Search This Blog

Monday 24 October 2022

KIMBIA, KIMBIA! [RUN NIGGER, RUN!] - 3

 

     







    Simulizi : Kimbia, Kimbia! [Run Nigger, Run!]

    Sehemu Ya Tatu (3)





    Pia tazamo lilinaswa mbele za matiti makubwa yenye kuvutia kiasi chake ambayo bado ilikuwa ni habari ya mabishano iwapo yalilala kiasi au la. Lakini hayakuwa mjadala; yalimridhisha.

    Macho yale yalijikuta yakirudi juu na kupeleka tazamo usoni na hivyo kuzikodolea kwa muda zile ‘dotcom’ ambazo zilikuwa zikichomoza na kupotea!

    Hapo alikubali, Lana alinyimwa kiasi!

    Kisha macho yale yalishuka zaidi, kwamba, hayo yakashuka na kupitiliza hadi kilipokuwa kitovu kizuri kilichobonyea kwa ndani; na chini yake kidogo, macho yaliona ‘chachandu’ kama nne tano hivi zilizokizunguka kiuno ambacho hakikuwa kinene sana.

    Pumzi zikampanda!

    Mpwito wa moyo ukacheza kasi zaidi!

    Safari haikuishia kiunoni, kwani hiyo iliendelea tena hadi iliposimamishwa kuburudishwa na muono wa uzuri wa mapaja yaliyoshiba na nyororo...

    Hughes alipagawa sana!

    Ilikuwa ‘rusha roho’ iliyovuma hasa!



    ‘Bado ni chombo! Mmh, marehemu alichagua!’ Hughes alijisemea, akameza fundo moja la mate kabla ya kujisemea moyoni, ‘ukiwa mroho usiwe mchoyo! Mama si mchoyo ni mroho…ndio maana hapa yupo kuachia!’

    Aliendelea kumtalii mkwewe huku sasa akigeuza tazamo lake na kulirudisha usoni kwake…mara alipatwa na mshangao kule kushuhudia matone ya machozi yakimtiririka mama mkwe!

    Hughes alisisimka zaidi na zaidi; na katika hali hiyo, alijikuta akiinua mikono yake na kuzishika shavu za mkwewe huku taratibu vidole gumba vikijipatia majukumu ya kujaribu kupangusa!

    Kwa kufanya hivyo, ndivyo ilikuwa kama alizidisha hali; kwani mama mkwe alizidi kumwaga machozi!

    Huku akizidi kumfuta, Hughes alianza kusema, na alifanya kwa kuachia lile tazamo lake, “yote nimeelewa, acha kulia.” Hughes aliendelea kusema, “natambua jambo lolote likitaka kujimaliza hakuna awezaye kuzuia. Kwani muda wake ukifika na hilo lisiwe limemalizwa, basi ni hakika hilo hujimaliza lenyewe bila kujali matokeo!”

    Bubujiko liliendelea.

    “Mama! Ukitakiwa kwenda chooni na ukaamua kugoma matokeo yake yatakuwa nini?”

    Mama mkwe bado alibubujikwa.

    “Hapa ni lazima choo kilichoandaliwa kipokee ili jambo lisijimalize vibaya, kwani haja ya mtu lazima imtoke mtu muda ufikapo na mahala popote bila kujali waonaji!” Hughes alisisitiza.

    “Hili ni jambo ninawajibika kulimaliza ili lisije kutuumiza huko mbele.”

    Macho ya mkwewe yalizidisha ulegevu mithili alikula kungu nyingi.

    “Pole sana mama!” Hughes alitamka tena huku bado vidole vyake vikiendelea na kazi ya kufuta machozi. Pia alikuwa akiuvuta uso wake taratibu.

    Mama mkwe alihema sana!



    Shavu la mkwe lilipokuwa sawia, Hughes alifanya!

    Kwamba, hapo alimbusu kiasi mama alipepesuka; hatahivyo, alimshika kabla ya kumuachia tena!

    Taratibu…aliuvuta uso wake tena hadi hatimaye walitazamana ingawaje mkwe alifumba macho huku bado akiendelea kutiririsha machozi!

    Hughes akafanya tena!

    Lakini safari hii alibusu mdomo!

    Alifululiza akipiga busu kwa kuachaacha bila kujali ndivyo halikadhalika aliruhusu kujilisha machozi ya mkwe huku mpulizo wa hewa kutoka puani ukithibitisha huyo alihema sana!

    Mdomo nao ukaanza kulegezwa taratibu huku ukijiachia hata uliachama kwamba Hughes alivuta hewa yake iliyothibitisha kingine, kwamba, hakika mkwe sio kwamba alijua kutunza mdomo; isipokuwa halikadhalika pia huo ulithibitisha ulilishwa vyenye kuachia harufu nzuri!

    Alifanya tena!

    Lakini kabla ya kuacha, safari hii alishtukia tayari ‘katumbukiziwa’ na hivyo kusababisha kuzaliwa kwa mwanzo wa kukwaruzana ndimi kwa kuchezeana!



    ***

    Mara walipoacha kupeana busu ndipo Hughes alifunua kinywa chake kwa kusema kwa sauti ya chini iliyojaa ulaini wa mahaba, “mama basi! Umeshinda vita!”

    “Umeshinda mama!” Alisema tena.

    Mkwe alimimina machozi maradufu zaidi kiasi Hughes alifikiri bado alikuwa akibembelezwa!

    Kumbe mama alilia vingine!

    Akilia raha ilimpokea!

    Akilia raha ilimkubali!

    Ndipo hata yeye alifungua kinywa chake katika kushukuru huku akidhihirisha machozi yake yalikuwa ni alama za furaha zake, kwani alisema yeye hulia alizwapo!

    “Hughes nataka nilie sana!” Mama mkwe alisema zaidi huku sasa akikivuta kichwa cha Hughes.

    Ndio, mkwe alirejea mchokozi na hivyo kufanya wote kuwepo ili kuchokozana kwakuwa mchokozwa alichokoza huku akichokozwa na akifurahi kuchokozwa!

    Hata mjadala wa kuchezeana ndimi ukarejeshwa upya!



    “Mwanangu, naahidi nitafanya niwezavyo ikiwa ndio shukurani zangu kwako kwa kunikubalia niondoke ndani ya maumivu haya niliyoishi nayo hata kabla ya kukupenda huku...Unajua tangu baba yako afariki hajapelekwa yeyote! Wewe ndiye wa kwanza, na labda wewe pia ndiye mwisho wa yote! Naamini utafurahia kila mlo utakaotengwa.” Mkwewe alisema kwa kuhemahema kitambo kifupi baada ya kazi za busu motomoto.

    Hughes hakutilia maanani maneno hayo, kwani aliyaona kama mwanzo wa uongo wowote; na wala hakuona sababu ya kupoteza muda kuyatafakari. Isipokuwa iliishia kwa kujisemea moyoni, ‘usimuamini demu akiwa hajavaa!’



    Mama mkwe alipovutwa na mikono imara ya Hughes, ndivyo naye alipeleka mkono wake mmoja hadi kule ambapo sasa haukuwekwa ulinzi wowote…

    “Mmh…ni kweli kumbe!” Mama mkwe alisema kwa kushtuka sana ingawaje bado mkono ulikuwepo hata kama huo ulijikuta ukigusa kwa juujuu kuashiria hofu ilikuwa imeingia.

    Hughes alijifanya hakusikia.

    Mawazo ya Mama mkwe yalibainisha ingekuwa ni mchakamchaka mkali huku akikumbuka maelezo ya bintiye yaliyomfanya hata alilie ‘kuhifadhiwa’ na mkwewe!

    Kweli hofu ilipanda sana!

    Hofu ya kiu ya kuhitaji!

    Hofu ya kupenda kupigwa!



    “Mua ni mtamu hata maganda pia!” Hughes alielezwa.

    “Ni kweli.” Safari hii Hughes alijibu.

    Hatimaye wakati ulifika, amri ya sita ikavunjwa; naam, amri ilibomolewa kwa sababu ililazimu jambo lihitimishwe kuepuka lisisogezwe kujihitimisha!

    Huo ulikuwa ni ujio wa jambo jingine!

    Ujio wa jambo jipya na upya wake!



    ***

    Mama mkwe alisema kwa kutania, “nyoo, ungeninyima ningepiga kelele!” Na hapohapo alirusha kofi la mahaba katika shavu la Hughes; kwani hapo walikuwa wamemaliza lile ‘gwaride’ la kubariki muondoko wao.

    “Nani angekunyima? Nilidhihaki kwanza ili nijue kama ni hakika wanipenda kama nikupendavyo.” Hughes alimrudishia jibu. Hata hivyo halikuwa jibu la kweli. Alijibu hivyo kwa sababu aliamua tu kufanya hivyo kama jambo la kawaida kabisa lisilo na uzito wowote, “I like you!” Hughes aliendelea kujibu. Lakini katika hili hakuwa na uhakika kama alisema kweli.

    Mama mkwe alimtazama huku macho yake yakielekea kutaka kusinzia, kisha alimjibu, “nashukuru…lakini, penzi langu ndilo kubwa zaidi kwako.”

    Kabla ya kufungua bomba la maji, mama mkwe alisema tena huku akitazama pembeni kuonyesha kwa kiasi fulani ile aibu iliyopaswa iwepo ilimtekenya kidogo katika kukumbusha ukweli halisi alioufunika kwa tamaa zake, “hushangai napenda vya binti?”

    Hughes alicheka kwanza kabla ya kutania, “Umeshinda mke mdogo!”

    “Wewe! Wewe!” Mama mkwe alirusha kofi jingine tena na kisha akajiachia kifuani mwa Hughes.

    Ndivyo nywele za kifuani za Hughes ziliumwaumwa huku mikono iliyomzunguka ikimbinyabinya mgongoni kabla ya mama mkwe kuachia sauti ya chini ya kunon’gona ikiita mapenzi yao yalikuwa ndiye Raha wa Mapenzi!

    Mkwe alisema mawazoni, akisema kwamba: mapenzi yalikuwa ni ugunduzi wenye mshawasha uchomao; ni kupeana na kutunguana; ni shauku ndani ya kiu yenye raha; na halikadhalika, ni ukubali wenye raha yenye kujirudiarudia kwakuwa ni raha pia yakichokozwa na waliokubali kuishi kwa kuchokozana kwa kuhifadhiana!



    Ndipo mkwe alisema huku akikivuta kichwa cha Hughes, “mpenzi, inama ninon’gone.”

    Kwanza alimn’gata kidogo sikioni, kisha akampulizia pumzi; ndivyo ikawa huku akicheka, alimuona mkwewe akisisimka zaidi kiasi hata alikumbatiwa!

    “Bado sijasema. Nipe ninon’gone mpenzi!”

    Hughes alitabasamu huku akimsogezea sikio ingawaje sasa alifanya kwa kusitasita huku bado akihisi uwepo wa nguvu ile ya utekenyo wa kupuliziwa, utekenyo wenye raha ya ajabu ivumayo!

    “Hapa nitakueleza mambo mawili ambayo huu mwili uhitaji.” Mama mkwe alisema kwa kumpulizapuliza kwa makusudi akijua hewa ilifanya habari zake.

    Na kweli, Hughes aliongezeka kusisimshwa, ingawaje alimudu kujiteremsha chini kidogo hadi sawia na matiti ya mkwe ambapo aliyabinyabinya yote huku titi la kushoto likipapaswa na ulimi wake katika kupanda kimzunguko kuelekea zilipo chuchu; na hizo zilipoguswa, hapo akafanya zaidi kwa kuzifyonza!

    Mama akatikisika!

    Mama akawehuka!

    Kiasi hata aliita, “Hughes! Hughes!”

    Baada ya kucheza hapo kwa sekunde kadhaa, ndipo tena aliacha…akarudi juu akitazama uhemaji.



    “Usinieleze! Napenda nikutafute mwenyewe, napenda nikupate mwenyewe! Na nikikupata, wewe umenipata!” Hughes alisema kuonyesha alijua nini alitaka kuelezwa.

    Mkwewe alihema kwa muda kidogo kabla ya kuanza kusema, “nafurahi unapenda unitafute mwenyewe, lakini bado nitafurahi ukinitafuta huku ukijua haya ambayo ni silaha nzuri itakayokuhakikishia unafika kunifikisha!”

    “Haya mkwe fundisha…mke mdogo elekeza!”

    “Wewe! Wewe!”

    “Basi! Basi mpenzi…mpenzi, ebu fundisha!”

    Mama mkwe akirejea katika utulivu wake baada ya kujifanya kusononeka na usemi wa Hughes kumuita ‘mke mdogo’ ndipo alijibu kwa kusema, “mpenzi wangu, si fundishi, bali twafundishana!”

    Hughes hakusema.



    Katika mambo aliyotaka kueleza mkwewe ni pamoja na kueleza kwamba yeye alipendelea kuchezewa zaidi kabla ya kuanza mjadala wa ‘kuripuana!’

    “Ukiniweka tayari, na kisha tukaanza kushughulikiana, basi nitafurahi sana nikijua unafurahia mapenzi yangu…kwani kadri muda unavyosonga ndivyo napata raha nijuapo mwenzangu pia anapata raha zote kutoka kwangu!” Mama mkwe alisema maneno hayo huku akiwa kajilaza kifuani mwa Hughes na huku wameruhusu kiasi kidogo cha maji kuwachuruzikia.

    “Nahisi kukukubali! Nahisi sitaacha nisipewe!” Hughes alijibu kwa madaha kabla ya kumuinua ili kumbusu shavuni.

    http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Baada ya robo dakika hivi, mkwe alisema tena huku akifanya kama vile alitamani kumpanda Hughes, kwani miguu yake ilikuwa ikikwangua miguu yake mithili ilihitaji kukwea mti fulani, “napenda usinipende, napenda utamani mwili wangu tu. Ndio, napenda nikuone mithili ya mwanaume tajiri ambaye anamsaliti mkewe kwa ajili yangu. Na ndivyo, napenda kila wakati unikute nikiwa tayari kwasababu mimi ni thamani yako katika ngono!”

    “Napenda nikuone huna huruma na ukiwa mnyama kamili unayenilazimisha kukaa mikao tofauti na tukifanya mapenzi popote pale, kama vile kunilaza mezani na kunishambulia bila huruma! Napenda nikuone ni simba unayejua kushambulia, simba unayejua kula nyama zako kwa maguvu yako!”

    “Usinipende, lakini usinichukie! Nitumie ni chombo chako cha starehe, chombo chako kwa dharura! Ila mpende mkeo huku mimi nikikupenda, kwani ni kweli nakupenda! Kipende nikupacho, mimi usinipende!”



    ****

    Honi ya gari ilipopiga, tayari John Hughes alikwishamaliza kufanya usafi wa mwili ikiwa ni pamoja na kuvaa; na hapo alikuwa chumbani kwake akiagana na mkewe ambaye bado alikuwa kitandani ingawaje wote walikuwa wameketi huku mkewe akiwa mtupu isipokuwa kuanzia kiunoni ambapo shuka ilimsetiri.

    Alimpiga mkewe busu dogo la mdomoni mara baada ya kuikodolea saa yake ya mkononi kwa sekunde mbili tatu hivi ambapo ilimjulisha wakati huo ulikuwa ni alfajiri ya saa 11.50 na kisha ndipo alianza kuondoka.

    Alifungua mlango wa chumba, akageuka na kuweka karibu kabisa na mdomo wake kiganja chake cha mkono wa kulia, kisha alipuliza pumzi akimuelekezea mkewe aliyekuwa bado akimtazama kwa tabasamu bashasha.

    Kisha alitoka na kuurudisha mlango.

    Hakwenda varandani; aliifuata korido kuelekea kilipo chumba cha mkwewe, lakini kadri alivyokuwa akikikaribia chumba hicho ndivyo pia alijishuhudia alikuwa akisisimka!

    Kwamba, ukaribio ulifanya mwili kupwita sana!







    Kwamba, ukaribio ulifanya mwili kupwita sana!



    Honi ya gari ilisema tena!

    Sasa alikuwa hatua mbili tu kuufikia mlango wa chumba cha mkwewe. Alisimama na kuitoa simu ya mkononi, kisha alizipiga namba fulani kabla ya kuisogeza simu hiyo masikioni,

    “Already started a walkout.” Alisema, na kisha alikata mawasiliano bila kusubiri kujibiwa; akaitumbukiza simu mfukoni na kuanza kuzipiga hizo hatua mbili kuufikia mlango wa chumba…

    Alipokifikia chumba kile, alisimama akisikiliza kwa sekunde chache jinsi moyo wake ulivyojikuta ukizidisha kasi ya kudunda visivyo kawaida!

    Mawazoni, akimuona mkwe!

    Mawazoni akihisi akiitwa!

    Mawazo yalifungua sauti isemayo, ‘mama unajua! Hakika unaweza! Ni kweli nitachelewa sana kufikiri kukutosa kwasababu unajua kuniweka nisikie raha zaidi ya mwanao! Sijui ulipokuwa mbichi ulikuwaje!’

    Na zaidi ilizungumza, ‘mama unaweza!’

    Hata alishusha pumzi kiasi huku taratibu mkono wake wa kulia ukijipeleka katika kitasa cha mlango…

    Tena, aligonga!

    Kadri mawazo yalivyozidi kumchorea picha ya mkwewe huyo, ndivyo alijikuta akimuwaza zaidi; na ndivyo, halikadhalika, alijikuta akikubali alianza kumpenda kwasababu nguvu ya kukaidi ilimeza na kutawala ‘mawimbi ya mapenzi’! Kwamba, alishindwa asimpende!

    Wakati akimtazama mkwewe kimawazo, sehemu ndogo sana ya mawazo yake ilifungua kinywa chake kwa namna tofauti kidogo ikitaadharisha kwamba ilikuwa ni rahisi mtu kuwa ‘mshindi’ huku ikiwa ni vigumu sana kuendeleza huo ushindi.

    Lakini…kutamakia, mlango ulifunguliwa!

    Hapo mawazo yakatibuliwa huku macho halisi yakiweweseka kiasi utadhani yaliondolewa upofu!

    Kwamba, macho yaliweweseka kutokana na picha halisi kuwa tofauti na picha iliyochorwa mawazoni mwake!

    Baada ya sekunde kadhaa za kutibuka kwa mawazo, basi hayo yalizimika mara!

    Ndio, mawazo yalizimika mithili ya taa iliyozimwa katikati ya usiku mnene uliokimbiwa na mbalamwezi!

    Akahema akitazama!

    Akikodoa akivutwa!

    Huku taratibu mawazo yakianza kuvamiwa upya, hayo yakipokea kile kilicholetwa kwa macho yake katika utazamaji; kwamba, hayo mawazo yalimulika umbo la kitoto lililochoreka humo huku macho yakishuhudia umbo halisi lisilokuwa mkwewe!

    Jackline!

    Jackline!



    “Shikamoo shemeji.”

    Kwa kukurupuka, Hughes aliitikia, “Ooh…aah, marahaba! Marahaba!” Kidogo tena, aliendelea huku akiwa hajui kwamba mkono wake mmoja ulijisafirisha na kushika mabega ya Jackline ambaye hapo alisetiliwa na nguo laini ya kulalia.

    “Mama mzima?”

    Pamoja na gauni lile kuwa pana, bado lilizionyesha alama za chuchu zake kila zilipogusana na nguo hiyo; na bado, pua zake zilikamata harufu safi!

    Harufu ya kitoto!

    “Amelala bado.” Jackline alijibu huku macho yake yakizungumza kutoelewa kwanini aliulizwa swali hilo wakati ilijulikana mama alikuwa mzima.

    Huku mkono ule ukijisogeza karibu kabisa na shingoni mwa msichana, Hughes alisema tena, “jana alinieleza alijihisi kuumwa.”

    Akijirudisha nyuma, Jackline alijibu huku sasa akionekana kuelewa maana ya swali lile la awali, “sikujua kama alikuwa anajihisi mgonjwa…ila ni mzima ingawaje naona kama amechokachoka hivi!”

    “Basi utaniagia…mpatie pole zangu,” Hughes alisema, na kisha alikivuta kwa nguvu kidogo kichwa cha Jackline huku yeye mwenyewe akiinama kiasi ili kuruhusu urefu wake usiwe kikwazo kwa kile alichotaka kukitenda hapo.

    Naam, alipoinama huku kichwa kile kikiwa tayari kimelazimishwa kusogea, ndivyo hata aliweza kumfanya!

    Alimpachika busu la haraka, busu la shavuni!

    Jackline akahema sana, akigugumia!

    Kidogo tena, Hughes akamuacha!

    Lakini bado mikono ilitulia imemshika shingo!

    “Nini?” Hughes alijifanya kuuliza.

    “Hata!” Jackline alijibu kwa kutetemeka huku macho yake yakiachia hali za kuduwazwa.



    Huku akimtazama kwa huba, Hughes aligeuza kichwa cha Jackline upande wa pili; lakini safari hii, kichwa kilifanywa kigumu huku akijitahidi kukirudisha nyuma…

    “Shemeji!” Jackline aliita huku akihema na bado akijitahidi kukirudisha kichwa chake nyuma katika harakati zake za kujiweka mbali na Hughes.

    “Shemeji yangu mrembo, napenda nikuone unaishi kwa furaha huku ukizisikia raha pia!”

    “Sikuelewi shemeji…niache basi eeh!”

    Hughes hakumuacha; alimvuta zaidi!

    “Shemeji! Utani huu…aah, hapana shem!”

    “Sikutanii…nakuchangamsha!”

    “Shem? Shem? Hapa…hapana!” Jackline alijitahidi kusema ingawaje hakuachia sauti kubwa!

    Hatahivyo, bado alijikuta akilazimika kuruhusu kuzidiwa huku mwili ukimtetemeka sana; na wakati huohuo, akiwa hajui atafsirije tukio hilo zaidi ya mshangao kujianika mawazoni…

    Ndipo kutamakia…hata alichapwa!

    Naam, busu jingine lilikwenda!

    Lakini alipoachiwa, safari hii alikimbia akirudi ndani huku mawazoni akianza kujenga tafsiri shemeji yake alikuwa na hila fulani isiyopendeza!

    Hatahivyo, alikubali alihisi raha!



    Hughes alimfuata ndani huku akihisi pengine angekuwa amevuruga mambo.

    “Ebu njoo katotoo!” Hughes alimuita mara baada ya kuona kila alipokuwa akimsogelea ndivyo Jackline alijisogeza mbele zaidi kule mwisho wa kitanda.

    Mama mkwe alikuwa bado usingizini.

    “Jackline!”

    “Shemeji, hapana!” Jackline alijibu kwa sauti ya kutetemeka huku akiwa kasimama; bado hakutoa sauti kubwa jambo ambalo alilipenda Hughes kwani lilimpatia maelezo kwamba pengine alikuwa akipatia hesabu zake.

    Hughes alisogea hadi kitandani, akasema tena, “hapana nini?”

    “Hata!”

    “Basi sogea…napenda upate raha!”

    Jackline alisogea kidogo kumsogelea Hughes, lakini akasita tena kama vile kuna nguvu fulani kutoka ndani mwake ilikuwa ikimkanya kuthubutu kusogea huku nguvu nyingine ikijulisha haikuwa jambo baya.

    “Sogea.” Hughes alisema tena huku akianza kuvuta hatua taratibu kumsogelea; halikadhalika aliingiza mkono mmoja mfukoni mwake na kutoa noti mbili za shilingi alfu kumi kabla ya kuanza kuinyoosha mikono yote kwa namna kama alihitaji kumpokea.

    Ile raha aliyoipata Jackline ndiyo ilimtafuna zaidi, kwani sasa hakusogea nyuma, ingawaje hakuendelea kusogea mbele; hatahivyo, hakushtushwa tena na kumuona Hughes akimsogelea taratibu.

    Hughes alipomshika mkono wake, kwanza aligoma!

    Lakini…mara akajikuta akilegea kuvutwa huku akilalamika kwamba alikuwa hapendi hivyo alivyokuwa akifanywa.

    Ni kweli alikuwa hapendi au aliogopa?

    Ndio, aliogopa kwakuwa akili zilijulisha; lakini si kweli hakupenda kwakuwa mwili ulikuwa ndani ya utayari ukivuma raha ya kuchokolewa aliyokuwa haijui kwakuwa hakuwahi kuishiriki!

    Hughes alimvuta huku akimpatia noti zile za fedha!

    Jackline akataka kusita kupokea!

    “Tafadhali, pokea zawadi zangu kama hizo zingine nikupazo…pokea tafadhali.”

    Jackline akapokea; na hapo ndipo alivutwa zaidi kiasi alianza kujongea hadi karibu na mlango. Si hivyo tu, Hughes alimvuta kifuani kwake…akamkumbatia!

    Jackline alianza kupumua kwa shida, kwani mwili ulimsisimka sana kwakuwa sasa alijua alikuwa akitomaswa kimahaba ambayo hakuwa akijua!

    Ndio, sasa hakushangazwa; bali alihofu mpeleko wa kushikwa huko huku akikubali alihisi raha ya ajabu!

    Hadi vipele fulani mithili vile vya baridi vilimtokea!

    “Usiniogope tena!” Hughes alimsemesha kwa kumnon’goneza masikioni huku akijua alimtekenya sana.

    Jackline alishindwa kujibu!

    Matiti yake yaliposhikwa, alijitahidi kugoma; lakini…vilevile kama miondoko mingine, alishindwa!

    Alibakia akigunaguna huku mapigo ya moyo yakipiga kwa kasi sana, kwani alizidi kubaini kuhisi raha ya ajabu isiyomithilika kiasi alikubali hata raha ya kupakatwa na mama yake mzazi alipokuwa mdogo haikufua dafu!

    Hata aliweza kusema!

    “Naogopa shem!”

    “Usihofu…mimi ni mkombozi wa maisha yako! Mimi ni raha wa maisha yako kama mwanamke!”

    Jackline akiwa bado akitetemeka alisema hapo walipokuwa hapakuwa mahala salama, kwani mama mkwe angeweza kuamka na kuwaona!

    Hughes akakenua meno ya ushindi!

    Akamuachia!

    “Nawahi kazini…siri yako.” Hughes alisema tena, kisha akamnyanyua juu na kumbusu mdomoni.

    Alimbusu kama mtoto mdogo, kisha ndipo alimshusha huku bado kamshikilia kwani alijua angeweza kudondoka chini kutokana na kukubali viungo vyake vililegea sana!

    Akaamua kumbeba tena hadi kitandani ambapo alimlaza huku akimuaga baada ya kufungua vifungo kadhaa vya gauni lake kiasi matiti yalikuwa wazi na hivyo kuanza kunyonya kwa juujuu titi moja huku mkono mmoja ukichezea titi jingine!

    “Usijali, tutapanga nafasi murua nikufunze mapenzi!” Hughes alisema baada ya kuacha kumnyonya huku bado macho yakivutwa na kushuhudia uzuri wa matiti! Lakini alipotaka kuondoka, mkono wa Jackline ulimzuia kabla ya kumuachia tena!

    Akasimama kwa sekunde chache, kisha akainama tena huku akitumia kidole cha shahada kutomasa kuanzia shingoni na kupitiliza katikati ya matiti…

    Mkono ulijitumbukiza zaidi huko ambako vifungo vilizuia kidole kisitalii vyema; lakini alipoanza kukivuka kitovu, mara mkono ulizuiwa na mikono yote miwili ya Jackline!

    Hughes hakutaka kulazimisha; aliutoa mkono, kisha akambusu shavu kabla ya kusema.

    “Mimi ni shemeji, mimi ni mpenzi wako.” Alisema kwa kunon’gona, “…hapa utajua raha za mapenzi, usiwe na haraka kwani nipo ili ufahamishwe kabla ya kukutana na dogodogo mwenzako ambaye pengine ndiye atakuwa mumeo na kila kitu! Mimi ni mfundishaji na mfadhili wa maisha yako pamoja na huyo mumeo utakayempata.”



    ***

    Hughes, Kanyengele na askari wengine watatu pamoja na Henry waliwasili katika mtaa aliokuwa akiishi mwanadada Janet mnamo majira ya saa 12.45 asubuhi.



    “Ile ndiyo nyumba anayoishi Janet.” Henry alielekeza huku kidole cha mkono wa kulia kikiilenga nyumba moja.

    Kanyengele alilisimamisha gari hatua chache kutoka nyumba moja ambayo ilikuwa kabla ya kuifikia nyumba waliyoelekezwa; na ndivyo baada ya mazungumzo mafupi, walishuka Hughes Kanyengele na Henry.

    Huku wakitazama huku na huko kwa namna za kawaida, walianza kutembea taratibu wakiongozwa na Henry waliyemuweka katikati yao huku akiruhusiwa kuwavuka kwa hatua zisizozidi mbili hivi.

    Mtaa ulikuwa ukiwa, ukivuma upepo ulioletwa na miti iliyoonekana kuenea kiasi eneo lote katika mtaa huo.



    Baada ya hatua kadhaa fupi, waliifikia nyumba hiyo ambayo kwa kiasi ilionekana chakavu.

    Hiyo ilikuwa imezungukwa na miti ya michongoma huku kwa ndani ikiwa na miti mingine kadhaa ya maua ambayo hatahivyo ilidhihirisha kukosa lishe bora, kwani mingi ilikuwa imenyauka sana.

    Walivuka uwazi mmoja ambao uliashiria ulikuwa ingilio ndani ya eneo la nyumba husika.

    Mara…ilibidi wasimame!



    Mbwa mmoja alitokezea, akiwafuata kwa kukimbia huku akibweka…lakini, alipowafikia karibu, alisimama!

    Bado alibweka!

    Walitazamana kidogo, kabla ya kuanza kusogea taratibu huku Hughes akimsemesha Henry aliyeonyesha kila dalili za kuingiwa na hofu, “hana ukali wowote…ni mikwara tu kwakuwa yupo nyumbani kwao!”

    “N’gan’ga ni n’gan’ga tu afande! Msimdharau, anaweza kutujeruhi!” Henry alisema huku akijaribu kujiweka nyuma yao kutokana na uoga uliokuwa ukijisogeza kwa haraka kumtawala.

    “Tazama mkia wake, si lolote huyu…acha utoto, twende zetu!” Kanyengele alimsemesha Henry kwa ukali kidogo huku akimshika mkono na kumvuta.



    Nyumba hiyo ilizungukwa na ukuta wa matofali kila upande; na halikadhalika, kila upande ulikuwa na mlango wa kuingilia kwanza uani. Wakati sehemu ya katikati ya nyumba pia kulikuwa na mlango ingawaje huo ulikuwa ni mkubwa uliogawanyika sehemu mbili.

    “Nadhani zinaishi familia tatu. Au wasemaje Henry?” Kanyengele alimuuliza Henry aliyekuwa kila wakati akimtazama mbwa ambaye bado alikuwa akibweka huku akirudirudi nyuma kuashiria ni kweli hakuwa mkali.

    “Kama nilivyoeleza, naijua nyumba tu. Ila sijawahi kuingia ndani.” Alijibu Henry kiutulivu.

    Hughes alisogea hadi katika ule mlango wa kati, na kisha aligonga hodi.

    Hakukuwa na majibu!

    Akagonga tena…

    Bado walipulizwa na ukimya uleule ukiondoa sauti ya mbwa yule ambaye hakuacha kubweka!

    Lakini alipogonga mara ya tatu, ndipo walisikia mlio wa miguu ya mtu ikitokea ndani ya nyumba…







    Sehemu moja ya mlango ilifunguka, akatokea kijana mmoja wa kiume.

    “Shikamoni wazee!” Kijana yule alisalimia, na kisha baada ya kuitikiwa aliwakaribisha huku akiwauliza pia kitulivu kuhusu nani walikuwa wakimuhitaji hapo.

    “Sisi ni wageni wa Janet.” Hughes alianza kusema, “je, sijui tumemkuta?”

    Badala ya kujibu kwanza, yule kijana alimfokea mbwa yule aliyeanza kuwasogelea huku bado akibweka. Kisha ndipo alisema, “samahani wazee!”

    “Bila samahani.” Hughes alijibu huku Kanyengele akikunjua zaidi uso wenye kuonyesha urafiki na upendo.

    “Eeh…mmesema nyinyi ni wageni wa dada Janet siyo?” Aliendelea kusema kijana yule bila kusubiri kujibiwa, “Mbona asubuhi asubuhi hivi?”

    “Aah…ni dharura kidogo, kwani tuna ujumbe muhimu tunatakiwa tumpatie kwani tunasafiri kidogo.” Kanyengele alidakia kujibu kwa kupeleka uongo huku akimtazama usoni kijana huyo.

    Kijana yule alitingisha kichwa kabla ya kueleza ni kweli Janet alikuwa akiishi hapo; na zaidi, hata aliwaonyesha upande aliokuwa akiishi.

    Hughes alishukuru kwa mdomo huku Kanyengele akiitikia kwa kutingisha kichwa.



    Na ndivyo hawakutaka kupoteza muda, kwani walimuaga kijana na kuanza kuelekea upande wa kushoto wa nyumba hiyo ambao ndio Janet aliishi kwa mujibu wa maelezo ya kijana yule.

    Walipofika, Hughes ndiye aligonga mlango.

    Maramoja, mlango ulifunguliwa!

    Mwanamke mrefu na mwenye kifua kipana ndiye alifungua; na alikuwa kavalia gauni refu la kulalia huku kichwani akiwa na kofia ya kuzuia uharibifu wa nywele zake ambazo zilifanyiwa ‘curling’.

    “Habari zenu kaka!” Mwanamke yule alisalimia huku macho yake yakijaribu kupepesa katika kuwatazama akina Hughes kwa zamuzamu kabla ya kufikia kwa Henry ambapo aliyasimama kwa muda.

    Wote waliijibu salamu yake kwa pamoja kabla ya Hughes kuanza kusema.

    “Tusipoteze muda…wewe ndiye Janet?”

    “Henry atawajibu. Karibuni ndani.”

    Waliingia ndani na kupitiliza hadi barazani.



    Upande alioishi Janet ulikuwa ni chumba na baraza moja huku kwa nje kukiwa na choo, bafu na jiko.

    Ua wake ulikuwa mdogo sana.

    “Bila shaka, ugeni huu utakuwa ni habari muhimu.” Janet alianza kusema huku yeye akiwa kaketi katika sofa dogo; wakina Hughes waliketi pamoja katika sofa kubwa.

    “Hujakosea,” alisema Hughes kabla ya kuendelea tena huku akitoa mfukoni mwake kitambulisho cha kazi, “sisi ni askari, tunahitaji kukuhoji kidogo.”

    Janet akashtuka huku akimuangalia Henry kwa macho ya mashaka; na wala hakujali kukitazama kitambulisho pale alipoonyeshwa kwa karibu, kwani tayari alikuwa akijawa mashaka yaliyochanganyika na hofu huku akijaribu kutafakari katika kubaini kama hapo alikuwa ndani ya hatari.

    “Usihofu, kwani siku zote askari ni mwema kwa raia mwema…tupo hapa ili utusaidie kutekeleza wajibu.”

    “Henry umeniletea balaa nini?” Janet alijikuta akiuliza.

    “Aah…hapa…hapana…?”

    “Dada hofu ya nini?” Hughes alimkatiza Henry aliyeonekana kushindwa ajibu nini.



    “Tunamtafuta Brigitte.” Hughes alianza kusema katika kuufukuza ukimya ambao waliuacha kwa makusudi utambae kidogo kabla ya mahojiano kuanza.

    Janet alijivuta zaidi kitini kuonyesha alihitaji kusikiliza kwa makini huku alama za mshangao zikizidi kujiachia katika namna za tazamaji zake.

    Bado Henry alitazamwa.

    Bado mashaka yalimuwasha.

    “Unajua wapi tunaweza kumpata?”

    “Swali gumu, sijui nikujibuje!” Janet alijibu huku akimkazia Henry kwa macho ya udadisi.

    “Tupo kazini hapa. Tujibu.” Kanyengele aliingilia kusema huku akikunja zile alama za ukali pajini.

    Janet alibibitua mdomo wake, kisha akavuta pumzi si nyingi sana kabla ya kuziachia tena taratibu; na wakati huo, mkono wake wa kulia ulijiinua na kuchezea kidogo pua yake kwa kuibanabana. Halafu, ndipo alijibu huku bado akimtazama Henry, “mzazi mwenziwe mnaye hapa…sasa kwanini yeye hasijibu! I really, don’t get you!”

    “Henry, unashindwa kuwaeleza anapoishi mwenzako hadi mimi ndiye niseme? Hili swali sitajibu, kwani wa kujibu mmekujanaye.” Janet aliendelea haraka kusema kabla ya akina Hughes hawajaanza kusema tena huku mkono wake mwingine ukichezea simu yake ya mkononi kwa kuizungushazungusha.

    “Ok…ebu tueleze, mara ya mwisho kuwa naye ni lini na wapi.” Kanyengele alidakia kuuliza huku akitazamwa na Hughes kwa macho kwamba hakupenda aulize swali hilo kwa wakati huo.

    Janet alionyesha kuwa katika hali za kufikirifikiri kwa muda, na kisha ndipo alijibu, “mmh…tulionana wiki iliyopita. Alinitembelea kwangu.”

    “Kwa sasa unaweza kutueleza yupo wapi?”

    “Sijui, hatujawasiliana…wakati mwingine huwa hatuonani hata kwa zaidi ya wiki mbili hivi.”

    “Jumapili usiku ulikuwa wapi?”

    Akifikirifikiri tena, alijibu kwa kutumbukiza swali; lakini macho yake yalinena hali tofauti, “jumapili ipi?”

    “Iliyopita.”

    “Tulikuwa sinza.”

    “Sehemu gani?”http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “De-paradise.”

    Kanyengele na Hughes wakatazamana kwa sekunde.

    “Umesema mlikuwa? Na nani?” Kanyengele aliuliza tena.

    Akimtazama Henry, Janet alijibu, “Brigitte alinipa ofa.”

    Kanyengele na Hughes wakatazamana tena.

    “Hivyo ulikuwa na Brigitte?” Hughes aliingilia kuuliza.

    “Ndio.” Janet alijibu huku hali za mashaka zikizidi kusomeka usoni mwake.

    “Mbona una mashaka? Huna hakika na majibu yako?” Kanyengele aliwahi kuuliza tena; na kwa mara ingine tena hakutazamwa vizuri na Hughes.

    Janet alichezea pua zake bila kujibu huku bado akimtazama Henry kwa namna kama vile alitamani apatiwe muda ili aweze kumuuliza maswali fulani.

    Hughes aliguna kimshangao; na wakati huo, Kanyengele alikuwa akiitazama simu ya Janet.

    “Henry unamjua mwenzako.” Alianza tena kusema Janet, “Afande nilipewa ofa na Brigitte akiwa na jamaa zake.”

    “Wakina nani hao?” Hughes aliuliza.

    “Wanaume wawili ambao siwajui.”

    Hughes alishusha pumzi, na akimtazama sana Janet kiasi cha kumfanya awe akitazama chini au pembeni na akiacha kumtazama Henry.

    “Unahakika huwajui?” Hughes aliuliza zaidi.

    “Nijuacho, mmoja ni mpenzi wa Brigitte.” Janet alijibu.

    “Na mwingine alikuwa mpenzi wako, au sivyo sister?” Kanyengele alisema huku akimtazama Janet kwa kumchekeachekea.

    “Hapana. Hakuwa mpenzi wangu.”

    “Ulitegeshewa basi.” Kanyengele alichomekea zaidi.

    “Si kweli.” Janet alijibu huku sasa hata macho yake yakiashiria pengine alizungumza ukweli, kwani hapo hakukwepa kuangaliana na Hughes.

    “Wewe unatudanganya.” Hughes alisema.

    “Sidanganyi.”

    “Unadanganya.”

    “Nasema kweli afande.” Janet alisisitiza.

    “Sawa hudanganyi dada…eeh, unasemaje kuhusu taarifa kwamba Brigitte aligombana huko?” Hughes aliuliza tena huku akibadilisha utazamaji wake ambapo hatahivyo lembua za macho yake zilinena shawishi zake.

    Janet alimtazama tena Henry, kisha alianza kusema, “alikuja bwanaake Marlon ambaye nadhani alibonyezwa taarifa fulani na Henry.”

    “Ni kweli nilimpatia taarifa za kuwepo kwenu huko…I did it!” Henry alithibitisha.

    Hughes akatabasamu huku akimtazama Henry.

    “Alitufanyia zogo dogo.”

    “Zogo dogo?”

    “Ndio afande. Ulikuwa ugomvi mdogo wa kawaida.”

    Kanyengele aliinuka na kumfuata Janet huku Hughes akishangaa kiasi, kwani hakujua sababu zake.

    Kanyengele alipomfikia aliiomba simu ya Janet.

    Janet hakashangaa!

    “Nipatie hiyo simu.” Kanyengele alirudia kuomba.

    “Inakuhusu nini?” Janet alijaribu kuchachamaa huku uso wake ukianika wazi hali za mashaka kwa upana zaidi.

    Hughes alitikisa kichwa huku ushangao ukimuachia kwamba sasa alielewa nini maana ilikuwa.

    “Tafadhali nipatie nisitumie nguvu za wajibu katika kuichukua.” Kanyengele alisema tena huku uso wake bado ukitiririsha tabasamu kama vile alikuwa akiomba jambo la kawaida sana.

    Janet akampatia simu ile huku akifunguka unyonge. Kanyengele alipoichukua, alirudi kuketi mahala pake.



    “Unamjua Edwin?” Kanyengele alimuuliza Janet huku akiibonyeza simu ile sehemu ya kupigia.

    Akionyesha kubabaika, Janet alijibu, “Edwin? Edwin gani?”

    “Wewe unamjua Edwin gani?”

    Wakati huo, Kanyengele alitazama ubao wa simu ambapo hakuona alichotarajia; akatikisa kichwa.

    “Simjui Edwin yoyote.” Janet alijibu kwa kukapuakapua macho kama vile hakuwa na uhakika na jibu lake.

    Kanyengele alibonyeza kitufe kingine ambacho kilimfungulia majina ya namba zilizohifadhiwa, kisha kabla ya kuanza kukagua majina yake aliuliza tena huku akimtazama kwa kumkazia macho, “unachojibu unahakika ni jibu sahihi?”

    “Nifafanulie huyo Edwin unayemsema ndipo nitajibu kwa uhakika…maybe I know him if given full particulars.”

    Kanyengele alicheka.

    Hughes pia alicheka.

    Henry alibakia akishangaa huku Janet akiteremshwa ndani ya hali za mashaka zaidi.

    Kanyengele alisaka jina la Edwin, lakini hakuliona!

    Akashusha pumzi huku akifikirifikiri…

    Janet alimtazama kwa shauku.



    Kanyengele alitazama tena kwa kuangalia majina yaliyoanzia na neno ‘Kaka’; bado hakuona!

    Akatazama kwa kuanza na neno ‘Shem’; bado hakupata!

    Alama za hasira zikaanza kujichora pajini mwake…lakini tena akakumbuka neno ‘Bro’; hilo akajaribu pia!

    Bado alikosa!

    Ndipo huku akikata tamaa, alitafuta jina Brigitte bila kujua kwanini alilitafuta…

    Hapo alipumua huku akikunjuka tabasamu!

    Janet akashikwa na wasiwasi!

    Ni kwamba, hapo Kanyengele aliona majina matano; moja likiwa limeandikwa ‘Brigitte’ huku jingine likiwa limeandikwa ‘Brigitte Marlon’

    Lingine lilikuwa, Brigitte Salum!

    Pia lilikuwepo jina, Brigitte Mosha!

    Na la mwisho ambalo ndilo hasa lilifanya hadi atabasamu, hilo liliandikwa, Brigitte Edwin!

    “Wewe humjui Edwin?”

    “Aah…hapana afande…unajua…huyu…?” Janet alibabaika hadi alipokatishwa na Hughes; na wakati huo, macho yake aliyatupa zaidi kwa Henry.

    “Uongo utakupeleka pabaya…kuwa mkweli.”

    “Afande Edwin ni mpenzi mpya wa Brigitte…sipendi Henry anichukie kwamba nashiriki kumvuruga!”

    Henry hakujibu.

    “Kwahiyo, mlikuwa na Edwin jumapili.” Kanyengele aliuliza huku akiifutika simu ya Janet mfukoni mwake.



    Baada ya Janet kukubali alimjua Edwin, ndipo mahojiano yalianza upya kwa kumuuliza kama alikuwa na habari zozote mpya za Brigitte.

    “Sina taarifa zozote.”

    “Husomi magazeti? Usikilizi Radio? Hutazami Tv?” Hughes alimuuliza Janet kwa mshangao.

    “Sisomi magazeti, napenda kusikiliza mziki huku nikiwa sina mpango wa kujua habari. Kwani amepatwa na nini jamani?”

    Wote watatu walishangaa kwa muda kabla ya “Your world is strange…a newsless world!”

    Janet hakujibu, alikapua macho huku mshawasha zaidi ukimpanda katika kutaka kujua habari za shoga yake; pia mawazoni alianza kusutwa sana dhidi ya tabia yake ya kutoona umuhimu wa kuhitajika kujua habari za kila siku!

    “Dada kujua habari ni muhimu, ni nguvu.” Kwa mara ya kwanza Henry alijikuta akisema huku akionyesha kuudhunishwa sana.

    “Duh!” Janet aliguna kwa sauti ya chini; lakini bado macho yake yalizungumza kama vile alihitaji kudokezwa na Henry kwa chati.

    Henry akaacha kumtazama.

    Hughes aliinua mguu wake wa kushoto na kuunin’giniza juu ya mguu mwingine huku mwili wake ukiwa bado umevutwa kuelekezwa alipoketi Janet.

    Kisha kwa sauti ya chini kiasi, alisema huku akimtazama usoni Janet ambaye bado alikuwa akimtazama Henry, “Brigitte ni marehemu.”

    Janet alishtuka!

    “Shoga yako ni marehemu.” Hughes alirudia kusema mara alipoona akitazamwa na Janet kimshangao.

    “Ati?” Janet aliuliza.

    “Alichinjwa!”

    Hapo Janet aliinuka huku akishika kichwa; na machozi yalianza kumtoka huku Henry pia akianza kudondokwa!

    Wakati huo Hughes na Kanyengele walishikwa na simanzi ambayo ilikuwa ruhusa tosha kwa ukimya wa sekunde kadhaa na hivyo kuwafanya waanze kuzungushwa na mawazo yao kila mmoja kwa namna zake na kwa mwendo wake!



    ***

    Hughes na makachero wenzake hawakukaa sana kwa Janet, kwani mara walipomaliza kumuhoji waliaga huku wakiahidi wangeweza kurudi tena.

    Pia, Kanyengele alimrudishia Janet ile simu mara baada ya kunakiri yale majina na namba zake.



    Wakiwa ndani ya gari, Hughes alisema kwa amri, “nadhani Henry alipatiwa vitu vyake kama nilivyoagiza.”

    “Ndio afande. Na pia alisaini tukisubiri amri yako ingine kuhusu kumuachia kama ulivyoamuru kabla hatujaa kwa Janet.”

    “Kijana tunashukuru kwa ushirikiano wako. Unaweza kuondoka zako kama hauhitaji lift hii.” Hughes alisema huku sasa akimtazama Henry.

    Henry akifungua nyuso ya furaha, aliomba asogezwe hadi kituo chochote cha mabasi.



    Basi, landrover ile ilipofika maeneo ya makumbusho, Henry aliomba kushushwa.

    “Hapa panatosha sana.”

    “Kumbuka unatakiwa kuripoti kila jumatatu kituoni bila kukosa, sawa?” Hughes alisema kwa ukali kidogo.

    “Nimekuelewa afande, nitatimiza yote.”

    Henry alishuka.

    Henry aliposhuka, ndipo taratibu gari lilianza kuondoka huku akilisindikiza kwa macho hadi lilipotokomea.

    Akapumua pumzi nzito.

    Akaanza kutembea taratibu huku mawazo nayo yakianza kumnyemelea huku akianza kuhisi kuiona picha ya Brigitte akitabasamu pale mlangoni mwake akiwa kavalia ile kaptula fupi iliyoruhusu mapaja yake manene kuweza kuonekana!

    ‘Brigitte is dead!’ Alijisemea mawazoni.







    Mabasi mengi yalipita bila yeye kupanda, na si kwamba hakupanda kutokana na kuwa yamejaa…la hasha; bali hakupanda kwakuwa bado hakuamua kupanda, kwani mengi yalimpita yakiwa matupu kiasi kutokana na ukweli nyakati hizo watu walikuwa wakienda mjini zaidi kuliko kutokea mjini.

    Labda ni hivyo kwakuwa wilaya ya kinondoni haikuwa yenye ofisi na viwanda vingi kuliko wilaya zingine.http://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    Lakini baada ya dakika kumi hivi, alipanda basi na kuketi kiti cha mbele kama alivyozoea mara nyingi; na sasa mawazoni alijawa sana na habari nzima ya kifo cha mzazi mwenziwe huku upande mkubwa zaidi ukivutwa sana kumuonea huruma kwa mateso aliyoyapata wakati akichinjwa mithili ya kuku.

    Hatahivyo, upande mwingine uliokuwa dhaifu, huo ulimsema sana Brigitte ukimlaumu yote hayo yalikuwa ni matokeo ya maisha aliyochagua mwenyewe kuishi.

    Taratibu ndivyo hata aliikumbuka jumapili ile ya tarehe 20 jinsi ilivyomjia hadi kujikuta akimpelekea Marlon kile ambacho sasa aliita ulikuwa ni ‘fitina’ mbaya sana, fitina ambayo ndio ulikuwa chachu ya kifo cha Brigitte!

    Ndio, aliita ni fitina mbaya, kwani sasa akili zake zilimjulisha kama asingefanya hayo, basi pengine Brigitte asingeuawa kinyama namna ile!

    Alijuta sana, akiwaza sana lilikuwa kosa kubwa!

    Ndio, historia ilizungumza kwa kumsemea ovyo, hiyo ikimrejeshea sononi nzito iliyomvuruga mawazoni…



    Baada ya watu kiasi kuingia ndani ya ‘daladala’ katika kuifanya ijazwe viti vyote, ndipo iliondoka taratibu huku kondakta akiwa bado mlangoni akitazama kama walikuwepo abiria wengine huko nje waliohitaji kuingia.

    Henry alitulia kimya akiwa amekilaza kichwa chake katika kiti huku akizidi kuingizwa ndani ya mawazo yake ambayo bado hayakuondoka katika habari ile ya jumapili; kwani sasa alikumbushwa pale aliporejea tena nyumbani kwa Brigitte.

    Ndio, mawazo yakamchorea picha alivyokuwa mlangoni akibisha hodi…

    Ndivyo hata akaona mlango ukifunguliwa!

    Hisia zikamueleza mfunguaji alikuwepo barazani na pengine tayari alisikia ujio wake kabla mlango haujagongwa.

    Sura ya Marlon ikajijaza mawazoni!

    Kidogo tena sura hiyo ilianza kupungua kiasi hata aliona umbile lote likiwa limesimama mlangoni na yeye akiwa kasimama nje huku akijiona asiyeshangazwa na hali aliyomkutanayo Marlon kutokana na yale mazingira aliyokuwanayo wakati walipoondoka na Brigitte na kumuacha yeye!

    Sasa ilikuwa, wakati mwili wake ulikuwa umetulizwa ndani ya daladala lile, lakini yeye kwa maana ya mawazo yake hakuwepo hapo kabisa!

    Pamoja na kutoshangazwa kule, hisia zake zilimuundia tafsiri kwamba Marlon alishangaa kumuona, kwani macho yake yalimkodolea sana!

    Tena hayo macho yalimwiva mithili ya mtu aliyelizwa sana msibani!

    Alikumbushwa pia kwa kufanywa kuisikia sauti ya Marlon ikimuuliza kwa mshangao, “aay, mbona peke yako?…ni…kunani?”

    ‘Kwa ajili yako, nimekuja.’ Mdomo wa mawazo yake ukajibu.

    ‘Unasema? Sielewi!’ Marlon alizidi kushangaa.

    ‘Kwakuwa una pupa, unasema hivyo.’ Henry alijibu huku akiingia ndani.

    Mara picha kubwa ya baraza ilienea eneo lote la mawazo yake kiasi kilichoonwa ilikuwa ni zile sofa na fanicha zingine…lakini mara tena, taratibu picha ilianza kupungua kwa kasi kiasi hata aliweza kujiona akiwa ameketi katika sofa lilelile aliloketi mwanzoni kabla hawajaondoka na Brigitte wakimuacha Marlon aliyeelezwa achunge nyumba.

    Alimuona pia Marlon ambaye tayari aliketi katika sofa lililokuwa karibu kabisa na yeye huku mdomo ukimchezacheza kwa kutetemeka!



    NI kweli siku ile ya jumapili walipokutana tena ili kuleta ‘ujumbe’ ule, tayari Henry alihisi kuyaona mawazo ya Marlon yaliyokuwa sokomoko kubwa lililotaka kujitoa nje ikibidi kwa kujilazimisha!

    ‘Au upo msuguo mchafu umemleta hapa? Lakini…oho! Ole wake nigundue wamerudiana! Ni hakika nitapasua kichwa! Oho, hawanijui hawa!’ Mawazo ya Marlon yalisema zaidi yakifuatia na mropoko uliomshtua Henry, “this time NO!”

    Henry alimuuliza baadaye, “wewe vipi?”

    “Aah…hata bro!” Marlon alijitetea ingawaje macho yake yalinena vingine; kwani hayo yalinena hivyo alifanya kujizuia tu huku ishara za kukasirika zikidhihiri kumfurukuta!

    Henry alielewa. Akatabasamu.



    “Samahani kaka.” Henry alianza kusema baada ya ukimya mfupi kuwavamia, “kama nilivyosema, nimerudi kwa ajili yako.”

    “Ajili yangu? Sikuelewi unajua…be straight!”

    “Nimerudi kwa faida yako endapo utaona naweza kukusaidia. La sivyo…off my life!”

    Marlon hakusema; alikodoa macho zaidi!

    “Kwanza naomba uelewe hapa sifiki zaidi ya kuja kuwatembelea watoto.”

    “Kwanini bro?” Marlon alijikuta akiuliza huku akiwa hana uhakika kama mawazo yake ndio yalimtuma afanye hivyo.

    “Unauliza kwanini?” Henry alijibu kwa kuuliza swali hilohilo, na kisha aliendelea tena harakaharaka bila kusubiri kujibiwa, “Unadhani cha mno kipi hunileta?”

    Henry alionyesha kusema yaliyokuwa yamevundikwa moyoni mwake muda mrefu ingawaje ni hakika baadhi ya maneno yake hayakuwa na chembe hata moja ya ukweli kwasababu ulikuwepo ukweli kwamba wakati wote aliishi na matumaini ya kurejeana na Brigitte!

    Naam, ni matumaini hayo ndiyo yalifanya awe mgeni wao hata kama hivyo alifanya mara chache!

    Hatahivyo, hadi wakati huo ilikuwa ni kweli mapenzi yake kwa Brigitte yalikuwa tayari yameanza kunyauka ingawaje bado yalikuwa na nguvu za kuweza kumyumbisha tena endapo yangekurupushwa!



    Henry alidai, eti kilichomleta hapo ilikuwa ni sehemu yake ya kuthibitisha kwa vitendo ‘alisamehe yaliyopita kwa dhati’; kwamba, eti alikuja kusaidia kuimarisha mapenzi yao baada ya kupata habari mbaya iliyokuwa karibisho la uharibifu!

    Kwa mara ya kwanza Marlon alitulia.



    ***

    MAWAZO ya Henry yalikuja kushtushwa na mlio wa honi wakati wakikaribia kituo cha mwenge!

    Hapo alifumbua macho na kuyaweka pembeni mawazo yake!

    Alipoangaza huko mbele alibaini ilikuwa ni mlio wa pikipiki ya polisi ambayo ilikuwa ikijulisha magari yasogee pembeni kwani msafara wa Mkuu wa Nchi ulikuwa ukipita.

    “Mnene anapita.” Dereva wa daladala alitania huku akisogeza gari lake pembeni na kuamua kulisimamisha.



    Baada ya msafara kupita, daldala ilianza tena safari yake kama kawaida.

    Henry hakufumba macho tena; alitulia akisikiliza mziki wa bongo-flavor huitwao ‘ndivyo sivyo’ ikiwa ni jitihada zake za kuyafukuza mawazo yale.

    Kiasi fulani alifanikiwa kufukuza mawazo hayo.



    Gari lilipofika mwenge lilipaki pembeni, na baadhi ya abiria walishuka huku abiria wawili watatu waliohitaji kuingia wakionekana kusubiri bila wasiwasi wowote.

    Kidogo tena, gari liliondoka.



    Walipokuwa katikati ya eneo la jeshi, tayari hali za mchoko zilianza kumpeleka Henry katika kusinziasinzia; na ndivyo, hatimaye alidakwa tena mawazo yale huku uzito wa macho ukimfanya afumbe macho ili kuruhusu kutawaliwa na historia ya Brigitte.

    Huko mawazoni hata akarejeshwa tena ndani ya nyumba ya Brigitte wakiongea na Marlon; kwamba, hivyo aliendelea kuikumbuka ile jumapili…



    Sauti yake moja ilisikika ambayo ilikuwa ni sehemu ya ukumbusho katika kumueleza Marlon: hiyo ilisema kwamba yeye alisema, ‘hivyo kama msamalia mwema, nina kila sababu ya kufanya lililo jema machoni mwangu na hasa pale msaada wangu utapewa thamani. Hii itakuwa ni fadhila yangu ya pekee ninayoweza kuitoa kwako katika kujaribu kuelezea ni kwa kiasi gani nafurahishwa na malezi yako kwa wanangu ambao nathibitisha unawalea mithili walitoka kiunoni mwako.’

    Na ndivyo wakati akikumbuka kusema hayo, ndivyo pia alikumbuka kuona mabadiliko ya sura ya Marlon ambayo ilianza kuonyesha aliteremshwa katika upole huku bado macho yake yakizidi kuchora hali za udadisi wa kutaka kujua wapi Brigitte aliachwa!



    NDIVYO hasa Marlon alikuwa siku ile; tena si hivyo tu, kwani pia alihisi eti haikuwa jambo jema Henry kurejea nyumbani kwao peke yake!

    “Nakushukuru sana.” Henry alimshukuru Marlon.

    Kheh!

    “Kwahiyo, naanza kwa kusema hivi,” Hapo Henry alinyamaza kidogo akimtazama Marlon ili kuuona umakini wake wa kutaka kumeza jambo. Aliendelea tena, “Narudia tena. Mimi nilikuja hapa kwa sababu ya wanangu. Brigitte alikudanganya pale aliposema tunatoka wote.”

    Kimya kikaruhusiwa kutanda kwa muda…

    Marlon akaingiwa na mawazo zaidi!



    “Mbona alinihakikishia mlikuwa mnakwenda kwenu kuongelea masuala ya watoto? Yaani…aah, kumbe haikuwa kweli?” Marlon alifukuza ukimya huku akitumbua macho na ishara za kukaribisha hasira zake kuanza kujitapika upya.

    “Bwanaee! Huyu amekwenda kwa hawara yake huko sinza. Nadhani sasa atakuwa amefika!”

    “Ati?”

    “Nilipewa lifti tu. Kila mtu alikuwa na safari yake.”

    Ukimya ulitanda tena!



    “Enhe!” Marlon aligutuka tena kama vile aliyetoka usingizini. Akataka kuinuka lakini akarudi tena na kutulia kimya tena huku akipepesapepesa macho!

    “Tuliza hasira. Watu hatuendi hivyo!” Henry alimueleza Marlon katika kumtuliza hasira ingawaje mawazoni mwake msemo fulani ulisimama ukivuma kwa furaha nyepesi, ‘mkuki kwa nguruwe’.

    “Unajua kabla hujaja mimi nilikwisha aga, lakini ni Brigitte ndiye alinizuia kwa kudai kuna gari ingekuja kumchukua. She wanted to give me a lift. ” Henry alimalizia.

    “Sasa kwanini hukusema yote hayo palepale mnaondoka kama kweli ulikuwa na haja ya kunisaidia?” Marlon alimaka lakini baadaye akajikuta akitulia. Akasema kinyonge, “Lakini…ooh, ungesema pale…anyway, endelea.”

    ‘Ndiyo ni lazima atulize mpira, kwani ni kweli naweza kumjeruhi kwakuwa bado namiliki nguvu za sheria!’ Henry alijisemea moyoni kabla ya kuingia kuutapika ‘mkwara fulani’ huku akifahamu ndani ya mawazo yake haukusimama imara kiasi hicho, “nadhani unafahamu yakupasa utulize ubongo wako kabla hujaruhusu neno kutolewa hadharani. Ndio, ni vyema kufikiri vizuri nini useme unapoongea na watu wa namna zangu katika alama hizi za nyakati!”

    Marlon aliinamisha kichwa.

    “Ndio. Usinilazimishe nifike nisipopenda. Nasisitiza! Sipendi kusikia hivyo ulivyouliza! Wewe ni mtu mzima, unajua nina maana gani!”

    Eti mtoto wa Kipekecho alijulisha kiberiti kilijaa!

    Lakini, hatahivyo, hakujua kuinama kwa Marlon kulikuwa si tafsiri ya kuteremshwa unyongeni kwamba aliitikia kukubali kutingishwa!

    Huyo alianza kujaa, akijazwa na mawazo yake!

    Huyo…ndio, huyo alikuwa akijishusha chini ili kuwa ndani ya utawala kamili wa ujazo huo!



    “Mimi nilisamehe.” Henry aliurudia usemi wake kwa kutoa sauti ya chini ya upole.

    “Nielewe, sina kinyongo tena na uhusiano wenu. Wakati wote nawatakia heri.” Henry alisema huku akijua usemi wake ulikuwa na kasoro kubwa kiasi sauti nyingine mawazoni mwake ilinena, ‘mkeo abebwe, halafu eti umsaidie mbebaji abebe vizuri?’



    HENRY aliendelea kukumbuka –

    “Nasikia harufu ya damu...natamani kuua mtu!” Hatimaye, Marlon alisema kwa machungu makubwa, mara aliinuka na kupiga ngumi ukutani na kisha akaanza kuzunguka zunguka huku na huko akiwaza ni jambo gani sasa alifanye.

    Naam, sasa hasira zilijaa!

    Kwamba, ule ujazo ulijaa!

    Na ndivyo, alianza kusonya kila mara huku akijipigapiga kichwani kwa mikono yake yote!

    Hata machozi yalimlengalenga!



    “Baba Johan nakushukuru kwa wema wako. Lakini…nakuomba sasa niache niicheze ngoma hii mwenyewe!” Marlon alisema kwa masikitiko mara baada ya kunyamaza kidogo. Aliendelea tena, “lazima huyu hawara yake atakuwa ni Edwin tu!”

    Alitulia kidogo, akatulia tena...

    Lakini, mara…huyo alipiga ukelele huku sasa machozi yakitiririka kwa wingi mithili ya bomba la Dawasco lililopasuka!

    “Edwin! Edwin! Edwin! Kwa nini lakini?”

    Kisha alijiachia kwa kujitupa kochini!

    Kwamba, tena aliketi!

    Alikiinamisha chini kichwa chake huku mikono yake ikikamata mashavu yake…kweli alilia!

    Alilia sana!

    Ilikuwa ni baba mzima kulia mithili ya mtoto!



    “Nataka damu ya mtu!” Marlon baada ya kulia sana aliinua kichwa chake na kurudia tena maneno yake; lakini safari hii alifanya kwa sauti ya chinichini.

    Macho yake yalizidi kumuiva!





    ‘Ebo! Mbona mimi sikuwa hivi? Au ndiyo tuseme nilikuwa bwege fulani!’ Henry alijishangaa huku akifikia hata kujitukana huku kwa kasi sana akiingizwa kumuurumia.

    Kheh! Huruma kwa adui aliyevuruga ndoa yako?

    “Marlon, huna haja ya kufanya hivyo.” Henry alianza kumtuliza kwa maneno, “Lililo muhimu ni nyinyi kuketi kitako na kuyarekebisha matatizo kwa njia ya kuboresha mapenzi yenu. Lakini hivyo unavyotaka kufanya si ujengaji…utabomoa!”



    Henry alishauri zaidi; kwamba, ilikuwa ni busara sana kama wangeenda kumchoropoa Brigitte huko na kumrejesha huku ili wamkalishe chini kwa maana ya kumjulisha umuhimu wa mke na mume kuhitajika kuishi kwa kuvumiliana katika hali zote.

    Na ndivyo, hizo ‘busara za Henry’ ziliweza kupata nafasi ya kumtuliza kiasi Marlon.



    “Ikishindikana…basi, achana naye!” Henry alishauri zaidi; lakini kwa hapo hakuwa na uhakika alieleweka sawasawa, kwa vile zilimjia hisia angeweza kueleweka ushauri wake ulikuwa ni mbinu zake za kuwavuruga!

    Na kweli, Marlon alitoa jibu la mashaka kwa kupeperusha swali, “nimuache?”

    Henry hakujibu.



    Baadaye, Marlon alianza kusema huku machozi bado yakiendelea kumbubujika, “unajua…itabidi nikueleze ukweli usioujua.”

    Sasa alimuangalia Henry ingawaje bado mikono yake ilitulia mashavuni mwake. Aliendelea kusema, “nakupa ukweli huu kwakuwa ninaona ni kweli una nia njema kwangu kiasi umekubali kupoteza muda kwa ajili yangu mimi unayeniona nilikuwa adui yako!”

    Henry aliachia kicheko kidogo!

    “…Ila hujui wewe ndiye ulikuwa adui yangu tangu mwanzoni, kwani wewe ni miongoni mwa watu mlionipora Brigitte wangu. Najua hujui hili.”

    Henry alibadilika hali, akipigwa na butwaa!



    Henry alijikuta akiingizwa katika kuhemahema kwa sana kadri mawazo yake yalivyokuwa yakimsogeza karibu na ‘ukumbusho wa habari fulani’ ambayo alikuwa haifahamu; ni kwamba, alihema sana kiasi endapo dereva asingekuwa katuliza akili zake katika uendeshaji gari, basi ni hakika angeweza kuishuhudia hali ile! Naam, hapo alikumbushwa alivyoelezwa na Marlon kuhusu maisha ya Brigitte kabla hajamfahamu, akijulishwa uhusiano wao wa kimapenzi ulikuwepo kabla yake –

    ‘Huyu anasema kweli?’ Henry aliwaza.

    Marlon alieleza yote.

    Ilikuwa ni habari ndefu ya kusikitisha sana!



    “Sasa unaona mwenyewe ni jinsi gani inavyoumiza kwa yote haya...Nimekuwa mvumilivu sana kwa muda wote huo!” Marlon alisema kwa majonzi makubwa.

    Henry aliitikia kwa kichwa huku tayari roho ya huruma ikizidi kumuingia!

    ‘Kumbe hakuwa wangu! Nilipora bila kujua!’http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Lakini yalikuwepo mawazo mengine yaliyomtuliza kidogo kwa kumjulisha bado yeye ndiye alikuwa na haki kwasababu alipewa ‘mzigo’ na mzee Mingly mwenyewe!



    “Unasema Brigitte alizaa na watu watatu?” Henry aliuliza kwa kukurupuka mara baada ya mawazo yake kufikia habari hiyo katika kuitafakari kwa kina.

    “Hakika!”

    “Sasa…yaani, hao watoto wengine mbona siwajui na wala sijawahi kusikia fununu zake? Hivi wasema kweli?” Henry aliuliza kimshangao.

    Marlon alimeza fundo moja la mate huku bado machozi yakiendelea kumtoka ijapokuwa hadi wakati huo yalikuwa yakitiririka kidogo. Alisema kwa sauti ndogo, “mimi nilizaa naye mtoto mmoja lakini alifariki akiwa na umri wa mwaka mmoja.”

    “Atch?...Ooh, pole sana!”

    Marlon hakuitikia.

    “Mtu wa pili kuzaa naye ambaye kusema kweli ndiye hasa aliyeninyan’ganya, alikuwa ni mzungu mmoja…mzungu huyu alizaa naye mtoto mmoja wa kike. Naye pia alifariki.”

    “Mungu wangu…hii ni muujiza!”

    Bila kujali nini Henry alisema, Marlon aliendelea kusema, “mtu wa tatu…huyo alikuwa ni jamaa mmoja aitwaye John Kiza ambaye baadaye alimkimbia Brigitte na kwenda kuishi marekani baada ya kumpata mama moja chotara wa kizungu!”



    “Ehe! Endelea!” Henry alisema baada ya kuona ukimya ulizidi.

    “Henry, lipi tena la kusema?”

    “Aah, unajua unanichanganya kidogo...Wewe umesema Brigitte alizaa na watu watatu tofauti...Ina maana mimi…yaani mimi ni wa nne, au?”

    “Nimekuambia kazaa na watu watatu tu!”

    Henry alitumbua macho!

    “Hao si watoto wako!...Kwanza ungebahatika kumuona baba yao, wala usingethubutu kuleta ubishi kwa jinsi anavyofanana nao!”

    Fyuh!

    “Acha nikupe ukweli mwingine...hivi unajua hao watoto wako wapi sasa?” Marlon aliuliza.

    Henry alishtuka tena!

    “Umeniuliza nini vile? Watoto…eeh?”

    “Watoto wako wapi hivi sasa?” Alirudia kuuliza Marlon.

    Henry hakujibu kwanza; alimkodolea zaidi Marlon huku ‘songombingo kali’ likianza kufurukuta mawazoni kwa kuzalisha maswali mengi!

    “Unataka kuniambiaje na hapo?”

    “Hilo si jibu lake...kama hujui sema nitakueleza, ingawa nina hakika hujui walipo...Sikiliza! Wewe hujazaa na Brigitte hata kama ni kweli ulimuoa!”

    Henry aliinuka huku akionekana kufikirifikiri hivi; na ndivyo pia alikuwa akiuma meno yake!

    “Wewe bwana uhusiki kuliko mimi niliyepata hata kuzaa naye...Sasa sikiliza! Watoto wamepelekwa kwa shangazi yao morogoro kwa agizo la baba mzazi!”

    “Ati?”

    “Sema ikiwa unataka nikufikishe huko. Au nikupatie address kamili ya baba watoto?” Marlon alisema kwa sauti kwa kujiamini.



    ***



    MARA Henry alishtuka! Kwamba huyo alishtuka kiasi cha kumfanya hata dereva wa daladala ageuze kichwa chake kwa sekunde mbili tatu hivi kabla ya kurejea tena kutazama mbele!

    “Bro, vipi? Unaota nyakati hizi?” Dereva alimsemesha Henry huku akichekacheka kiaina.

    Henry hakuweza kujibu, kwani bado alihema sana huku mazingira yakionyesha pumzi zilimjaa sana kuanzia kifuani na zikifukuzana kutoka huku zingine kutokea nje ndivyo zikifakamia kuingia kwa kukwaruzana na zile zilizokuwa bado ndani mwake!

    Ni kwamba, hasira zilimvamia kwakuwa historia ilikuwa imemrudisha katika machungu ikijaribu kulazimisha kuongoza utaratibu wa maisha yake kwa namna ya kumuumiza zaidi!

    Hata alipayuka maneno yasiyojulikana huku nyuma ya kiti chake abiria wawili wakimkodolea sana huku mmojawao akiingizwa kumuogopa pia!

    “Alinidanganya hivyo!” Alipayuka tena, lakini safari hii neno lilieleweka.

    “Dreva! Dreva! Huyu abiria wako ana matatizo hadi tunamuogopa sasa…he’s not normal!” Abiria mmoja alisema; alikuwa kati ya wale wawili.

    Dereva alimsemesha Henry bila kumtazama, “bro unaumwa?”

    Bado Henry hakujibu!

    Bado pia alihema sana!

    Bado alizamishwa mawazoni!

    Na si hivyo tu, kwani mawazoni mwa Henry bado habari ya kukumbushwa iliendelea; na hapo alikuwa akiisikiliza sauti ambayo aliijua ilikuwa ni ya Marlon, kwamba, sauti hiyo ilieleza, ‘Brigitte ana mpango wa kuja kukueleza ukweli huu. Isipokuwa huko nyuma alikuficha kwasababu John Kiza alikana kuwa baba wa watoto hao kwa vile katika uchanga wao hawakufafanana naye. Yeye ni mweusi, wakati watoto ni weupe wenye nywele za kiarabu ambazo ndizo zilikudanganya zilifanana na za mama yako!’

    ‘Safari hii, baba yao aliporejea nchini walilazimika kwenda kupima hospitali licha ya watoto kuanza kufanana naye umbo na sauti.’ Sauti ile iliendelea kusema.

    “Ehe…majibu yalisemaje?” Henry alipayuka tena ingawaje hakufanya kwa sauti kubwa.

    Dereva alimtazama tena kwa kitambo kifupi!

    Huko mawazoni, Henry alijibiwa na ile sauti iliyofanana na Marlon, ‘they were his!’



    HALI haikujongea vile kwa kitambo kirefu; kwani walipokiacha kituo cha ‘samaki’, Henry alikuwa tayari amefumba macho akirejea kuishi mawazoni mwake huku historia ikimrudisha palepale barazani kwa Brigitte!

    Lakini safari hii, si kwamba yeye alijiona akiwa na Marlon wakiongea; bali sasa alijiona akiwa mtazamaji aliyekuwa akiwaona ‘Henry na Marlon’!

    Ndio, huku akiwa mtazamaji, ndivyo hakujiona alikuwepo hapo barazani; hatahivyo, alikiri alikuwa mtazamaji wa chumba kizima akiwasikiliza hao huku hisia zikimueleza mmoja kati ya wawili hao alikuwa ni yeye mwenyewe!

    Ndivyo alimuona ‘Henry’ akiwa amenyon’gonyea huku yeye mwenyewe pia akijihisi kunyon’gonyea!

    Katika maisha halisi, Henry alionekana kutulia kwa kuchezeshachezesha mwili wake kwa ndra sana kiasi dereva na abiria waliokuwa wakimtazama walizidishwa kumshangaa!



    Wakati akimtazama ‘Marlon’ akitoka barazani pale, ndivyo alianza kuhisi kusikia sauti ya mama yake (mama Esta) ambayo ilizidisha ukwaruzaji wa ndani ya mawazo yake, ‘mwanangu, hukuzaa na mkeo…wale watoto…hata! sidhani ni wako wale!’

    Pia alihisi hata yule ‘Henry’ aliisikia sauti ileile!



    Muda kidogo, ‘Marlon’ alirudi akiwa ameshikilia kadi mbili.

    ‘Henry’ alipatiwa huku akiuliza zilikuwa za nini.

    ‘Marlon’ alimueleza azisome kwa kusisitiza.

    Hata kabla ya kumaliza kuisoma kadi moja, tayari vuguvugu la ukweli uumizao lilionekana kumvaa kichwani ‘Henry’ na kumpukutisha vibaya kiasi hata alijikuta akiropoka kwa sauti ya juu na kuzitupa chini kadi zote mbili huku machozi yakianza kumiminika, ‘Ooh, shit! I’m dead!’

    Ebo…Henry pia alipayuka!

    Akipayuka maneno yaleyale aliyosema ‘Henry’!

    Ndivyo aliwashangaza zaidi abiria wenzake na dereva wa daladala hilo kiasi mmoja wa abiria alimuomba dereva asimamishe gari ili wajue ni jambo gani lilimsumbua Henry, kwani ndivyo walizidi kukazia tafsiri kwamba alikuwa katika hali isiyo ya kawaida!

    Dereva alipunguza sana sauti ya mziki kabla ya kujibu huku macho yake bado yakitazama mbele, “tukifika tegeta tutaangalia nini cha kufanya. Kwa sasa, tuwe makini asilete madhara. I doubt, he’s full of himself!”

    Matokeo yake hata nauli hakuombwa, kwani kodakta alikwishamchukulia ‘zilipungua kichwani’!



    ***

    Huku nyuma, Hughes na wenzake walipoondoka, Janet Babatz alipohakikisha walitokomea barabarani alifunga kwa funguo geti lake kabla ya kurejea ndani mwake ambapo pia alijifungia ndani.

    Alijiachia kwenye kochi kubwa kwa kujilaza.

    Bado alijawa wasiwasi huku kwa mara ya kwanza akilaani tabia zake za kutopenda kusikiliza habari au kusoma magazeti kwa maana ya kupata habari za matukio ya kila siku.

    Hakujilaza sana, kwani baada ya kitambo kifupi alijiinua na kisha aliketi huku macho yake yakiitazama simu yake iliyokuwa katika meza hapo mbele yake.

    “Maskini Brigitte! Ameuawa hivyo!” Sauti nyepesi ya huruma ilimtoka huku taratibu akinyanyuliwa na mawazo yake katika kukumbuka habari nzima ya jumapili ile ya tarehe 20/8/1989.

    Alishusha pumzi, kisha mkono wake wa kulia ukajisogeza katika simu ile na kuichukua.

    Akapiga namba za Brigitte…

    Sauti aliyosikia, ikamnyon’gonyeza zaidi huku akijisemehea moyoni, ‘ni kweli!’

    Mara mawazo yakaruka huku yakichora taswira ya Marlon huku kwa nyuma akionekana Henry akitazama kwa kutabasamu lakini macho yake yakizungumza uwekundu wa macho mithili hasira zilifichwa!

    Alimuona Marlon akiwa amekasirika huku kashikiliwa na mtu wa miraba minne ili kuhakikisha akipigwa ngumi na mtu mwingine aliyetokezea!

    Huyo mtu mwingine alikuwa Edwin!

    Mawazo ya Janet yaliendelea kumsoma Marlon kwamba pamoja na kuwa ndani ya hofu lakini pia alidhihirisha kumezwa na chuki kubwa iliyokuwa tayari kurarua endapo ingepata nafasi; kwani hasira zilitamani ziifishe hofu hiyo kwa kuisaidia chuki kutawala!

    Ndivyo, Janet alihema sana akiitazama tena simu…

    Sauti moja ikanena mawazoni mwake ikimshutumu Henry kwamba ndiye aliyeleta songombingo lile ambalo haikutegemea lingeishia kwa kuondoa maisha ya shoga yake wa kudumu ambaye alikuwa akimsaidia sana katika kumpuguzisha makali ya maisha!

    “lakini…eti Edwin kasafiri miezi kadhaa nyuma…mbona…eeh, mbona alikuwepo na Collin?” Janet alisema kwa sauti huku bado macho yake yakiitumbulia simu hiyo katika kiganja cha mkono wake.

    Hapo ndipo alikumbuka jambo hata pumzi ya matumaini ikamteremka nje ingawaje bado hema zake zilikuwa alama ya juu!

    Alishukuru aliomba namba za Hushley Collin wakati walipomleta nyumbani usiku ule; na wala hisia hazikumrejea katika kuwaza mpanuko wa kifua chake! Isipokuwa alikumbuka walikubaliana ampigie jumamosi ijayo ili wakutane wakiwa wawili tu!

    Akasaka jina lake katika simu, na alipoziona namba zake alizipiga huku akihisi kutetemeka bila kujua kwanini mwili ulipelekwa huko…

    Simu iliita kwa muda kiasi kabla ya kupokelewa na sauti nzito ambayo ilibainisha ndiye alikuwa!



    “Ooh, I see…Sema Janet!” Sauti ilisema mara baada ya kumaliza kujuana, kwani Collin hakuwahi kuchukua namba ya Janet akiamini angepigiwa huku pia akijua isingekuwa shida yeye kuweza kuipata namba yake.

    “Aah, salama tu, nimekukumbuka!” Janet alijitahidi kuficha wasiwasi zake ili kuona angepatiwa habari zinazofanana na ule uwepo wa akina Hughes nyumbani kwake.

    “Sauti yako inatetemeka…kunani?”

    Janet alihema zaidi!

    “Eeh?”

    “Hivi hujui?” Janet aliuliza; aliamua kusema.

    “Nini?”

    “Kuhusu Brigitte.” Janet alisema kwa sauti ya chini kabla ya kwikwi kuanza safari ya kuingilia utokaji wa sauti zake katika kusema.

    “Amefanya nini?”

    “Hujui na wewe?”

    “Ndio maana nakuuliza. Nijulishe.”

    “Amechinjwa!”

    “Ati?”

    “Polisi walikuwa kwangu leo hii.” Janet alisema huku kwikwi ikianza kuongeza kasi ya kuchukua nafasi huku pia akianza kuvuruta makamasi katika kudhihirisha tayari alilia pia, “Sikuwa na habari, wameulizia ule ugomvi. Kweli, honey hujui?”

    “Acha nimjulishe Edwin. Tunakuja sasa hivi. Usit…?”

    “Naamini Edwin kakimbia, kwani polisi wanamsaka! Hawaamini maelezo kwamba hayupo nchini siku nyingi! Tafadhali njoo tuongee! Mimi nilificha siwajui…eeh? Tena walikuja na mzazi mwenziwe na Brigitte…ndio, yule Henry! Ni kweli ndiye alizusha lile balaa…hapana, nadhani atakuwa chini ya ulinzi kwa habari hizihizi. Please, come!”





    Mara kadhaa, kuanzia asubuhi ya jumapili simu ya Janet Babatz iliita bila kujibiwa; na hali hii iliendelea kwa nyakati tofauti kiasi hata iliweza kutengeneza mazingira ya hofu kwa paka wake ambaye alijikuta akikimbilia nyuma ya jokofu kwa sababu za kujawa na hofu fulani.

    Simu ya kwanza ilitoka kwa mpenzi wake aitwaye Abeid ambaye alikuwa akishughulika na uchimbaji wa madini akiwa kama mtumwaji wa kuingia shimoni au ‘nyoka’ kama walivyokuwa wakiitwa.

    Abeid aliisikiliza simu ile ikiita kwa muda mrefu huku msisimko wa mwili ukianza kujiondokea; na alivyopiga kwa mara kadhaa zingine, ndivyo hisia za kuhisi kuchanwa moyoni na kitu chenye ncha kali zilijongea taratibu huku zikipewa karibisho na ‘ukweli fulani’ uliojitokeza katika kukumbusha.

    Wakati akiupokea ukweli huo ndivyo alichukizwa na kutojibiwa simu yake, kwani alijua Janet alikuwa hewani mara nyingi nyakati za asubuhi.

    Maumivu hayo yaliyoletwa kwa hisia za wivu wake yaliunda hasira; lakini hasira ilivyoelekea kutaka kujaa zaidi, ndivyo kama kawaida yake aliweza kuirejesha kwa kiasi kikubwa kuwa sehemu za changamoto zake huku akikamata ‘mtazamo wake wa siku zote’, kwamba, alihitaji ajitume zaidi kama ni kweli alihitaji penzi lake lisichezewe kutokana na kufungwa kwao na minyororo ya ufukara.

    Hivyo aliacha kupiga simu hiyo kwa kumuomba Mungu kwa kurudia ombi lake la mara kadhaa akiomba kumiminiwa baraka katika shughuli zake za kutafuta mtaji ili kuondokana na maumivu ya kulazimika kuruhusu Janet auze mwili wake ili kuchangia wajipandishe juu ya mstari wa umaskini waliokuwanao.



    Mtu mwingine aliyepiga simu, alikuwa ni ‘mteja’ ambaye alihitaji huduma ya kutokanaye usiku katika disko la Billicanas; lakini huyo hakupiga mara nyingi, kwani tayari aliunda hasira kwa kule kuona simu ikiita bila kujibiwa! Mtu huyo alirudisha mkono wa simu kwa nguvu kiasi hata mtu mwingine aliyekuwa akisubiri kutumia huduma hiyo katika banda hilo la simu alishangaa sana!

    “She’s too pussy!” Alisema kwa sauti huku akitoka.



    Ni katika majira ya saa nne hivi asubuhi, Hughes pia alipiga namba za Janet Babatz; na alipomkosa kama walivyomkosa wengine ndipo aliazimia kumtembelea nyumbani kwake majira ya jioni.

    Sababu za Hughes kutaka kumuona Janet ilikuwa ni kutaka kumuhoji zaidi kuhusu habari za yule mwanaume wa pili waliyekuwa naye usiku ule De-paradise; kwamba, aliamini hata kama Janet angekuwa hakuwahi kumuona mtu huyo zaidi ya siku hiyo lakini bado aliona nafasi ilikuwa kubwa sana kwa yeye kuweza kuueleza wajihi wake. Pia alitaka kumuhoji zaidi kuhusu utata waliopata kutoka kwa Mbilikimo uliofanana na maelezo ya mkewe Edwin.

    Tayari mazingira yaliachia ushahidi wa kuanzia kwamba Edwin Edmund hakuwa nje ya nchi kama walivyoelezwa awali na mzee Zabanga Kasonzo (yule mbilikimo) wakati walipomtembelea nyumbani kwake; na ndivyo hata asubuhi hii walipomtembelea tena hawakuamini sana walichoelezwa kwamba Edwin hakuwa mfanyakazi wake kama ilivyokuwa ikijulikana. Ndio hawakuamini; lakini pia bado hawakuwa na ushawishi kumthibitishia Mbilikimo hakuisema kweli.

    Waliamini alificha jambo.

    Jambo gani alificha? Hilo hawakujua bado ingawaje wasiwasi ulijaribu kuwaeleza jambo hilo lilihusika kama sio lilikaribiana sana na sakata la mauji ya Brigitte!

    “Edwin ni kijana mzuri na muaminifu.” Hughes alikumbuka alivyoanza kuelezwa na mzee Kasonzo; na hata hili waliamini ungeweza kuwa sehemu ya uongo ili kumfunika usafi wa sifa.

    Mzee Kasonzo alieleza uhusiano wake na Edwin ulikuwa ni katika kumpatia kazi za kusimamia upakuaji na upakiaji wa mizigo yake bandarini; na kwamba, zaidi ya hapo hakukuwepo uhusiano mwingine.

    “Surely, I like that chap…sometimes, I stand assisting through lending him some cents. (Nampenda kijana…wakati mwingine humsaidia kwa kumkopesha kidogo.)” Hughes alikumbuka kauli hii ambayo aliisema mbilikimo huyo mara baada ya kueleza kuwa alikuwa hajapata kuonana naye kwa zaidi ya miezi mitatu kwakuwa hakukuwa na kazi ambayo ilitokea ya kuweza kuhitaji huduma yake hadi wakati huo wa jana walipomuhoji.

    Isipokuwa kitu kingine ambacho kiliwashangaza ni kule kutoitambua namba ya Edwin huku akiwaonyesha namba aliyoifahamu ambayo walipojaribu kuipiga, ilipokelewa na mwanamke aliyedai alikuwa mkewe Edwin ambaye alipofuatwa alieleza mumewe alisafiri; na zaidi, mke huyo alisema hawakuwa na taarifa zake kwa muda mrefu sasa kiasi wao pia walikuwa na wasiwasi!

    Hata asubuhi walipotembelea nyumbani kwa Edwin, bado mkewe alithibitisha mumewe alisafiri Burundi kishughuli, kwani alikuwa wakala wa upakiaji na usafirishaji wa mizigo.

    Tena safari hii, mbinu ya Kanyengele haikufua dafu, kwani alipoikamata simu ile hakukuta namba yoyote iliyosajiliwa; hatahivyo, walikwishaiwasilisha namba hiyo kwa mkuu wa upelelezi ili aweze kuichunguza zaidi ikiwa ni pamoja na kuomba kibali kwa kampuni ya simu husika kuwajulisha namba za karibuni zilizowahi kutumia namba hiyo kwa namna moja au nyingine.



    ***

    Kama kawaida, Hughes aligonga mlango wa kuingilia upande alioishi Janet, lakini hakukuwa na majibu.

    Yule mbwa alikuwepo!

    Kama kawaida, alifoka vilevile!

    Aligonga tena na tena; lakini bado hakujibiwa!

    Mwishowe, aliweka sikio lake katika mlango katika kujaribu kusikia sauti zozote; na kwa mwendo huo aliweza kusikia sauti ya mziki ingawaje ilikuwa kwa mbali!

    Mziki tulivu!http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    ‘Nahisi yupo. Lakini…ukimya huu, mmh?’ Alijiuliza moyoni huku akigonga tena na kwa nguvu zaidi.

    Mwishowe, alihisi kukata tamaa; na ndivyo, taratibu akaanza kuondoka akielekea ule mlango wa katikati wa nyumba bila kujali wala kumtazama mbwa yule ambaye hakuacha kubweka huku akikimbiakimbia.

    Alipofika, aligonga mlango kwa taratibu.

    Lakini ni baada ya kugonga mara kadhaa ndipo mlango ulifunguliwa na Miss Diana aliyekuwa ndiye mama mwenye nyumba. Huyo alikuwa mfupi kiasi lakini mnene sana kuanzia matiti, kifua, mikono, na hata tumbo na matako yake yalikuwa makubwa bila kusahau mapaja yake makubwa yaliyobebwa na miguu minene.

    Halikadhalika, Diana alikuwa mweusi kiasi, mwenye nywele za kipilipili ambazo baadhi zilikuwa nyeupe kuashiria umri ulikuwa umekwenda hadi maeneo ya kati ya namba 55 hadi 65 hivi.

    Pamoja na kuwa kahaba aliyestaafu kutokana na umri, lakini bado hakumpenda Janet aliyekuwa kahaba kama yeye mwenyewe alivyowahi kuwa; ni kwamba, hakumpenda Janet kutokana na kumuona alikuwa na umbo zuri kumzidi licha ya kuwa mrefu na pandikizi la mwanamke. Ndio, kama Janet hangekuwa si mlipaji mzuri wa kodi ya pango, basi ni wazi angemtimua siku nyingi.

    Lakini bado alikuwa mama mwenye nyumba asiyebughudhi wapangaji wake kutokana na kuishi bila kuhitaji kufuatilia maisha yao binafsi.





    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog