Search This Blog

Wednesday 29 March 2023

PENIELEA (5) - 2

   


Simulizi : Peniela (5)

Sehemu Ya Pili (2)


 Kareem alirejea toka alikotumwa na Peniela 

apeleke mzigo.Akagonga mlango wa chumba cha 

Peniela ,ukafunguliwa akakaribishwa ndani 

 “ Kazi yako nimeifanya ,nimeufikisha mzigo 

salama na nimepewa mzigo huu nikuletee” 

akasema Kareem akamkabidhi Peniela bahasha 

nzito akaifungua na kukuta simu. 

 “ Mathew anasema umpigie” akasema 

Kareem 

 “ Ahsante sana Kareem,nashukuru k wa 

msaada wako” akasema Peniela 

 “ Vipi kuhusu malipo yangu? Akauliza 

Kareem,Peniela akamtazama na kusema 

 “ Do you want it now? 

 “ Yes now” akajibu Kareem 

 “ Ouh Kareem huwezi k usubiri baadae?  “ Hapana Peniela,hakuna muda wa kusubiri 

zaidi.Nahitaji sasa hivi.Si unajua mimi huwa ni 

mtu wa shughuli nyingi” Akasema Kareem 

.Peniela hakuweza kukataa kwani yalikuwa ni 

makubaliano yao kwamba Kareem apelike mzigo 

u le kwa Mathew na atakaporudi atapewa 

penzi.Tayari mwili wa Kareem ulikuwa 

unamsisimka,Peniela akavua nguo wakapanda 

kitandani na Kareem akapewa alichokihitaji 

***************** 

 Dr Kigomba aliwasili katika nyumba ya Dr 

Joshua akiwa na wahudumu toka katika hoteli 

moja kubwa jijini Dar aliowakodisha kwa ajili ya 

kufanya maandalizi kama alivyoelekezwa na Dr 

Joshua.Alifunguliwa geti na askari wawili wenye 

silaha waliokuwa wakilinda nyumba ile akashuka 

garini na kuelekea moja kwa moja katima mlango 

wakungilia sebuleni akakinyonga kitasa mlango u 

kafunguka,sebuleni hakukuwa na mtu  “ Peniela !! akaita Dr Kigomba lakini 

hakujibiwa.Akawaelekeza wale wahudumu 

wamsubiri pale sebuleni akaelekea katika upande 

wa vyumba vya kulala na mara akasikia sauti 

kama za miguno ya kimahaba,akasimama na 

kusikiliza kwa makini akidhani labda kuna mtu n 

dani ya nyumba ile alikuwa anatazama filamu ya 

ngono lakini kwa namna alivyosikia haikuwa ni 

sauti za kutoka katika filamu.Akaanza kufuatilia 

sauti zile zilitoka katika chumba gani akakipata 

chumba ambacho sauti zile zilitoka.Taratibu Dr 

Kigomba akakinyonga kitasa cha mlango wa kile 

chumba ambao haukuwa umefungwa akaufungua 

na kukutana na kitu kilichomstua sana.Kareem 

alikuwa juu ya kifua cha Peniela wakiwa watupu 

wakifanya mapenzi.Kwa sekude kadhaa alikosa 

cha kufanya akabaki amesimama akiwatazama. 

 Peniela alikuwa wa kwanza kugundua 

kwamba kuna mtu amesimama anawatazama 

akamsukuma Kareem na kuinuka 

 “ Kigomba? Akauliza Peniela kwa 

mshangao “ What are you doing here? Akauliza 

Peniela 

 Dr Kigomba hakujibu itu akawatazama kwa 

macho makali yaliyochanganyika na tamaa kwa 

kumuona Peniela akiwa mtupu.Kareem mwili 

ulimtetemeka,haraka haraka akavaa nguo zake 

 “ What is the meaning of this Peniela?? 

Akauliza Dr Kigomba 

 “Dr Kigomba please let us talk about this” 

akasema Kareem aliyekuwa anatetemeka kwa 

woga akamvuta Dr Kigomba nje ili waongee. 

 “ Dr Kigomba let me exlain……” 

 “ No Kareem you have nothing o 

explain.Nimeshuhudia kila kitu kwa macho yangu 

mawili.Kwa nini umefanya hivi Kareem wakati rais 

anakuamini kiasi hiki? Unadhani rais akifahamu 

hiki unachokianya atakuchukulia hatua 

gani?Akauliza Dr Kigomba kwa ukali 

 “ Dr Kigomba naomba unisikilize mzee 

wangu.Najua uko karibu sana na rais naomba 

tafadhali usimueleze chochote kuhusu suala 

hili.Nakuomba mzee wangu nisaidie kwa hilo” akaomba Kareem.Dr Kigomba akamtazama na 

kusema 

 “ Dr Joshua anampenda mno Peniela na 

endapo atafahamu mchezo mnaoufanya 

atakufinyanga ndani ya chungu.Kwa kuwa 

umeomba sana sintomwambia chochote ila kuna 

kitu nataka unifanyie” 

 “ Sema chochote Kigomba nitakufanyia” 

akasema Kareem 

 “ Leo Dr Joshua atakwenda katika hoteli 

Fulani kuonana na mtu Fulani.Hii ni safari binafsi

na haiku katika ratiba ya sughuli za leo za 

rais.Nataka utafute ni hoteli gani anakwenda na 

anakwenda kuonana na nani yuko chumba namba 

ngapi.Nataka taarifa hii kabla ya saa saba leo 

mchana.Tumeelewana? 

 “ Ndiyo mzee nitakufanyia hiyo kazi.Ila 

tafadhali naomba usikiuke makubaliano yetu 

mzee” 

 “ Usiogope Kareem,fanya nilivyokuagiza 

,now go !!! akasema Dr Kigomba na kuingia tena 

chumbani akamkuta Peniela akiwa bado amejilaza kitandani akiwa na nguo za ndani 

pekee.Mwili ukamsisimka kama umepitiwa na 

chaji za umeme 

 “ Hallow Kigomba.I’m glad to see you ila 

umekuja wakati mbaya.Next time usiingie ndani 

ya chumba cha mtu bila kubisha hodi” akasema 

Peniela huku akitabasamu.hakuwa na hata 

chembe ya wasi wasi 

 “ Peniela why are you doing this? Akaulza 

Kigomba 

 “ Doing what? 

 “ kwa nini hukunieleza mapema kama 

wewe na Dr Joshua mna mahusiano? 

 “ Kigomba hayo ni mambo 

yasiyokuhusu.Nilikupa penzi ukaridhisha nafsi 

yako kwa hiyo mambo mengine yaache kama 

yalivyo usiyaingilie” akasema Peniela kwa ukali 

 “ Nini umefuata hapa Kigomba? Sema 

shida yako haraka undoke!! Peniela akaendelea 

kufoka “ Dr Joshua atakutana na wageni wake 

hapa usiku wa leo hivyo nimekuja kufanya 

maandalizi” 

 “ Wageni gani? 

 “ Ni wageni wake binafsi 

 “ sawa.nenda kaendelee na 

maandalizi.Nahitaji kupumzika” 

 “ Peniela I need to talk to you” akasema 

Kigomba 

 “ Unataka kuongea nini na mimi?I’ll talk to 

you some other time kwa sasa nahitaji 

kupumzika.ukinihitaji nitafute kwa wakati wako na 

si hapa.Haya ondoka nenda kafanya kazi 

ulotumwa na mkubwa wako” Peniela akainuka na 

kumshika mkono Kigomba akamvuta nje 

 “ Why Peniela is doing this? Yuko katika 

mahusiano na Dr Joshua na anapata kila 

anachokihitaji lakini mambo anayoyafanya 

yanashangaza kabisa.Nilipotumwa na Dr Joshua 

kwenda kumchunguza nilimgusia kidogo tu 

kuhusu kufanya naye mapenzi akakubali kirahisi 

bila kipingamizi chochote.Leo tena nimemfumania akiwa na Kareem.Naweza kukubali kwamba 

Peniela na Amos walikuwa na jambo la siri kwani 

ni Amos aliyenikutanisha na Peniela .Huyu 

mwanamke ana lengo gani? Sina hakika eti 

anapenda ngono sana kwa sababu watu ambao 

anafanya nao ngono ni watu wa sehemu moja 

wote ni watu wenye mahusiano na rais .Mhh … 

nimeanza kumuogopa huyu mwanamke.Lazima 

nimtafute jaji Elibariki atanipa ukweli kuhusu 

Peniela kwani inaonekana anamfahamu vizuri.” 

Akawaza Dr Kigomba 

 Peniela aliufunga mlango wa chumba 

chake na kuchukua simu aliyopewa na Mathew 

iliyokuwa na namba moja tu ya Mathew 

akampigia. 

“ hallow Peniela” akasema Mathew baada 

ya kupokea simu 

“ Mathew,mnaendeleaje wewe na Anitha? 

“ Tunaendelea vizuri sana.vipi wewe 

unaendeleaje? “ Ninaendela vizuri Mathew usiwe na hofu 

juu yangu.Vipi mmeuopata mzigo 

niliokutumieni? 

“ Ndiyo tumeupata” 

“ Good.Basi hilo ndilo kasha alilonipa John 

Mwaulaya.Mmeshalifungua na kujua 

kilichomo ndani? 

“ hapana Peniela,hatuwezi kulifungua bila 

ya wewe kuwepo” 

“ C’mon Mathew,open it.dont wait for 

me.Yawezekana kuna jambo la muhimu 

linaloweza kutusaidia” 

“ Sawa Peniela tutalifungua na kujua 

kilichomo ndani yake.Uliniambia vile vile 

nimtafute Abel Mkokasule ni nani? 

Umelipata wapi jina hili? Anahusiana nini 

na hiki tunachokitafuta? 

“ Jana usiku Dr Joshua alipitiwa na usingizi 

na simu yake ikaita nikaangalia mpigaji 

nikakuta ni jina hilo la Abel 

Mkokasule.Nilimpa simu Dr Joshua na 

alipopokea nilikuwa karibu naye hivyo nikaweza kusikia maongezi yao ya mwanzo 

kabla hajainuka na kwenda kujifungia 

chooni kwa lengo la kutotaka nisikie 

maongezi yao.Katika maongezi kidogo 

niliyosikia,huyo Abel alimwambia Dr Joshua 

kwamba amempigia simu usiku ule kumpa 

taarifa kuhusu Jacob kateka na Dr 

Kigomba.Sikusikia tena walichoendelea 

kuongea kwani Dr Joshua alikwenda 

kujifungia chooni na alipomaliza 

kuzunguma na Abel akaondoka 

zake.Ninahisi yawezekana labda huyu 

Abel ametumwa kuwafuatilia Dr Kigomba 

na huyo Jacob.Tena nimekumbuka kitu Dr 

Kigomba yuko hapa ngoja nimuulize kama 

anamfahamu Abel Mkokasule” 

“ Kigomba yuko hapo” 

“ Ndiyo yupo hapa.Ametumwa na Dr 

Joshua kuja kufanya maandalizi jioni ya leo 

atakuwa na wageni wake hapa” 

“ Ni wageni gani hao? 

 “ Bado siwafahamu ni akina nani” “ Ok find out who are they.Halafu jambo 

lingine ni kuhusiana na namna ya kuonana na 

Deus Mkozumi.Ulisema kwamba wewe ndiye 

utakayekwenda kuonana naye,kwa kuwa Dr 

Joshua amekuzuia usitoke humo ndani tutafanya 

nini?? Tutaonana vipi na Deus? 

 “ Hilo si tatizo Mathew.Bado tunayo nafasi 

ya kwenda kuonana naye.Dr Joshua atakuja hapa 

jioni kwa hiyo mchana huu ninayo nafasi ya 

kuweza kutoka.Mathew tusipoteze muda ngoja 

nimfuate Kigomba nimuulize kama anamfahamu 

Abel Mkokasule” akasema Peniela na kukata simu 

akavaa suruali na fulana nyepesi akatoka 

akamfuata Kigomba aliyekuwa amesimama na 

wahudumu wale wa hoteli wakijadiliana 

mambo,akamuita na bila kupoteza muda Kgomba 

akamfuata 

 “ Kigomba samahani kwa maneno 

nilyokutamkia muda mfupi ulopita” 

 “ Sema unachokitaka Peniela” akasema Dr 

Kigomba ambaye alionekana kutohitaji maongezi 

marefu na Peniela.  “ Dr Kigomba najua huhitaji maongezi na 

mimi lakini kuna jambo moja la maana sana 

nililokuitia hapa.Unamfahamu mtu anayeitwa Abel 

Mkokasule? 

 Dr Kigomba akastuka 

 “ Abel Mkokasule? Umemfahamuje? 

 “ Niambie unamfahamu? 

 “ Ndiyo .Kwa nini unataka kumfahamu? 

 “ Una mahusiano yoyote na huyo Abel? 

 “ Hapana sina mahusiano naye.Kwani vipi 

Peniela? 

 “ Anafanya kazi gani Abel? Ana mahusiano 

yoyote na Dr Joshua? 

 “ Abel anafanya kazi katika idara ya 

usalama wa taifa,ni mtu anayeripoti kwa 

rais,kwani vipi? Kafanya nini Abel? 

 “ sasa nisiklize Kigomba,nahitaji 

kukusaidia.Kwanza nataka n iweke wazi jambo 

moja,ni kweli mimi na Dr Joshua tuna mahusinao 

ya muda mrefu lakini kama unavyonioa mimi ni 

msichana na ninahitaji kijana mwenye nguvu za 

kuniridhisha kuliko Yule mzee ambaye hanifikishikokote.Hii ni sababu iliyonifanya nikakukubali 

wewe na hata Kareem.Tuachane na hayo,jana 

usiku nilikuwa na Dr Joshua hapa ndani,wakati 

amelala simu yake ikaita nikatazama mpigaji 

alikuwa ni Abel Mkokasule nikamuamsha Dr 

Joshua akaipokea.Nilikuwa karibu naye hivyo 

nikayasikia mazungumzo yao ya mwanzo,Abel 

alimwambia Dr Joshua kwamba amempigia simu 

usiku ule ili kumfahamisha kuhusu wewe na 

Jacob Kateka.Dr Joshua hakutaka nisikilize 

maongezi yao akaenda kujifungia chooni Kwa 

hiyo Dr Kigomba nahitaji kufahamu huyu Abel 

Mkokasule ni nani kwa Dr Joshua? Ana mipango 

gani na Dr Joshua dhidi yenu? Huu Jacob Kateka 

pia ni nani? 

 Dr Kigomba alibaki ameduwaa kama mtu 

anayetazama filamu ya kutisha,alikosa neno la 

kusema 

 “ Dr Kigomba!! Peniela akaita 

 “ niambie huyu Abel Mkokasule ni nani 

hasa?  “ Anaongoza idara ya siriya usalama wa 

ndani wa taifa ambayo iko chini ya rais.”akasema 

Kigomba 

 “ Jacob kateka na ye ni nani? Akauliza 

Peniela 

 “ Jacob Kateka ni mkuu wa idara ya 

usalama wa taifa.Oh my God he was following 

us..Amemtumia Abel kutufuatilia.He killed 

Jacob!!!........He killied him !!.......akasema 

Dr.kigomba na kuketi kitandani. 

 “ Jacob is dead ?akauliza peniela.Dr 

kigomba akamtazama na kusema 

 “ jana usiku nilikuwa na Jacob katika klabu 

moja na baadae tukaachana….” Dr Kigomba 

akashindwa kuendelea akavuta pumzi ndefu 

 “ Take a deep breath Kigomba!! Peniela 

akamwambia Kigomba 

 “ Ikawaje baada ya kuachana na Jacob? 

 “ Nimepigiwa simu saa kumi za alfajiri 

kwamba Jacob amepata ajali mbaya sana na hali 

yake ni mbaya,nikaenda haraka hspitali lakini 

tayari alikwisha kufa” Kigomba akasema kwa uchungu huku macho yake yakionyesha kulengwa 

na machozi 

 “ He was following you ! Abel alitumwa na D 

Joshua kuwafuatilia wewe na 

Jacob.Ninavyofahamu mimi wewe na Dr Joshua ni 

watu wa karibu sana what rea happened? Kwa 

nini akufuatilie? Akauliza Peniela.Dr Kigomba 

hakujibu kitu akainama akatafakari halafu 

akainuka na kutoka mle chumbani bila kuongea 

chochote.Alipofika sebuleni akakutana na Kareem 

 “ Dr Kigomba tayari nimepata ulichokuwa 

unakihitaji.Hivi sasa Dr Joshua amekwenda 

Samawati beach hotel.Amekwenda kuonana na 

mtu aitwaye Hussein Abdullah Al Nassor ambaye 

chumba chake ni presidential suit Namba 6” 

 “ Una hakika na taarifa hizi? Akaulizia Dr 

Kigomba 

 “ Ndiyo Kigomba.Taarifa hizi ni kutoka kwa 

mtu ambaye yuko na rais hivi sasa huko hotelini” 

 “ Ok thanks.!!akajibu Kigomba na kutoka 

kwa kasi. Baada ya kigomba kutoka Peniela 

akachukua simu na kumpigia Mathew 

 “ Mathew Abel Mkokasule anafanya kazi 

kitengo cha siri cha usalama wa ndani wa taifa 

kilicho ndaniya idara ya usalama wa taifa.kwa 

mujibu wa Kigomba Jacob ni mkuu wa idara ya 

usalama wa taifa na usiku wa jana alikuwa naye 

katika klabu moja ya usiku na leo asubuhi Jacob 

is announced dead.Alipata ajali mbaya ya gari 

iliyoua wote waliokuwamo humo garini” akasema 

Peniela 

 “ Kwa taarifa hiyo ninapata picha kwamba 

Dr Joshua is spying on Kigomba and Jacob,but 

why ?? Kwa jinsi ninavyofahamu Kigomba na Dr 

Joshua ni washirika wakubwa na hainiingii akilini 

kwa nini Dr Joshua amtumie Abel kumfuatilia 

Kigomba? Hapa lazima kuna kitu kinaendelea 

.Kitu kingine ni wazi Jacob ameuawa kwa amri ya 

Dr Joshua lakini kuna kitu gani kilichopelekea 

auawe? Tunatakiwa tufahamu sababu na vile vile 

tunatakiwa kumfahamu huyo Abel 

Mkokasule.



Abel Mkokasule.Tutapata mengi kupitia kwake.Kwa sas

a

tutafute namna ya kuonana na Deus Mkozumi”

“ Sawa Mathew,ngoja nimtumie Kareem kuzipata

namba za simu za Deus Mkozumi niwasiliane

naye.Nitakujulisha hivi punde kama nitafanikiwa ili

kama

nikizikosa basi tutafute namna nyingine ya kufanya”

akasema

Paniela na kukata simu akamfuata Kareem

“ Whats wrong with Kigomba? Akauliza Kareem

“ Achana na huyo mzee mjinga.Kareem kuna kitu

nataka unisaidie ambacho kiko ndani ya uwezo wako”

“ Unataka nikusaidie nini Peniela?

“Nataka unisaidie nipate namba za simu za Deus

Mkozumi”

“ Deus Mkozumi? Akauliza Kareem kwa mshangao

“ Unafahamiana naye?

“ Ni rafiki yangu sana,nitafutie namba zake tafadh

ali”

“ sawa nitautafutia but in exchange for what?

“ Oh ! Kareem usijali utakipata unachokitaka”

akasema Peniela

“ Sawa peniela safari hii lazima tuwe makini sana

tusijekutwa na Yule mwanga.Nipe dakika tatu nikule

tee hiyo

namba” akasema Kareem na kutoka nje.

Baada ya dakika tano akarejea na kumpatia Peniela

namba za simu za Deus Mkozumi

“ You are so fast Kareem”

“ Mimi ni mlinzi wa rais ninafahamiana na watu

wengi kwa hiyo ni rahisi kwangu kupata taarifa yoyo

te

niitakayo” akasema Kareem

“ Ahsante Kareem” akasema Peniela na kumfanyia

Kareem ishara atoke nje halafu akaziandika namba za

simu za

Deus katika simu yake na kumpigia

“ Hallow” ikaita sauti ya upande wa pili ambayo

Peniela aliitambua ilikuwa ya Deus Mkozumi

“ Hallow Deus” akasema Peniela

“ Ninaonge ana nani tafadhali?

“ C’mon Deus ,you are getting old these

days.Umeshindwa kuitambua sauti hii?

“ Nikumbushe tafadhali”

“ Unaongea na Peniela”

“ Ouh Peniela..How are you pretty angel “

“ I’m ok Deus.Vipi wewe unaendeleaje?

“ Hata mimi naendelea vizuri sana.Mbona umekuwa

kimya hivyo?

“ Nimetingwa na mambo mengi sana Deus na ndiyo

maana umeona nimekuwa kimya sana”

“ Nimefurahi kuisikia tena sauti yako Peniela”

“ Me too Deus” akajibu Peniela

“ So Peniela whats the reason for calling? Najua

huwezi kunipigia simu hivi hivi lazima una tatizo”

Peniela akacheka kidogop na kusema

“ Ni kweli Deus nina shida ndogo”

“ Shida gani Peniela? Sema haraka nikutatulie”

“ Nahitaji kuonana nae”

“ Lini? Akaulizia Deus

“ leo hii”

“ Kwa leo haitawezekana Peniela.Hivi ninavyongea

nawe niko katika maandalizi ya kumpokea mwanangu

anayekuja leo kutokea afrika ya kusini kwa hiyo sin

takuwa na

nafasi labda tupange siku nyingine.” Akasema Deus M

kozumi

“ Deus nina jambo la muhimu mno la kuzungumza

nawe ambalo haliwezi kusubiri hadi siku nyingine.”

“ Haitawezekana Peniela.Nitakufahamisha

nitakapokuwa na nafasi lakini leo kama nilivyokuele

za nina

mapokezi ya mwanangu kwa hiyo sintakuwa na nafasi

kabisa

“ akasema Deus na kukata simu

“ Deus Mkozumi ni mtu muhimu mno katika mipango

yetu lakini tatizo ni kwamba hatutaweza kupata kati

ka muda

tunaoutaka sisi.Ni yeye pekee anayeweza kutupa mael

ekezo

ya kukifikia kirusi Aby...Ngoja nimtaarifu Mathew,we

must

find a way...” akawaza Peniela na kumpigia simu Mathe

w.

“ Peniela umefanikiwa? Akauliza Mathew baada ya

kupokea simu

“ Nimefanikiwa kupata namba za simu za Deus

,nimempigia nikamfahamisha kwamba nataka kuonana na

ye

leo hii lakini akadai hana nafasi kwani yuko katika

maandalizi

ya kumpokea mwanae anayewasili leo.Nimeshindwa kabi

sa

kumshawishi akubali kuonana nami.What are we going

to

do? akasema Peniela

“ Ok tumpe nafasi.Nina hakika kabisa endapo atapat

a

nafasi nzuri lazima atakujulisha tu.Kwa sasa endele

a kubaki

humo ndani ila uwe katika tahadhari kubwa.Endelea k

ufanya

uchunguzi Dr Joshua anautana na akina nani.Nina hak

ika

watu anaokutana nao kuna jambo la siri wanaongea na

ndiyo

maana amechagua akutane nao hapo katika nyumba

yake.Sisi tunamsubiri Anna alinitaarifu kwamba atak

uja muda

si mrefu ili tuone naye kwa upande wake amegundua

nini.Muda wowote ukipatwa na tatizo lolote nitaarif

u haraka

bila kuchelewa”

“ Usihofu kuhusu mimi Mathew I’m fine here.Dr

Joshua tayari yuko katika kiganja cha mkono wangu n

a

hanisumbui hata kidogo.Kitu kingine naomba msisaha

u

kulifungua hilo kasha na kutazama kilichomo ndani”

“ Sawa Peniela tutafanya hivyo.Tutakutaarifu kila

hatua tunayochukua” akasema Mathew na kukata simu

akatazamana na Anitha

“ Nini hatua inayofuata? Akauliza Anitha

“ Ngoja tumsubiri Anna tujue kama alifanikisha lil

e

zoezi tulilompa .Tunatakiwa kutafuta namna ya kumfa

ya Dr

Joshua ashidwe kufanya majukumu yake kwa wakati

tunaosubiri Peniela aweze kuonana na Deus Mkozumi.”

Akasema Mathew

“ Mathew una hakika Deus Mkozumi atakuwa tayari

kumueleza Peniela namna ya kukipata kirusi ? akauli

za Anitha

“ Wakati wa uongozi wake Deus Mkozumi alikilinda

kirusi Aby kama mboni ya jicho lake na amekuwa mpin

zani

mkubwa wa Dr Joshua baada ya kupata tetesi kuwa ana

taka






kunificha chochote.Nilimuuliza kwa nini alifikia ma

amuzi ya

kuwasaliti wenzake na kwenda kutoa siri zote Kwa Dr

Joshua

na hivyo kuvuruga kila mlichokuwa mmekipanga,akanij

ibu

kwamba alifanya vile baada ya kutafakari kwa kina j

uu ya

mustakabali mzima wa maisha yake na njia pekee aliy

oona

inafaa ni kwa kurejea kwa Dr Joshua na kumuomba msa

maha

na ili baba aweze kumsamehe alilazimika kumueleza u

kweli

wa kila jambo.Nilimuuliza tena baada ya kumueleza D

r

Joshua siri zote amekipata alichokuwa anakitaka? Ak

anijibu

ndiyo amekipata na hata zaidi ya alivyotegemea kwan

i Dr

Joshua amemuahidi kwamba atampigania ili awe rais w

a

Tanzania baada ya yeye kumaliza muda wake”

“ What ? !!..This is insane” akasema Anitha na wot

e

wakacheka

“ Msicheke .This is a serious issue.Dr Joshua

amefurahi sana kwa Elibariki kumfumbua macho kuhusu

kilichokuwa kinaendelea nyuma ya pazia ambacho haku

wa

anakifahamu na ndiyo maana amemuona Elibariki ni mt

u

anayefaa kushika nafasi ya urais.Baba anamaliza mud

a wake

wa uongozi kwa hiyo anatafuta mtu ambaye atamuachia

madaraka ambaye atakuwa mtiifu kwake na ambaye

ataendelea kumficha madhambi aliyoyafanya wakati w

a

uongozi wake” akasema Anna.Mathew akatafakari kido

go na

kusema

“ Siamini kama Elibariki amefikia hatua hii.Usalit

i

alioufanya ni mkubwa sana na siku moja

ataulipia.Nawahakikishieni Anna na Anitha kwamba hi

cho

anachokitaka Elibariki katu hakiwezi kufanyika.Dr J

oshua

anamfahamu Elibariki ni msaliti kwa hiyo hawezi ku

mpa

nafasi hiyo kubwa.Elibariki amefanya kosa kubwa mn

o katika

maisha yake na ninawahakikishieni kwamba siku moja

litamgharimu” akasema Mathew na wote wakawa kimya

“ Ok tuachane na hayo ya Elibariki.Ulifanikisha ul

e

mpango wetu? Mathew akamuuliza Anna

“ Hapana nilishindwa kuufanikisha ule mpango wetu

kwani baba hakurejea nyumbani jana na leo asubuhi

nilipoonana naye hatukuweza kuelewana.Nawaahidi

nitafanya kila linalowezekana hadi nifanikishe jamb

o hili.Vipi

ninyi kwa upande wenu mlifanikiwa kuonana na Yule m

tu

ambaye anaweza kuwaelekeza mahala kilipo kirusi Aby

?

“ Hapana bado hatujafanikiwa.Mtu tuliyetegemea

kuonana naye ili atupe maelekezo mahala kilipo kiru

si Aby

amepata udhuru na hatutaweza kuonana naye kwa siku

ya

leo hadi kesho kwa hiyo bado iko nafasi ya kuutekel

eza ule

mpango wetu.Dr Joshua anatakiwa kuwa kitandani kwa

siku

kama mbili ili mpango wetu u fanikiwe na njia pekee

ya

kulifanikisha hilo ni kwa kumuwekea ile dawa

niliyokuelekeza.Atasumbulwa na tumbo la kuhara hali

itakayomlazimu alale kitandani na hatajishughulisha

na

jambo lolote na hivyo kutupa sisi nafasi ya kukichu

kua kirusi

Aby.” Akasema Mathew

“ Nitajitahidi kufanya kila linalowezekana hadi

nifanikiwe.Mathew huwezi kujua kiu yangu ya kutaka

kuona

namna baba na mtandao wake watakavyokutana na rungu

la

sheria.Baba yangu ana roho mbaya ya kishetani.Amechu

kua

kila kitu kizuri kwangu kiasi kwama najiona ni mtu

nisiye na

thamani yoyote katika dunia hii” akasema Anna

“ Usiseme hivyo Anna.Wewe bado ni mtu mwenye

thamani kubwa.Mambo aliyoyafanya baba yako yasikufan

ye

ujione huna thamani.Nakuahidi nitafanya kila linalo

wezekana

na Dr Joshua pamoja na mtandao wake wote lazima

wakutane na rungu la sheria.Nakuahidi siku si nyin

gi toka

sasa kila aliyetenda uovu lazima atalipa.Kitu kikub

wa cha

msingi ni kufuata maelekezo nitakayokupa.lakini kam

a

nilivyokufahamisha awali kuwa suala hili ni la hata

ri kubwa

na hata wewe waweza kujikuta katika hatari kubwa.I

cant

forgive myself if anything bad happens to you Anna”

akasema Mathew na kumfanya Anna atabasamu

“ Usihofu Mathew I’ll be fine. Mathew kilichonilet

a ni

kukupa hizo taarifa sasa naomba niondoke.After wha

t

you’ve been through ,you two need to spend some ti

me

with each other” akasema Anna na kwa mara ya kwanza

akamuona Mathew akitabasamu

“ Nani kakwambia sisi ni wapenzi?

“ Kareem alinieleza hivyo”

“ Alikudanganya ,sisi si wapenzi ni marafiki wa

kawaida tu” akasema Anitha

“ Ok guys I’ll be going now.Tutawasiliana baadae”

akasema Anna huku akitabasamu .Mathew akamsindikiza

hadi katika gari akamfungulia mlango akaingia na ku

ondoka

“ Mhh !! kwa mara ya kwanza ukikutaa na Anna picha

unayoipata ni msichana mwenye kiburi,dharau na hasi

ra

lakini ukikaa naye kwa muda mfupi mkazoeana utagun

dua ni

msichana wa tofauti kabisa.Amebarikiwa uzuri wa kip

ekee na

hata anapotabasamu dah ! mwili lazima ukusisimke.Ki

kubwa

zaidi kinachonivutia kwa huyu binti ni ujasiri alio

nao.Sijawahi

kukutana na mtu ambaye yuko tayari kumtia hatiani b

aba

yake mzazi.Kwa hili anastahili kulindwa.Kama nilivy

oahidi

kumlinda Peniela huyu naye nitafanya kila niwezalo

kumlinda

kwani kitu anachokifanya ni cha hatari kubwa” akawa

za

Mathew wakati akirejea ndani

***************

“ Alichonieleza Peniela ni kitu cha kweli.Ni wazi

Dr

Joshua ndiye aliyetoa maelekezo ya kumuua Jacob

Kateka.Namini kabisa Dr Joshua ananifuatilia na ana

mtumia

Abel kunichunguza.Sasa nimemini Dr Joshua ni kweli

ana

ajenda ya siri na nia yake kubwa ni kuniondoa kati

ka ule

mpango wa kukiuza kirusi na azimiliki pesa zote pek

e

yake.Sintokubali kitu kama hicho kitokee.Tumeshirik

iana toka

mwanzo na mimi ndiye niliyesimamia mchakato mzima h

adi

fedha ikapatikana na siwezi kukubali kuenguliwa kat

ika hatua

za mwisho.Hapa ni aidha tugawane au tukose wote.I s

wear

I’ll fight for my right..Kumuua Jacob hakuwezi niog

opesha

hata kidogo wala kunirudisha nyuma.Nitapambana na D

r

Joshua hadi mwisho..Kwa sasa ngoja niende kwa jaji

Elibariki

ili nijue kuna ajenda gani kati yake na Dr Joshua n

a vile vile

nataka kumfahamu vizuri Peniela.Jaji Elibariki anao

nekana

kumfahamu Peniela vizuri.Ninahisi yule mwanamke ana

ajenda yake ya siri na lengo lake kubwa lazima lita

kuwa ni

kukipata kirusi.Kama lengo lake ni hilo basi itakuw

a rahisi

kwangu kukipata kwa kumtumia yeye.” Akaendelea kuwa

za

Dr Kigomba akielekea nyumbani kwa jaji Elibariki

Macho ya jaji Elibariki yalikuwa mekundu na

haikuhitaji taaluma kubwa kugundua kuwa alikuwa

ametumia kilevi kikali.Toka aliporudi nyumban baada

ya

kumalizika kwa shughuli za msiba alikuwa akitumia p

ombe

kali kuondoa mawazo aliyokuwa nayo.Ndugu jamaa na

marafiki walikuja kumjulia hali na kumpa pole.Baada

ya

kuwasindikikza rafikize wawili waliofika kumpa pole

alireje

asebuleni akajilaza sofani.Kichwa chake kilijaa maw

azo

mengi.Alitafakari kuhusu maisha yake na namna

atakavyoyaanza maisha mapya.Akiwa bado katika

tafakari,mlango ukagongwa akainuka na kwenda kuufun

gua

,alikuwa ni mlinzi wake ambaye alimtaarifu kuwa ku

na

mgeni yuko getini anaitwa Dr Kigomba

“ Kigomba??.. jaji Elibariki akamuuliza askari Yul

e

“ Ndiyo,amejitambulisha hivyo”

Jaji Eliariki akatafakari kidogo halafu akamwambia

mlinzi amruhusu aingie

“ Kigomba amekuja kutafuta nini? Mimi na yeye

hatuna mahusiano yoyote ,anatafuta nini hapa? Amet

umwa

na Dr Joshua? Akawaza jaji Elibariki

Gari la kigomba likaingia ndani akashuka na kumkut

a

jaji Elibariki anamsubiri

“ Mheshimiwa jaji!! Akasema Dr Kigomba huku

akimpa mkono jaji Elibariki ,wakasalimiana na kuin

gia

sebuleni.Elibariki akammiminia Dr Kigomba mvinyo ka

tika

glasi

“ Karibu sana Dr Kigomba.Sikutegemea kabisa kama

ungeweza kunitembelea”

“ Usemayo ni ya kweli Mr jaji.Mimi na wewe hatuna

mazoea ya karibu sana lakini yawezekana kuanzia leo

tukawa

ni watu wa karibu”

“ Usijali Dr Kigomba ,karibu sana” akasema jaji

Elibariki halafu ukimya wa sekunde kadhaa ukatanda

.Dr

Kigomba akagugumia mvinyo wote uliokuwamo katika gl

asi

na kusema

“ jaji Elibariki nimekuja kwako kuna mambo mawili

au matatu ya msingi yaliyonileta hapa” akanyamaza k

idopgo

halafu akaendelea

“ Jambo la kwanza lililonileta hapa ni kukupa pole

kwa msiba mzito uliokupata .Sote tumeguswa na msiba

huu.Flaviana alikuwa ni kama mwanangu.Tunakuombea

uweze kupata nguvu za kuhimili kipindi hiki kigumu”

akasema

Dr Kigomba

“ Shetani mkubwa huyu,anajifanya kunipa pole

wakati ni yeye ndiye aliyeandaa shambulio lililosab

abisha

mke wangu akapigwa risasi.Natamani nimpasue na h ii

chupa

lakini ngoja niwe mvumilivu nimsikie kilichomleta h

uku.”

Akawaza jaji Elibariki huku akimtazama Dr Kigomba k

wa

hasira

“ Jambo la pili” Dr Kigomba akaendelea

“ Dr Joshua amenieleza kwa kirefu kuhusu wewe na

kila kilichotokea.Natumai una fahamu kila kinachoen

delea

kati yangu na Dr Joshua.Sisi ni washirika wakubwa n

a kila

anachokifanya yeye basi hunishirikisha na mimi

pia.Ninakupongeza sana kwa uamuzi wako wa kijasiri

wa

kuamua kurejea kwa Dr Joshua na kumueleza ukweli wa

mipango yote inayopangwa dhidi yake au dhidi yetu k

wa

sababu sisi hufanya kazi pamoja.You are now one of

us kwa

hiyo karibu sana” akasema Dr Kigomba akanyamaza ki

dogo

akamimina mvinyo katika glasi na kuendelea

“ pamoja na kukupongeza kwa ulichokifanya lakini

nataka vile vile nikuweke wazi kwamba baada ya Dr

Joshua

kufahamu kilichokuwa kinafanyika nyuma ya pazia ame

jenga

ukuta mkubwa kati yake na mimi na ghafla sana yale

mahusiano yetu mazuri yamekatika.Mimi na yeye tuli

anza

mipango hii pamoja na mimi ndiye niliyekuwa nashug

hulikia

kila kitu .Hatimaye mnunuzi alikamilisha malipo na

anachokisubiri hivi sasa ni kupewamzigo wake na tay

ari yuko

hapa nchini kukichukua kirusi hicho lakini mara tu

ulipomueleza Dr Joshua yale mambo ,amebadilika na

amenieleza kwamba anasitisha mipango yetu yote hadi

hapo

baadae eti kwa kitisho cha usalama.Hakukuwa na sab

abau

yoyote ya kuahirisha mpango wetu kwani kilichokuwa

kinasubiriwa ni kumkabidhi Hussein mzigo wake lakin

i

kilichotokea Dr Joshua akamuhamisha Hussein toka ho

teli

aliyofikia ambayo nilimtafutia mimi lengo likiwa ni

kuniengua

katika mpango na nisifahamu chochote

kinachoendelea.Kama vile haitoshi fedha tayari tuli

kuwa

tumelipwa na zikaingizwa katika akaunti yake ya sir

i iliyoko

nje ya nchi,zilihamishwa zote haraka sana katika ak

aunti

nyingine bila ya mimi kufahamu.Kwa ufupi ni kwamba

Dr

Joshua amenigeuka katika hatua hizi za mwishoni na

lengo

lake ni ili azimiliki pesa zote peke yake.jambo hi

li

limenisikitisha sana” akanyamaza kidogo halafu akae

ndelea

“ jaji Elibariki nimekuja kukuomba kitu kimoja.Nat

aka

mimi na wewe tuwe washirika,tuunganishe nguvu ,tuwe

kitu

kimoja ili tukipate kirusi kile ambacho tutakiuza

kwa

mabilioni ya fedha.Tunatakiw a kukipata kabla Dr Jo

shua

hajamkabidhi Hussein.Tukifanikiwa kukipata kirusi h

icho ni

utajiri mkubwa mno kuliko hata kuwa na mgozi wa

madini.Nakuhak......”

“ Stop that Kigomba ..!!!” Jaji Elibariki akamkati

sha Dr

Kigomba

****************

Ndani ya hoteli kubwa ya nyota tano ya Samawati

beach hotel,Dr Joshua alikuwa na maongezi ya faragh

a na

mgeni wake Hussein Abdullah Al Nassor.Maongezi yali

kuwa

mazito kiasi kwamba Dr Joshua alijikuta akifuta jas

ho mara

kwa mara.Kuna nyakati Fulani walionekana kushindwa

kuelewana na Hussein akainuka kwa hasira lakini Dr

Joshua

akamtuliza na maongezi yakaendelea

Wakati maongezi yakiendelea simu ya Dr Joshua

ikaita,alikuwa ni Abel Mkokasule.Akasogea pembeni k

idogo

ili aweze kuipokea

“ Hallow Abel” akasema Dr Joshua

“ Mzee,kuna taarifa nimeipata sasa hivi toka kwa

vijana wangu niliowaweka kumfuatilia Dr Kigomba”

“ Ndiyo Abel,kuna taarifa gani? Akauliza Dr Joshua

“ Dr Kigomba ameonekana akiingia nyumbani kwa jaji

Elibariki”

“ What ??..Amekwenda kwa Elibariki? Akauliza Dr

Joshua kwa mshangao

“ Ndiyo mzee”

“ Oh my God !! Huyu jamaa hakati tamaa

kabisa.Nilimuondoa Jacob ili kumzuia asiendelee na

mipango

yake ya chini chini dhidi yangu lakini anaonekana b

ado ana

kiu na ile fedha .Sasa wakati wake umefika ,kuendel

ea

kumuacha hai huyu jamaa ni kujitafutia hatari.Hili

ni jipu na

tayari limeiva kwa hiyo lazima litumbuliwe haraka.I

have to

take him down immediately.Hii ni nafasi pia ya kumu

ondoa

jaji Elibariki kwani sina kazi naye tena.Ni kijana

shenzi mno...”

akawaza Dr Joshua

“ Hallow Abel naomba unisikilize vizuri” akasema D

r

Joshua

“ Nakusikiliza mzee.”

“ Huyu Kigomba amekuwa akipanga njama za chini

chini dhidi yangu.Kuna mipango mibaya sana anaisuka

kwa

siri akiwatumia watu wangu wa karibu.Alianza na Jac

ob na

sasa amefika kwa Elibariki.Nataka ufanye kitu kimoj

a haraka

sana,Kill them all,umenielewa Abel?

“ Nimekuelewa mzee”






“ Peniela na Dr Joshua wana mahusiano ya kimapenzi

“ Ninalifahamu hilo lakini tayari mapenzi yao

yamekufa tayari.Dr Joshua baada ya kumfahamu vizuri

Peniela hataki tena kumuona katika maisha yake na h

ivi

tunavyoongea anamtafuta sana yeye na wenzake akina

Mathew.”

“ You are wrong Elibariki.Peniela na Dr Joshua wak

o

pamoja na tayari Peniela amekwisha mlisham maneno

mabaya Dr Joshua juu yako na kumfanya Dr Joshua

akuchukie ghafla “

“ Peniela ?? Amemwambia nini Dr Joshua?

“ Amemwambia kwamba yale yote uliyomueleza

kuhusu yeye ni ya uongo na kwamba wewe unamtaka

kimapenzi na alipokukatalia ukambaka na ukamtishia

kumuua endapo atamueleza Dr Joshua.Akaenda mbali za

idi

akasema kwamba wewe na Rosemary Mkozumi mna

mipangoya siri ya kumzunguka Dr Joshua ili kukipata

kirusi

anachotaka kukiuza.Maneno haya yameibadili kabisa t

aswira

yako kwa Dr Joshua na anakuchukia kupita maelezo.”

“ Oh my God..!! That woman is a liar..ow could she

do that?? Jaji Elibariki akahamaki

“ Unafahamu aliko Peniela? Akauliza Elibariki

“ Ndiyo ninafahamu aliko” akajibu Dr Kigomba

“ Twende unipeleke haraka sana ..Nataka

nikamuonyeshe adabu.Nataka nimepeleke kwa Dr Joshu

a na

akakiri uongo wake...Haweze kuniharibia namna hii..Ha

lafu

Dr Joshua kwa nini amemuamini? Twende haraka Kigomb

a

unipeleke aliko Peniela” akasema Elibariki kw aukal

i

“ Elibariki relax...nitakupeleka huko kwa Peniela la

kini

kabla hatujaenda huko naomba kwanza tuongee kuhusu

ule

mpango ulionileta hapa kwako” akasema KIgomba

“ Kigomba tafadhali inuka twende unipeleke kwa

Peniela sitaki kuongea jambo lolote na wewe..Inuka

haraka

twende.” Akasema Elibariki na kumshika mkono Kigomb

a

akamvuta kumtoa nje.

“ Leo atanitambua mimi ni nani..” akasema Elibarik

i

akiendelea kumvuta KIgomba kuelekea katika gari la

Kigomba.Ghafla kukatokea jambo ambalo hakuna aliyek

uwa

amelitegemea.Kijana mmoja aliyekuwa amefunika uso w

ake

aliyekuwa amejificha pembeni ya kontena lililokuwa

karibu

na ukuta akajitokeza akiwa na bastora mbili zilizof

ungwa

viwambo vya kuzuia sauti na kuanza kumvurumishia ri

sasi jaji

Elibarki ambaye alitoa ukulele mkubwa.Dr Kigomba

alaichanganyikiw ana kuanza kukimbia kurudi ndani l

akini

akapigwa risasi ya mkono akaanguka chini.Jaji Eliba

rki

akaanguka chini na Yule jamaa akamfuata pale chini

na

kummiminia tena risasi kisha akanza kupiga hatua

kumuendea Dr KIgomba aliyepigwa risasi ya mkono.Uke

lele

ule aliopiga Jaji Elibariki uliwastua askari waliok

uwa getini

ambao waliigia ndani haraka sana kuangalia kuna nin

i.Yule

kijana aliyekuwa akimuendea Kigomba akastuka alipow

aona

askari wametokea ghafla na kabla hajakimbia akachia

risasi

ambayo ililipungua sikio la KIgomba kisha akakimbia

na mara

juu ya ukuta akaitokeza kijana mwingine ambaye naye

alikuwa ameufunika uso wake akiwa na bunduki aina y

a SMG

akaanza kuwavurumishia risasi wale askari ili kumpa

nafasi

mwenzake ya kuweza kutoka mle ndani. Haraka harak

Yule

mwezake akapanda juu ya kontena akakamata ukuta na

kuruka nje wakapanda piki piki yao na kutoweka.Baad

a ya

watu wale kutoweka askari wakamba msaada wa gari to

ka

katika kituo ch apolisi cha jirani ambalo lilifika

likiwa na askari

zaidi ya kumi .Haraka haraka jaji Elibariki na Dr K

Igomba

wakapakiwa katika gari na kukimbizwa hospitali.

******************

“ Nyakati kama hizi ndipo mtu humkiri Mungu

kwamba ndiye bwana na muumba wa vitu vyote na kwamb

a

ndiye atupaye uhai.Zawadi hii ya uhai aliyotupa an

aweza

akaichukua dakika yoyote aitakayo yeye.Nimenusurika

kifo

kwa namna ya ajabu kabisa.” Akawaza Dr Kigomba akiw

a

amepumzishwa hospitali alikokimbizwa baada ya kujer

uhiwa

kwa risasi na watu wenye silaha nyumbani kwa jaji

Elibariki.

“ huu ni muujiza kwa mimi kubaki hai.Yule jamaa

alidhamiria kabisa kunitoa uhai.Risasi aliyopiga al

idhamiria

kunifumua kichwa lakini ikapita pembeni na kunipuny

ua

sikio.Naamini ni malaika wa Mungu aliyekipindisha

kichwa

changu ili risasi ile isinipate.Mungu ana makusudi

yake kwa

kuniacha hai.Nadhani ni wakati sasa wa kumrudia na

kuachana na maovu yote ninayoyatenda.” Akawaza Dr

Kigomba huku mwili ukimtetemeka alipokumbuka namna

alivyokoswa kufa kwa risasi

“ Naamini kabisa tukio lile ni mojawapo ya njama z

a

Dr Joshua kutakan kuniondoa duniani.Amekwisha dhami

ria

hilo na kilichopo hapa kwa sasa ni vita kati yangu

naye.Atafanya kila aliwezalo hadi ahakikishe

nimekufa.Ameweka watu wa kunifuatilia kila niendako

,anataka kujua ninafanya nini ninakutana na akina

nani.Ananiogopa kwani anajua ninao uwezo wa kusitis

ha

mipango yake yote na ndiyo maana anafanya kila juh

udi za

kunizima.Kwa kuwa amenikosa leo hatanipata tena” Dr

Kigomba akastuliwa mawazoni na mlango uliofunguliwa

wakaingia madaktari watatu wakiwa na wauguzi wawili

pamoja na askari wawili.Madaktari wakampima ili kuj

ua

maendeleo yake

“ Maendeleo yako mazuri Dr Kigomba,jeraha lako si

kubwa lakini tunandelea kukuweka katika uangalizi n

a

baadae tukiridhika kwamba hali yako haina tatizo l

olote

tutakuruhusu urejee nyumbani” akasema mmoja wa wale

madaktari ambaye kitambulisho chake kilionyesha ana

itwa

Dr Stanslaus Wembeli.

“ Dr Samahani naomba kujua hali ya mwenzangu jaji

Elibariki,anaendeleaje? Akauliza Dr Kigomba.Wale ma

daktari

wakatazamana halafu Dr Stanslaus akasema

“ Dr Kigomba,nasikitika kukupa taarifa hizi ambazo

si

nzuri .Jaji Elibariki tayari alikuwa amefariki duni

a kabla hata

ya kufikishwa hapa hospitali.Alipigwa risasi nyingi

kifuani”

Taarifa ile iligonga katika kichwa cha Dr Joshua k

ama

nyundo.Kwa sekunde kadhaa akabaki ameduwaa akiwaza

halafu akasema

“ Samahani daktari naweza kuongea nawe peke

yako? Akaomba Dr Kigomba.Dr Stanslaus akawataka wen

gine

wote mle chumani watoke nje li aweze k uzungumza na

Dr

Kigomba

“ Unasemaje Dr Kigomba? Akauliza Dr Stanslaus

Dr Kigomba akatoa pochi toka mfuko wa nyuma wa

suruali na kutoa noti tano za dola mia mia za kimar

ekani

akampatia Dr Stanslaus ambaye alibaki anashangaa

“ Za nini hizi? Akauliza

“ Za kwako Dokta nahitaji msaada wako”

“ Msaada upi unahiji Dr Kigomba? Akasema Dr

Stanslaus huku akizipokea fedha zile harakaharaka n

a

kuziweka mfukoni

“ Take me out of here immediately.I’m in great

danger.What happened is not a robbery it’s a politi

cs.Wale

wavamizi wakijua nimenusurika watanifuata hadi huku

na

kuniua.Tafadhali naomba unisaidie daktari.Maisha ya

ngu

yako hatarini”

Dr Stanslaus akamtazama kwa wasi wasi

“ Please doctor help me.Take me out of here now “

akaendelea kuomba Dr Kigomba

“ Sawa nitakusaidia ila naamini hunidanganyi kwani

nikibainika kwamba nimekutorosha nitakuwa katika ma

tatizo

makubwa” akasema Dr Stanslaus huku akimsaidia Dr

Kigomba kuvaa shati lake na koti kuficha jeraha kat

ika

mkono wake halafu wakatoka wakiwa wameongozana had

i

nje ya hospitali wakaelekea katika maegesho ya

magari.Hakuna aliyeweza kutilia shaka yoyote kuwa D

r

Kigomba alikuwa anatoroshwa.

“ Hapo nje ya hospitali kuna taksi nyngi huwa

zinaegeshwa ,utachukua moja na kuondoka mahala hapa

akasema Dr Stanslaus

“ Ahsante sana dokta kwa kuniokoa” akasema Dr

Kigomba huku akitembea haraka haraka akatoka nje ya

uzio

wa hospitali akapiga hatua ndefu hadi katika mojawa

po ya

taksi zilizokuwa zimeegeshwa pale akaingia na kumuo

mba

dereva aondoe gari haraka sana.Dr kigomba akavuta p

umzi

ndefu baada ya kuondoka maeneo yale ya hospitali

“ Ahsante Mungu nimefanikiwa kuondoka salama

eneo hili” akawaza huku akigeuka mara kwa mara kuan

galia

kama kuna gari linawafuata.

“ Najua taarifa zitamfikia Dr Joshua kwamba bado

nipo hai na ataamuru nisakwe kila kona.Lengo lake n

i

kuhakikisha nimepotea kabisa katika uso wa dunia.Na

takiwa

kutafuta sehemu salama ya kujificha ambako si rahisi

kujulikana.Nitajificha wapi? Akajiuliza Dr Kigomba

na mara

akapata jibu

“ Nimepata jibu,.Kuna mtu mmoja tu ambaye

anaweza kunisaidia kwa sasa.Peniela.That woman she’

s

going to hide me.Najua ana lengo la kukipata kirusi

na

nitamsaidia kukipata” akawaza Dr Kigomba na kumuele

keza

dereva kuelekea katika nyumba ya Dr Joshua aliko Pe

niela

**************

Wahudumu wa hoteli waliochukuliwa na Dr Kigomba

kufanya maandalizi ya chakula cha usiku kwa ajili y

a Dr

Joshua na wageni wake,tayari walikwisha maliza kupa

mba

nyumba na waliyekuwa wakimsubiri ni Dr Kgomba areje

e

kwani aliondoka bila kuwaaga

Ghafla mlango wa sebuleni ukafunguliwa akaingia Dr

Kigomba kwa kasi.Hakutaka maongezi na mtu yeyote

akapitiliza moja kwa moja hadi katika chumba cha Pe

niela na

kuufungua bila hata kubisha hodi.Peniela ambaye ali

kuwa

ametoka kuoga na alikuwa mtupu akastuka sana akajif

unga

taulo haraka haraka.Hali aliyoingia nayo Kigomba

ilimuongopesha sana

“ Kigomba ???!! kwa nini unaingia chumbani kwangu

bila adabu ??? akasema Peniela kwa ukali.Dr Kigomba

alikuwa anahema na jasho likimchuruzika usoni

“ Peniela listen to me..!! akasema

“ Kigomba una nini? akauliza Peniela kwa mshangao

“ Peniela listen to me !!..you have to help me !!

“ Help you? How? What happened? Mbona

unaonekana una damu? Akauliza Peniela

“ Nipeleke mafichoni mahala ulikomficha jaji

Elibariki.Kuna watu wametumwa waniue na hivi tuonge

avyo

wananisaka waniue.Dr Joshua sent them”

“ Dr Kigomba hebu nieleze taratibu nikuelewe.Nani

hao wanaotaka kukuua?

“ Peniela please sina muda wa kupoteza hapa,any

time they can be here .Please take me to hiding”

“ Kigomba nashindwa kabisa kukuelewa na sijui

nitakuisaidiaje”

Dr Kigomba akavua koti na kumuonyesha Peniela

jeraha la risasi mkononi

“ Niliptoka hapa nilikwenda kwa jaji Elibariki.Nik

iwa

kule tulivamiwa na watu wasiojulikana waliotushambu

lia kwa

risasi.jaji Elibariki ameuawa na mimi nimeponea tu

ndu la

sindano.Risasi imepita hapa pembeni ya sikio

langu.Nakuomba Peniela niokoe ,nipeleke mafichoni”

Peniela akamtazama kwa sekudne kadha na kusema

“ I cant believe you.Wewe na Dr Joshua ni kitu

kimoja.Amekutuma uje unipeleleze.Go away Kigomba si

na

sehemu y a kukuficha!!

“ Peniela naomba uniamini

nikwambiacho.Nitakusaidia katika mipango yako yote.N

ajua

una mipango ya kukipata kirusi nitakusaidia kukipat

a.Kama

kweli lengo lako ni hilo this is your only chance.I

know how

you can get the virusi and the time is now..” akas

ema Dr

Kigomba na mara simu ya Peniela ikaita,alikuwa ni M

athew

“ Halow “ akasema Peniela

“ Peniela are you safe there? Akauliza Mathew

“ I’m ok ,why? You sound so worried”

“ Kuna taarifa inasambaa hivi sasa katika mitandao

kwamba Jaji Elibariki ameuawa muda mfupi uliopita

na watu

wasiojulikana waliovamia nyumbani kwake na

kumvurumishia risasi.Taarifa hizi zimenistua sana n

ikapatwa




mimi sintofaya kosa kama yeye.Kwanza nitahakikisha

mipango yake haifanikiwi na pili ninafahamu siri za

ke nyingi

kwa hiyo nitazitumia kumbomoa.I must take him down.

Yeye

alitaka kuniua kwa risasi mimi sintatumia risasi la

kini

nitahakikisha ninamporomosha kabisa.Hatanisahau kat

ika

maisha yake yote yaliyobaki.We were once close frie

nds but

now we’re great enemies.Atajuta kunifahamu” akawaza

Dr

Kigomba akiwa na hasira kali

“ Dr Kigomba ni mshirika mkubwa wa Dr Joshua na

ndiye aliyekuwa akiratibu mipango yote miovu na ka

ma

imefikia hatua Dr Joshua anataka kumuua mshirika wa

ke wa

karibu lazima kuna sababu kubwa.Dr Kigomba is gopin

g to be

our great asset.Atatuongoza katika kufanikisha mipa

ngo yetu

yote kwani anafahamu kila kitu kuhusiana na kirusi

Aby”

akawaza Peniela

*************

Taarifa za kifo cha jaji Elibarii zilisambaa kwa k

asi

kubwa karibu kila kona ya nchi na kuzua maswali men

gi kwa

jamii wakihoji kuhusu nini kinachoendelea nchini kw

ani

vimetokea mfululizo vifo vinavyowahusisha watu wa k

aribu

na rais.Wakati jamii ikipokea kwa mtazamo tofauti k

ifo cha

jaji Elibariki ,taarifa hii ilikuwa nzuri kwa Dr Jo

shua lakini

baada ya muda taarifa ile iligeuka mwiba baada ya k

upokea

taarifa nyingine kwamba katika shambulio lililofany

wa na

vijana waliotumwa na Abel Mkokasule ,Dr Kigomba

alinusurika .Hizi zilikuwa ni taarifa mbaya kwani t

ayari

alikwisha anza kusherehekea kwa kunywa mvinyo mkali

akiamini tayari amefanikiwa kuviondoa vizingizi vyo

te

njiani.Haraka haraka akachukua simu na kumpigia Abe

l

Mkokasule

“ Hallow mzee” akasema Abel mkokasule

“ Abel huu si ufanyaji wa kazi ninaoutaka.Siku zo

te

hujawahi kuniangusha katika kila kazi niliyowahi ku

kupa but

for the first time you’ve failed me.Why you didn’t

kill

Kigomba? Mlengwa mkubwa wa shambulio lile alikuwa n

i Dr

Kigomba .Nimepokea sasa hivi taarifa zinanizeleza k

wamba

Dr Kigomba bado mzima na alijeruhiwa kidogo tu.Kwa

nini

ilishindikana kuimaliza kazi kabisa? Akauliza Dr Jo

shua kwa

ukali

“ Mzee kilichotokea ni kwamba pale kuna ulinzi wa

askari wenye silaha kwa hiyo vijana waliingia ndani

kwa

kupanda ukuta na wakati wakijiandaa kuingia sebulen

i ,Dr

Kigomba na Elibariki walitoka wakielekea katika gar

i na ndipo

kijana aliyekuwa ndani akaitumia nafasi hiyo kuwas

hambulia

kwa risasi toka katika bastora yeye kiwambo cha sau

ti lakini

kwa bahati mbaya jaji Elibariki akapiga ukelele mku

bwa

uliowastua askari wakatokea haraka na kuanza kurush

iana

risasi na vijana wangu ambao walifanikiwa kutoroka

na

kukimbia.Samahani sana mzee kwa mambo kutokwenda

kama ulivyoelekeza.” Akasema Abel Mkokasule

“ Abel vijana uliowatumia safari hii hawakuwa makin

i

kabisa.Ni bora kama angebaki jaji Elibariki kuliko

Kigomba.He’s my great enemy now !! Akasema Dr Joshu

a

halafu ukapita ukimya wa sekunde kadhaa

“ Abel !! akaita Dr Joshua

“ Nakusikiliza mzee”

“Find Kigomba.Do what you have to do and make

sure before sunset he’s finished.You messed this yo

urself so

you have to fix it..!!

“ Nitafanya hivyo mzee “ akajibu Abel na Dr Joshua

akakata simu kwa hasira

“ I’ll find you Kigomba.I must find you!! You have

more lives than a cat but you cant escape from me..

I’m going

to finish you in a blink fo an eye!! Akawaza Dr Jos

hua huku

akiuma meno kwa hasira

“ Kigomba hapaswi kabisa kuachwa hai.Anayafahamu

mambo yangu mengi kwa hiyo anaweza kuitumia nafasi

hiyo

kupambana nami .Kwa gharama zozote lazima nihakikish

e

anapatikana na anauawa” akaendelea kuwaza

***************

Kwa takribani dakika tano sasa Mathew amelishika

kasha ambalo john Mwaulaya alimpa Peniela.Lilikuwa

ni

kasha zuri lenye nakshi za dhahabu

“ Arent you going to open it? Tayari Peniela ameku

pa

ruhusa ya kulifungua kwa hiyo usisite” akasema Anit

ha

“ Ni kweli amenipa ruhusa ya kulifungua lakini

ingekuwa vyema kama Peniela mwenyewe ndiye ambaye

angelifungua .John Mwaulaya alilitunza kasha hili k

ama

mboni ya jicho lake kwa hiyo naamini kuna mambo mak

ubwa

na mazito ambayo yanamuhusu Peniela pekee.Let’s wai

t for

her.She’s on the way coming.Taarifa ya kifo cha jaj

i Elibariki

imemstua sana na ameona ni bora kwanza akaja huku”

akasema Mathew

“ Hata mimi nimestuka sana .Elibariki alitufanyia

ukatili wa kiwango cha juu sana alivuruga mipango y

etu yote

.Nusura ningepoteza maisha na yote hii imetokea kwa

sababu yake.I hate that man so much na siku zote ni

litamani

kumuona siku moja akiadhibiwa lakini sikutegemea ka

ma

mwisho wake ungekuwa namna hii.Mungu amsamehe

makosa yake na hata mimi pia nimemsamehe yale yote

aliyotukosea” akasema Anitha

“ Nilitabiri kitu kibaya kitakwenda kumtokea Eliba

riki

na ndivyo ilivyokuwa.Ninawafahamu hawa watu wakubwa

namna wanavyofanya kazi zao.Yote haya yamemkuta kwa

sababu ya ujinga wake na mimi si kama wewe Anitha,I

’m

never going to forgive him.Jambo alilolifanya ni la

hatari

kubwa kwetu.Ameturudisha nyuma hatua nyingi.Kwa sab

abu

yake nyumba yangu imechomwa moto na kupoteza vitu v

ingi

vya muhimu .Nilitamani siku moja nimpate na ningemk

ata

kiungo kimoja kimoja ili nimuonyeshe athari za jamb

o

alilolifanya.Hata hi....” Mathew hakumalizia sentensi

yake

baada ya kengele ya getini kulia,akaenda kuchunguli

a katika

luninga kujua ni nani aliyeko getini

“ Peniela “ akasema Anitha na kisha wote wakatoka

kwenda kumpokea Peniela.Haraka haraka Mathew

akafungua geti ,Peniela akaingiza gari ndani,akafun

gua

mango akashuka.Peniela hakuwa mwenyewe,toka ndani y

a

gari akashuka Dr Kigomba.Mathew na Anitha wakatazam

ana

kwa mshangao.Peniela akawaona namna walivyostuka

akasema

“ Mathew ,Anitha I’m sorry for this..I can explain

akasema Peniela

“ Explain right now what the meaning of this or I

’m

going to kill this bastard right now!!!! Akasema Ma

thew kwa

ukali huku akipiga hatua kumuendea Kigomba akiwa na

bastora mkononi.Peniela akamzuia

“ Mathew naomba tukaongelee ndani tafadhali”

akasema Peniela na wote wakaelekea sebuleni.

“ Sema unachotaka kukisema Peniela ama sivyo huyu

mtu hatoki salama humu ndani” akasema Mathew kwa uk

ali

“ Nina hakika nyote mmestuka sana kwa kumuona

hapa Dr Kigomba.Haikuwa rahisi hata kwangu pia kuam

ua

kumleta hapa “ akasema Peniela

“ NImemleta Dr Kigomba hapa kwa ajili ya kujificha

akasema Peniela

“ Kujificha? Mathew na Anitha wote wakashangaa

“ Naombeni mnisikilize ndugu zangu.” Akasema Dr

Kigomba na kuvuta pumzi ndefu akawatazama kwa zamu

watu waliokuwemo mle sebuleni halafu akasema

“ Nina imani nyote mlioko hapa mnanifahamu vyema

kwa hiyo sina haja ya kujitambulisha” akanyamaza ki

dogo

akawatazama akina Mathew halafu akaendelea

“ Kwa ufupi tu ili kuwajengea picha kamili ya kwa

nini

niko hapa ni kwamba mimi ni katibu wa rais na ni mt

u wake

wa karibu mno.Ukiacha kazi za kawaida za kiofisi mi

mi na Dr

Joshua tumekuwa na shughuli zetu nyingine binafsi z

a

kujipatia fedha na mimi ndiye nimekuwa mfanikishaji

mkuu

wa mambo yote” akanyamaza tena kidogo na kabla

hajaendelea Mathew akamuamuru asimame akamkagua

endapo kama ana kifaa chochote amekivaa kwa ajili y

a

kurekodi maongezi yale,akamkuta na simu pekee.Akaik

agua

simu ile ambayo ilikuwa imezimwa na kumruhusu Kigom

ba

aendelee.

“ Miezi michache iliyopita ,mimi na Dr Joshua

tulianza mchakato wa kukiuza kirusi Fulani kiitwach

o Aby kwa

mtu mmoja tajiri anaitwa Hussein.Mimi ndiye niliyeo

ngoza

mchakato mzima hadi pale Hussein alipolipa pesa

tuliyokubaliana.Baada ya kulipa Hussein alitakiwa k

uja

Tanzania ili akabidhiwe mzigo wake wa kirusi lakin

i wakati

amekuja ghafla ukatokea msiba wa Flaviana ikatulazi

mu

kuahirisha kila kitu ili tushughulikie kwanza masua

la a

msiba.Tukiwa bado katika msiba mara akaibuka jaji E

libariki

ambaye alifanya maongezi ya siri na rais bila ya mi

mi

kuhusishwa .Alimueleza rais kila kitu kuhusu wapi

alikokuwa,mipango yote iliyopangwa dhidi yake.Baada

ya

kupata taarifa hizo Dr Joshua akanieleza kwamba ame

amua

kusitisha mipango yote hadi hapo hali ya usalama

itakapokuwa nzuri.Mwanzoni nilikubaliana naye lakin

i

baadae nikagundua kwamba alikuwa ananidanganya kwan

i

alihamisha kimya kimya fedha zote toka katika akaun

ti

zilimowekwa fedha za mauzo ya kirusi Aby.Ni fedha

nyingi.Billions of money .Nilikatishwa tamaa sana k

wa

kitendo alichokifanya Dr Joshua kwani tayari niliku

wa na

mipango mingi ya jinsi ya kuzitumia pesa ambazo nin

gepata

na hali hiyo ikanilazimu kutafuta namna ya kufanya

ili niweze

kukipata kirusi hicho kabla Dr Joshua hajakikabidhi

kwa

Hussein.Nilimfuata Jacob Kateka aliyekuwa mkuu wa i

dara ya

usalama wa taifa nikaongea naye na kwa pamoja tuka

amua

kufanya mpango wa kukipata kirusi hicho .Kitu ambac

ho

sikuwa nimekigundua ni kwamba Dr Joshua aliweka wat

u wa

kunifuatilia nyendo zangu.Usiku wa jana nilikuwa na

Jacob

sehemu Fulani tukiendelea na mipango yetu na tulipo

achana

alipata ajali mbaya akafariki dunia.Hii haikuwa aja

li ya

kawaida baIi ni mipango ya Dr Joshua .Baada ya Jaco

b

kufariki sikukata tamaa nikaenda kwa jaji Elibariki

.Kuna

mambo kadhaa ambayo nilitaka anieleze na tukiwa pal

e

tulivamiwa na watu wenye silaha wakatushambulia na

jaji

Elibariki akapoteza maisha .Mimi nilijeruhiwa kwa r

isasi

mkononi .Pamoja na kujeruhiwa lakini nimeponea tund

u la

sindano.Risasi imepita hapa katika sikio langu.Naam

ini yule

jamaa alikuwa na lengo la kukifumua kichwa kwa risa

si.Mimi

na Dr Joshua tayari tumeingia katika vita kubwa .An

aniogopa

kwa kuwa anafahamu ninazijua siri zake nyingi kwa h

iyo

ninaweza kuzituia kumbomoa na ndiyo maana anaitafut

a

roho yangu kwa garama zozote zile “ akanyamaza akam

eza

mate na kuendelea

“ Baada ya kunusurika kifo ,nilihitaji sehemu ya

kujificha kwani Dr Joshua atanisaka kila kona ya nc

hi hadi

ahakikishe nimekufa.Sikuwa na sehemu nzuri ya kujif

icha na

ndiyo maana nikamuomba Peniela anisaidie kupata

hifadhi.Guys I know down deep in your hearts I’m y

our

enemy but I want you to see me now as a friend,as a

n asset

to you.Im going to help you get what you’ve been st

ruggling

to get for a long time.The virus.All I need is only

hiding.I want

to fight back Dr Joshua na sintaweza kupambana naye

endapo sintakuwa katika maficho salama .You guys ar

e going

to hide and protect me and together we’ll defeat Dr

Joshua.Njia pekee ya kummaliza nguvu Dr Joshua ni k

wa

kukichukua kirusi Aby.So guys the choice is yours.T

o hide me

and get what you want or to throw me out to die and

you

loose everything” akasem Dr Kigomba.Sebuleni kukawa

kimya.Mathew akawatazama Peniela na Anitha kwa zamu

halafu akasema

“ Peniela do you trust him?

“ yes I do !! akajibu Peniela

“ Good.Kama wewe umemuamini basi hata sisi

tunamuamini.Anitha una duku duku lolote? Akauliza M

athew

“ Hapana Mathew sina duku duku lolote.We do trust

Peniela.” Akajibu Anitha Mathew akamgeukia Dr Kigom

ba

akamtazama kwa muda kidogo kisha akasema

“ Tutakupa hifadhi na tutakulinda lakini kuna mamb

o

nataka kuyafahamu.Nataka kujua umefahamuje kama

Peniela anaweza akakusaida sehemu ya kujificha? How

deep

do you know her? How deep do you know us? Akauliza

Mathew.Dr Kigomba akasema

“ Kwa mara ya kwanza kukutana na peniela ni wakati

taarifa zilipomfikia Dr Joshua kwamba jaji Elibarik

i amejificha

nyumbani kwa Peniela.Kufuatia taarifa zile Dr Joshu

a

akanituma kwenda kufanya uchunguzi kama taarifa hiz

o ni za

kweli .Amos ambaye alikuwa daktari wa rais ndiye

aliyenikutanisha na Peniela nikajenga mazoea naye n

a ya

haraka and..uhhmm..” Kigomba akasita

“ And what? Akauliza Mathew

“ We had sex” akasema Kigomba

“ Go on “ akasema Mathew

“ Peniela alinipatia saa nzuri ya dhahabu na sikuw

a

nikifahamu chochote kwamba Peniela na Dr Joshua wan

a

mahusiano ya kimapenzi hadi hii leo aliponiita na k

unieleza

kila kitu kuhusu yeye na peniela.Alinieleza kila ki

tu

alichoambiwa na jaji Elibariki kuhusu Peniela na mi

pango

yote ambayo mmekuwa mkiiandaa.Baadae akanieleza ukw

eli

kwamba mambo yote aliyoelezwa na jaji Elibariki ni

ya uongo

na kwamba jaji Elibariki anashirikiana na Rosemary

Mkozumi

kupanga njama za kumuhujumu.Aliniambia kwamba njama

za jaji Elibariki na Rosemary Mkozumi aliambiwa na

Peniela.Baada ya kutafakari kwa kina taarifa zote z

ote mbili

ile ya Elibariki na ile ya Peniela nikagundua kwamb

a Elibariki

alikuwa sahihi na kwamba kuna kitu Peniela anakitaf

uta kwa

Dr Joshua.Niliamini Peniela anaweza kunisaidia kuni

ficha

kwani alimficha hata jaji Elibariki.Kuhusu ninyi si

kuwa

nikiwafahamu kabisa nimewasikia kwa mara ya kwanza

kwa

Dr Joshua akisema Peniela anashirikiana sijui na ti

mu gani ....”

“ Team SC41” akasema Peniela

“ Exactly.Team SC41” akajibu Kigomba

“ Kwa hiyo ndugu zangu hivyo ndiyo

ninavyowafahamu na ndivyo ninavyomfahamu Peniela”

Mathew akatafakari kwa muda kidogo halafu

akasema




“ Hapana bado hatujalifungua.Peniela we cant open

it.Unatakiwa wewe mwenyewe uingize funguo na

kulifungua.This box is yours.Kilichomo humu kinakuh

usu

wewe” akasema Mathew.Peniela akatabasamu kidogo na

kusema

“ Mathew usiogope .Kilichomo ndani ya kasha hili

kinatuhusu sote.Just open it.I trust you” akasema

Peniela.Mathew na Anitha wakatabasamu

“ Sawa Peniela,tutalifungua ila ingependeza kama

ungelifungua wewe mwenyewe.”

“ Usijali Mathew,just open it.Mimi ninawahi kule k

wa

Dr Joshua.Sitaki afahamu kama nimetoka” akasema Pen

iela

na kundoka.Baada ya Peniela kuondoka Mathew na Anit

ha

wakarejea ofisini.

“ Mathew Mungu yuko upande wetu kwani

sikutegemea kabisa kama mambo yangekwenda hivyo

yanavyokwenda.Elibariki alivuruga mipango yetu

akaturudisha nyuma kabisa lakini kwa sasa tunaeleke

a

kunako ushindi” akasema Anitha

“ Ni kweli hayo unayoyasema lakini haitakuwa rahis

i

kama tunavyodhani.Tujiandae kukumbana na mambo

magumu sana.Chochote kinaweza kutokea katika hatua

hii ya

mwisho lakini vyovyote itakavyokuwa lazima tukipate

kirusi

Aby.Sitaki kukuogopesha Anitha lakini hiyo ndiyo ha

li

tutakayokumbana nayo.Anyway tuachane na hayo

tutajadiliana kwa kina baadae tukishafanya mahojian

o na Dr

Kigomba,kwa sasa tulifungue kasha la Peniela” akase

ma

Mathew na kulishika kasha lile mkononi akalitazama

kwa

makini na kuyakumbuka maneno ya John Mwaulaya

aliyomwambia siku alipomuita hospitali

“ kwa jasho na damu hakikisha unamlinda

Peniela.Hakikisha hadhuriki.Licha ya uzuri wa lakin

i ni mtu

wa pekee kabisa na thamani yake ni kubwa sana.Usiac

he

hatari yoyote imkaribie.Ikifika hatua ambayo utalaz

imika

kutoa uhai wa mtu kwa ajili ya kulinda Peniela usis

ite

kufanya hivyo tafadhali kwani Peniela is so special

,is

unique.I know I’m going to die very soon kwa hiyo n

ikifa

hakikisha unamfikisha Peniela mahala nilipokueleza

na

huko ataanza safari yake ya kuelekea katika maisha

mapya.Kasha nililompa alihifadhi ni la muhimu mno n

a

hakikisha amelifungua mbele yako.Anatakiwa ajifaham

u

yeye ni nani.Unatakiwa umfahamu yeye ni nani na uf

anye

yale yote niliyokuelekeza uyafanye”

“ Mathew unawaza nini? Anitha akamstua Mathew

toka mawazoni

“ Ninawaza umuhimu wa hili kasha kwa

Peniela.Alitakiwa awepo hapa wakati tunalifungua”

“ usiogope kulifungua Mathew.Pamoja na umuhimu

wake lakini ametupa ruhusa ya kulifungua” akasema

Anitha.Mathew akauchukua ufunguo waliopewa na askof

u

Edmund Dawson akauchomeka katika lile boksi lakini

akasita

kufungua

****************

Rais mstaafu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania

Deus Mkozumi alishindwa kuizuia furaha yake baada y

a

kumuona mwanae Lucia Mkozumi aliyewasili na ndege

maalum akitokewa nchini Afrika ya kusini

“ Welcome home my princess” akasema Deus kwa

furaha na kumkumbatia mwanae

“ Hello my president,you are so amazing.We’re

getting old but you are getting young” akatania Luc

ia na wote

wakacheka.Walinzi wawili wa Deus Mkozumi wakabeba

mabegi ya Lucia na kuyapakia garini safari ya kuele

kea

nyumbani kwa Deus Mkozumi ikaanza

“ Nimefurahi sana nimekuona tena Lucia.Karibu sana

nyumbani” akasema Dr Joshua wakiwa garini kueleka

nyumbani.Mida hiyo ilipata saa tisa za alasiri

“ Hata mimi nimefurahi sana nimekuona tena baba”

akasema Lucia

“ Mbona umekuja peke yako? Mkwe wangu na

wajukuu wako wapi? Akauliza Deus

“ Ningependa sana kuongozana nao lakini hii safari

imekuja kwa dharura,sikuwa nimetegemea kama ningefi

ka

hadi nyumbani.Tutapanga safari nyingine nitakuja na

familia

yangu yote utawaona.” Akasema Lucia na safari ikaen

delea

hadi walipofika katika makazi ya Deus .Tayari chaku

la

kilikwisha andaliwa Deus akajumuika na Lucia mezani

wakapata chakula na baada ya chakula wakaenda kuket

i

katika bwawa la kuogelea kwa ajili ya maongezi

“ Lucia umenistua kidogo kwa ujio wako wa

ghafla,kuna dharura gani? Akauliza Deus

“ Ni kweli baba hii imekuwa ni safari ya dharura k

ama

nilivyokufahamisha .Kuna suala Fulani limenileta”

“ jambo gani hilo? Kuna tatizo lolote? Akauliza De

us

“ hakuna tatizo baba,suala lililonileta nyumbani k

wa

dharura ni suala jema na hata utakapolisikia naamin

i

utafurahi”

“ Ni jamo gani hilo? Nina hamu ya kulifahamu”

“ Utalifahamu tu baba usiwe na hofu.Naomba nipe

muda kidogo niweke sawa baadhi ya mambo halafu

nitakufahamisha..Kama si usiku wa leo basi kesho asu

buhi.By

the way how’s mom?

“ I don’t know.I think she’s fine” akajibu Deus

“ You think? That means you guys still don’t talk

to

each other? Akauliza Lucia

“ We don’t talk” akajibu Deus

“ Nilipata taarifa ya tukio lililompata mama.Nani

alimfanyia jambo lile? Waliofanya vile wamekamatwa

?

“ swali lako ni gumu kwangu kulijibu kwa sababu

hata mimi nimeipata taarifa hiyo katika vyombo vya

habari

na hakuwahi hata kunipigia simu kunieleza chochote

kwa

hiyo sifahamu kwa undani nini kilitokea ila ninach

ofahamu

mimi yawezekana wakawa ni washindani wake wa kisias

a na

hasa baada ya kuibuka kwa tetesi kuwa ana mpango wa

kuwania urais.Hizo ndizo athari za kuingia katika s

iasa kichwa

kichwa .Angekuwa na busara angenifuata na kuniomba

ushauri ningemuelekeza nini cha kufanya na hata seh

emu za

kupita lakini hakufanya hivyo.To her I don’t exist

“ akasema

Deus

“ Dady kuna jambo nimekuwa nalifikiria kwa muda

mrefu lakini leo nataka nikuulize” akasema Lucia

“ Uliza Lucia ni jambo gani hilo?

“ Ninyi kama wazazi wetu mmetulea k wa upendo

mkubwa hadi tumekuwa watu wazima .From the bottom

of

my heart I’m proud of you guys.Hata siku moja hatuk

uwahi

kuona au kusikia kwamba kuna mtafaruku kati yenu ha

di pale

tuliposikia kwamba mmetengana.What exactly happened

to

make you guys hate each other like this? Akauliza L

ucia

Dr Joshua akatabasamu na kusema

“ Ulichokiona kati yangu na mama yako ni mfano wa

namna wazazi wanatakiwa waonekane mbele ya watoto w

ao

.Hata kama ndani ya ndoa kuna mifarakano mikubwa

hampaswi kuionyesha kwa watoto.Pamoja na hayo lakin

i

ukweli ni kwamba we were just pretending.We were ne

ver

happy.Mama yako ndiye aliyesabisha hali hii ikatoke

a.She

was not trustfull.She cheated on me “

“ She cheated?? Lucia akauliza kwa mshangao

“ Ndiyo.Mama yako alikuwa mahusiano na wanaume

wengine”

“ Wanaume? Una maana zaidi ya mwanaume

mmoja?

“ Ndiyo.Ni zaidi ya mwanaume mmoja kwa wale

ninaowafahamu”

“ Oh my God.How come you didn’t tell us?

“ I didn’t want you to hate your mother that’s why

I

didn’t tell you anything”

“ Dah ! sikutegemea kabisa kusikia jambo

ulilonieleza.Nimestuka sana.Sikuwahi kuhisi kama ma

ma

anaweza akafanya jambo baya kama hilo.Anyway dady

tutaongea zaidi baadae,right now I need to go meet

someone.Can I use your car? Akauliza Lucia

“ Hapa ni nyumbani kwako my princess,kila kilichom

o

humu ni cha kwako kwa hiyo chagua gari

unalolipenda.Utahitaji dereva?

“ Ahsante baba nitaendesha mwenyewe.” Akasema

Lucia na kuagana na baba yake akaingia chumbani kuj

iandaa

na baada ya nusu saa akaingia katika mojawapo ya ma

gari ya

baba yake akaondoka

“Nimeongea na baba huku mwili

unanitetemeka.Nimetia saini ya kifo chake.He’s goin

g to

die.Inaniuma sana lakini sina namna nyingine ya kuf

anya.I’ve

turn myself into a devil so I need to have a heart

of steel.Kwa

hatua niliyofikia sasa hakuna kurudi nyuma tena hat

a kama

nitakumbana na masahibu ya kutisha na kukatisha

tamaa.Nitaumia kwa muda mfupi lakini matunda yake n

i

makubwa .I want to be the first female president of

the

united republic of Tanzania.Urais hauwezi kuja hivi

hivi

lazima kuna gharama zake “ akawaza Lucia

****************

Kwa sekunde kadhaa bado Mathew aliendelea

kulishikilia lile kasha akisita kulifungua

“ Openi it Mathew.Kama unaogopa nipe mimi

nilifungue” akasema Anitha.Mathew akamtazama na hal

afu

akauzungusha ufunguo kasha likafunguka.Akaitoa baha

sha ya

kwanza ya khaki akaifungua na kukuta kuna pasi mpy

a ya

kusafiria yenye jila na Peniela Mwaulaya.Mathew aka

ipitia

pasi ile halafu akampa Anitha naye aipitie halafu a

kachukua

bahasha ya pili.Ndani ya bahasha ya pili kulikuwa n

a hati ya

umiliki wa eneo la ekari mia mbili pamoja na nyumba

vyote

vikiwa na jina la Peniela Mwaulaya.Ndani ya bahasha

hiyo pia

kulikuwa na picha kadhaa za nyumba ya ghorofa

tano.Lilikuwa ni jumba kubwa la kifahari.Mathew

akatabasamu na kumpatia Anitha naye avipitie vitu v

ile

,akachukua bahasha ya tatu akaifungua.Ndani ya hii

bahasha

kulikuwa na nyaraka kadhaa za akaunti ya benki iliy

okuwa na

jina la Peniela Mwaulaya .Nyaraka zile zilionyesha

kwamba

kiasi cha pesa kilichomo katika akaunti ile ni shil

ingi bilioni

mbili na themanini na nane.Kulikuwa pia na nyaraka

nyingine

zilizoonyesha umiliki mkubwa wa hisa katika makampu

ni

makubwa na nyaraka zote hizo zilikuwa katika jina l

a Peniela

Mwaulaya.

“ Wow ! What a great fortune” akasema Mathew

huku akitabasamu na kumpatia Anitha nyaraka zile na

ye

azipitie.Mathew akachukua bahasha ya nne akaifungua

.Ndani yake kulikuwa na picha zipatazo saba za mwan

amke

mrembo na nyingine mbili za mwanaume aliyeonekana

kujiweza sana kifedha akiwa amesimama nje ya gari l

a

kifahari.Nyuma ya bahasha ile kuliandikwa wazazi wa

Peniela.Mathew akaitazama moja ya picha zile za mwa

namke

akitabasamu

“ She looks poor but very pretty.Peniela amechukua

uzuri wa mama yake” akasema Mathew na kumpatia Anit

ha

zile picha.Akafungua bahasha ya mwisho ya tano amb

ayo

ndani yake kulikuwa na msalaba wa dhahabu.Akautazam

a

msalaba ule wa thamani kubwa kwa makini

“ Sitaki kuamini eti John Mwaulaya alikuwa mcha

Mungu kiasi cha kumrithisha Peniela msalaba huu.Laz

ima

msalaba huu un...” akawaza Mathew na kutabasamukidogo

baada ya kugundua kitu fulani.Upande wa chini wa ul

e

msalaba kulikuwa na mstari mdogo ,akavuta sehemu ya

chini

ikachomoka katika msalaba kikatoka kifaa cha kuhifa

dhia

kumbu kumbu

“ Flash disk!! Akasema Mathew huku akitabasamu

“ John Mwaulaya alikuwa na maana gani kumuachia

Peniela flash disc ? akauliza Anitha.Lazima kuna ja

mbo kubwa

ndani yake ,ngoja tuangalie tujue kuna nini ndani y

ake”

akasema Mathew na kuichomeka Flash disc ile katika

kompyuta na baada ya sekunde kadhaa ikatokea video

na

mtu aliyeonekana katika video ile alikuwa ni John M

waulaya.

“ Hallo Peniela “

ndivyo alivyoanza John Mwaulaya

katika video ile

“ Natumai wakati unaitazama video hii sina hakika

kama utakuwa katika majonzi au furaha kwani tayari

nitakuwa nimefariki dunia”

akanyamaza kidogo halafu

akaelekea

“ Peniela nina mengi sana ya kukueleza lakini

kutokana na hali yangu kudhofika sana nitakueleza m

ambo

machache tu ya msingi sana”

akanyamaza tena kidogo

halafu akaendelea.

“ Nitaanza mbali kidogo kuhusu historia ya maisha

yako.Umekulia katika kituo cha kulelea watoto yatim

a.Ni

kweli wewe ni yatima kwani huna wazazi lakini hiyo

haikuwa sababu ya kukufanya uishi maisha ya

shida.Nilikuwa nawe muda wote nilichukua nafasi ya

wazazi wako na kuhakikisha unapata kila kitu ambach

o

mtoto anakihitaji toka kwa mzazi wake isipokuwa

hakuwahi kuniona.Sikuwahi kuwa na mtoto katika mais

ha

yangu kwa hiyo wewe ndiye uliyekuwa kama mwanangu

wa pekee”

akanyamaza akavuta pumzi ndefu na kuendelea




.Utakapoamua kuja kutembea Tanzania utaishi katika

nyumba hiyo.”

John Mwaulaya akanyamaza na kufumba

macho alionekana kuwa katika maumivu .Baada ya muda

akafumbua macho na kuendelea

“ Baada ya mambo hayo ya utangulizi sasa nataka

nikueleze mambo mawili makubwa.Jambo la kwanza ili

azma yangu ya kutaka kuyabadili maisha yako itimie

lazima

utoke Team SC41.Unapoingia Team SC41 ni sawa na mtu

aliyefunga pingu za maisha kwani unakula kiapo cha

utii

wa maisha kwa hiyo si rahisi kutoka.Bila kutoka Te

am SC41

you’ll never live a normal life and you’ll never be

happy.Kwa

mantiki hiyo basi kuna jambo moja tu ambalo unapasw

a

kulifanya”

John akasita kidogo kisha akasema

“ You have to take down team SC41.You have to

make it disappear.Hii si kazi nyepesi lakini kuna m

tu

ambaye nitakuelekeza yeye atakusaidia.I’ve been wit

h

team SC41 my whole life and I’ve achieved nothing r

ather

than killing innocent people for the benefit of uni

ted states

of America.I don’t have a family and I’m dying alon

e.Ni

wewe pekee ambaye nakuheshimu kama familia yangu kw

a

hiyo nakuomba ufuate maelekezo yangu na uhakikishe

team SC41 inafutika kabisa katika uso wa dunia”

akanyamaza tena na baada ya muda akaendelea

“ jambo la pili ni kuhusu operesheni inayoendelea

ndani ya Team SC41 ya kuipata package toka kwa rais

Dr

Joshua.Sina hakika kama unafahamu kilichomo ndani y

a

package hiyo ni kitu gani na hakuna ndani ya Team S

C41

anayefahamu zaidi yangu mimi na viongozi wa juu .Kw

a

ufupi tu ni kwamba kilichomo ndani ya hiyo package

ni

kirusi hatari sana cha maangamizi kuwahi kutegenezw

a na

mwanadamu.Kirusi hiki kilichopewa jina la Aby

kilitengenezwa na mwanasayansi mmoja anaitwa Chang

ling na lengo lake lilikuwa ni kuwauzia serikali ya

Korea

kaskazini ili wakitumie katika kuishambulia Marekan

i.Kwa

bahati nzuri mimi ndiye niliyetumwa na aliyekuwa ki

ongozi

wa Team SC41 wakati huo kuhakikisha kirusi hicho ha

kitui

katika mikono ya serikali ya Korea kaskazini.Nilifa

nikisha

kazi hiyo nikakipata kirusi Aby pamoja na Chang lin

g na

kuja naye Tanzania.Katika operesheni ya kukichukua

kirusi

hicho toka kwa Chang Ling ilinilazimu kufanya jambo

kubwa nalo ni kuipoteza ndege aliyopanda Chang pam

oja

na abiria wake wote.Namna gani ndege hiyo ilipotea

na

kwa nini hadi leo hii hakuna hata bati lake liilowa

hi

kuonekaa hiyo ni siri yangu and I’ll go with it to

my grave ila

ninachotaka kukuhakikishia ni kwamba Chang Ling

mtengenezaji wa kirusi Aby alikuwa hai na alikuwa a

naishi

hapa Tanzania na sehemu aliyokuwa anaishi ni watu w

awili

tu ambao tulikuwa tunaifahamu mimi na huyo mshirika

wangu nitakayekuelekeza kwake.Tulimficha Chang kwan

i

tayari alikuwa ni mtu hatari kwa dunia na endapo

angeendelea kuwa huru angeweza kutengeneza kirusi

kingine hatari.Kwa bahati mbaya mwaka jana Chang

alifariki dunia,kifo cha mwanasayansi huyu ni ahuen

i kwa

dunia kwani hakuna tena tishio la kutokea kwa maang

amizi

yanayotokana na virusi vinavyotengenezwa na

binadamu.Pamoja na kifo ha Chang lakini bado kuna h

atari

kubwa inayoikabili dunia nayo ni kirusi Aby.Kirusi

hiki bado

kinaweza kuleta maangamizi makubwa sana endapo

kitaachwa kisambae .Aby ni kirusi kinachosambaa kwa

njia

ya hewa na kinathiri mfumo wa upumuaji na ndani ya

muda mfupi idadi kubwa ya watu wanaweza kupata

maambukizi yanayosababishwa na kirusi hiki na kupot

eza

maisha ndani ya kipindi kifupi.Inakadiriwa toka mtu

apate

kirusi Aby huchukua dakika kumi na tano tu kuanza

kuumwa na kama hatapatiwa matibabu basi ndani ya

dakika thelathini mgonjwa hupoteza maisha.Nadhani

unaweza pata picha maangamizi makubwa yanayoweza

kutokea endapo kirusi hiki kitaachwa kisambae”

John

akanyamaza akavuta pumzi ndefu na kusema

“ Taarifa za kuwepo kwa kirusi hiki ziliifikia

mitandao ya kigaidi pamoja na makampuni makubwa ya

kutengeneza dawa za binadamu ambao wamekuwa

wanakitafuta kirusi hiki kwa gharama kubwa ili waki

tumia

kwa namna wanayotaka wao.Mitandao ya Kigaidi

wanataka kukitumia kwa kuleta maangamizi makubwa

kwa nchi mahasimu wao hususan Marekani na washirika

wake wakati makampuni makubwa ya kutengeneza dawa

wanakihitaji ili watengeneze dawa ya ugonjwa

unaosababishwa na kirusi hicho na baada ya hapo

watakiachia kisambae na kisha watauza dawa hiyo kwa

fedha nyingi sana.Rais wa sasa Dr Joshua ameingiwa

na

tamaa ya fedha na anataka kukiuza kirusi Aby kwa ta

jiri

moja wa Saudi Arabia.Wakati huo huo Team SC41 nao

wamepewa maelekezo na wakuu wao kuhakikisha

wanakipata kirusi hicho kwa namna yoyote wawezayo.S

iri

iliyopo nyuma ya Team SC41 kukitaka kirusi hicho ni

kwamba kuna viongozi wawili tu wa juu wa Team SC41

ambao wanafahamu kilichomo ndani ya hilo sanduku

mnalolitafuta ambalo limepewa jina la package.Viong

ozi

hawa wana hisa katika kampuni moja kubwa

inayojishughulisha na utafutaji wa mafuta na gesi k

atika

kina kirefu cha bahari hapa Tanzania .Katika utafit

i wao

waligundua uwepo wa madini adimu sana chini ya baha

ri

ambayo hayapatikani sehemu nyingine duniani hivyo b

asi

lengo lao ni kukiachia kirusi Aby hapa Tanzania na

wakati

serikali na raia watakapoelekeza macho na nguvu zot

e

katika kupambana na kirusi hiki hatari wao watakuwa

na

kazi moja tu kuchukua madini na kuyatorosha nchini

kwao.Mpaka pale watanzania watakapokuja kustuka

tayari kiasi kikubwa cha madini kitakuwa

kimechukuliwa.Nakuhakikishia Peniela endapo Team Sc

41

waatakipata kirusi Aby na kukiachia nchini Tanzania

kila

nyumba itakuwa na msiba.Kirusi hiki kitasambaa pia

katika

nchi za jirani baadae afrika nzima na mwishowe

duniani.Tanzania and the whole world will never be

the

same again.Kwa hiyo Peniela wewe ambaye uko katika

mstari wa mbele kukitafuta kirusi hii fahamu una ka

zi

kubwa ya kufanya kuhakikisha kwamba kirusi Aby haki

toki

nje ya mipaka ya Tanzania na wala kutua mikononi mw

a

Team SC41.Kwa kuwa Dr Joshua ameonyesha ni mtu

mwenye tamaa ya fedha na hajali chochote kuhusu ath

ari

zinazoweza kutokea nakuomba hakikisha kirusi Aby

kinaondoka ikulu kabla hajafanikiwa kukiuza na kihi

fadhwe

sehemu salama ambako mikono miovu haiwezi

kukifikia.Save Tanzania and save the world”

akasema John

akafumba macho kwa sekunde kadhaa halafu akasema

“ Alipokitengeneza kirusi hiki,Chang Ling

alitengeneza pia na kinga yake kwani alifahamu madh

ara

yanayoweza kusababishwa na kirusi hicho.Nilipokichu

kua

kirusi hicho toka kwake niliichukua pia kinga aliyo

kuwa

ameitengeneza kwa ajili yake.Baada ya kuipata kinga

hiyo

niliiingiza yote mwilini mwako.Kwa hiyo Peniela we

we ni

binadamu pekee ambaye una kinga dhidi ya kirusi Aby

.Hata

kama itatokea dunia nzima ikaangamizwa na kirusi

Aby,you’ll be the only one left .Nadhani mpaka hapa

tayari

umefahamu umuhimu na thamani yako.Kwa sasa wewe ni

binadamu mwenye thamani kubwa.Damu yako ambayo

tayari ina kinga inaweza kuokoa mamilioni ya

watu.Mamilioni ya dawa zinaweza kutengenezwa

kutokana na kinga iliyopandikizwa mwilini mwako na

katika hili utatengeneza matrilioni na matrilioni y

a

fedha.Utakubaliana nami kuwa damu yako ina thami

kubwa kuliko binadamu yeyote anayeishi katika ulimw

engu

huu wa sasa.Thamani yako ni zaidi ya kisima cha maf

uta na

ndiyo maana nimechukua kila hatua ya kuhakikisha

kwamba unakuwa salama na maisha yako yanabadilika.”

Akanyamaza kidogo halafu akasema

“ Baada ya maelezo hayo marefu nataka nirudie

tena kukukumbusha kuimaliza team SC41.Kama

nilivyokueleza awali kuwa kuiangusha Team SC41 si k

azi

nyepesi lakini kuna mtu mmoja ambaye anaweza

akakusadia kuimaliza .Baada ya video hii kumalizika

chukua

simu na upige namba hizi 005460018.Baada ya kupiga

namba hiyo utaombwa utaje namba ya utambulisho na

namba utakayotumia kama utambulishoi wako ni

501.Utakapotaja namba yako ya utambulisho utawasili

ana

moja kwa moja na mtu huyo.Utakapoonana naye mtajie

namba hiyo na atakuelekeza kitu cha kufanya.Fuata

maelekezo yake na utafanikiwa”

akanyamaza kidogo na

kuendelea.

“ Peniela nakupenda sana.Katika maisha yangu

yote wewe ndiye ndugu yangu pekee ninayekutambua n

a

ndiyo maana nimejitahidi kufanya kila linalowezeka

na

kuhakikisha maisha yako yanabadilika baada ya mimi

kuondoka.Natumai nimejitahidi kufanya haya yote

niliyokueleza kwa ajli yako na nina hakika hata kam

a nikifa

leo nitakuwa nimekuacha mahala pazuri.Zingatia hayo

yote

niliyokuelekeza na maisha yako yatakuwa na furaha .

Either

I’m going to hell or else,wherever I’ll be I’ll be

happy for

you.Now pick up the damn phone and dial the number.

I love

you”

Video ile ikafika mwisho

“ I need water !!!!.. akasema Mathew akainuka na

kuelekea jikoni huku jasho likimtiririka usoni.Akaf

ungua friji

akachukua chupa ya maji na kunywa yote

“ Dah ! Haya mambo ni mazito mno .Kweli John

Mwaulaya alimpenda mno Peniela na ndiyo maana

amemfanyia mambo haya makubwa.Hii ndiyo sababu

aliniambia kwamba nimlinde Peniela kama mboni ya ji

cho

langu kumbe aliifahamu thamani yake.” Akawaza Mathe

w

“ Mathew mwili wote unanisisimka kwa mambo haya

niliyoyasikia kuhusu Peniela” akasema Anitha

“ Ni kweli Anitha,ni mambo mazito,John Mwaulaya

ameitimiza ndoto yake ya kuyabadili maisha ya Penie

la na

sasa Peniela ni mtu mwenye thamani kubwa.Tuna jukum

u la

kuhakikisha anakuwa salama kama alivyosema John

Mwaulaya wa jasho na damu nihakikishe Peniela anaku

wa

salama na ndivyo tutakavyofanya.” Akasema Mathew

“ Kwa hiyo nini kinafuata baada ya kuyafahamu

mambo haya makubwa? Tunamtoa Peniela kule kwa Dr

Joshua? Baada ya kufahamu umuhimu wake binafsi sion

i haja

ya kuendelea kuhatarisha usalama wake kwa kumuacha

aendelee kukaa ndani ya jumba la Dr Joshua.Hatujui

Dr

Joshua anapanga kitu gani kwake.” Akasema Anitha

“ Unayoyasema Anitha ni ya kweli kabisa na

yanawezekana lakini hatuwezi kumuondoa Peniela nda

ni ya

jumba lile kwa sasa.Ukumbuke Dr Joshua usiku wa leo

anakwenda kuonana na wageni wake wa muhimu na ninah

isi

lazima kuna jambo la siri wanataka kulizungumza na

ndiyo

maana amechagua wakutane pale.Peniela anatakiwa awe

po

mle ndani usiku wa leo ili aweze kuchunguza na kufa

hamu

watu hao ni akina nani na wanazungumza nini.Baada y

a hapo

tutajua nini cha kufanya .Anitha ,nafsi yangu inani

pa uhakika

mkubwa kwamba mkutano huo wa leo usiku kati ya Dr

Joshua na hao wageni wake una jambo kubwa ambalo

tunatakiwa tulifahamu”

“ Sawa Mathew lakini unasemaje kuhusiana na hiki

kilichomo ndani ya hili kasha?Kuna haja ya kumjulis

ha

Peniela kwa sasa kile kilichomo humu?

“ Nadhani hakuna haja ya kumjulisha kwa

haraka.Tutamjulisha kila kitu baada ya kuhakikisha

kirusi Aby

kipo mikononi mwetu” akasema Mathew

“ Kwa hiyo nini kinafuata?

“ Chukua simu ,tumpigia huyu mtu ambaye John

amemuelekeza Peniela.Utajifanya wewe ndiye Peniela.

akasema Mathew .Anitha akaziandika namba zile za si

mu na

kupiga.Simu ikaita mara nne halafu ikasikika sauti

“Karibu katika simu ya Deusdedith Mkozumi.Ili

kuongea na mhusika moja kwa moja bonyeza moja kisha

ingiza namba moja halafu ingiza namba yako ya

utambulisho...”

“ Deus Mkozumi?? Akauliza Mathew kwa mshangao

mkubwa

“ Kata hiyo simu Anitha.” Akasema Mathew .Walibaki

wanatazamana wote walikuwa katika mshangao

“ Inashangaza sana..John Mwaulaya na Deus

Mkozumi walikuwa washirika? Akauliza Anitha

“ Kwa upande wangu siwezi kushangaa kwani John

Mwaulaya alikuwa ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa

kushawishi.Alifanikiwa kujenga ushirika na watu wen

gi

akiwemo Deus Mkozumi!! Akasema Mathew

“ kwa hiyo tunafanya nini? akauliza Anitha

“ Kwa kuwa tumefahamu mtu aliyemsema John

kuwa ni Deus Mkozumi basi lazima tumsubiri Peniela

kwani

tayari tulikuwa na mipango ya kuonana naye bila kuju

a kuwa

kumbe ni mtu sahihi kwetu.Nina hakika siku ya kesh

o lazima

Peniela atafanikiwa kuonana na Deus na mipango yetu

yote

lazima itakwenda vizuri.Tunachotakiwa kukifanya sas

a ni

baadae kufanya mahojiano na Kigomba ili atueleze n

i kwa

namna gani tunaweza kukipata kirusi Aby...

********************

Tayari jua limeanza kupoteza nuru ishara kwamba si

muda mrefu sana kiza kitachukua nafasi .Katika nyum

ba

wanayoishi akina Mathew hali ilikuwa ni ya ukimya

mkubwa.Ni Mathew pekee aliyekuwa akizunguka zunguka

kuhakiki usalama wa hapo nyumbani kwani hakumuamini

moja kwa moja Dr Kigomba.Baada ya kuhakiki usalama

,akarejea ndani na kwenda kugonga katika chumba cha

Anitha

“ Anitha nadhani ni wakati sasa wa kumuhoji

Kigomba,amekwisha pumzika vya kutosha.” Akasema

Mathew wakaongozana wote hadi katika chumba alimo D

r

Kigomba wakamgongea mlango akafungua .Alikuwa kifua

wazi akitiririkwa na jasho.Mathew akamsogelea akali

tazama

jeraha

“ Unajisikiaje sasa? Akauliza

“ kwa sasa najisikia vizuri ila kila ninapokumbuka

tukio lile nahisi kama mapigo yangu ya moyo yanabad

ilika na

kuanza kwenda mbio ndiyo maana jasho jingi




zetu.Watu ambao mnataka kuwauzia kirusi hicho hatun

a

uhakika wa lengo lao lakini ninahisi wanataka kukit

umia kwa

nia mbaya.Nakuhakikishia Kigomba endapo kirusi hiki

kitaachwa hewani hapa Tanzania au nchi nyingine yey

ote it’ll

be the end of us all.Do you understand me?? Akauliz

a

Mathew kwa ukali

“ Yes I do!! Akasema kigomba.Mathew akamtazama

tena kwa makini halafu akasema

“ kwa hiyo Kigomba sisi utuonao hapa hatuna tamaa

ya fedha bali lengo letu ni kutaka kukipata kirusi

hicho ili

tuokoe maisha ya ndugu zetu kwa kuhakikisha kirusi

hicho

kinahifadhiwa sehemu

salama.Kigomba bado hatujachelewa,tunao muda wa kuo

koa

maisha ya ndugu zetu ,tafadhali tueleze kila unacho

kifahamu

kuhusiana na kirusi hiki ,kuanzia mahala kilipo na

kwa namna

gani tunaweza kukipata” akasema Mathew.Kigomba

akainama chini kwa takribani dakika mbili halafu ak

ainua

kichwa na kusema

“ Mathew nimekusikia na kukuelewa vizuri.Ahsante

kwa darasa zuri.Maneno yako haya machache yamenifan

ya

nijione ni namna gani nilivyo mjinga kwa kuweka zai

di pesa

mbele kuliko uhai wa mwanadamu” Akanyamaza kidogo

halafu akaendelea

“ kama nilivyowaeleza awali kwamba Dr Joshua

alinikabidhi mimi kazi hiyo ya kushughulikia mchaka

to wa

kukiuza kirusi Aby kwa mtu anaitwa Hussein.Niliende

sha

mchakato huo hadi hatua ya ulipwaji wa fedha ambazo

ziliwekwa katika akaunti ya siri ya Dr Joshua.Hatua

iliyokuwa

inafuata baada ya kulipwa fedha ni makabidhano ya k

irusi

hicho ambayo yalitakiwa yafanyike hapa Dar es salaa

m lakini

mipango yote ikasimama baada ya kutokea kwa kifo ch

a

Flaviana.Wakati tukisubiri masuala ya msiba yamaliz

ike

ghafla akajitokeza Elibariki na akamueleza Dr Joshu

a mambo

yote kuhusiana na Peniela na mipango yenu yote

mnayoipanga ya kukipata kirusi Aby na hapo ndipo ki

la kitu

kikavurugika.Dr Joshua akanitoa katika mchakato na

akaanza

kumtumia mtu mmoja anaitwa Abel Mkokasule.Huyu ni

mkuu wa idara ya siri ya usalama wa ndani wa taifa

ambayo

iko chini ya idara ya usalama wa taifa lakini kiten

go hiki

kilianzishwa maalum kwa kufanya kazi za siri wanazo

amriwa

na mkuu wa nchi.Dr Joshua alimuhamisha Hussein kwa

siri

toka katika hoteli aliyokuwa amefikia bila ya kunit

aarifu,pili

akahamisha fedha zote za malipo ya kirusi pia bila

kunitaarifu.Alifanya hivyo ili kuhakikisha kuwa seh

emu

iliyobaki ya mchakato anaimaliza mwenyewe bila

kunishirikisha na hivyo kubaki na fedha zote

mwenyewe.Baada ya kulitambua hilo nilianza mchakato

wa

chini chini wa kupambana naye na kuhakikisha ninak

ipata

kirusi hicho .Nilionana na marehemu Jacob Kateka al

iyekuwa

mkuu wa idara ya usalama wa taifa na kwa pamoja

tukakubaliana kushirikiana ili kuhakikisha kwamba t

unakipata

kirusi hicho.Sikujua kumbe Dr Joshua kwa kumtumia A

bel

Mkokasule alikuwa ananifuatilia nyendo zangu na aka

hisi

lazima mimi na Jacob tuna mpango mchafu dhidi yake.

Jacob

alipata ajali mbaya ya gari akafariki .Peniela ndiy

e

aliyenifumbua macho kwamba alimsikia Dr Joshua

akizungumza na Abel simuni kuhusu mimi na Jacob.Kif

o cha

Jacob hakikunikatisha tamaa nikalazimika kutafuta n

amna

nyngine ya kuendeleza mkakati wangu wa kukipata kir

usi

hivyo nikamfuata jaji Elibariki,nikaongea naye na

nikamueleza ukweli kua Dr Joshua hataweza kumfaniki

shia

yale ambayo alimuahidi kwani tayari amekwisha lishw

a

maneno na Peniela .Jaji Elibariki akaghafirika na k

unitaka

nimpeleke mahala aliko Peniela ili akamfundishe ada

bu kwa

kumtungia uongo ule mkubwa.Mara tu tulipotoka nje

wakatokea watu wenye silaha na kuanza kutushambulia

.Jaji

Elibariki ambaye alikuwa ametangulia mbele alipigwa

risasi

nyingi na alifariki kabla hajafikishwa hospitali.”

Kigomba

akatulia akawatazama akina Mathew halafu akaendelea

“ Kwa tukio la leo ni wazi Dr Joshua alikuwa

amedhamiria kutuua sote mimi na jaji Elibariki kwan

i

anafahamu kabisa mimi ni mtu hatari kwake kwa sabab

u

ninayafahamu mambo yake mengi hivyo ili aweze kuwa

na

amani ni lazima aniondoe duniani.Asubuhi ya leo ame

kwenda

kuonana na Hussein ambaye ndiye mnunuzi wa kirusi A

by na

sifahamu waliongea kitu gani lakini naamini kikubwa

kilichompeleka Dr Joshua kwa Hussein ni kuhusiana n

a kirusi

Aby.” Akasema Dr Kigomba

“ Huhisi labda Dr Joshua alikwenda kumkabidhi

Hussein kirusi Aby? Akauliza Mathew

“ Sina hakika sana katika hilo lakini

inawezekana.Kuna ulazima wa kufanya uchunguzi wa ha

raka

ili kubaini kama ni kweli alikwenda kumpa Hussein k

irusi ama

vipi.Lakini kuna kitu kingine ambacho kinanipa mash

aka

kidogo.Jana wakati shughuli za mazishi ya Flaviana

zikiendelea ,nilimpokea mgeni mmoja anaitwa Donald

anatokea Marekani.Huyu mgeni alikuwa anahitaji kuon

ana

na Dr Joshua na kwa kuwa asigeweza kuonana naye kwa

wakati ule Dr Joshua akaelekeza kwamba wakutane kat

ika

nyumba yake ya kule ufukweni.Hii ilinishangaza kido

go kwani

si kawaida yake kukutana na wageni kwa siri namna

ile.Nilifaya maandalizi kama alivyonielekeza na usi

ku wa jana

walionana.Dr Joshua hakutaka kabisa niwepo wakati

anafanya maongezi na Donald akanitaka niende nyumb

ani

kupumzika.Leo nilipokutana naye asubuhi kuna jambo

alilizungumza na sikulitilia maanani sana ila sasa

ninaanza

kuona umuhimu wake.Aliniambia kwamba anataka kusiti

sha

ile biashara yetu na Hussein na kwamba nisijali kwa

ni kuna

mpango mwingine atanishirikisha na tutatengeneza pe

sa

nyingi sana kuliko hata zile tulizolipwa na Hussein

.Alinitaka

vile vile nifanye maandalizi nyumbani kwake kwani u

siku wa

leo tena atakutana na wageni wengine.Alinielekeza n

ifanye

maandalizi ya chakula cha usiku cha watu wanne hii

ina

maana kuna watu watatu atakutana nao usiku wa leo.N

ahisi

kuna jambo linaendelea kati yake na huyo Donald.Nin

ahisi

yawezekana labda anataka kusitisha biashara na Huss

ein ili

akiuze kirusi kwa wamarekani kwa pesa nyingi zaidi

ya zile za

Hussein.Sina uhakika sana na hilo ila kuna ulazima

wa

kufanya uchunguzi wa haraka kubaini kinachoendelea

kati ya

Dr Joshua na huyo Donald.Lazima kuna jambo kubwa

linaendelea kati yao” akasisitiza Kigomba

“ Ahsante sana kwa taarifa hiyo KigombaTayari

tumekwisha anza kulifanyia kazi suala hilo na baada

e leo

tutafahamu kila kitu watakachokiongea.Kitu pekee am

bacho

nahitaji kujua toka kwako ni wapi ndani ya ikulu ki

mefichwa

kirusi Aby?Tunawezaje kukipata toka mahala kilipofi

chwa?

Akauliza Mathew.Uso wa Kigomba ukaonekana kuloa jas

ho.

****************





ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog