“ Mimi ndiye mwenyeji wake hapa Tanzania kwa hiyo

nawaomba wewe na baba muungane nami wakati wa

kumpokea ”

“ Mhhhh !! .. Rosemary Mkozumi akaguna

“ Mbona unaguna mama?

“ Utanisamehe kwa hilo Lucia ,siwezi kabisa kukaa

karibu na baba yako.Toka tulipotengana mimi na yeye

tumekuwa ni paka na panya” akasema Rosemary

“ Nalifahamu hilo mama lakini naomba japo kwa siku

moja tu wewe na baba msahau tofauti zenu na muungan

e

pamoja nami kumpokea mgeni wangu.Sitaki mgeni wangu

apate picha mbaya kuhusu familia yangu.Japokuwa naj

ua ni

vigumu kwenu kukutana pamoja lakini nawaomba fanyen

i

hivyo kwa ajili yangu.Just this once”

Sekunde kadhaa za ukimya zikapita Rosemary

Mkozumi akasikika akivuta pumzi ndefu halafu akasem

a

“ May be I can try but I’m doing this only for

you.Muda gani huyo rafiki yako atawasili?

“ Saa nane za mchana atawasili na atapumzika

kidogo halafu tutakwenda Dar city shoping mall kun

unua

baadhi ya bidhaa za utamaduni na zawadi kwa ajili y

a

kutembelea kituo cha watoto”

“ Sawa nitajitahidi,nifike hapo uwanjani”

“ Ahsante mama ila tutakupitia hapo hapo nyumbani

.” akasema Lucia na kuagana na mama yake

“ Laiti ungejua kinachokwenda kutokea leo

usingediriki kukubali kuongozana nami.Nimeazimia ku

upata

urais kwa hiyo hakuna kurudi nyuma” akaendelea kuwa

za na

mara mlango ukagongwa akaufungua akakutana na baba

yake

“ Baba nimeongoea na mama muda si mrefu

nimemuomba aongozane nasi tunapokwenda kumpokea

Salhat”.akasema Peniela .Deus akamtazama na kusema

“ Kwa nini hukuniuliza kwanza kabla ya kufanya

hivyo? Mimi na mama yako siku hizi maelewano yetu k

atu si

mazuri na ...”

“ I know that dady..” akasema Lucia

“ Nafahamu hivi sasa wewe na mama hamna

maelewano mazuri lakini hamuwezi walau kwa siku moj

a tu

mkaziweka pembeni tofauti zenu na tukaungana pamoja

kama familia? Najua kwenu ni vigumu lakini nawaomba

sana

wazazi wangu unganeni kwa leo ,sahauni tofauti zenu

kwa

ajili yangu.Can you do that for me dady?

Deus Mkozumi akafikiri kidogo na kusema

“ Amesemaje mama yako ulipoongea naye?

“ Amekubali”

“ Ok we’re going to do it but only this once and

we’e

doing this for you.Mambo aliyonifanyia mama yako

yamenifanya nimchukie kuliko hata shetani lakini kw

a kuwa

umeomba nitafanya unavyotaka” akasema Deus na sura

ya

Lucy ikajenga tabasamu

“ Thank you dady” akasema kwa furaha

“ Atawasili saa ngapi mgeni?

“ Atawasili saa nane mchana”

“ Sawa.Nitakuwa nimerudi muda huo kwani kuna

sehemu ninakwenda sasa hivi kuna mtu ninataka kuona

na

naye mara moja “

“ Sawa baba” akajibu Dr Lucia na Deus Mozumi

akaondoka

“ Mpaka hapa kila kitu kinakwenda vizuri.Nina

uhakika mambo yote yatakwenda vizuri kama tulivyopa

nga.”

Akawaza Lucia na kwenda kuchukua tena picha ya baba

yake

akaitazama akahisi uchungu mwingi.

“ I’m so sorry dady.Sina namna nyingine ya

kukuepusha na tukio la la leo.You must die” akasema

kwa

suti ndogo na kufuta machozi.Akachukua simu akawasi

liana

na Donald akamtaarifu kuwa mipango yote inakwenda v

izuri

kama walivyopanga.

**************

Jason alifika kwa haraka mahala alikoelekezwa na

Peniela wakutane.Alijaribu kupiga namba ile ya simu

aliyoitumia Peniela kumpigia lakini haikuwa

ikipatikana.Akashuka garini na kuanza kuangaza anga

za

akimtafuta Peniela.Wakiwa ndani ya gari,Peniela ali

muona

Jason akiwa nje ya gari akamuamuru Kigomba washuke

haraka wakaenda katika gari la Jason

“ Peniela !! akasema Jason kwa mshangao kidogo

uliochanganyika na furaha ya kumuona mwanamke Yule

anayempenda kuliko wote.

“ Jason! Akasema Peniela kisha wakakumbatiana

“ Good to see you Peniela.How’ve you been?

Akauliza Jason

“ I’m ok Jason.Please get in the car and take us o

ut of

here” akasema Peniela akaufungua mlango wa gari na

kuingia huku sanduku lenye kirusi akiwa amelishika

kwa

makini .Jason akawasha gari wakaondoka

“ What happened Peniela? Mathew yuko wapi?

Akauliza Jason.Peniela hakujibu kitu.

“ Unataka nikupeleke wapi Peniela? Akauliza tena

Jason

“ I have no where to go.Take us to your place.Is t

hat

ok with you? Akauliza Peniela na kumfanya Jason ata

basamu

na kusema

“ Peniela siku zote nimekuwa nakuambia kwamba my

house is your house.365 days of the year the door o

f my

house is open for you” akasema Jason na kwa mbali u

so wa

Peniela ukaweka tabasamu

“ Thank you” akasema

“ Peniela uliniambia una tatizo,nini kimetokea ?

Where’s Mathew” akauliza Jason

“ Jason tutaongea tukifika nyumbani” akajibu Penie

la

.Walifika nyumbani kwa Jason,akawakaribisha ndani

“ Jason sikuwa nimekutambulisha awali huyu anaitwa

Dr Kigomba ni katibu wa rais,ouh sorry alikuwa kari

bu wa rais

.”

“ I think I know him” akasema Jason

“ Good “ akasema Peniela

“ Hivi sasa Dr Kigomba anatafutwa

auawe,nimefanikiwa kumuokoa toka kwa watu waliotaka

kumuua.Mimi na yeye we’re in great danger and right

now

we have no where to go na ndiyo maana nimeamua kuja

kwako kuomba msaada.Jason please forget what happen

ed

and help me.Nahitaji sana msaada wako kuliko siku z

ote”

“ Peniela hakuna chochote kibaya kilichotokea kati

yetu kinachoweza kunifanya nishindwe kukusaidia .Si

taki

kujua nini kilichokutokea ila ninachotaka kujua una

hitaji

nikusadie nini?

“ Ahsante sana Jason.Nahitaji kuishi hapa kwako kw

a

siku kadhaa kwani kwa sasa sina makazi.Kitu kingine

nitafutie

simu mpya pamoja na gari ninaloweza kulitumia kwa s

afari za

hapa na pale”

“Ni hi vyo tu? Hakuna vingine? Akauliza Jason

“ Kwa sasa ni hayo tu Jason.Kama kuna kingine

nitahitaji nitakufahamisha. “ akasema Peniela .Jaso

n

akamuomba amfuate hadi chumbani kwake

“ Peniela kama unavyojua nyumba yangu haina

vyumba vingi vya kulala kwa hiyo wewe utalala humu

chumbani kwangu ,Yule mzee atalala katika chumba ch

a

wageni.Jambo ingine nataka nifahamu japo kidogo nin

i

kimetokea? Unaonekana una damu zimekurukia nini

kimetokea?Mathew yuko wapi?

“ Jason nitakueleza kila kitu baadae lakini kwasa

kuna

kitu nahitaji .Nataka usafiri kuna sehemu nataka kw

enda”

Jason akamtazama kwa sekunde kadhaa na kusema

“ Unaweza kutumia gari langu lolote.Hapa nina

magari matatu.Wasi wasi wangu ni huko unakoenda are

you

sure you are going to be safe?

“ Don’t worry I’ll be safe” akasema Peniela

“ Peniela najua hutaki nifahamu kilichokutokea lak

ini

kwa kuwa sasa hivi uko katika mikono yangu nahitaji

kufahamu unakotaka kwenda ili hata kama ikitokea ta

tizo

nijue nitakupata wapi”

Peniela akafikiri kidogo na kusema

“ NInakwenda kuonana na Josh”

“ Team SC41? Akauliza Jason

“ Ndiyo .Kuna mambo nataka kuzungumza naye”

“ Ok good.Nitakupa moja ya simu zangu na endapo

kutatokea tatizo lolote nitaarifu mara moja tafadha

li.”

Akasema Jason

******************

Askofu Edmund Dawson aliwapeleka akina Mathew

katika nyumba yake ndogo ambayo huitumia kama ofisi

yake

ya siri.Sebuleni kijana mmoja alikuw ameketi sofani

ameiinamia kompyuta mpakato.Akasimama kwa adabu

Edmund na akina Mathdew walipoingia pale sebuleni.

“ Mathew na Anna huyu anaitwa mchungaji Patrick

Johnson anafanya kazi ya kichungaji katika kanisa l

etu na

nimemuita hapa kwa sababu yeye ni mmoja wa majasusi

wa

C.I.A ambaye ananisaidia katika shughuli zangu .Kwa

mambo

yaliyotokea nadhani tunahitaji kuongeza nguvu “ aka

sema

Edmund na kumgeukia Patrick.

“ Patrick hawa nio rafiki zangu ambao nao wako

katika operesheni kama yetu na kwa sasa wanahitaji

sana

msaada wetu.Kutana na Mathew na Anna ambaye ni mtot

o

wa rais wa Tanzania.Kuanzia sasa wote tuko kitu kim

oja na

tutashirikiana katika kukabiliana na mambo yaliyoko

mbele

yetu” akasema Edmund.Patrick akawasalimu akina

Mathew.Edmund akawaacha akina Mathew sebuleni

akaenda chumbani na baada ya muda akarejea akiwa

amebadili muonekano.Hakuwa na ule muonekano wake wa

kiaskofu.Alionekana kama kijana fulani wa kisasa ku

tokana na

mavazi aliyovaa.Wote pale sebuleni wakamshangaa

“ Msinishangane.Hivi ndiyo huwa ninaonekana

ninapouvua uaskofu na kuyavaa maisha yangu halisi”

akasema Edmund na kuwataka akina Mathew

wamfuate.Wakaingia katika chumba cha ukubwa wa wast

ani

kilichokuwa na kompyuta nane na mitambo mbali mbali

ya

mawasiliano

“ Karibuni hii ndiyo ofisi yangu ya siri ambayo

huitumia kwa kazi zangu zote za C.I.A.Ofisi ina ki

la kitu

tunachokihitaji ili kufanikisha peresheni zetu.Kupi

tia ofisi hii

ninaweza hata kuongea na watu walioko anga za juu

“akasema Edmund huku akicheka kidogo halafu akaende

lea.

“ Ndgu zangu tuna mambo mawili makubwa

yanayotukabili na ambayo tunatakiwa kuyapatia ufumb

uzi

kabla ya jua kuchwea jioni ya leo.Jambo la kwanza n

i

kumtafuta na kumpata Peniela pamoja na kirusi

alichoondoka nacho.Jambo la pili ni kumfahamu mgeni

ambaye mke wangu Chin sun na Deus MKozumi

wanamtegemea kuwasili leo.Tunatakiwa kujua anakuja

kufanya nini na kuna kitu gani kinachoendelea kati

yao”akasema dmund

“ Leo ni mara ya kwanza kunasa mawasiliano kati y

a

Deus na mke wangu Chin sun.Kitu cha kwanza ninachot

aka

kukifanya ni kuanza kufuatiilia kama wawili hawa wa

na

mawasiliano ya muda mrefu.Chinsun ni mjanja sana kw

ani

hatumii namba zake za kawaida za smu kufanya mawasi

liano

bali anazo namba za siri anazozitumia na mojawapo y

a

namba hizo ni hii anayoitumia kuwasiliana na Deus

Mkozumi.Wakati ninaendelea na zoezi hili nataka nin

yi

mkaoge kwani mmechafuka sana damu.Baada ya hapo

tutaanza kulisughulikia suala la Peniela” akasema E

dmund

.Patrick akawachukua akina Mathew na kuwapeleka lil

ipo

bafu.

“ Kwa kuwa bafu ni moja ,anza wewe kuoga”

Mathew akamwambia Anna

“ Mathew hakuna haja ya kuogopa twende tukaoge

pamoja tuokoe muda kuna mambo mengi yanayotakiwa

kufanywa leo.Peniela is at large with the virus so

we need to

find her very quick.Let use one bathroom to save ti

me”

akasema Anna.Mathew akaona msingi wa kile alichokis

ema

Anna akaingia bafuni

“ Nimesangaa sana Mathew sikutegemea kabisa

kama Yule askofu anaweza kufanya kazi ya ujasusi

.Nimezoea kuyaona mambo kama haya katika filamu tu

lakini

leo nimeshuhudua kwa macho yangu” akasema

Anna.Mathew aliyekuwa ametapakaa sabuni mwili mzima

akasafisha sabuni usoni na kufumbua macho na

kugonganisha macho na Anna ambaye aliinama kwa aibu

“ Welcome to this world Anna” akasema Mathew

kwa sauti ndogo.Mathew na Anna walimaliza kuoga

wakaingia katika chumba kimoja kati ya viwili vya k

ulala

vilivyomo katika nyumba ile wakabadili nuuo halafu

wakaenda kuungana tena na akina Edmund katika chumb

a

kile kilichofanana na chumba cha marubani kutokana

na

kuwa na mitambo mingi.

“ Karibuni tena Mathew na Anna.Kwa dakika hizi

chache nimejaribu kutafuta kama Chin sun na Deus Mk

ozumi

wamekuwa na mawasiliano lakini sijapata chochote .C

hin sun

ni mwanamke mjanja mno” akasema Edmund

“ Fanya hivi Edmund ukitaka kumfahamu mtu

ambaye Deus na Chin sun wanamtegemea yachunguze

mawasiliano ya Deus Mkozumi.Fuatilia simu zake aliz

opiga

nje ya nchi na unaweza kugundua amekuwa anaongea na

watu gani”





nitarejea salama kabisa na nikiwa na kirusi mkonon

i.Baki

hapa na Edmund .Huyu ni mtu mzuri na ninamuamini.”

Akasema Mathew

“ Mathew I’m so scared.Ingekuwa ni kwa amri yangu

nisingekubali uende huko lakini kwa umuhimu wa kuki

pata

kirusi hicho hauna budi uende.Promise me that you’l

l get

back safe” akasema Anna huku macho yake yakilengwa

na

machozi.

“ I’ll be back safe.I promise” akasema Mathew

wakakumbatiana

“ I have to go now” akasema Mathew na kujiondoa

mikononi mwa Anna ambaye tayari macho yake yalijaa

machozi.

“ Edmund naomba uniahidi kitu kimoja.Hata kama

kutatokea jambo lolote lile utahakkisha Anna anakuw

a

salama”

“ Usihofu Mathew,Anna atakuwa salama

.Tusiendelee kupoteza muda,mfuateni haraka Peniela

kabla

hajapotea kabisa na kirusi.Mimi naendelea kuwachung

uza

Deus na Chin sun na endapo kuna chochote nitakachok

ipata

nitawataarifu” akasema Edmund halafu akawapelekea

akina

Mathew katika nyumba ya gari akawatolea gari jipya

kabisa

aina ya BMW lenye kasi na ambalo halipenyi risasi.M

athew

na Patrick wakaondoka kuelekea nyumbani kwa Jason

*****************

Bado kichwa cha Dr Joshua kilitawaliwa na mawazo

mengi sana.Aliwaza mno juu ya kilichotokea lakini h

akupata

jibu namna atakavyoweza kumpata mwanae Anna na

sanduku la kirusi Aby aliloodoka nalo.Kingine kilic

homuumiza

kichwa chake ni nini atamueleza Hussein endapo

hatafanikiwa kukipata kirusi Aby katika muda aliou

toa

Hussein?.Akiwa bado katika dimbwi la mawazo ,simu y

ake

ikaita akaichukua haraka na kutazama mpigaji alikuw

a ni Abel

Mkokasule.Haraka haraka akabonyeza kitufe cha kupok

elea

“ Hallow Abel,nipe taarifa .Kuna chochote

mlichofanikiwa kukipata? Akauliza Dr Joshua

“ Mzee nimekupigia kukupa taarifa za maendeleo ya

uchunguzi wetu.Wakati tukiendelea kumtafuta Anna ,l

aini

yake ya simu ilionekana kutumika.Namba ya simu ili

yopigiwa

na Anna inaoyesha imesajiliwa kwa jina la Ismail

Hamidu.Tumefuatilia mahala ambako Anna alikuwepo wa

kati

akipiga simu tukaipata nyumba hiyo”

“ Good.Anna mmempata? Akauliza Dr Joshua

“ Mzee kwa bahati mbaya hatujafanikiwa kumpata

.Nyumba hii ni tupu na hakuna mtu yeyote ila inaone

kana

muda mchache uliopita kulikuwa na watu humu ndani”

“ Oh my God !! akasema Dr Joshua akionekana wazi

kuanza kukata tamaa

“ Mzee kuna ambo lingine tumeligundua humu ndani

ya hii nyumba” akasema Abel

“ Jambo gani hilo Abel?

“ Inaonekana kuna mauaji yalifanyika humu kwani

kuna chumba kimoja kimetapakaa damu “

“ Abel una hakika katika hiyo nyumba Anna

alikuwemo? Akauliza Dr Joshua ili kupata uhakika

“ Nina uhakika huo mzee.Laini ya Anna inaonyesha

kwamba ilitumika kutokea katika nyumba hii.Mzee nim

eanza

kuwa na wasi wasi inawezekana Anna akawa katika mat

atizo

au yawezekana pia kuna watu anashirikiana nao.Kama

kuna

watu anashirikiana nao basi watakuwa ni watu wenye

ujuzi

mkubwa na kitu wanachokifanya kwani walifahamu fika

kwamba lazima tutafika hapa na ndiyo maana wakatowe

ka

kabla ya sisi kufika.Mzee kwa namna ninavyoanza ku

liona

suala hili ni tofauti na vile tulivyofikiria mwanzo

.It looks

bigger than we thought.Kwa mtazamao wangu inaonekan

a

kabisa Anna alichukua kitu ambacho anakifahamu.Mzee

unaweza kunieleza kuna nini ndani ya hilo sanduku ?

Akauliza

Abel.Sekunde kadhaa za ukimya zikapita Dr Joshua ak

asikika

akihema kwa mfululizo

“ Abel come back here immediately” akasema Dr

Joshua na kukata simu

“ Whats going on here? Kitu gani anakifanya Anna?

Je ni kweli kama alivyosema Abel kwamba kuna watu

anashirikiana nao? Kama ni kweli ni akina nani na l

engo lao ni

nini? Dr Joshua akajikuta amezama katika mawazo men

gi

“Naanza na mimi kukubaliana na hisia za Abel kuwa

inawezekana kabisa Anna aliondoka na sanduku lile

akifahamu wazi kilicho ndani yake ni kitu gani.Kama

ni hivyo

basi hayuko peke yake kama alivyosema Abel.Kuna wat

u

anashirikiana nao.Ee Mungu naomba jambo hili lisiwe

kweli.My own daughter cant betray me !! akawaza Dr

Joshua

na kuhisi kama moyo wake unataka kupasuka kutokana

mapigo yake kwenda kwa kasi isiyo ya kawaida

“ Muda unazidi kuyoyoma na nina wasi wasi

sintakuwa nimekipata kirusi Aby katika muda ule ali

outoa

Hussein.What am I gong to do? Nitamueleza nini Hus

sein

anielewe? Kwa vitisho alivyovitoa nina uhakika mkub

wa

endapo hatakipata kirusi hicho ndani ya muda aliout

oa

something bad is going to happen to me.Alinitisha k

wamba

nisahau urais kama sintakuwa nimempatia mzigo wake

hadi

saa nne za asubuhi leo.Siwezi kumpuuza hata kidogo

hasa

kutokana na historia yake ya kujihusisha na mitanda

o ya

kigaidi.Inawezekana kabisa wakafanya shambulio kubw

a ili

kushinikiza kupatiwa mzigo wao.Lazima nitafute njia

mbadala

ya kufanya endapo sintafanikiwa kukipata kirusi kwa

wakati”

akawaza na kuinuka kitandani

“ Jambo pekee ninaloweza kulifanya endapo

nitakikosa kirusi ni moja tu.Kumuua Hussein.Lakini

nitamuua

vipi bila ya watu wake kuhisi kuwa ninahusika? Ngoj

a aje

Abel tujadiliane na kuona ni namna gani tutakavyowe

za

kuwaua Hussein na watu wake.dah ! hili suala linazi

di kuwa

gumu kila uchao.Sikutegemea kabisa kama lingefika h

apa

lilipofika kiasi cha kuanza kunipa hofu hata mimi m

wenyewe

wapi suala hili linatupeleka na nini mwisho wake.Kw

a mara

ya kwanza katika maisha yangu nakiri kwamba nililia

nzisha

suala ambalo sijui namna ya kulimaliza.Maisha ya wa

tu tayari

yamepotea kwa ajili ya jambo hili wakiwao mke wangu

na

mwanagu Flaviana.Jaji Elibarii ,Jacob na kwa sasa n

afikiria

tena kuwaondoa Hussein na watu wake.Sifahamu roho

za

watu wangapi zitaendelea kutolewa hadi suala hili

litakapofika mwisho wake.Najuta kwa nini nilifanya

maamuzi

ya kukiuza kirusi hiki kilichojaa laana” akaendelea

kuwaza Dr

Joshua

*****************

“ Dr Kigomba” akaita Peniela wakiwa ndani ya gari

baada ya kutoka nyumbani kwa Jason

“ Unasemaje Peniela?

“ Dr Kigomba nimekuondoa toka katika mikono ya

Mathew kwa dhumuni moja tu” akasema Peniela akiwa

makini katika usukani

“ Ni jambo gani hilo ?

“ Nataka utafute namna nitakayoweza kuonana kwa

haraka na Deus Mkozumi.Nafahamu wewe una fahamiana

na

viongozi wengi kwa hiyo tafuta namna yoyote unayowe

za

kufanya ukanikutanisha na Deus Mkozumi kwa haraka.

can

you do that?

Dr Kigomba akafikiri kidogo na kusema

“ Yes I can do that.Japokuwa sina mahusiano ya moj

a

kwa moja na Deus mkozumi lakini ninafahamu mtu amba

ye

anaweza kutukutanisha na Deus kwa haraka.Deus Mkozu

mi

ana mahusiano ya siri na mke wa waziri wa kilimo an

aitwa

Imelda na huwa wanakutana kwa siri sana katika klab

u moja

kubwa .Imelda na mke wangu ni marafiki na siri hii

niliambiwa na mke wangu”

“ Una hakika kwa kumtuia huyo Imelda tunaweza

kupata Deus kwa haraka?

“ Ndiyo nina uhakika mkubwa.Deus hana kauli kwa

huyo mama”

“ Good.Lakini kabla ya kumtafuta huyo Imelda kuna

sehemu nataka twende.I need to see someone” akasem

a

peniela ambaye alionekana kutokutaka tena maongezi

“ Peniela” akaita Kigomba.Baada ya sekunde kadhaa

Peniela akaitika

“ Unasemaje Kigomba?

“ What are you planning to do with the virus?

Ilimchukua dakika mbili Peniela kumjibu Kigomba

swali lake

“ Focus on what I asked you to do,forget about th

e

virus” akasema peniela

“ I must find a way to take away the virus.I’ve

sacrificed a lot for ths Virus na siwezi katu kumua

cha Peniela

afaidi kirusi hiki.Nikifanikiwa kukipata,vijana wa

mjini

wanasema nitakuwa nimepiga bao.Nitakiuza kwa mailio

ni ya

fedha na nitaondoka na familia yangu kwenda kuishi

nchi za

mbali.Hii ni fursa nyingine nimeipata na siwezi kuk

ubali

ikanipita.Nimenusurika kupoteza uhai wangu kwa saba

bu ya

kirusi hiki kwa hiyo nina kila sababu ya kuwa nacho

mimi.I

must do something ,hata kama ni kumuua Peniela I’m

ready

for that” akawaza Kigomba

“ Team SC41 wanakitafuta kirusi Aby wakitumie hapa

Tanzania kwa lengo la kuchukua kiasi kikubwa cha ma

dini

chini ya bahari.Nitafanya makubaliano nao kama wata

kitaka

kirusi Aby basi wanipatie robo ya madini

watakayoyachukua.Najua lazima watakubali.Nikipata r

obo ya

madini hayo ni utajiri mkubwa mno.Ni trilioni na tr

ilioni za

pesa.Ukiacha utajiri huo kwa hivi sasa mmi ndiye bi

nadamu

pekee mwenye kinga dhidi ya kirusi Aby .Huu ni utaj

iri

mwingine mkubwa mno” akawaza Peniela

“ Pesa aliyoniachia John Mwaulaya ni nyingi lakini

si

utajiri ninaoustahili kwa mambo yote niliyoyafanya

ya

hatari.Nimefanya mambo mengi ya hatari na huu ni mu

da

wangu wa kula matunda ya kile nilichokifanya kwa m

uda

mrefu.Nimeudhalilisha utu wangu kwa muda mrefu kwa

faida ya Team SC41 na Marekani now its my time to

rule the

world.Everybody in this world will speak my name Pe

niela.”

Akawaza huku akitabasamu kwa mbali

“ Nitakuwa tajiri mkubwa muda si mrefu toka sasa

.Nitaishi maisha ambayo nimekuwa nikiota kuyaishi k

wa

muda mrefu pamoja na hayo kuna watu ambao ningefur

ahi

sana kama wangekuwa nami ninapokwenda kuyaanza

maisha mapya ya ubilionea .Watu hao ni John Mwaulay

a na

Mathew.Inaniuma sana kwa kutokuwa na Mathew mtu

ambaye aliyatoa maisha yake kwa ajili yangu.Ndoto y

ake

kubwa siku zote ni kuniona nikiachana na Team SC41

na

kuyaanza maisha mapya.Ni mwanaume pekee ambaye

naweza sema kwamba ananithamini na toka moyoni mwak

e

anaumia kwa maisha yangu ya sasa ya kuutumia mwili

wangu

kama chambo cha kupata taarifa za kufanikisha mipan

go ya

Team SC41.Mathew is a man I dseserve to spend the r

est of

my life with.Tayari amekwisha niingia moyoni na nil

itegemea

baada ya mambo haya yote kumalizika pengine mimi na

yeye

tungeufungua ukurasa wetu mpya lakini hilo haliweze

kani

tena.I’ve messed up...” Peniela akaupiga usukani kwa

hasira

“ Inaniuma sana kumpoteza Mathew lakini sina

namna ya kufanya lazima nisonge mbele.Nitajitahidi

kuyafanya maisha yangu yawe na furaha bila ya

Mathew.Kinachonipa wasi wasi ni kwamba I’m in great

war

with him.We’re now great enemies” akawaza Peniela

Waliwasili katika jumba la John Mwaulaya ,Peniela

akashuka na kwenda kubonyeza kengele ya getini na z

ikapia

dakika tatu mlango wa geti ukafunguliwa akajitokeza

kijana

mmoja aliyevaa suti nyeusi

“ Hi “ akasema Peniela

“ Hi ” akajibu Yule kijana ambaye alistuka kidogo

baada ya kumuona Peniela

“ I’m Peniela” akasema Peniela

“ I know who you are madam.Karibu ndani” akasema

Yule kijana.

“ Josh yupo? Akauliza Peniela

“ Ndiyo yupo.Kuna kikao kidogo cha kujadili kuhusu

mazish ya John Mwaulaya”

“ Ok! Naomba uniitie Josh” akasema Josh na

haukupita muda mrefu Josh akaja akikimbia.Hakuamini

kama

kweli aliyekuwapo getini ni Peniela

“ Peniela !!!

“ Josh !!!akasema Peniela wakasalimiana .Josh

akafungua geti haraka haraka .Kulikuwa na watu zaid

i ya

thelathini wakiwa katika hema bustanini walionekana

kuwa






kinga .John akaichoma kinga hiyo yote mwilini mwa P

eniela

na hivyo kumfanya awe ni binadamu pekee mwenye kin

ga

hiyo.Tunatakiwa kufanya kila twezalo kuhakikisha tu

nampata

Peniela kutokana na umuhimu wake huo” akasema John

Patrick akainama akaoneka akiwa katika mawazo

mengi sana.Baada ya muda akainua kichwa na kuuliza

“ Mathew una familia? Una watoto?

Ilimchukua zaidi ya dakika tatu Mathew naye akauli

za

.

“ Vipi wewe una familia?

“ Ndiyo nina mke na mtoto na ninawapenda

sana,wao ni kila kitu kwangu.Endapo kirusi hicho

kilichotengenezwa kwa ajili ya kushambulia marekani

kitatumika kwa ajili ya lengo hilo ,mke wangu na mt

oto nao

pia wanaweza kuwa miongoni mwa watu wanaoweza

kupoteza maisha .Siwezi kukubali hilo litokee.Nitas

hirikiana

nawe tuhakikishe tunakipata hicho kirusi”

“ Ahsante Patrick lakini nataka nikutahadharishe

kuwa watu tunaokwenda kupambana nao ni watu wenye

ujuzi mkubwa wa mapambano kwa hiyo yakubidi uwe tay

ari

kwa lolote “

“ niko tayari Mathew kwa lolote.Nataka kuwalinda

familia na ndugu zangu” akasema Patrick.

**************

Abel Mkokasule aliwaacha vijana wake wakiendelea

na uchunguzi katika nyumba ambayo Edmund aliwapa ak

ina

mbaya bali alifahamu fika kilichokuwamo ndani yake

.Je ni

kit............” Abel akakatishwa na Dr Joshua

“ Stop ..!! Stop !!! akasema Dr Joshua na sura yake

ikabadilika.Alikuwa amekasirika mno.Akainama akafik

iri

halafu akainua kichwa na kumtazama Abel

“ Abel nakufahamu wewe ni mmoja wa watu watiifu

sana kwangu.”

“ Ndiyo mzee” akajibu Abel.

“ Kuna kazi ambayo nataka ifanyike kabla ya saa sa

ba

mchana wa leo.kazi hiyo nataka ifanywe na mtu ambay

e

ninamuamini kupita wote na mtu huyo ni wewe.Ni kazi

ya

hatari kidogo na inayohitaji usiri mkubwa”

“ Niko tayari mzee kwa kazi yoyote hata kama ni ya

hatari” akasema Abel

“ Unakumbuika nilikutuma ukaenda kumuhamisha

mgeni wangu Yule anaitwa Hussein na watu wake

ukawapeleka Samawati beach hotel?

“ Ndiyo mzee ninakumbuka”

“ Good.Hussein alikuja hapa nchini kwa dhumuni la

kuchukua mzigo ambao Anna ametoweka nao.Muda

tuliokubaliana awe ameupata mzigo wake unazidi kuka

ribia

na mzigo haupo.Hussein ni mtu hatari sana na ametoa

vitisho

vingi endapo hataupata mzigo wake kabla ya saa saba

mchana wa leo.Labda kwa kukupa picha ndogo tu ni kw

amba

Hussein ana mafungamano na mtandao wa kigaidi.Sikuw

a

nalifahamu hili hadi muda mfupi uliopita.” Akasema

Dr

Joshua na kunyamaza akamtazama Abel na kuendelea

“ Abel,nahitaji huyo mtu ,Hussein na watu wake wot

e

alioambatana nao wawe wamefariki kabla ya saa saba

za

mchana wa leo.For doing that you’ll be saving not

only me

but also our nation.Its a hard task I’ve ever given

you but I

know you can do it.Tell me everything that you need

and I’ll

give you.This is very very important to me” akasema

Dr

Joshua .Ukimya ukatawala mle chumbani.baada muda A

bel

akasema

“ Mheshimiwa rais,nimechukua muda kidogo

kukujibu nilikuwa najaribu kutafakari,namna ya kuif

anya kazi

hiyo kwa weledi na kwa haraka kama unavyotaka.Kwa m

uda

huu hadi kufika saa saba ni muda mfupi na yanahita

jika

maandalizi ya kutosha ya kuwavamia watu hao.Isitosh

e ile ni

hoteli kubwa na muda wote imejaa wageni na ina ulin

zi wa

kutosha ,kunaweza kuwa na ugumu katika kulitekeleza

hilo

kwa namna tunavyotaka na hasa ukizingatia ulivyosem

a

kwamba Hussein ana mafungamano na kikundi cha kigai

di

inawezekana kabisa hata hao watu alioambatana nao w

ana

mafunzo na ujuzi mkubwa wa kutumia silaha kwa hiyo

hili si

suala jepesi.” Akasema abel

“ kwa hiyo unanishauri nini Abel? Nini mawazo

yako? Unadhani tunawezaje kulifanikisha hilo? Kumbu

ka ni

muhimu sana sana”

“ Mzee kuna njia moja tu ya kufanya ili kulifanya

jambo hilo kwa haraka na kwa ufanisi.Sina hakika ka

ma u

takubaliana na njia hiyo lakini ndiyo peke niionyao

mimi

kwamba ni muafakla.”

“ Niambie Abel ni njia gani hiyo?

“ Ni kuilipua hoteli ile kwa bomu.”

Mstuko mkubwa ukaonekana katika sura ya Dr

Joshua.Hakuwa ametegemea kusikia kitu kama ile toka

kwa

Abel.Akafuta jasho ambalo bado liliendelea kumtirir

ika.

“ Abel nimestuka sikuwa nimelitegemea jambo kama

hilo. Lakini kama unaona ndiyo njia pekee ambayo ni

muafaka mimi sina kipingamizi lets us do it ila hof

u yangu ni

kwamba watakufa watu wengine ambao hawana hatia”

“ usihofu kuhusu hilo mheshimiwa rais.Hata kama

watapoteza maisha watu wengine wasio na hatia lakini

sisi

lenog letu likifanikiwa hakuna tatizo” akasema Abel

.

Dr Joshua akainama akafikiri kidogo na kusema

“ Tell me Abel how are we going to do it?

“ Kabla ya kufanya chochote unatakiwa kwanza

uzungumze na mmiliki wa hoteli ile ambaye naamini

mnafahamiana sana.Yeye atakuwa na na msaada mkubwa

kwetu kuitekeleza kazi yetu kwa wepesi bila vikwaz

o.Can you

do that Mr President?

Dr Joshua akainama tena akatafakari halafu akasema

“ Ok ngoja niongee naye nimuombe tukaonane

katika ile nyumba yangu kule ufukweni ili tuongee k

wani

maongezi kama hayo yanahitaji sehemu ya faragha”

akasema Dr Joshua na kuchukua simu yake akapekua se

hemu

anakohifadi namba za simu akaitafuta namba ya Moses

Singura mmiliki wa Samawati beach hotel akampigia.

*****************

Mathew na Patrick waliwasili nyumbani kwa Jason

ambaye alikuwa anajianda kuondoka kwani tayari geti

llikuwa

wazi.Mathew akawahi kulisimamisha gari getini na ku

mzuia

Jason asiweze kutoka. Jason aliogopa sana alipolion

a gari lile

asilolifahamu limesimama getini na kumzuia asitoke

,akadhani ni majambazi akaishika simu yake ili awez

e

kuomba msaada polisi lakini akaiweka chini baada ya

kumuoa

Mathew akishuka toka ndani ya lile gari lilisosimam

a

mlangoni naye akaufungua mlango akashuka “ “ Mathew

!!!

akaita Jason huku akitoa tabasamu

“ Dah ! Umeniogopesha sana kwa namna

ulivyoingia.karibu san....” Jason hakumaliza sentensi

yake

akamuona Mathew akiitoa bastora akamuelekezea.

“ Mathew what’s the meaning of this? Akauliza

Jason kwa wasi wasi.Mwili wote ulianza kumtetemeka

.Sura

ya Mathew ilionyesha wazi hakuwa anahitaji masihara

.Mara

toka ndani ya gari akashuka Patrick naye akiwa na

bastora.Jason woga ukamzidi

“ Mathew what’s go..go..” akababaika Jason

“ Fungua haraka mlango wa nyumba yako,let us in !!

akaamuru Mathew kwa sauti ya ukali iliyozidi kumuog

opesha

sana Jason.Akaenda katika mlango mkuu wa kuingilia

sebuleni akaufungua wakaingia ndani

“ Math..” akataka kusema kitu Jason lakini Mathew

akamzuia

“ Jason wewe ni rafiki yangu lakini hapa sijaja

kirafiki.Nimekuja kikazi.Nataka unieleze wapI alipo

Peniela?

“ Peniela ?? Jason akashangaa

“ Sijamuona Peniela toka siku ile uliponipigia sim

u

nikaja kuwachukueni usiku” akasema Jason

“ Jason narudia tena kwa mara ya mwisho,naomba

unieleze wapi alipo Peniela?

Akauliza Mathew

“ I’m telling you the truth Mathew,Peniela hajafik

a

hapa.”

Mathew akamtazama Jason kwa hasira halafu ghafla

bila ya kutegemea Jason akajikuta amerukiwa na Pat

rick

aliyekuwa nyuma yake na kumkaba shino ,Mathew akat

oa

kifaa Fulani kidogo toka mfukoni mithili ya mkasi m

gumu

“ Jason umenilazimisha nifanye kile ambacho sikuwa

nimepaga kukufanyia.Kwa kuwa umeamua kumficha Penie

la

nitakukata kidole kimoja kimoja hadi utakapoamua ku

nieleza

ukweli “ akasema Mathew

Huku akivuta pumzi kwa taabu kutokana na kukabwa

na Patrick Jason akasema

“ Mathew una....uta..utaniumiza bure.Sijaonana na

Penie..” Kabla hajamaliza kutamka Mathew kwa kutumi

a ule

mkasi mgumu akakikata kidole kidogo cha mwisho mko

no

wa kushoto.Jason akapiga ukulele mkubwa sana kwa

maumivu makali aliyoyasikia .Patrick akamuachia ak

aanguka

chini na kuanza kugala gala huku akilia kama mtoto

mdogo.Mathew akamuinamia na kusema

“ Where is Peniela??

“ Nitakueleza Mathew..please don’t hurt me again!!

!

Akasema Jason ambaye tayari alikuwa amaetapaka damu

“ Jason sina muda wa kupoteza .Niambie Peniela

yuko wapi? Au niendelee na zoezi langu?

“ No ! Mathew please don’t hurt me !! akasema

Jason na kuinuka akakaa.Mahali alipokatwa paliendel

a kuvuja

damu nyingi

“ Ni kweli Peniela alikuwa hapa muda mfupi

uliopita.Alinipigia simu na kuniambia ana matatizo

makubwa

na akaomba msaada wangu.Nili...nilie....” Jason akashin

dwa

kuongea kutokana na maumvu makali .Mathew akachukua

kitamaba na kulifunga jeraha halafu Jason akaendele

a

“ Nilienda kumchukua Peniela nikamleta hapa

alikuwa na mzee mmoja ,akaniomba aishi hapa kwangu

kwa

muda kwani hana makazi,nikamkubalia.Aliniambia kwam

ba

kuna sehemu anakwenda mara moja na atarejea baadae

“ Alisema anakwenda wapi? Akauliza Mathew

“ Alisema kwamba anakweda kuonana na Josh”

“ Josh ?? akauliza Mathw

“ Ndiyo”

Mathew akamgeukia Patrick

“ Twende tuondoke tumuwahi

Peniela.Ninapafahamu mahal alikoenda” akasema Mathe

w

na kumuinamia tena Jason

“ Nisikilze Jason.Peniela is a killer.She killed

Anitha.Hivi tunavyoongea ametoweka na kirusi Aby am

bacho

tayari tulikuwa tumekipata.She foolled us.She’s sti

ll with

team SC41” akasema Mathew na kutoka mle sebuleni

akimuacha Jason katika mshangao mkubwa

**************



kubwa wakiwaacha watu wote mle ndani wakjiuliza masw

ali

nini kimetokea

“ Peniela kuna nini? Mbona tumeondoka kwa fujo

namna hii? Is everything ok? Akauliza Dr Kigomba

“ He’s following us.mathew is comig after us”

akasema Peniela na sura ya Kigomba ikabadilika .Ali

ingiwa na

woga mwingi

“ I need to do something very quick to get the

virus.That man Mathew will never stop chasing us.”

Akawaza

Dr Kigomba

****************

Team SC41 waliokuwepo nyumbani kwa John

Mwaulaya wakijadiliana mambo kadhaa hawakuwa

wametarajia kama wangeweza kuvamiwa.Mathew na Patri

ck

wakiwa wamejiandaa vilivyo walivamia makazi ya John

mwaulaya wakimtafuta Penela lakini walikumbana na

uipinzani mkai kutoka kw teamSC41.Kuliibuka mpamban

o

mkali wa kurushiana risasi uliodumu kwa dakika thel

athini

lakini Mathew na Patrick waliokuwa wamejizatiti vye

ma

wakafanikiwa kuwadhibit team SC41 na watu saba

wakapoteza maisha na wengine wakafanikiwa kutoroka

na

kukimbia.Mathew na Patick wakiwa katika tahadhari k

ubwa

wakapekua kila mahali katika jumba la John Mwaulay

a lakini

hakukuwepo na dalili zozote za Peniela wala Kigomba

“ we lost her !!..akasema Mathew kwa hasira na

kumtaka Patrick waondoke haraka eneo lile.

“ Peniela yuko wapi? Ana dhumuni gani na kile

kirusi? Nitamsaka kila kona na nitahakikisha ninamp

ata.Jua

halitachwea siku ya leo kabla sijamtia Peniela mik

ononi

mwangu” akawaza Mathew

“ Mathew !! akaita Patrick ambaye mkono wake wa

kushoto ulikuwa unavuja damu kutokana na kujeruhiwa

kwa

risasi.

“ watu wale ni akina nani? Wanaonekana ni watu

wenye weledi mkubwa wa kupambana.Kama isingekuwa

kwamba sisi nasi ni wajuzi zaidi yao kwa kucheza na

silaha

basi ni wazi tusingetoka salama katika lile jumba”

akasema

Patrick

“ wale ni team SC41.Ni watu wanaopatiwa mafunzo

ya hali ya juu ya kiupelelezi na kazi yao kubwa ni

kulinda

maslahi ya Marekani hapa nchini.Ni kikundi kidogo l

akini

hatari sana.Peniela tunayemsaka ni mmoja wao” akase

ma

Mathew.

“ lakini mbona wanaonekana ni watanzania?

“ Ndiyo ni watanzania .Team SC41 wakianzisha tawi

lao sehemu fulani basi huchukua watu kutoka sehemu

hiyo

wakapa mafunzo na kuwaajiri wafanye kazi ila makao

makuu

yapo Marekani.

“ Mimi ni C.I.A na ninafahamu mambo mengi ya

serikali yetu ila sijawahi hata siku moja kusikia h

icho kikundi

kinachoitwa Team SC41” akasema Patrick

“ Hiki ni kikundi cha siri .Ni watu wachache

wanaofahamu uwepo wa kikundi hiki japokuwa..” Mathe

akanyamaza baada ya simu yake kuita.Akatazama mpiga

nji

alikuwa ni Edmund Dawson

“ hallow Edmund” akasema Mathew

“ Mathew mmefikia wapi? Kuna mafaniko yoyote?

“ Tulifanikiwa kufahamu mahala alikoelekea Peniela

,tukamfuata ,tumekumbana na upinzani mkali sana

nyumban kwa John Mwaulaya ,tumepambana vikali na Te

am

SC41 ,tumefanikiwa kuua baadhi na wengine wakakimbi

a ila

Peniela hatukumpata na hatujui yuko wapi”

“ Poleni sana..Nyote mko salama?

“ Sote tuko salama kabisa”

“ Tayari mmekwisha toka eneo la tukio?

“ Tumekwisha ondoka”

“ Vizuri.Kuna sehemu nyingine mnaelekea hivi sasa?

“ Sehemu pekee ambayo naamini peniela anaweza

kwedna kwa sasa ni kwa Deus Mkozumi.Ninafikiria kwe

nda

huko”

“ Sawa Mathew lakini naomba mrudi kwanza hapa

kuna mambo nmeyabaini kuhusu Deus Mkozumi na mgeni

wanayamtegemea leo” akasema Edmund na kukata simu

“ Huyu mtu hatari sana.Bila yeye ,sina hakika kama

leo hii ningetoka salama katika yale mapambano.Ana

kiwango cha juu sana katika kutumia silaha” akawaza

Patrick

akimtazama Mathew kwa jicho la wizi.

****************

Dr Joshua hakupoteza muda akawasili haraka katika

nyumba yake ya ufukweni kwa ajili ya kuonana na Mose

s

singura mmiliki wa Samawati beach hotel.Moses ni

mfanyabiashara mkubwa mwenye biashara nyingi kubwa

kubwa pia ni mmoja wa wafadhili wa siri wa chama

anachokiongoza Dr Joshua.

Kisha shuka garini ,Dr Joshua akiwa ameongozana na

Abel mkokasule wakaelekea moja kwa moja sebuleni

alikokuwa Moses

“ Moses “ akasema Dr Joshua huku akitabasamu

“ Dr Joshua” akasema Moses wakasalimiana.Dr

Joshua akamuomba Moses waelekee katika chumba kingi

ne

kwa ajili ya maongezi ya faragha

“ Nimeitika wito wako wa haraka mheshimiwa rais”

akasema Moses

“ Nashukuru sana Moses kwa kuacha shughuli zako

nyingi ukaitika wito wangu” akasema Dr Joshua na

kumueleza kwa kirefu Moses kile alichomuitia pale.

Alimfafanuilia kwa kina azma yake ya kutaka kuilipu

a hotei ile

ya samawati beach inayomilikiwa na Moses kwa leng

o la

kuwaua magaidi waliopanga pale

“ Kwa hiyo Moses nakuomba usijali kabisa kuhusu

kuruhusu kuharibiwa kwa hoteli yako.Nakuahidi utaje

ngewa

hoteli nyingine kubwa sana kuliko hii ya sasa ndani

ya kipindi

kifupi na utalipwa fidia kubwa mara mbili ya gharam

a

ulizotumia kujengea hoteli hiyo.Jambo hili ni kwa a

jili ya taifa

letu na kama tusipowawahi magaidi hao watatuwahi na

kufanya mashambulizi makubwa hapa nchini kwetu.Laz

ima

tuwaondoe haraka iwezekanavyo na njia pekee ya

kuwaondoa ni kwa kuilipua hoteli waliyomo.” Akaende

lea

kuweka msisitizo Dr Joshua

Kulifanyika mjadala mzito lakini mfupi na mwisho

wakafikia makubaliano.haikuwa rahisi kwa Moses Sing

ura

kukubali ombi la rais lakini baada ya kuahidiwa kia

si kile

kikubwa cha fedha alikubali.Baada ya maafikiano Abe

l

Mkokasule na Moses wakaondoka tayari kabisa kwenda

kuanza utekelezaji wa mpango ule.

“Ee Mungu naomba unisamehe sana kwa hiki

kinachokwedna kutokea .maisha ya watu waso na hatia

yanakwenda kupotea” akawaza Dr Joshua na kuinama

akaweka mikono kichwani

“ Nililianzisha suala hili lakini sifahamu ni wapi

linanipeleka kwani linaanza kunishinda kunidhibiti.

Leo hii

tena roho za watu wasio na hatia zinakwenda kuteket

ea.kwa

hatua hii niliyofikia lazima niwe makini sana kwani

mambo

yanaanza kuniendea mrama.Kila kitu kinaonekana kwen

da

ndivyo sivyo” Akawaza Dr Joshua na kuinuka baada y

a

kumkumbuka Peniela akatoka kwa haraka hadi katika

chumba cha Peniela akagonga mlango lakini hakujibiw

a.

“ my love!! Akaita Dr Joshua akakinyonga kitasa ch

a

mlango ukafunguka.Chumba kilikuwa kitupu Peniela

hakuwemo .Akamuita Kareem na kumuuliza aliko Peniel

a

“ Peniela aliniomba atoke kidogo aende saluni na

hatakawia kurudi” akasema Kareem.Dr Joshua akamtaza

ma

kwa ghadhabu.

“ How can you do that Kareem? Nilikuweka hapa kwa

kazi moja tu ya kumlinda Peniela na nikakupa sharti

kwamba

usiruhusu atoke nje ya nyumba hii.Kwa nini umepuuza

maagizo yangu na kumuacha Penila ametoka ?

“ Samahani mzee aliniambia kwamba hatakawia

kurudi na ndiyo maana nikamruhusu”

“ Nilikuambia Kareem kwamba chochote

anachokitaka apatiwe hapa hapa.Kulikuwa na ugumu ga

ni wa

kwenda kumchukua watu wa kuja kumremba hapa hapa

nyumbani wakati fedha nimekupatia? Akauliza Dr Josh

ua kwa

ukali, Kareem hakujibu kitu akabaki anamtazama Dr J

oshua

“ Kwa nini umedharau amri yangu Kareem?? Akauliza

Dr Joshua

“ I’m sorry Mr president.” Akasema Kareem .Dr

Joshua akamtazama kwa hasira

“ For the first time you’ve disappointed me Kareem

akasema Dr Joshua na kumtazama Kareem kwa hasira

“ Ninakupa dakika thelathini za kwenda kumtafuta

Peniela na kumleta hapa.Nitakapofika ikulu nataka P

eniela

awe tayari amerejea hapa ndani” akasema Dr Joshua k

wa

hasira na kutoka nje akaongozana na walinzi wake ka

tika gari

wakaondoka kurejea ikulu

****************

Mathew na Patrick walirejea katika nyumba ambayo

Edmund Dawson anaitumia kama ofisi yake ya siri

“ Ahsante Mungu mmerejea salama” akasema Anna

baada ya akina Mathew kurejea

“ Poleni sana” akasema Edmund huku akilichunghuza

jeraha la Patrick

“ Ahsante sana Edmund .Tumemkosa Peniela na

hatujui yuko wapi sasa hivi.Umegundua nini kuhusu De

us

Mkozumi? Akauliza Mathew

“ Nimefuatilia namba ya simu ya Deusi Mkozumi

ambayo Chin sun alimpigia asubuhi ,inaonyesha kwamb

a jana

usiku alipiga simu Dubai.Leo tena asubuhi amepiga

simu

katika namba ile ile aliyopiga jana usiku .Baada ya

kufuatilia

namba ambayo John amekuwa akiipiga Dubai jana na le

o

nimegundua kwamba John amekuwa akipiga simu katika

hoteli moja kubwa inaitwa Sahabin hotel na alikuwa

anaongea na chumba namna 304 ambacho mgeni wake

anaitwa Victor Pulkanov raia wa urusi.Sikuishia hap

o

nimewasiliana na hoteli hiyo wakanieleza kwamba Vic

tor

amekwisha rejesha chumba na alipelekwa uwanja wa nd

ege

kwa gari la hotelini hapo.Kuna watu wa C.I.A pale u

wanja wa

ndege wa Dubai ambao niliwasiliana nao wakafanya

uchunguzi wa haraka wakagundua kwamba amepanda ndeg

e

inayokuja Tanzania .Hii imenipa uhakika mkubwa kwam

ba

Victor Pulkanov ndiye mgeni ambaye Deus Mozumi na C

hin

sun wanamtarajia” akanyamaza kidogo baada ya simu y

ake

kuita.Akazungumza kwa dakika tatu na kukata smu

“ Nimepigiwa simu na moja wa vijana wangu ambaye

humlinda Chin sun amenitaarifu kwamba hivi tunavyoo

ngea

Deus mkozumi na Chin sun wamekutana Savana Vilage p

ark

kwa maongezi.”

“ Lazima kuna jambo kubwa linaendelea kati yao na

hasa ni kuhusu huyo mgeni wanayemtarajia” akasema

Mathew

“ Baada ya kugundua kuhusu Victor niliwasiliana na

ofisi yetu kuu ya C.I.A nikawaeleza lakini majibu w

aliyonipa

yamenichanganya kidogo.Victor Pulkanov si raia wa u

rusi na

wala hili si jina lake halisi.Jina lake halisi anai

twa Andrew

Rodney ambaye tumekuwa tukimsaka kwa muda mrefu kwa

kuvujisha siri za serikali.Kilichonishangaza zaidi

ni baada ya

kupewa angalizo kwamba niliache suala hilo kama lil

ivyo na

nisiendelee kulifuatilia kwani C.I.A tayari

wanalifahamu.Nimeshangazwa na angalizo hilo nililop

ewa na

ofisi kuu bila ya maelezo ya ziada.” Akasema Edmund

.Mathew akafikiri kidogo na kusema

“ Nahisi kuna jambo linaloendelea hapa si bure.C.I

.A

walipaswa kukutaarifu kuhusu mipango yao kwani

wanakutumia wewe kumchunguza Chin sun ambaye ana

mawasiliano na Andrew.Kuna jambo linafichwa hapa.Na

hisi

yawezekana labda kuna mpango wa siri wa kumuua Andr

ew

Rodney au kumkamata” akasema Mathew

“ Kwa hiyo unanishauri kitu gani Mathew? Akauliza

Edmund

“ Nashindwa nikushauri nini Edmund kwa sababu hilo

ni suala la C.I.A.Ukienda kinyume na maelekezo yao

basi

lazima utaingia matatizoni.Ushauri wangu fuata mael

ekezo

waliyokupa.Endapo kuna kitu kinaendelea watakufaham

isha




“ Josh kuna kitu kinaendelea .Kwa ufupi ni kwamba

tayari nina kirusi kile ambacho tumekuwa tunakitafu

ta kwa

muda mrefu”

“ The virus? Akauliza Josh kwa mshangao

“ Ndiyo”

“ Umekipata vipi?

“ Ni hadithi ndefu ila ninachotaka ufahamu ni

kwamba kuna vita kubwa kati yangu na Mathew na ndiy

o

maana nikakutaka tondoke kabla hajafika pale kwani

sifahamu nini kingetokea kama angetukuta pale.Kuanz

ia sasa

zima kabisa simu yako na usiwasiliane na mtu yeyot

e “

Haraka haraka Josh akaizima simu yake

“ Kwa hiyo nini kinafuata? What are we going to do

with that Virus? Akauliza Josh .Peniela hakujibu ki

tu

akaendeleaa kuinamisha kichwa akiwaza

“ Peniela Kijana hapa ameuliza swali zuri sana.Una

mpango gani na hicho kirusi? Please tell us” akauli

za Dr

KIgmba

“ Kabla ya kufikiria tufanye nini na hiki kirusi k

wanza

lazima tutafute sehemu ya kujificha.Sote hapa

tunatafutwa.KIgomba unatafutwa na rais,mimi nitafut

wa na

Mathew na ninaamini Josh wewe utaanza kutafutwa na

Team SC41 kwa hiyo tutakapokuwa tumepata sehemu nzu

ri

ya kujificha yenye usalama nitawaeleza kitakachofua

ta .Kuna

yeyote kati yenu anayeweza kupata sehemu nzuri ya

kujificha? akauliza Peniela.Josh na Dr Kigmba wakat

azamana

“ Inaonyesha hamna ,basi mimi ninayo” akasema

Peniela na kuwasha gari

“ Simuelewi Peniela ana mpango gani na hiki kirusi

.Huyu kijana naye ameongezeka na anazidi kuweka ugu

mu

kwa mimi kukichukua kirusi hiki.Hata hivyo kwa vyov

yte vile

itakavyokuwa lazima nikichukue kirusi.Nikipata nafa

si hata ya

dakika moja sifanyi kosa.Nitaitumia ipasavyo.Inaniu

ma sana

kumuona huyu mwanamke anamiliki kirusi ambacho

nimekihangaikia mno.Nusura nipoteze uhai wangu kwa

sababu ya kirusi hiki.Anatembea na mabilioni ya

fedha.Natamani hata sasa nimrukie nimkabe niondoke

na

kirusi lakini ngoja niwe na subira.” akawaza Kigom

ba .Ni wazi

hakuwa amefurahi kabisa uwepo wa Josh

Safari ilikuwa ya kimya kimya na mara wakawasiii

katika kanisa moja kubwa lililoandikwa Calvary Mini

stry

“ What are we doing here? Akajiuliza Dr

Kigomba.Peniela aliendesha gari hadi katika ofisi z

a kanisa

akalichukua sanduku lenye kirusi akashuka nalo akae

nda hadi

katika ofisi za kanisa akakaribishwa na wahudumu

wachangamfu.Akawasalimu na kuwaeleza shida yake ya

kutaka kuonana na Chin sun mke wa askofu.Alielezwa

kwamba kwa muda huo Chin sun hakuwepo alikuwa ameto

ka

.Walimtaka aeleze tatizo lake ili wamfikishie Chin

sun au

kama anashida ya kuombewa basi kuna wachungaii weng

ine

ambao wangeweza kumuombea lakini Penela alisisitiza

kutaka kuonana na Chin sun ana kwa ana.Kwa kuona

msisitizo ule wahudumu wale wakajadiliana na kuamua

kumsaidia Peniela kwa kumpigia simu Chin sun ili aw

eze

kuzungumza naye.

“ Mama Chin samahani sana kwa kukusumbua”

akasema mmoja wa wahudumu wa kanisa aliyempigia sim

u

Chin sun

“ Bila samahani” akasema Chinsun

“ Mama kuna mgeni wako amekuja hapa anakutafuta

na anaonekana ana sh...” Peniela aliyekuwa karibu na

Yule

muhudumua akadakia

“ Naomba unipe simu niongee naye mwenyewe”

Yule muhudumu akampatia simu Peniela

“ Mama Chin” akasema Peniela

“ Ninaonge ana nani? Akauliza Chin sun

“ Naitwa Peniela” akasema Peniela huku akitoka nj

e

ya ile ofisi

“ NIkusaidie nini?

“ Nina shida kubwa ya kuonana nawe.Nielekeze

mahala ulipo nikufuate sasa hivi”

“ Unashida gani?

“ Nina shida kubwa ambayo siwezi kuizungumza

simuni”

“ Nina kazi nyingi za kufanya kwa hiyo kama

hutanieleza shida yako ili nione uzito wake itaniwi

a ugumu

kutenga muda wa kuonana nawe.Nieleze tafadhali japo

kwa

muhtasari tatizo lako”

Peniela akawaza kidogo na kusema

“ Ni kuhusu Andrew Rodney”

“ Chin sun alibaki kimya kwa sekunde kadha halafu

akasema

“ Usiondoke hapo kanisani nakuja sasa hivi.Mpe sim

u

muhudumu niongee naye” akaelekeza Chin sun na Peni

ela

akaipeleka simu kwa mhudumu ambaye alipewa maelekez

o

na Chin sun .Baada ya simu kukatwa Yule muhudumu

akamuomba Peniela amfuate,akampeleka katika chumba

kimoja kizuri kilichoonekana kama maalum kwa kupumz

ikia

wageni muhimu sana.Akakirimiwa kinywaji akaendelea

kunywa taratibu huku akitazama muziki katika lunin

ga

kubwa.

“ Ili kumuokoa Deus lazima nimueleze ukweli Chin

sun.Vile vile nahitaji kuonana na Andrew Rodney amba

ye

naamini ndiye atakayenisaidia kulimaliza kundi la T

eam

SC41.Huyu anazitafuta siri za marekani na kuzivujis

ha.Endapo

siri za kuwepo kwa kundi hili la Team SC41 zitavuj

a naamini

utakuwa ni m wisho wa kundi hili.” Akawaza Peniela

halafu

akamkumbuka Mathew

“ Roho inaniuma sana kila nikimfikiria Mathew lak

ini

sina namna ya kufanya ,nimekwisha fanya maamuzi siw

ezi

kurudi nyuma tena.Sipati picha atakuwa katika hali

gani

baada ya kukuta Anitha amekufa.Yeye na Anitha walik

uwa

wanapendana sana.Lazima nikiri kwamba katika maisha

yangu yote yaliyobaki kitendo cha kumuua Anitha kit

anitesa

mno.She was a very nice girl.Alikuwa na roho nzuri

sana

sikuwa nimedhamiria kabisa kumuua lakini bila kufan

ya vile

nisingeweza kukichukua kirusi .God wil forgive me f

or what I

did” akaendelea kuwaza Penela wakati akimsubiri Chi

n sun

***************

Toka aliporejea ikulu akitoka kuonana na Moses

Singura,Dr Joshua alikuwa amekaa kitandani chumbani

kwake akiwa na mawazo mengi mno.Tayari alikwishatoa

maelekezo kwa wasaidizi wake ya kufuta ratiba yake

yote ya

siku.Hakutaka kabisa kushughulika na kitu kingine c

hochote

zaidi ya masuala mazito yaliyokuwa yanamkabili.Akiw

a katika

dimbwi la mawazo simu yake ikaita alikuwa ni Abel

Mkokasule ,akaipokea haraka haraka

“ Abel ,give me the good news” akasema Dr Joshua

“ Mzee tunaendelea vizuri na maandalizi.It’s not e

asy

but we’re doing everything we can .Moses amenipa

ushirikiano mkubwa sana.Tayari tumepata mabomu man

ne

makubwa kutokana maelekezo yako uliyoyatoa na sasa

tunaendelea na maandalizi kwani jambo hili linahita

ji umakini

na usiri wa hali ya juu sana”

“ Good to hear that Abel.Tafadhali hakikisha jambo

hili linafanikiwa”

“ Ndiyo mheshimiwa rais ninafanya kila ninaloweza

na jambo hili litafanikiwa.”

“ Good” akasema Dr Joshua

“ Mzee kuna taarifa nimepewa na vijana wangu

niliowaacha katika ile nyumba ambayo alikuwamo Anna

ambao wanaendea na uchunguzi wao”

“ Taarifa gani hiyo Abel?

“ Kuna mmoja wa walinzi wako anaitwa Kareem

ameonekana katika ile nyumba na ameshikiliwa na vij

ana

wangu ambao wamenitaka nikuulize kama ni wewe ndiye

uliyemtuma pale?

“ Hapana ,sjamtuma aje hapo” akasema Dr Joshua

kwa sauti yenye mshangao

“ Kama hukumtuma basi inaonekana kuna kitu

anakifahamu kuhusu nyumba ile au kuhusu Anna” akas

ema

Abel

“ Uko sahihi Abel.Waambie vijana wako wasimuachie

na wampeleke katika nyumba yangu ufukweni nitamuhoj

i

mimi mwenyewe na baadae utamchukua utampeleka dark

house” akasema Dr Joshua na kukata smu

“ Lazima kuna kitu kinaendelea hapa na Kareem

lazima anakifahamu .Hainiingii akilini eti Kareem a

lifika katika

nyumba hiyo kwa bahti mbaya.Lazima kuna kitu amekif

uata

hapo.Inawezekana Kareem akawa anafahamu mahala alip

o

Anna? Nitamuhoji mimi mwenyewe na atanieleza ukweli

alichokwenda kukifanya pale.Kuna mwanga nimeanza

kuuona hapa.” Akawaza Dr Joshua akainuka akavaa kot

i lake

na kutoka akaondoka na walinzi wake kwenda katika n

yumba

yake iliyoko ufukweni mwa bahari

“ Naanza kuhisi kama nimezungukwa na wasaliti kila

kona.Namuamini sana Kareem lakini kitendo cha kuone

kana

katika nyumba ambayo inahisiwa Anna alikuwepo

kimenifanya nianze kuwa na mashaka naye.Ngoja nikam

uhoji

niufahamu ukweli” akawaza Dr Joshua

******************

Mathew ,Anna na Edmund Dawson waliwasili katka

nyumba ya bi Winifrida Mshana aliyewahi kuwa katbu

mkuu

kiongozi wakati wa uongozi wa Deus Mkozumi

“ Nisubirini humu humu garini” Anna akawaambia

akina Mathew

“ Anna una hakika utakuwa salama? Akauliza

Mathew

“ Usihofu Mathew ,nitakuwa salama” akasema Anna

na kushuka akaelekea katika geti

“ Huyu ni mwanamke jasiri mno.Nimekaa naye kwa

muda mfupi nimeuona ujasiri wake” akasema Edmund

“ Ni mrembo pia” akasema Mathew na kumfanya

Edmund atoe kicheko kidogo

Anna akaufugua mlango mdogo wa geti akaingia

ndani ya ile nyumba.Katika bustani ya maua alikuwep

o

msichana mmoja akihudumia maua,Anna akamfuata

akamsalimu na kumuuliza kama bi Winifrida

alikuwepo.Msichana yule akamkaribisha Anna sebuleni

na

kumuita bi Mshana ambaye alitoka nje na kukutana na

sura

ya msichana ambaye kama vile anaifahau

“ Shikamoo bibi” akasema Anna na kuivua kofia

aliyokuwa ameivaa pamoja na miwani.

“ Ana ! Bi mshana akashangaa na kumkaribisha kwa

furaha

“ Umebadilika sana kwa hivyo vitu

ulivyovaa.Sikuwahi kukuona katika muonekano huo”

akasema Bi mshana.

“ Bibi nimevaa hivi kwa sababu maalum”

“ Sababu gani Anna?

“ Nitakueleza siku nyingine bibi ila kwa leo nimek

uja

kwako nina shida naomba unisaidie.”

“ Una shida gani Anna?

“ Nahitaji kuonana na Deus Mkozumi”

“ Deus Mozumi? Bi Mshana akashangaa sana

“ Ndiyo bibi.Nina shida naye kubwa na sina namna

ninyaoweza kufanya kuonana naye na ndiyo maana nime

kuja

kwako kwani wewe na yeye mna ukaribu .Naomba unisai

die

bibi” akasema Anna.Bi Mshana akamtazama Anna kwa

makini na kusema

“ Deus Mkozumi ana namba nyingi za simu ila kuna

namba moja ambayo hupenda kuitumia na ni watu wacha

che

tu wanaoifahamu namba hiyo.” Akasema Bi Mshana na

kuinuka akaenda chumbani akachukua simu .

“ Kwa hiyo unataka nimwambie nini? Akauliza Bi

Mshana

“ Mwambie Anna mtoto wa rais Dr Joshua anataka

kumuona.Ni muhimu sana “ akasema Anna.Bi mshana

akazitafuta namba za simu za Deus akapiga

“ Hallow Winnie” akasema Deus baada ya kupokea

simu

“ Deus how are you brother?

“ I’m fine Winnie.Unaendeleaje?

“ Naendelea vizuri .Deus samahani kwa

kukusumbua”

“ Bila samahani Winnie” akasema Deus




“ Natumai ni mara yetu ya kwanza kukutana

japokuwa inaonekana mwenzangu tayari unanifahamu vi

zuri”

“ Ndiyo ninakufahamu japo si sana.Chin sun naomba

tusipoteze muda bali nikueleze moja kwa moja kile

kilichonileta hapa kwako “

“ Sawa endelea Peniela” akasema Chinsun Peniela

akameza mate kulainisha koo na kusema

“ Kwa kuwa muda hutoshi nitaongea kwa ufupi

sana.Chin sun ninafahamu kwamba uko hapa Tanzania

si

kwa ajili ya kueneza injili kama maelfu ya waumini

wa kanisa

lako wanavyoamini bali uko hapa kwa kazi maalum” ak

sema

Peniela na ghafla Chin sun akasimama uso wake umeji

kunja

kwa hasira

“ Hebu rudia tena hicho ulichokitamka.Umesema

nini? Akauliza Chin kwa hamaki

“ Tafadhali usihamaki Chinsun.Kaa chini uendelee

kunisiiliza kile ninachotaka kukwambia” akasema

Peniela.Chin sun akamtazama Peniela kwa mshangao

mkubwa uliochanganyika na wasi wasi halafu akaketi

,Peniela

akaendelea

“ Nafahamu uko hapa Tanzania kwa kazi maalum

uliyotumwa na Korea kaskazini ya kufanya uchunguzi

wa

mahali alipo Chang Ling mwanasayansi aliyetengeneza

kirusi

Aby ambacho serikali ya Korea kaskazini walitaka k

ukitumia

kufanya shambulio nchini Marekani.Chang ling alipot

ea akiwa

safarini akiaenda kufanya majaribio ya kirusi na il

ionyesha

kuwa Chang ling hakufariki katika ndege hiyo iliyop

otea

ambayo inaaminika kuwa abiria wake wote wakapoteza

maisha bali inaonekana yupo hapa Tanzania kwa hiyo

Korea

kaskazini walikutuma uje Tanzania kufanya uchunguzi

na

kubaini mahala alipo Chang ling pamoja na kirusi Ab

y.Kanisa

ambalo wewe na mumeo askofu Edmund Dawson

mnaliongoza ni kama mwavuli tu wa kukukinga usijuli

kane

kile unachokifanya hapa Tanzania “ Peniela akanyam

aza .Uso

wa Chin sun tayari ulikuwa mwekundu.Hakuwa ametegem

ea

kusikia maneno kama yale toka kwa Peniela.Alikuwa

anahema haraka haraka

“ Mambo haya yote umeyafahamuje Peniela ? Wewe

ni nani ? Nani kakutuma uje unieleze haya ? akauli

za Chinsun

“ Usiogope Chin sun,naomba uwe na amani .Mmi si

mpelelezi na wala sijatumwa na mtu yeyote kuja hapa

kwako.Naomba unisikilize hadi nitakapomaliza” akase

ma

Peniela

“ Peniela hakuna haja ya kunificha na wala

kuzunguka.Wewe lazima ni mpelelezi na kuna mtu

aliyekutuma kwangu.Tafadhali naomba unieleze unatak

a

nini? Ma...” akasema Chin usn lakini akazuiwa na Penie

la

“ Usiogope Chi sun.Mimi si mpelelezi na wala haku

na

mtu nyuma yangu aliyenituma kwako.Tafadhali nipe da

kika

chache unisikilze ninachotaka kukwambia” akasema

Peniela.Chin sun akamtazama kwa jicho la uoga na ku

mpa

ishara aendelee.

“ Kwa miaka hii yote toka ulipokuja Tanzania

umejitahidi kwa kila uwezavyo kufanya uchunguzi kuh

usu

Chang lin na hadi leo hii hujafanikiwa kufahamu cho

chote

kuhusu Chang ling wala kirusi Aby.Nasema uongo? Aka

uliza

Peniela

“ Hapana si uongo” akajibu Chin sun kwa sauti ndog

o

Ahsante kwa kukiri hilo.Hili ni jambo la siri kub

wa

ambalo hata kama ungekaa miaka mia moja hapa Tanzan

ia

usingeweza kugundua” Peniela akanyamaza kidogo na

kuendelea

“ Umewahi kusikia kuhusu Team SC41?

“ Hapana sijawahi kusikia kitu kama hicho”

“ Team SC41 ni kikundi kidogo cha watu wachache

chenye kazi moja tu ya kulinda maslahi ya Marekani

hapa

Tanzania na wanafanya kazi zao kwa siri kubwa.Mimi

ni

mmoja wa Team Sc41 .kwa muda mrefu Team Sc41 ilikuw

a

inaongozwa na mtu aliyeitwa John Mwaulaya ambaye kw

a

sasa ni marehemu.Huyu ndiye alikichukua kirusi Aby

kutoka

kwa Chang Ling wakati akieleka nchini Sudan kukifa

nyia

majaribio na kukihifadhi ikulu mahala ambako aliyep

afahamu

ni rais wa nchi pekee.Rais aliyepo madarakani hivi

sasa Dr

Joshua anataka kukiuza kirusi hicho kwa mtu moja an

aitwa

Hussein raia wa Saudi Arabia ambaye tayari yuko hap

a nchini

kwa ajili ya kukichukua kirusi hicho ambacho amekin

ununua

kwa mabilioni ya fedha.Team SC41 toka waunase mpang

o wa

rais kutaka kukiuza kirusi hicho wamekuwa wakikitaf

uta kwa

dhumuni la kutaka kukitumia hapa Tanzania ili wach

ote kiasi

kikubwa cha madini ya thamani kubwa yaliyo chini ya

bahari.Ili kuufanikisha mpango wao walinitumia mimi

kuanzisha mahusiano na rais Dr Joshua” akasema peni

ela na

kunyamaza kidogo

“ Peniela kwa nini unanieleza haya yote? Narudia

tena kukuuliza nini hasa unachokitaka toka kwangu?

Akauliza

Chin sun

“ Bado sijamaliza Chin sun ,naomba uendelee

kunisikiliza” akasema Peniela

“ Nimekuja kwako kuna mambo kadhaa nayahitaji

lakini kabla sijakueleza nini ninahitaji toka kwako

naomba

nikufahamishe mambo mawili muhimu.kwanza ni kuhusu

Chang ling unayemtafuta.Ni kweli kwamba Chang ling

alikuwa amefichwa hapa Tanzania mahala ambako hata

mimi

sipafahamu.Aliyekuwa anapafahamu mahala hapo ni Joh

n

mwaulaya na aliyewahi kuwa rais wa Tanzania Deus

Mkozumi

“ Deus Mkozumi ?? akauliza Chin sun kwa mshangao

‘ Ndiyo.Deus mkozumi pia anafahamu mahala

alipofichwa Chang ling.Mbona umestuka? Unamfahamu

Deus?

“ Ninafahamiana na Dues mkozumi lakini sikujua

kama analifahamu jambo hili”

“ Umefahamiana naye lini?

“ Si muda mrefu ,nimejuana naye kwa kama miezi

miwili iliyopita”

“ Nahisi umemfahamu Deus Mkozumi hivi karibuni

kwa sababu ya Andrew Rodney”

Chion sun akasimama na kumtazama Peniela kwa

mshangao mkubwa.Midomo ilimtetemeka akataka kuongea

kitu akashindwa.

kwangu ukiwa na kitu unachodai kuwa ni kirusi

tunachokitafuta.Si rahisi kwangu kukuamini moja kwa

moja.Labda nitakapothibitisha kuwa kirusi hiki kwel

i ni kile

tunachokitafuta ninaweza kukuamini.Halafu ninachota

ka

kujua umenifahamuje mimi? Akauliza Chin sun

“ Sishangai kwa wasi wasi wako juu yangu lakini

nimekuja moja kwa moja kwako kwa sababu kuna mambo

ambayo nahitaji unisaidie na wewe kuna mambo ambayo

nahitaji kukusaidia kwa hiyo utakaposhindwa kunisa

idia

utanipa mimi ugumu pia wa kukusaidia katika mambo y

ale

ambayo unahitaji msaada wangu” akasema Peniela na k

uzidi

kummchanganya Chin sun

“ sawa Peniela nataka nikusikilize.Nieleze kila ki

tu

unachokihitaji vile vile unieleze mambo ambayo unad

hani

ninahitaji msaada wako” akasema Chin.

“ Tanzania inatarajia kuingia katika uchaguzi mkuu

wa rais mwaka huu kwa hiyo nchi nyingi duniani zina

utolea

macho uchaguzi huo ili kufahamu ni nani atakayechag

uliwa

na kama anaweza akawa na manufaa kwao.Marekani ndiy

o

inayoongoza kwa uwekezaji mkubwa sana hapa Tanzania

.wamewekeza katika sekta ya gesi na viwanda kwa hi

yo

kama wawekezaji wakubwa uchaguzi huu una umuhimu

mkubwa kwao pia.” Akanyamaza na kuendelea

“ Juzi na jana rais wa Tanzania Dr Joshua alikuwa

na

maongezi na mjumbe maalum aliyetuma na serikali ya

Marekani ,Mjumbe huyo alitumwa kwa mambo matatu

makuwa.Kwanza serikali ya Marekani wamekwisha chag

ua

mtu ambaye ndiye wanayemtaka awe rais mpya wa

Tanzania.Mtu huyo ambaye anatakiwa na Marekani aion

goze

Tanzania anaitwa Dr Lucia Mkozumi mtoto wa Deus Mko

zumi

ambaye anafanya azi katika shirika la fedha la umoj

a wa

mataifa.Marekani wanamtaka Dr Joshua afanye kila

linalowezekana Dr Lucia awe rais wa Tanzania baada

ya yeye

kumaliza muda wake.Wametenga kiasi kikubwa sana cha

fedha katika kulifaikisha hilo.jambo la pili ambalo

mjumbe

huyo alitumwa ni kwamba makachero wa marekani walio

ko

Moscow wamegundua kwamba mtu anayetafutwa sana na

serikali ya Marekani kwa kuvujisha siri zake Andrew

Rodney

ana mpango wa kuja Tanzania kuonana na Deus

Mkozumi.kwa kuwa Marekani imekuwa inamuwinda Andrew

kwa muda mrefu wanataka kutumia fursa hiyo kumuua

Andrew katika ardhi ya Tanzania lakini hawataki ij

ulikane

kuwa wao Marekani wamehusika na kifo hicho cha Andr

ew

Rodney kwa hiyo wamefanya makubaliano na mtandao wa

kigaidi wa Alqaeda iliwafanye kazi hiyo kwa kuilip

ua ndege

atakayopanda Andrew na hapo itaonekana kama ni

shambulio la kigaidi .Ili waweze kutekeleza shambul

io hilo

,Alqaeda nao waliweka sharti lao .Kuna kiongozi wao

mmoja

ambaye anashikiliwa na serikali ya Saudi Arabia amb

aye

wanataka kuishinikiza na serikali hiyo imuachie hu

ru.Alqaeda

wanataka kumteka binti mfalme wa saudia Arabia na

kumtumia kuishinikiza serikai ya nchi hiyo kumuachi

a

kiongozi wao.Jambo hilo limepangwa kufanyika hapa

Tanzania jioni ya leo.Katika tukio hilo imepangwa D

eus

Mkozumi na mtalaka wake Rosemry Mkozumi wauawe na

watekaji .Ili tuweze kuhakiki kirusi hiki kama kwel

i ni kirusi




wanazozihitaji kuhusu Korea kaskazini.Bila kujua u

lijikuta

ukinasa katika mtego wa Edmund na ukaingia katika

mahusiano naye na hatimaye mkafunga ndoa naye.Kila

kitu

unachokifanya Edmund anakifahamu” Chin sun alishind

wa

aseme nini mwili ulikuwa unamtetemeka

“ Peniela tafadhali naomba unihakikishie kama haya

unayonieleza ni mambo ya kweli “ akasema Chi sun

“ Kila nilichokuleza hapa ni ukweli mtupu chin sun

“ Lakini hilo litawezekanaje Peniela? Nimekaa na

Edmund kwa miaka kadhaa sasa na hata siku moja siku

wahi

kumuhisi vibaya na hata simu yake nimekuwa naipekua

mara

kwa mara na sikuwahi kukuta jambo lolote baya .Un

anipa

wakati mgumu sana kuamini kama hayo unayonieleza ya

na

ukweli wowote ndani yake”

“ Edmund Dawson ni mtu makini na amekuwa

akifanya kazi zake kwa siri kubwa kiasi si rahisi k

ufahamu

chochote.Anayo ofisi yake ya siri ambayo huitumia k

wa kazi

zake .Kama ukihitaji kwenda huko nitakupeleka.Miong

oni

mwa watumishi wenu wa karibu na hasa wale wanaotoka

Marekani wengi wao ni C.I.A na kwa pamoja wanashiri

kiana

na Edmund kukuchunguza bila ya wewe kujua”

“ Mungu wangu !! Akasema Chin sun kwa

mshangao.Peniela akaendelea

“Edmund na John Mwaulaya aliyekuwa kiongozi wa

Team SC41 walikuwa marafiki wakubwa na kuna kitu Fu

lani

John alimpa Edmund anipatie.Baada ya kuonana na Edm

und

ndipo nilipofahamu kila kitu kuhusu wewe.Edmund ali

tueleza

kila kitu na hii ndiyo sababu unaona ninakufahamu v

izuri

sana.”Peniela akatulia kidogo.Chin sun akainamisha

kichwa

na baada ya muda akainua kichwa na kusema

“ mambo uliyonieleza peniela ni makubwa na mazito

na si rahisi kuyaamii kwa haraka ila siwezi kuyapuu

za hata

kidogo.Nataa unithibitishie kama yale yote uliyonie

leza ni ya

weli.Tukianzia na kile kirusi nataka kuthibitisha k

ama ni halisi

ama vipi na halafu unithibitishie haya uliyonieleza

kuhsu

Edmund.Endapo ukifanya hivyo nakuahidi kukupa kila

aina ya

msaada unaouhitaji”

“ Usijali kuhusu hilo lakini kabla ya yote kuna ja

b

nataka ulifanye”

“ jambo gani Peniela?

“ Nataka uwasiliane na Deus Mkozu na umueleze juu

ya mpango ulipo wa kumuua Andrew Rodney ili atafute

namna ya kufanya jambo hillo lisifanikiwe.Moja kati

ya vitu

ninavyohitaji baada ya kukuthibitishia yale niliyok

ueleza ni

kuwasiliana au kuonana na Andrew Rodney ili aweze

kulianika kudi la Team SC41 kwa hiyo Andrew hapaswi

kufa

kabla sijaonana naye” akasema Peniela .Chin sun aka

chukua

simu yake toka katika mkoba akazitafuta namba za D

eus

Mkozumi akapiga lakini simu ya Deus haikuwa inapati

kana

“ Deus hapatikani simuni.Nilikuwa naye uliponipigi

a

simu na akanieleza kuwa mchana wa leo atakuwa

anashughulikia suala Fulani la kifamilia nadhani nd

iyo maana

hapatikana simuni” akasema Chin sun

“ kwa kuwa Deus hapatikani hatuwezi kusubiri.Ngoja

niwasiliane na ofisi yetu kuu niwape taarifa hii ili

waone

namna ya kuweza kumuokoa Andrew Rodney kwani ni mtu

muhimu pia kwa Korea kaskazini” akasema Chin sun

akafungua mkoba wake na kutoa laini nyingine akaiwe

ka

katika simu na kuzitafuta namba Fulani akapiga na ku

anza

kuongea kwa zaidi ya dakika ishirini kwa kutumia lu

gha yao

ya Kikorea.Alipomaliza akamtaka Peniela waondoke.

“ Ninao wenzagu wawili nimeongozana nao wako

katika gari naomba waambatane nasi” akasema Peniela

“ Hapana sitaki kuambatana na mtu mwingine zaidi

yako.Watabaki hapa hadi tutakaporejea” akasema Chin

sun

na kutoa maagizo kwa wahudumu wawapeleke Josh na D

r

Kigomba katika chumba cha mapumziko .

“ Andrew Rodney..” akaanzisha maongezi Peniela

wakiwa garini baada ya safari yao kutawaliwa na uki

mya

mzito

“ Anakuja kufanya nini Tanzania? Akauliza

Peniela.Chin sun akakuna kichwa na kusema

“ Penila naomba tafadhali tusiongee kuhusu Andrew

kwa sasa akili yangu yote inafikiria mambo uliyoni

eleza

kuhusu mume wangu Edmund.Usinione ninaendesha gari

lakini mwili wangu hauna nguvu hata kidogo.Ninahisi

baridi

,mwili unanitemeka kwa ndani.Ninaomba hiki ulichoni

ambia

kisiwe kweli.Yote hii ni kwa sababu ninampenda mno

Edmund dawson.Toka nilipokutana naye kwa mara ya

kwanza nilitokea kumpenda sana na hadi leo hii bad

o

ninampenda mno.Kutokana na kumpenda huko nilimuamin

i

sana na sikuchukua tahadhari yoyote kuhusu yeye. Na

hilo

litanigharimu.Kama kweli Edmund ni C.I.A basi kwa

kipindi

hiki chote ambacho nimeishi naye nina hakika atakuw

a

amenichunguza vya kutosha na atakuwa amefahamu mamb

o

mengi sana kuhusiana na Korea kaskazini” akasema Ch

in sun

na kuupiga usukani kwa hasira.Peniela akamtazama bi

la

kuongea chochote

“ Peniela usinione nina hasira namna hii ,ninaumia

mno moyoni.Kwa mara ya kwanza ninajilaumu kwa nini

niliamua kuifanya kazi hii ya ujasusi.Sikujua kama

siku moja

yanaweza yakanikuta mambo kama haya.Najilaumu sana

kwa kupofushwa macho na mapenzi nikashindwa kun’gam

ua

mapema kwamba mtu niliyemuamini na kumpa moyo wangu

ni nyoka mwenye sumu kali.Huwezi kuamini Peniela Ed

mund

ni kila kitu kwangu.Ninampenda kuliko kitu

chochote,amenionyesha mapenzi makubwa lakini kumbe

yote ilikuwa ni ulaghai mkubwa.Nitafanya ni....” Chi

n sun

akashindwa kuongea ,macho yake yalijaa machozi”

“ Chin sun naomba nipe gari niendeshe.Huwezi

kuendesha ukiwa katika hali hiyo” akasema Peniela .

Chin sun

akampisha Peniela aendeshe

“ welcome to the world of betray Chin sun” akawaza

Peniela baada ya kumuona Chin sun namna aivyoumizwa

na

taarifa zile alizompa kuhusiana na Edmund dawson

“ Inauma sana kusalitiwa lakini ukiwa katika kazi

hizi

mambo kama haya ni ya kawaida.Usaliti haujaanza na

sisi

,ulianza toka enzi na enzi kwani hata shetani mwanz

o alikuwa

malaika.Sijui Mathew atakuwa wapi muda huu na sijui

atakuwa katika hali gani baada ya kukuta Aitha

amefariki.Naamini atanisaka kila kona na siku akini

pata sijui

nini kitatokea.Ninachopaswa kufanya ni kutafuta nam

na ya

kuondoka hapa nchini na kwenda zangu mbali kabisa n

ikaishi

kwa raha mstarehe huku nikiufaidi utajiri wangu.Nin

aamini

Korea kaskazini watanisaidia kwa hilo kwani wanakih

itaji sana

kirusi hiki na ninaweza kuwauzia kwa fedha nyingi s

ana na

watakapokitumia nitapata tena faida nyingine kwa

kutengeneza kinga ya kupambana na kirusi hicho .” A

kawaza

Peniela

Safari iliendelea na hatimaye wakawasili katika

nyumba ambayo Edmund dawson huitumia kama ofisi yak

e.

“ Ni hapa tumefika” Peniela akamwambia Chinsun

aliyekuwa ameinama akilia.Chin sun akainua kichwa

akachukua kitambaa na kufuta machozi akaitazama nyu

mba

ile kwa hasira

“ hapa ndipo anapofanyia kazi zake kwa siri Edmund

?

Akauliza

“ Ndiyo ni hapa.Hii ndiyo ofisi ya siri ya

mumeo”akajibu Peniela.Mmoja wa walinzi waliokuwa

wanalinda nyumba ile akawafuata na kutaka kufahamu

wanashida gani Peniela akamuelekeza azunguke upande

wa

pili wa gari alikokaa Chin sun

“ Mimi ni Chin sun ni mke wa askofu Edmund

dawason.Nahitaji kuingia ndani “ akasema Chin sun

“ mama nakufahau wewe ni nani lakini itaniwia

ugumu kukufungulia geti na kukuruhusu uingie ndani

kutokana na maelekezo tuliyopewa na mwenyewe

askofu.Tumeelekezwa asiruhusiwe kuingia humu ndani

mtu

yeyote Yule bila ya ruhusa yake.Kwa hiyo mama ili

nikuruhusu uingie ndani lazima kwanza askofu atoe r

uhusa

hiyo” akasema Yule mlinzi

“ Edmund dawson yuko ndani?

“ hapana hayupo .ndani kuna mtu mmoja tu”

“ Unaweza kuniitia huyo mtu niongee naye?

Akasema Chin.Mlinzi akawaomba wasubiri akaingia nda

ni

Akiwa amejipumzisha sofani sebuleni,Patrick

akaamshwa na mlinzi ambaye alimtaarifu kwamba Chin

sun

anahitaji kuonana naye.Mstuko alioupata Patrick

ulimshangaza hata Yule mlinzi.Hakuwa ametegemea kam

a

Chin sun angeweza kufika mahala pale.Haraka haraka

akachukua simu na kumpigia Edmund

“ Hallow Patrick” akasema Edmund baada ya

kupokea simu

“ Edmund tuna tatizo”

“tatizo gani Patrick?

“ Chin sun yuko hapa”

“ Chin sun??? Edmund naye akastuka sana

“ Ndiyo.Chin sun yuko hapa”

Iimchukua sekude kadhaa Edmnd kuongea

“ Patrick naomba unisikilie ,mpaka Chin amefika ha

po

tayari amekwisha tugundua sisi ni nani.Tayari amei

ngia

ndani?

“ hapana bado yuko nje ila anataka kuingia ndani”

“ sawa fanya hivi,kimbia haraka ofisini na bonyea

code 6 kisha ingiza namba 4367 ili kuzima kila kitu

kisha

tokea mlango wa nyuma na utoweke hapo nyumbani”

“ Saw...............’ Ghafla kiganja cha mkono wa kulia

ulikokuwa umeshika simu kikapigwa kwa risasi na sim

u

ikasambaratika.Kutahamaki Patrick alikuwa anatazama

na na

bastora mbili toka kwa Chin sun na Peniela

“ Patrick..!!! akaita Chin sun kwa hasira.kwa wepe

si

wa aina yake Patrick akauzungusha mkono wake wa ku

shoto

kiunoni kwa lengo la kutoa bastora lakini kabla mko

no

haujaifikia bastora risasi mfululizo zikatoka katik

a katika

bastora iliyofungwa kiwambo cha sauti na kukichafu

a kifua

cha Patrick akaanguka chini.Chin sun akamgeukia Pen

iela na

kumtazama kwa hasira

“ hakukuwa na sababu ya kumuua Patrick.Huyu

angetuelekeza mahala aliko Edmund”

“ Sikuwa na namna nyingine ya kufanya kwani

alikuwa anataka kuchukua bastora.Ulitegemea nini

kingetokea angefanikiwa kuichukua bastora yake? Ak

asema

Peniela.Chin sun akamfuata Patrick pale chini lakin

i tayari

hakuwa na uhai.Chin sun akainua kichwa na kumtazama

Peniela

“ Peniela kazi yako ilikuwa ni kunileta hapa tu kw

a

hiyo sitaki ufanye kazi nyingine ambayo haikukuleta

hapa.Kuna mambo mengi ningeyafahamu kupitia kwa Pat

rick

lakini umemuua na siwezi tena kuyapata.Tumeelewana

Peniela? Akauliza Chin sun

“ Tumeelewana” akajibu Peniela

“ Vizuri.Chukua miiili ya wale walinzi ifiche kati

ka

maua halafu kaa hapo sebuleni uhakiki usalama .Mim

i

ninakagua chumba kimoja baada ya kingine ili nifaha

mu kila

kinachoendelea hapa” akasema Chin sun na kuanza uk

aguzi

wake katika nyumba ile ndogo.Alikagua vyumba vya ku

lala na

katika chumba ambacho aliamini ni cha askofu Edmund

alikutana na vitu vingi ambavyo vilimuhakikishia kw

eli

Edmund ni jasusi wa wa C.I.A.Alitoka katika vyumba

vya

kulala akaingia katika ofisi ya Edmund.Kwa sekunde

kadhaa

akabaki amesimama akiitazama ofisi ile asiamini mac

ho yake

KItendo cha simu ya Patrick kukatika ghafa kikampa

wasi wasiwasi sana Edmund akasimamisha gari pembeni

ya

barabara.

“ Mathew kuna jambo haliko sawa pale ofisini.”

Akasema Edmund kwa wasi wasi mkubwa

“ Nini kimetokea Edmund? Akauliza Mathew.

“ Chin sun amefika pale ofisini.Tayari amekwisa

nigundua” Akasema Edmund na kumshangaza sana Mathe

w

“ Amegunduaje? Akaulizia

“ hata mimi sifahamu amegunduaje”akajibu Edmud

Zilipita dakika mbili za ukimya kila mmoja akitafak

ari

,mathew akauliza

“ kwa hiyo tunafanya nini Edmund?

“ Nimechanganyikiwa Mathew na sielewi nifanye nini

kwani simu ya Patrick imekatika ghafla na kuzidi ku

nipa wasi

was..” ghafla ukatokea mlio katika saa ya mkononi

ya

Edmund.Akaitazama na kukuta taa ndogo nyekudu inawa

ka.

“Tayari Chi sun ameingia ofisini kwangu.Kompyuta

zote mle ofisini zina programnu maalum ya kutambua

alama

za vidole kwa hiyo akiigusa mtu ambaye alama zake z

a vidole

hazijasajiliwa basi moja kwa moja nitajulishwa kwa

taa hii



na kuufunika kabisa ule mlango wa ndani.Peniela

akachanganyikiwa hakujua afanye nini

“ Mhhh hapa tumelikoroga.Sijui Chin amefanya nini

humo ndani.Inaonekana nyumba hii ina mambo makubwa

tusiyoyafahamu.Natakiwa nitafute namna ya kujiokoa

toka

humu ndani haraka sana kabla na mimi hayajanikuta k

ama

yaliyomkuta Chin sun.” akawaza peniela na kutoka mb

io

akajaribu kuufungua mlango lakini tayari ulikuwa

umejifunga.Akachukua stuli na kukipiga kioo cha dir

isha

kikapasuka akapenya na akuruka nje .Akakimbia hadi

katika

gari la Chin sun lakini lilikuwa limefungwa na fung

uo alikuwa

nazo Chin sun.Pale nje kulikuwa na gari la Edmund ,

akajaribu

kufungua mlango haukuwa umefungwa.akaingia ndani y

a

gari na kutabasamu baada ya kuzikuta funguo zikiwa

zinaning’inia garini.Akaunyonga ufunguo na gari

likawaka.Kaba hajaondoka akalifungua sanduku lile l

enye

kirusi akahakikisha kipo salama akafungua geti na

kuondoka

na gari la Edmund

Edmund na Mathew wakiwa njiani wakirejea ofisini

,huku Mathew akiwa katika usukani baada ya kuachiwa

na

Edmnd aendeshe ,mara Edmund akasema

“ Peniela ametoroka.Ameondoka na gari langu lakini

usiogope tutampata tu kwani gari langu lina kifaa m

aalum

cha kuniweza kuliona kila mahala lilipo” akasema Ed

mund

“ sawa Edmud ,kitu cha msingi kwa sasa ni kumfuata

Peniela kwani ndiye mwenye hatari kubwa kutokana na

kirusi

anachotembea nacho.” Akasema Mathew

“ Hapana Mathew,Chin sun ni muhimu sana

kwangu.Niko hapa Tnzania kwa sababu yake kwa hiyo s

iwezi

kupoteza nafasi hii.Natakiwa kumpata akiwa hai .End

apo

tutachelewa sana anaweza akapoteza maisha kwani kwa

kawaida ofisi ile ikijifunga kuna hewa Fulani ambay

o hutoka

na kumlewesha mtu aliyemo ndani .Hewa hiyo ina muda

maalum na endapo ukichelewa sana kumzindua anaweza

akapoteza maisha.Nipeleke mimi ofisini na wewe utae

ndelea

kumfuatilia Peniela” akasema Edmund

“ Hapana Edmund,siwezi kuifanya kazi hii peke

yangu.Nahitaji msaada.Lazima twende wote” akasema

Mathew na Edmund hakujibu kitu.

*************

Dr Joshua aliwasili katika nyumba yake iliyoko

ufukweni mwa bahari kwa ajili ya kumuhoji Kareem ml

inzi

wake ambaye alionekana katika nyumba ambayo uchungu

zi

unaonyesha alikuwemo Anna.Bado kareem alikuwa

hajafikishwa.Dr Joshua akaenda katika chumba alicho

kuwa

analala Peniela lakini chumba kilikuwa kitupu.

“ Peniela yuko wapi? Mbona haya mambo yanaanza

kunichanganya sana ? akawaza Dr Joshua akakaa kitan

dani

na kuzama mawazoni.

“ Katika vitu vyote siko tayari kumpoteza Peniela

.Yule mwanamke ndiye furaha yangu.Utajiri huu mkubw

a

nikiupata hautakuwa na maana kama sintakuwa na Peni

ela

.Kwa namna yoyote ile laz.......” Dr Joshua akatolewa

mawazoni na mlio wa simu.Alikuwa ni Abel Mkokasule

“ Hallo Abel” akasema Dr Joshua

“ Mzee nimekupiga simu kukutaarfu kuwa kazi tayari

imekamilika na kilichobaki ni kuisambaratisha hote

li.Nataka

kabla sijabonyeza kitufe na kuilipua hoteli unipe r

uhusa yako

kama hakuna mabadiliko ” akasema Abel

“ Abel go ahed,hakuna mabadiio yoyote.Pleae press

the button now !! akasema Dr Joshua

“ Sawa mzee.Baada ya dakika chache toka sasa

utataarifiwa kitakachokuwa kimetokea”

“ Abel,thank you for this.” Akasema Dr Joshua na

kukata simu akatoka mle chumbani baada ya mlinzi w

ake

kumfuata na kumfahamisha kuwa tayari Kareem amekwis

ha

wasili.Akaagiza akafungiwe katika mojawapo ya chumb

a.

Kareem akaingizwa katika chumba alichoagiza rais

akafungwa miguu na mikono katika kiti na baada ya d

akika

tano Dr Joshua akaingia .Macho yake yaliwaka hasira

.Kareem

akaogopa sana hakuwahi kumuona Dr Joshua akiwa

amekasirika namna ile.Akawaomba walinzi wake watoke

nje

na wamuache na Kareem pekee mle chumbani .

“ Kareem my boy !! akasema Dr Joshua

“ Naam mzee”akasema Kareem kwa woga

“ Mungu hakunijalia kupata mtoto wa kiume kwa

hiyo nilikuchukulia wewe kama mwanangu i wa kiume.I

love

you like a son so I don’t want to destroy you.Nina

chohitaji

toka kwako ni kitu kimoja tu .Niambie Anna yuko wap

i?

“ Mzee sifahamu mahala alipo anna “ akajibu Kareem

“ kareem sina maneno mengi kwa hiyo nakuuliza

tena kwa mara ya mwisho Anna yuko wapi?Nionyeshe al

iko

Anna na nitaliacha jambo hili lipite kama vile haku

na

kilichotokea.” Akasema

“ kweli mzee naomba uniamini .Sifahamu kwa sasa

Anna aliko”

Dr Joshua akasimama kwa hasira

“ kareem naomba usicheze na akili yangu.Umekutwa

katika nyumba ambayo Anna alikuwemo .Ulifuata nini

katika

hiyo nyumba? Nakupa dakika mbili za kunieleza ukwel

i ama

sivyo hutayaona machweo ya leo.Nadhani unanifahamu

nilivyo nikichukia” akasema Dr Joshua kwa ukali.Kab

la

Kareem hajajibu kitu,simu ya Dr Joshua ikaita,aliku

wa ni Abel

Mkokasule.

“ hallow abel” akasema Dr Joshua

“ Mzee kazi tayari imemalizika.Samawati beach hote

l

is down.”

“ Good job Abel and thank you.Nitakutafuta

nitakaporejea ikulu muda si mrefu.” Akasema Dr Josh

ua na

kukata simu akamgeukia Kareem

“ Haya nieleze kareem ,Anna yuko wapi?

“ Mzee ninakueleza ukweli” akasema Kareem mwili

wote ukiwa umeloa jasho

“ Wakati wa shughuli za mazishi ya Flaviana

zikikaribia kumalizka ,Peniela alinipigia simu na k

uiambia

kwamba anahitaji kuonana na Anna.Sikuwa na wasi was

i

wowote naye kwani nafahamu mahusiano yenu.Alinielek

eza

sehemu ambayo anataka kuonana na Anna nami

nikampeleka wakaonana nikamrudisha nyumbani.Leo

uliponitaka nimtafute Peniela sikujua sehemu nyingi

ne ya

kumpata nikaenda katika ile nyumba ambako aliniagiz

a

nimpeleke Anna wakaonane lakini nilipofika nikakama

twa na

watu wa usalama wa taifa .Kwa hyo mzee sifahamu kab

isa

alipo Anna kwani toka nilipomrejesha nyumbani juzi

usiku

sijawasiliana naye kabisa.Katika ile nyumba nilikwe

nda

kumtafuta Peniela.Naomba uniamini mzee” akasema

Kareem.Dr Joshua alibaki amemtumbulia macho .Alistu

shwa

kwa taarifa ile

“ I cant believe this!! Unasema Peniela alionana n

a

Anna?

“ Ndiyo mzee”

Dr Joshua akainuka na kupiga hatua mbili kama vile

anataka kutoka nje halafu akarudi akaketi

“ Huko mahala ulikompeleka Anna aonane na Peniela

kulikuwa na watu wengine zaidi ya Peniela?

“ Ndiyo walikuwepo.Nakumbuka kulikuwa na watu

wengine wawili.Mwanaume mmoja ninayemkumbuka kwa

jina moja tu la Mathew na mwanamke anaitwa Anitha”

Dr Joshua akastuka mno na kulalama

“ Oh my God !! ..oh my God ...! On my God..!!!!

akajishika kichwa

“ Anna ameonana na huyo mtu anaitwa Mathew?

Waliongea chochote?

“ Ndiyo waliongea ila sikumbuki waliongea kitu gan

i

kwani walikuwa katika chumba kingine na hawakutaka

nisikie

walichokiongea.”

Dr Kigomba akainamisha kichwa kwa kama dakika

mbili na mara mlango ukagongwa akaufungua na kukuta

na

na walinzi wake.

“ Mzee kuna tukio limetokea muda mfupi

uliopita.Milipuko inayosadikiwa kuwa ni mabomu imet

okea

samawati beach hotel .Mheshimiwa rais kwa sasa tunao

mba

tukurudishe ikulu kwa ajili ya usalama” akasema mmoj

a wa

walinzi

“ Sawa tuondokeni ila huyu Kareem atabaki hapa

,Abel Mkokasule atakuja kumchukua baade kwa mahojia

no

zaidi” akasema Dr Joshua akaongozana na walinzi wak

e hadi

garini wakaondoka kurejea ikulu.

“ Tayari nimepata jibu.Anna anashirikiiaa na akina

Peniela na wao ndio wenye kirusi hicho kwa sasa.Eli

bariki

alikuwa sahihi Peniela ni nyoka.How could I be so s

tupid and

trust her?Hili ni kosa kubwa nimewahi kufanya katik

a maisha

yangu .Nahisi Peniela ana uchawi anautumia kiasi ch

a

kunifanya nishindwe kabisa kumuamini jaji Elibariki

ambaye

alinieleza ukweli mtupu.Suala hili limekwisha nishi

nda na sijui

tena namna ya kulidhibiti.Nahisi kama vile akili ya

ngu imefika

mwisho wake wa kufikiri kwani sijui nifanye nini ku

wapata

hawa akina Mathew “ akawaza Dr Joshua akiwa garini

akirejea ikulu.

“ Nashindwa kuelewa imetokeaje hadi Anna

akajiunga na hawa mashetani akina Mathew? Nimesalit

iwa

na mwanangu mwenyewe.Hili ni jambo ambalo sikuwa

nimelitegemea kabisa.Kwa mara ya kwanza katika maish

a

yangu nathubutu kujishusha thamani na kujiita mjing

a.I’m so

stupid” akaendelea kuwaza Dr Joshua huku macho yake

yakilengwa na machozi.

“ Inaniumiza mno kumpoteza mwanangu Anna kwani

kitendo alichokichagua cha kujiunga na akina Peniel

a tayari

ameingia katika kundi la maadui zangu.Anna amechagu

a njia

mbaya,hakupaswa kuchagua kuwa adui yangu.kwa hiki

alichokifanya Anna sintakuwa na huruma kwake hata

kidogo.Nitamsaka na kumshughulikia kama

ninavyowashughulikia maadui zangu wengine na endapo

itanilazimu kumkata pumzi sintakuwa na huruma nitam

kata

pumzi .Ni bora nibaki mwnyewe kuliko kuwa na mtoto

shetani kama Anna”

Kichwa cha Dr Joshua hakikutulia,alikuwa na mawazo

mengi mno

“ Nadhani kwa sasa baada ya Hussein kufa natakiwa

nielekeze nguvu katika mpango ule wa Marekani ili n

iondoke

kabisa hapa nchini nikaanze maisha mapya peke yangu

huko

mbali Nimepata somo kubwa sintomuamini tena mwanamk

e

yeyote” akawaza Dr Joshua

****************

Tayari Lucia Mkozumi alikwisha maliza kujiandaa kw

a

ajili ya kwenda kumpokea rafiki yake Salhat ,binti

mfalme wa

Saudi Arabia.Pamoja na kuwa tayari kwa kutoka lakin

i alihsi

miguu mizito akabaki amesimama mbele ya kioo kikubw

a

akijitazama

“ Nina wasi wasi mwingi sana,mwili unanitetemeka

kwa ndani kwa hofu ya hiki kinachokwenda kutokea

leo.Moyo unaniuma sana kwa kitendo cha kuwatoa kafa

ra

wazazi wangu.Oh ! please forgive me lord for what I’

m

doing.I’ve become a monster!!” akawaza Lucia na mic

hirizi ya

machozi ikamtoka akaanza tena kurekebisha uso wake.

“ Anyway ,I have to be strong.I cant back off now

.Kila kitu tayari kimeandaliwa .Nitaumia kwa muda m

fupi

lakini nitasahau yote pale nitakapokalia kiti cha u

rais”

akawaza huku akimalizia kupaka poda usoni.Akachukua

simu

akampiga Donald akamfahamisha kuwa kila kitu kinakw

enda

vizuri .Alipomaliza kuongea na Doald akajitazama te

na katika

kioo

“ This is it.Journey to the white house begins now

akasema kwa sauti ndogo na kutoka akaelekea sebulen

i

ambako baba yake Deus Mkozumi tayari alikuwa amejia

ndaa

akimsubiri

“ wow umependeza mno utadhani nawe ni mtoto wa

mfalme” akatania Deus na wote wakacheka

“ Usisahau hata mimi ni mtoto wa rais” akasema

Lucia

“ Are you ready? Deus akauliza

“ I’m ready”akasema Lucia akiongozana na baba yake

wakaingia garini na safari ikaanza , wakitanguliwa

na gari la

walinzi na gari lingine ambalo liliandaliwa maalum

kwa ajili ya

kupanda Salhat.Deus Mkozumi akawaelekeza walinzi

waliotangulia mbele kwamba waelekee nyumbani kwa

Rosemary Mkozumi.




“ Lucia nimekubali tuongozane na mama yako kwa

heshima yako pekee “ akasema Deus.

“ Nalielewa hilo baba lakini just this once in you

r life

please be happy for me.it wont happen again..okay d

ady !!

“ It’s ok my princess” akasema Deus huku

akitabasamu na kutoa kicheko kidogo.

“ Miezi si mingi sana toka sasa ,nitakuwa nikipita

katika barabara hizi kwa ving’ora na watu wote wata

kaa

pembeni kunipisha nipite.Tayari nitakuwa rais wa Ta

nzania

.Nitafanya mambo makubwa sana nitakapoingia katika

lile

jumba jeupe. Lakini hadi kufika pale si kazi nyepes

i

nitapambana hadi nihakikishe ninafika ndani ya jumb

a lile.”

Akawaza Lucia

Waliwasili katika makazi ya Rosemary Mkuzumi lakin

i

Deus akagoma kushuka garini.Lucia akashuka akapoke

wa na

mtumishi akampeleka ndani alikokuwa mama yake.

“ Wow !! Lucia !!!..akasema Rosemary mkozumi kwa

furaha

“ mama !!! akasema Lucia na kumfuata mama yake

wakakumbatiana.

“ Nimefuahi sana kukuona tena Lucia.Karibu

sana”akasema Rosemary Mkozumi

“ Ahsante mama habari za hapa?

“ Habari za hapa ni kama unavyoniona,nilitekwa na

watu wakanitesa sana wakanikata hadi vidole na yote

hii ni

njama za mahasimu wangu wa siasa walioingiwa na hof

u

baada ya kusikia kwamba nina mpango wa kuwania




ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog